🔥 0 siku mfululizo
📖 Sura ndefu — imegawanywa sehemu ndogo (182 Aya)
0/182
37:1
🔁 0/5
وَٱلصَّٰٓفَّٰتِ صَفًّا ١
Wassaaaffaati saffaa
Naapa kwa wanao jipanga kwa safu.
🎤 Rekodi yako:
37:2
🔁 0/5
فَٱلزَّٰجِرَٰتِ زَجۡرًا ٢
Fazzaajiraati zajraa
Na kwa wenye kukataza mabaya.
🎤 Rekodi yako:
37:3
🔁 0/5
فَٱلتَّٰلِيَٰتِ ذِكۡرًا ٣
Fattaaliyaati Zikra
Na kwa wenye kusoma Ukumbusho.
🎤 Rekodi yako:
37:4
🔁 0/5
إِنَّ إِلَٰهَكُمۡ لَوَٰحِدٌ ٤
Inna Illaahakum la Waahid
Hakika Mungu wenu bila ya shaka ni Mmoja.
🎤 Rekodi yako:
37:5
🔁 0/5
رَّبُّ ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلۡأَرۡضِ وَمَا بَيۡنَهُمَا وَرَبُّ ٱلۡمَشَٰرِقِ ٥
Rabbus samaawaati wal ardi wa maa bainahumaa wa Rabbul mashaariq
Mola Mlezi wa mbingu na ardhi, na yaliyomo kati yao, na ni Mola Mlezi wa mashariki zote.
🎤 Rekodi yako:
37:6
🔁 0/5
إِنَّا زَيَّنَّا ٱلسَّمَآءَ ٱلدُّنۡيَا بِزِينَةٍ ٱلۡكَوَاكِبِ ٦
Innaa zaiyannas samaaa `ad dunyaa bizeenatinil kawaakib
Hakika Sisi tumeipamba mbingu ya karibu kwa pambo la nyota.
🎤 Rekodi yako:
37:7
🔁 0/5
وَحِفۡظًا مِّن كُلِّ شَيۡطَٰنٍ مَّارِدٍ ٧
Wa hifzam min kulli Shaitaanim maarid
Na kulinda na kila shet'ani a'si.
🎤 Rekodi yako:
37:8
🔁 0/5
لَّا يَسَّمَّعُونَ إِلَى ٱلۡمَلَإِ ٱلۡأَعۡلَىٰ وَيُقۡذَفُونَ مِن كُلِّ جَانِبٍ ٨
Laa yassamma `oona ilal mala il a`alaa wa yuqzafoona min kulli jaanib
Wasiweze kuwasikiliza viumbe watukufu. Na wanafukuzwa huko kila upande.
🎤 Rekodi yako:
37:9
🔁 0/5
دُحُورًاۖ وَلَهُمۡ عَذَابٌ وَاصِبٌ ٩
Duhooranw wa lahum `azaabunw waasib
Wakifurushwa. Na wanayo adhabu ya kudumu.
🎤 Rekodi yako:
37:10
🔁 0/5
إِلَّا مَنۡ خَطِفَ ٱلۡخَطۡفَةَ فَأَتۡبَعَهُۥ شِهَابٌ ثَاقِبٌ ١٠
Illaa man khatifal khatfata fa atba`ahoo shihaabun saaqib
Isipo kuwa anaye nyakua kitu kidogo, na mara humfwatia kimondo kinacho ng'ara.
🎤 Rekodi yako:
37:11
🔁 0/5
فَٱسۡتَفۡتِهِمۡ أَهُمۡ أَشَدُّ خَلۡقًا أَم مَّنۡ خَلَقۡنَآۚ إِنَّا خَلَقۡنَٰهُم مِّن طِينٍ لَّازِبِۭ ١١
Fastaftihim ahum ashaddu khalqan am man khalaqnaa; innaa khalaqnaahum min teenil laazib
Hebu waulize: Je! Wao ni wenye umbo gumu zaidi au hao wengine tulio waumba. Hakika Sisi tuliwaumba wao kwa udongo unao nata.
🎤 Rekodi yako:
37:12
🔁 0/5
بَلۡ عَجِبۡتَ وَيَسۡخَرُونَ ١٢
Bal`ajibta wa yaskharoon
Bali unastaajabu, na wao wanafanya maskhara.
🎤 Rekodi yako:
37:13
🔁 0/5
وَإِذَا ذُكِّرُواْ لَا يَذۡكُرُونَ ١٣
Wa izaa zukkiroo laa yazkuroon
Na wanapo kumbushwa hawakumbuki.
🎤 Rekodi yako:
37:14
🔁 0/5
وَإِذَا رَأَوۡاْ ءَايَةً يَسۡتَسۡخِرُونَ ١٤
Wa izaa ra aw Aayatinw yastaskhiroon
Na wanapo ona Ishara, wanafanya maskhara.
🎤 Rekodi yako:
37:15
🔁 0/5
وَقَالُوٓاْ إِنۡ هَٰذَآ إِلَّا سِحۡرٌ مُّبِينٌ ١٥
Wa qaalooo in haazaa illaa sihrum mubeen
Na husema: Haya si chochote ila ni uchawi tu ulio dhaahiri.
🎤 Rekodi yako:
37:16
🔁 0/5
أَءِذَا مِتۡنَا وَكُنَّا تُرَابًا وَعِظَٰمًا أَءِنَّا لَمَبۡعُوثُونَ ١٦
A-izaa mitnaa wa kunnaa turaabanw wa `izaaman `ainnaa lamab`oosoon
Ati tukisha kufa na tukawa udongo na mifupa ndio kweli tutafufuliwa?
🎤 Rekodi yako:
37:17
🔁 0/5
أَوَءَابَآؤُنَا ٱلۡأَوَّلُونَ ١٧
Awa aabaa`unal awwaloon
Hata baba zetu wa zamani?
🎤 Rekodi yako:
37:18
🔁 0/5
قُلۡ نَعَمۡ وَأَنتُمۡ دَٰخِرُونَ ١٨
Qul na`am wa antum daakhiroon
Sema: Naam! Hali nanyi ni madhalili.
🎤 Rekodi yako:
37:19
🔁 0/5
فَإِنَّمَا هِيَ زَجۡرَةٌ وَٰحِدَةٌ فَإِذَا هُمۡ يَنظُرُونَ ١٩
Fa innamaa hiya zajra tunw waahidatun fa izaa hum yanzuroon
Huko utapigwa ukelele mmoja tu! Na hapo ndio wataona!
🎤 Rekodi yako:
37:20
🔁 0/5
وَقَالُواْ يَٰوَيۡلَنَا هَٰذَا يَوۡمُ ٱلدِّينِ ٢٠
Qa qaaloo yaa wailanaa haazaa Yawmud-Deen
Watasema: Ole wetu! Hii ndiyo Siku ya Malipo.
🎤 Rekodi yako:
37:21
🔁 0/5
هَٰذَا يَوۡمُ ٱلۡفَصۡلِ ٱلَّذِي كُنتُم بِهِۦ تُكَذِّبُونَ ٢١
Haazaa Yawmul Faslil lazee kuntum bihee tukaziboon
Hii ndiyo Siku ya Hukumu mliyo kuwa mkiikadhibisha.
🎤 Rekodi yako:
37:22
🔁 0/5
۞ ٱحۡشُرُواْ ٱلَّذِينَ ظَلَمُواْ وَأَزۡوَٰجَهُمۡ وَمَا كَانُواْ يَعۡبُدُونَ ٢٢
Uhshurul lazeena zalamoo wa azwaajahum wa maa kaanoo ya`budoon
Wakusanyeni walio dhulumu, na wake zao, na hao walio kuwa wakiwaabudu -
🎤 Rekodi yako:
37:23
🔁 0/5
مِن دُونِ ٱللَّهِ فَٱهۡدُوهُمۡ إِلَىٰ صِرَٰطِ ٱلۡجَحِيمِ ٢٣
Min doonil laahi fahdoohum ilaa siraatil Jaheem
Badala ya Mwenyezi Mungu. Waongozeni njia ya Jahannamu!
🎤 Rekodi yako:
37:24
🔁 0/5
وَقِفُوهُمۡۖ إِنَّهُم مَّسۡـُٔولُونَ ٢٤
Wa qifoohum innahum mas`ooloon
Na wasimamisheni. Hakika hao watasailiwa:
🎤 Rekodi yako:
37:25
🔁 0/5
مَا لَكُمۡ لَا تَنَاصَرُونَ ٢٥
Maa lakum laa tanaasaroon
Mna nini? Mbona hamsaidiani?
🎤 Rekodi yako:
37:26
🔁 0/5
بَلۡ هُمُ ٱلۡيَوۡمَ مُسۡتَسۡلِمُونَ ٢٦
Bal humul Yawma mustaslimoon
Bali hii leo, watasalimu amri.
🎤 Rekodi yako:
37:27
🔁 0/5
وَأَقۡبَلَ بَعۡضُهُمۡ عَلَىٰ بَعۡضٍ يَتَسَآءَلُونَ ٢٧
Wa aqbala ba`duhum `alaa ba`diny yatasaaa`aloon
Watakabiliana wao kwa wao kuulizana.
🎤 Rekodi yako:
37:28
🔁 0/5
قَالُوٓاْ إِنَّكُمۡ كُنتُمۡ تَأۡتُونَنَا عَنِ ٱلۡيَمِينِ ٢٨
Qaalooo innakum kuntum taatoonanaa `anil yameen
Watasema: Kwa hakika nyinyi mlikuwa mkitujia upande wa kulia.
🎤 Rekodi yako:
37:29
🔁 0/5
قَالُواْ بَل لَّمۡ تَكُونُواْ مُؤۡمِنِينَ ٢٩
Qaaloo bal lam takoonoo mu`mineen
Watasema (wakubwa): Bali nyinyi wenyewe hamkuwa Waumini.
🎤 Rekodi yako:
37:30
🔁 0/5
وَمَا كَانَ لَنَا عَلَيۡكُم مِّن سُلۡطَٰنِۭۖ بَلۡ كُنتُمۡ قَوۡمًا طَٰغِينَ ٣٠
Wa maa kaana lanaa `alaikum min sultaanim bal kuntum qawman taagheen
Sisi hatukuwa na mamlaka juu yenu, bali nyinyi wenyewe mlikuwa wapotovu.
🎤 Rekodi yako:
37:31
🔁 0/5
فَحَقَّ عَلَيۡنَا قَوۡلُ رَبِّنَآۖ إِنَّا لَذَآئِقُونَ ٣١
Fahaqqa `alainaa qawlu Rabbinaaa innaa lazaaa`iqoon
Basi hukumu ya Mola wetu Mlezi imekwisha tuthibitikia. Hakika bila ya shaka tutaonja tu adhabu.
🎤 Rekodi yako:
37:32
🔁 0/5
فَأَغۡوَيۡنَٰكُمۡ إِنَّا كُنَّا غَٰوِينَ ٣٢
Fa aghwainaakum innaa kunnaa ghaaween
Tulikupotezeni kwa sababu sisi wenyewe tulikuwa wapotovu.
🎤 Rekodi yako:
37:33
🔁 0/5
فَإِنَّهُمۡ يَوۡمَئِذٍ فِي ٱلۡعَذَابِ مُشۡتَرِكُونَ ٣٣
Fa innahum Yawma`izin fil`azaabi mushtarikoon
Basi wao kwa hakika siku hiyo watashirikiana katika adhabu pamoja.
🎤 Rekodi yako:
37:34
🔁 0/5
إِنَّا كَذَٰلِكَ نَفۡعَلُ بِٱلۡمُجۡرِمِينَ ٣٤
Innaa kazaalika naf`alu bil mujrimeen
Hivyo ndivyo tutakavyo wafanyia wakosefu.
🎤 Rekodi yako:
37:35
🔁 0/5
إِنَّهُمۡ كَانُوٓاْ إِذَا قِيلَ لَهُمۡ لَآ إِلَٰهَ إِلَّا ٱللَّهُ يَسۡتَكۡبِرُونَ ٣٥
Innahum kaanooo izaa qeela lahum laaa ilaaha illal laahu yastakbiroon
Wao walipo kuwa wakiambiwa La ilaha illa 'Llahu Hapana mungu ila Mwenyezi Mungu tu, wakijivuna.
🎤 Rekodi yako:
37:36
🔁 0/5
وَيَقُولُونَ أَئِنَّا لَتَارِكُوٓاْ ءَالِهَتِنَا لِشَاعِرٍ مَّجۡنُونِۭ ٣٦
Wa yaqooloona a`innaa lataarikooo aalihatinaa lishaa`irim majnoon
Na wakisema: Hivyo sisi tuiache miungu yetu kwa ajili ya huyu mtunga mashairi mwendawazimu?
🎤 Rekodi yako:
37:37
🔁 0/5
بَلۡ جَآءَ بِٱلۡحَقِّ وَصَدَّقَ ٱلۡمُرۡسَلِينَ ٣٧
bal jaaa`a bilhaqqi wa saddaqal mursaleen
Bali huyu amekuja kwa Haki, na amewasadikisha Mitume.
🎤 Rekodi yako:
37:38
🔁 0/5
إِنَّكُمۡ لَذَآئِقُواْ ٱلۡعَذَابِ ٱلۡأَلِيمِ ٣٨
Innakum lazaaa`iqul `azaabil aleem
Hakika nyinyi bila ya shaka mtaionja adhabu chungu.
🎤 Rekodi yako:
37:39
🔁 0/5
وَمَا تُجۡزَوۡنَ إِلَّا مَا كُنتُمۡ تَعۡمَلُونَ ٣٩
Wa maa tujzawna illaa maa kuntum ta`maloon
Wala hamlipwi ila hayo mliyo kuwa mkiyafanya.
🎤 Rekodi yako:
37:40
🔁 0/5
إِلَّا عِبَادَ ٱللَّهِ ٱلۡمُخۡلَصِينَ ٤٠
Illaa `ibaadal laahil mukhlaseen
Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio khitariwa.
🎤 Rekodi yako:
37:41
🔁 0/5
أُوْلَٰٓئِكَ لَهُمۡ رِزۡقٌ مَّعۡلُومٌ ٤١
Ulaaa`ika lahum rizqum ma`loom
Hao ndio watakao pata riziki maalumu,
🎤 Rekodi yako:
37:42
🔁 0/5
فَوَٰكِهُ وَهُم مُّكۡرَمُونَ ٤٢
Fa waakihu wa hum mukramoon
Matunda, nao watahishimiwa.
🎤 Rekodi yako:
37:43
🔁 0/5
فِي جَنَّٰتِ ٱلنَّعِيمِ ٤٣
Fee jannaatin Na`eem
Katika Bustani za neema.
🎤 Rekodi yako:
37:44
🔁 0/5
عَلَىٰ سُرُرٍ مُّتَقَٰبِلِينَ ٤٤
Alaa sururim mutaqaa bileen
Wako juu ya viti wamekabiliana.
🎤 Rekodi yako:
37:45
🔁 0/5
يُطَافُ عَلَيۡهِم بِكَأۡسٍ مِّن مَّعِينِۭ ٤٥
Yutaafu `alaihim bikaasim mim ma`een
Wanazungushiwa kikombe chenye kinywaji cha chemchem
🎤 Rekodi yako:
37:46
🔁 0/5
بَيۡضَآءَ لَذَّةٍ لِّلشَّٰرِبِينَ ٤٦
Baidaaa`a laz zatil lish shaaribeen
Kinywaji cheupe, kitamu kwa wanywao.
🎤 Rekodi yako:
37:47
🔁 0/5
لَا فِيهَا غَوۡلٌ وَلَا هُمۡ عَنۡهَا يُنزَفُونَ ٤٧
Laa feehaa ghawlunw wa laa hum `anhaa yunzafoon
Hakina madhara, wala hakiwaleweshi.
🎤 Rekodi yako:
37:48
🔁 0/5
وَعِندَهُمۡ قَٰصِرَٰتُ ٱلطَّرۡفِ عِينٌ ٤٨
Wa `indahum qaasiraatut tarfi `een
Na watakuwa nao wanawake wenye macho ya staha mazuri.
🎤 Rekodi yako:
37:49
🔁 0/5
كَأَنَّهُنَّ بَيۡضٌ مَّكۡنُونٌ ٤٩
Ka annahunna baidum maknoon
Hao wanawake kama mayai yaliyo hifadhika.
🎤 Rekodi yako:
37:50
🔁 0/5
فَأَقۡبَلَ بَعۡضُهُمۡ عَلَىٰ بَعۡضٍ يَتَسَآءَلُونَ ٥٠
Fa aqbala ba`duhum `alaa badiny yatasaaa `aloon
Waingie kuulizana wenyewe kwa wenyewe.
🎤 Rekodi yako:
37:51
🔁 0/5
قَالَ قَآئِلٌ مِّنۡهُمۡ إِنِّي كَانَ لِي قَرِينٌ ٥١
Qaala qaaa`ilum minhum innee kaana lee qareen
Aseme msemaji mmoja miongoni mwao: Hakika mimi nalikuwa na rafiki
🎤 Rekodi yako:
37:52
🔁 0/5
يَقُولُ أَءِنَّكَ لَمِنَ ٱلۡمُصَدِّقِينَ ٥٢
Yaqoolu a`innnaka laminal musaddiqeen
Aliye kuwa akinambia: Hivyo wewe ni katika wanao sadiki
🎤 Rekodi yako:
37:53
🔁 0/5
أَءِذَا مِتۡنَا وَكُنَّا تُرَابًا وَعِظَٰمًا أَءِنَّا لَمَدِينُونَ ٥٣
A-izaa mitnaa wa kunnaa turaabanw wa `izaaman `ainnaa lamadeenoon
Ati tukisha kufa tukawa udongo na mafupa, ndio tutalipwa na kuhisabiwa?
🎤 Rekodi yako:
37:54
🔁 0/5
قَالَ هَلۡ أَنتُم مُّطَّلِعُونَ ٥٤
Qaala hal antum muttali`oon
Atasema: Je! Nyie mnawaona?
🎤 Rekodi yako:
37:55
🔁 0/5
فَٱطَّلَعَ فَرَءَاهُ فِي سَوَآءِ ٱلۡجَحِيمِ ٥٥
Fattala`a fara aahu fee sawaaa`il Jaheem
Basi atachungulia amwone katikati ya Jahannamu.
🎤 Rekodi yako:
37:56
🔁 0/5
قَالَ تَٱللَّهِ إِن كِدتَّ لَتُرۡدِينِ ٥٦
Qaala tallaahi in kitta laturdeen
Atasema: Wallahi! Ulikaribia kunipoteza.
🎤 Rekodi yako:
37:57
🔁 0/5
وَلَوۡلَا نِعۡمَةُ رَبِّي لَكُنتُ مِنَ ٱلۡمُحۡضَرِينَ ٥٧
Wa law laa ni`matu Rabbee lakuntu minal muhdareen
Na lau kuwa si neema ya Mola wangu Mlezi bila ya shaka ningeli kuwa miongoni mwa walio hudhurishwa.
🎤 Rekodi yako:
37:58
🔁 0/5
أَفَمَا نَحۡنُ بِمَيِّتِينَ ٥٨
Afamaa nahnu bimaiyiteen
Je! Sisi hatutakufa,
🎤 Rekodi yako:
37:59
🔁 0/5
إِلَّا مَوۡتَتَنَا ٱلۡأُولَىٰ وَمَا نَحۡنُ بِمُعَذَّبِينَ ٥٩
Illa mawtatanal oola wa maa nahnu bimu`azzabeen
Isipo kuwa kifo chetu cha kwanza? Wala sisi hatutaadhibiwa.
🎤 Rekodi yako:
37:60
🔁 0/5
إِنَّ هَٰذَا لَهُوَ ٱلۡفَوۡزُ ٱلۡعَظِيمُ ٦٠
Inna haazaa falya`ma lil`aamiloon
Hakika huku bila ya shaka ndiko kufuzu kukubwa.
🎤 Rekodi yako:
37:61
🔁 0/5
لِمِثۡلِ هَٰذَا فَلۡيَعۡمَلِ ٱلۡعَٰمِلُونَ ٦١
Limisli haaza falya`ma lil `aamiloon
Kwa mfano wa haya nawatende watendao.
🎤 Rekodi yako:
37:62
🔁 0/5
أَذَٰلِكَ خَيۡرٌ نُّزُلًا أَمۡ شَجَرَةُ ٱلزَّقُّومِ ٦٢
Azaalika khairun nuzulan am shajaratuz Zaqqom
Je! Kukaribishwa hivi si ndio bora, au mti wa Zaqqum?
🎤 Rekodi yako:
37:63
🔁 0/5
إِنَّا جَعَلۡنَٰهَا فِتۡنَةً لِّلظَّٰلِمِينَ ٦٣
Innaa ja`alnaahaa fitnatal lizzaalimeen
Hakika Sisi tumeufanya huo kuwa ni mateso kwa walio dhulumu.
🎤 Rekodi yako:
37:64
🔁 0/5
إِنَّهَا شَجَرَةٌ تَخۡرُجُ فِيٓ أَصۡلِ ٱلۡجَحِيمِ ٦٤
Innahaa shajaratun takhruju feee aslil Jaheem
Hakika huo ni mti unao toka katikati ya Jahannamu.
🎤 Rekodi yako:
37:65
🔁 0/5
طَلۡعُهَا كَأَنَّهُۥ رُءُوسُ ٱلشَّيَٰطِينِ ٦٥
Tal`uhaa ka annahoo ru`oosush Shayaateen
Mashada ya matunda yake kama kwamba vichwa vya mashet'ani.
🎤 Rekodi yako:
37:66
🔁 0/5
فَإِنَّهُمۡ لَأٓكِلُونَ مِنۡهَا فَمَالِـُٔونَ مِنۡهَا ٱلۡبُطُونَ ٦٦
Fa innahum la aakiloona minhaa famaali`oona minhal butoon
Basi hakika bila ya shaka hao watayala hayo, na wajaze matumbo.
🎤 Rekodi yako:
37:67
🔁 0/5
ثُمَّ إِنَّ لَهُمۡ عَلَيۡهَا لَشَوۡبًا مِّنۡ حَمِيمٍ ٦٧
Summa inna lahum `alaihaa lashawbam min hameem
Kisha juu yake wanyweshwe mchanganyo wa maji yamoto yaliyo chemka.
🎤 Rekodi yako:
37:68
🔁 0/5
ثُمَّ إِنَّ مَرۡجِعَهُمۡ لَإِلَى ٱلۡجَحِيمِ ٦٨
Summa inna marji`ahum la ilal Jaheem
Kisha hakika marejeo yao bila ya shaka yatakuwa kwenye Jahannamu.
🎤 Rekodi yako:
37:69
🔁 0/5
إِنَّهُمۡ أَلۡفَوۡاْ ءَابَآءَهُمۡ ضَآلِّينَ ٦٩
Innahum alfaw aabaaa`ahum daaalleen
Hakika waliwakuta baba zao wamepotea.
🎤 Rekodi yako:
37:70
🔁 0/5
فَهُمۡ عَلَىٰٓ ءَاثَٰرِهِمۡ يُهۡرَعُونَ ٧٠
Fahum `alaa aasaarihim yuhra`oon
Na wao wakafanya haraka kufuata nyayo zao.
🎤 Rekodi yako:
37:71
🔁 0/5
وَلَقَدۡ ضَلَّ قَبۡلَهُمۡ أَكۡثَرُ ٱلۡأَوَّلِينَ ٧١
Wa laqad dalla qablahum aksarul awwaleen
Na bila ya shaka walikwisha potea kabla yao wengi wa watu wa zamani.
🎤 Rekodi yako:
37:72
🔁 0/5
وَلَقَدۡ أَرۡسَلۡنَا فِيهِم مُّنذِرِينَ ٧٢
Wa laqad arsalnaa feehim munzireen
Na Sisi hakika tuliwapelekea waonyaji.
🎤 Rekodi yako:
37:73
🔁 0/5
فَٱنظُرۡ كَيۡفَ كَانَ عَٰقِبَةُ ٱلۡمُنذَرِينَ ٧٣
Fanzur kaifa kaana `aaqibatul munzareen
Basi hebu angalia ulikuwaje mwisho wa walio onywa.
🎤 Rekodi yako:
37:74
🔁 0/5
إِلَّا عِبَادَ ٱللَّهِ ٱلۡمُخۡلَصِينَ ٧٤
Illaa `ibaadal laahil mukhlaseen
Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio khitariwa.
🎤 Rekodi yako:
37:75
🔁 0/5
وَلَقَدۡ نَادَىٰنَا نُوحٌ فَلَنِعۡمَ ٱلۡمُجِيبُونَ ٧٥
Wa laqad naadaanaa Noohun falani`mal mujeeboon
Na hakika Nuhu alitwita, na Sisi ni bora wa waitikiaji.
🎤 Rekodi yako:
37:76
🔁 0/5
وَنَجَّيۡنَٰهُ وَأَهۡلَهُۥ مِنَ ٱلۡكَرۡبِ ٱلۡعَظِيمِ ٧٦
Wa jajainaahu wa ahlahoo minal karbil `azeem
Na tulimwokoa yeye na ahali zake kutokana na msiba mkubwa.
🎤 Rekodi yako:
37:77
🔁 0/5
وَجَعَلۡنَا ذُرِّيَّتَهُۥ هُمُ ٱلۡبَاقِينَ ٧٧
Wa ja`alnaa zurriyyatahoo hummul baaqeen
Na tuliwajaalia dhuriya zake ndio wenye kubakia.
🎤 Rekodi yako:
37:78
🔁 0/5
وَتَرَكۡنَا عَلَيۡهِ فِي ٱلۡأٓخِرِينَ ٧٨
Wa taraknaa `alaihi fil aakhireen
Na tukamwachia (sifa njema) kwa walio kuja baadaye.
🎤 Rekodi yako:
37:79
🔁 0/5
سَلَٰمٌ عَلَىٰ نُوحٍ فِي ٱلۡعَٰلَمِينَ ٧٩
Salaamun `alaa Noohin fil `aalameen
Iwe salama kwa Nuhu ulimwenguni kote!
🎤 Rekodi yako:
37:80
🔁 0/5
إِنَّا كَذَٰلِكَ نَجۡزِي ٱلۡمُحۡسِنِينَ ٨٠
Innaa kazaalika najzil muhsineen
Kwa hakika hivi ndivyo tunavyo walipa wanao fanya mema.
🎤 Rekodi yako:
37:81
🔁 0/5
إِنَّهُۥ مِنۡ عِبَادِنَا ٱلۡمُؤۡمِنِينَ ٨١
Innahoo min `ibaadinal mu`mineen
Hakika yeye ni katika waja wetu walio amini.
🎤 Rekodi yako:
37:82
🔁 0/5
ثُمَّ أَغۡرَقۡنَا ٱلۡأٓخَرِينَ ٨٢
Summa aghraqnal aakhareen
Kisha tukawazamisha wale wengine.
🎤 Rekodi yako:
37:83
🔁 0/5
۞ وَإِنَّ مِن شِيعَتِهِۦ لَإِبۡرَٰهِيمَ ٨٣
Wa ina min shee`atihee la Ibraaheem
Na hakika Ibrahim alikuwa katika kundi lake,
🎤 Rekodi yako:
37:84
🔁 0/5
إِذۡ جَآءَ رَبَّهُۥ بِقَلۡبٍ سَلِيمٍ ٨٤
Iz jaaa`a Rabbahoo bi qalbin saleem
Alipo mjia Mola wake Mlezi kwa moyo mzima.
🎤 Rekodi yako:
37:85
🔁 0/5
إِذۡ قَالَ لِأَبِيهِ وَقَوۡمِهِۦ مَاذَا تَعۡبُدُونَ ٨٥
Iz qaala li abeehi wa qawmihee maazaa ta`budoon
Alimwambia baba yake na watu wake: Mnaabudu nini?
🎤 Rekodi yako:
37:86
🔁 0/5
أَئِفۡكًا ءَالِهَةً دُونَ ٱللَّهِ تُرِيدُونَ ٨٦
A`ifkan aalihatan doonal laahi tureedoon
Kwa kuzua tu mnataka miungu mingine badala ya Mwenyezi Mungu?
🎤 Rekodi yako:
37:87
🔁 0/5
فَمَا ظَنُّكُم بِرَبِّ ٱلۡعَٰلَمِينَ ٨٧
Famaa zannukum bi Rabbil`aalameen
Mnamdhania nini Mola Mlezi wa walimwengu wote?
🎤 Rekodi yako:
37:88
🔁 0/5
فَنَظَرَ نَظۡرَةً فِي ٱلنُّجُومِ ٨٨
Fanazara nazratan finnujoom
Kisha akapiga jicho kutazama nyota.
🎤 Rekodi yako:
37:89
🔁 0/5
فَقَالَ إِنِّي سَقِيمٌ ٨٩
Faqaala inee saqeem
Akasema: Hakika mimi ni mgonjwa!
🎤 Rekodi yako:
37:90
🔁 0/5
فَتَوَلَّوۡاْ عَنۡهُ مُدۡبِرِينَ ٩٠
Fatawallaw `anhu mudbireen
Nao wakamwacha, wakampa kisogo.
🎤 Rekodi yako:
37:91
🔁 0/5
فَرَاغَ إِلَىٰٓ ءَالِهَتِهِمۡ فَقَالَ أَلَا تَأۡكُلُونَ ٩١
Faraagha ilaaa aalihatihim faqaala alaa taakuloon
Basi akaiendea miungu yao kwa siri, akaiambia: Mbona hamli?
🎤 Rekodi yako:
37:92
🔁 0/5
مَا لَكُمۡ لَا تَنطِقُونَ ٩٢
Maa lakum laa tantiqoon
Mna nini hata hamsemi?
🎤 Rekodi yako:
37:93
🔁 0/5
فَرَاغَ عَلَيۡهِمۡ ضَرۡبَۢا بِٱلۡيَمِينِ ٩٣
Faraagha `alaihim darbam bilyameen
Kisha akaigeukia kuipiga kwa mkono wa kulia.
🎤 Rekodi yako:
37:94
🔁 0/5
فَأَقۡبَلُوٓاْ إِلَيۡهِ يَزِفُّونَ ٩٤
Fa aqbalooo ilaihi yaziffoon
Basi wakamjia upesi upesi.
🎤 Rekodi yako:
37:95
🔁 0/5
قَالَ أَتَعۡبُدُونَ مَا تَنۡحِتُونَ ٩٥
Qaala ata`budoona maa tanhitoon
Akasema: Hivyo mnaviabudu vitu mnavyo vichonga wenyewe?
🎤 Rekodi yako:
37:96
🔁 0/5
وَٱللَّهُ خَلَقَكُمۡ وَمَا تَعۡمَلُونَ ٩٦
Wallaahu khalaqakum wa maa ta`maloon
Na hali Mwenyezi Mungu ndiye aliye kuumbeni nyinyi na hivyo mnavyo vifanya!
🎤 Rekodi yako:
37:97
🔁 0/5
قَالُواْ ٱبۡنُواْ لَهُۥ بُنۡيَٰنًا فَأَلۡقُوهُ فِي ٱلۡجَحِيمِ ٩٧
Qaalub noo lahoo bun yaanan fa alqoohu fil jaheem
Wakasema: Mjengeeni jengo, na kisha mtupeni motoni humo!
🎤 Rekodi yako:
37:98
🔁 0/5
فَأَرَادُواْ بِهِۦ كَيۡدًا فَجَعَلۡنَٰهُمُ ٱلۡأَسۡفَلِينَ ٩٨
Fa araadoo bihee kaidan faja `alnaahumul asfaleen
Basi walitaka kumfanyia vitimbi, lakini tukawafanya wao ndio wa chini.
🎤 Rekodi yako:
37:99
🔁 0/5
وَقَالَ إِنِّي ذَاهِبٌ إِلَىٰ رَبِّي سَيَهۡدِينِ ٩٩
Wa qaala innee zaahibun ilaa Rabbee sa yahdeen
Na akasema: Hakika mimi nahama, nakwenda kwa Mola wangu Mlezi; Yeye ataniongoa.
🎤 Rekodi yako:
37:100
🔁 0/5
رَبِّ هَبۡ لِي مِنَ ٱلصَّٰلِحِينَ ١٠٠
Rabbi hab lee minas saaliheen
Ewe Mola wangu Mlezi! Nitunukie aliye miongoni mwa watenda mema.
🎤 Rekodi yako:
37:101
🔁 0/5
فَبَشَّرۡنَٰهُ بِغُلَٰمٍ حَلِيمٍ ١٠١
Fabashsharnaahu bighulaamin haleem
Basi tukambashiria mwana aliye mpole.
🎤 Rekodi yako:
37:102
🔁 0/5
فَلَمَّا بَلَغَ مَعَهُ ٱلسَّعۡيَ قَالَ يَٰبُنَيَّ إِنِّيٓ أَرَىٰ فِي ٱلۡمَنَامِ أَنِّيٓ أَذۡبَحُكَ فَٱنظُرۡ مَاذَا تَرَىٰۚ قَالَ يَٰٓأَبَتِ ٱفۡعَلۡ مَا تُؤۡمَرُۖ سَتَجِدُنِيٓ إِن شَآءَ ٱللَّهُ مِنَ ٱلصَّٰبِرِينَ ١٠٢
Falamma balagha ma`a hus sa`ya qaala yaa buniya inneee araa fil manaami anneee azbahuka fanzur maazaa taraa; qaala yaaa abatif `al maa tu`maru satajidunee in shaaa`allaahu minas saabireen
Basi alipo fika makamo ya kwenda na kurudi pamoja naye, alimwambia: Ewe mwanangu! Hakika mimi nimeona usingizini kuwa ninakuchinja. Basi angalia wewe, waonaje? Akasema: Ewe baba yangu! Tenda unavyo amrishwa, utanikuta mimi, Inshallah, katika wanao subiri.
🎤 Rekodi yako:
37:103
🔁 0/5
فَلَمَّآ أَسۡلَمَا وَتَلَّهُۥ لِلۡجَبِينِ ١٠٣
Falammaaa aslamaa wa tallahoo liljabeen
Basi wote wawili walipo jisalimisha, na akamlaza juu ya kipaji.
🎤 Rekodi yako:
37:104
🔁 0/5
وَنَٰدَيۡنَٰهُ أَن يَٰٓإِبۡرَٰهِيمُ ١٠٤
Wa naadainaahu ai yaaaa Ibraheem
Tulimwita: Ewe Ibrahim!
🎤 Rekodi yako:
37:105
🔁 0/5
قَدۡ صَدَّقۡتَ ٱلرُّءۡيَآۚ إِنَّا كَذَٰلِكَ نَجۡزِي ٱلۡمُحۡسِنِينَ ١٠٥
Qad saddaqtar ru`yaa; innaa kazaalika najzil muhsineen
Umekwisha itimiliza ndoto. Hakika hivi ndivyo tunavyo walipa wanao tenda mema.
🎤 Rekodi yako:
37:106
🔁 0/5
إِنَّ هَٰذَا لَهُوَ ٱلۡبَلَٰٓؤُاْ ٱلۡمُبِينُ ١٠٦
Inna haazaa lahuwal balaaa`ul mubeen
Hakika haya ni majaribio yaliyo dhaahiri.
🎤 Rekodi yako:
37:107
🔁 0/5
وَفَدَيۡنَٰهُ بِذِبۡحٍ عَظِيمٍ ١٠٧
Wa fadainaahu bizibhin `azeem
Basi tukamtolea fidia kwa dhabihu mtukufu.
🎤 Rekodi yako:
37:108
🔁 0/5
وَتَرَكۡنَا عَلَيۡهِ فِي ٱلۡأٓخِرِينَ ١٠٨
Wa taraknaa `alaihi fil aakhireen
Na tukamwachia (sifa njema) kwa watu walio kuja baadaye.
🎤 Rekodi yako:
37:109
🔁 0/5
سَلَٰمٌ عَلَىٰٓ إِبۡرَٰهِيمَ ١٠٩
Salaamun `alaaa Ibraaheem
Iwe salama kwa Ibrahim!
🎤 Rekodi yako:
37:110
🔁 0/5
كَذَٰلِكَ نَجۡزِي ٱلۡمُحۡسِنِينَ ١١٠
Kazaalika najzil muhsineen
Hivi ndivyo tunavyo walipa wanao fanya mema.
🎤 Rekodi yako:
37:111
🔁 0/5
إِنَّهُۥ مِنۡ عِبَادِنَا ٱلۡمُؤۡمِنِينَ ١١١
Innahoo min `ibaadinal mu`mineen
Hakika yeye ni katika waja wetu walio amini.
🎤 Rekodi yako:
37:112
🔁 0/5
وَبَشَّرۡنَٰهُ بِإِسۡحَٰقَ نَبِيًّا مِّنَ ٱلصَّٰلِحِينَ ١١٢
Wa bashsharnaahu bi Ishaaqa Nabiyayam minas saaliheen
Na tukambashiria kuzaliwa Is-haqa, naye ni Nabii miongoni mwa watu wema.
🎤 Rekodi yako:
37:113
🔁 0/5
وَبَٰرَكۡنَا عَلَيۡهِ وَعَلَىٰٓ إِسۡحَٰقَۚ وَمِن ذُرِّيَّتِهِمَا مُحۡسِنٌ وَظَالِمٌ لِّنَفۡسِهِۦ مُبِينٌ ١١٣
Wa baaraknaa `alaihi wa `alaaa Ishaaq; wa min zurriyya tihimaa muhsinunw wa zaalimul linafshihee mubeen
Na tukambarikia yeye na Is-haqa. Na miongoni mwa dhuriya zao walitokea wema na wenye kudhulumu nafsi zao waziwazi.
🎤 Rekodi yako:
37:114
🔁 0/5
وَلَقَدۡ مَنَنَّا عَلَىٰ مُوسَىٰ وَهَٰرُونَ ١١٤
Wa laqad mananna alaa Moosaa wa Haaroon
Na kwa hakika tuliwafanyia hisani Musa na Haruni.
🎤 Rekodi yako:
37:115
🔁 0/5
وَنَجَّيۡنَٰهُمَا وَقَوۡمَهُمَا مِنَ ٱلۡكَرۡبِ ٱلۡعَظِيمِ ١١٥
Wa najjainaahumaa wa qawmahumaa minal karbil `azeem
Na tukawaokoa wao na watu wao kutokana na dhiki kubwa.
🎤 Rekodi yako:
37:116
🔁 0/5
وَنَصَرۡنَٰهُمۡ فَكَانُواْ هُمُ ٱلۡغَٰلِبِينَ ١١٦
Wa nasarnaahum fakaanoo humul ghaalibeen
Na tukawanusuru; na wakawa wao ndio wenye kushinda.
🎤 Rekodi yako:
37:117
🔁 0/5
وَءَاتَيۡنَٰهُمَا ٱلۡكِتَٰبَ ٱلۡمُسۡتَبِينَ ١١٧
Wa aatainaahumal Kitaabal mustabeen
Na tukawapa wawili hao Kitabu kinacho bainisha.
🎤 Rekodi yako:
37:118
🔁 0/5
وَهَدَيۡنَٰهُمَا ٱلصِّرَٰطَ ٱلۡمُسۡتَقِيمَ ١١٨
Wa hadainaahumus Siraatal Mustaqeem
Na tukawaongoa kwenye Njia Iliyo Nyooka.
🎤 Rekodi yako:
37:119
🔁 0/5
وَتَرَكۡنَا عَلَيۡهِمَا فِي ٱلۡأٓخِرِينَ ١١٩
Wa taraknaa `alaihimaa fil aakhireen
Na tukawaachia (sifa njema) katika watu walio kuja baadaye.
🎤 Rekodi yako:
37:120
🔁 0/5
سَلَٰمٌ عَلَىٰ مُوسَىٰ وَهَٰرُونَ ١٢٠
Salaamun `alaa Moosaa wa Haaroon
Iwe salama kwa Musa na Haruni!
🎤 Rekodi yako:
37:121
🔁 0/5
إِنَّا كَذَٰلِكَ نَجۡزِي ٱلۡمُحۡسِنِينَ ١٢١
Innaa kazaalika najzil muhsineen
Hakika hivyo ndivyo tunavyo walipa walio wema.
🎤 Rekodi yako:
37:122
🔁 0/5
إِنَّهُمَا مِنۡ عِبَادِنَا ٱلۡمُؤۡمِنِينَ ١٢٢
Innahumaa min `ibaadinal mu`mineen
Hakika wawili hao ni katika waja wetu walio amini.
🎤 Rekodi yako:
37:123
🔁 0/5
وَإِنَّ إِلۡيَاسَ لَمِنَ ٱلۡمُرۡسَلِينَ ١٢٣
Wa inna Ilyaasa laminal mursaleen
Na hakika Ilyas bila ya shaka alikuwa miongoni mwa Mitume.
🎤 Rekodi yako:
37:124
🔁 0/5
إِذۡ قَالَ لِقَوۡمِهِۦٓ أَلَا تَتَّقُونَ ١٢٤
Iz qaala liqawmiheee alaa tattaqoon
Alipo waambia watu wake: Hamwogopi?
🎤 Rekodi yako:
37:125
🔁 0/5
أَتَدۡعُونَ بَعۡلًا وَتَذَرُونَ أَحۡسَنَ ٱلۡخَٰلِقِينَ ١٢٥
Atad`oona Ba`lanw wa tazaroona ahsanal khaaliqeen
Mnamwomba Baa'li na mnamwacha Mbora wa waumbaji,
🎤 Rekodi yako:
37:126
🔁 0/5
ٱللَّهَ رَبَّكُمۡ وَرَبَّ ءَابَآئِكُمُ ٱلۡأَوَّلِينَ ١٢٦
Allaaha Rabbakum wa Rabba aabaaa`ikumul awwaleen
Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wenu na Mola Mlezi wa baba zenu wa zamani?
🎤 Rekodi yako:
37:127
🔁 0/5
فَكَذَّبُوهُ فَإِنَّهُمۡ لَمُحۡضَرُونَ ١٢٧
Fakazzaboohu fa inna hum lamuhdaroon
Wakamkadhibisha. Basi kwa hakika watahudhurishwa;
🎤 Rekodi yako:
37:128
🔁 0/5
إِلَّا عِبَادَ ٱللَّهِ ٱلۡمُخۡلَصِينَ ١٢٨
Illaa `ibaadal laahil mukhlaseen
Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio safishwa.
🎤 Rekodi yako:
37:129
🔁 0/5
وَتَرَكۡنَا عَلَيۡهِ فِي ٱلۡأٓخِرِينَ ١٢٩
Wa taraknaa `alaihi fil aakhireen
Na tumemwachia (sifa nzuri) kwa walio kuja baadaye.
🎤 Rekodi yako:
37:130
🔁 0/5
سَلَٰمٌ عَلَىٰٓ إِلۡ يَاسِينَ ١٣٠
Salaamun `alaaa Ilyaaseen
Iwe salama kwa Ilyas.
🎤 Rekodi yako:
37:131
🔁 0/5
إِنَّا كَذَٰلِكَ نَجۡزِي ٱلۡمُحۡسِنِينَ ١٣١
Innaa kazaalika najzil muhsineen
Hakika hivyo ndivyo tunavyo walipa walio wema.
🎤 Rekodi yako:
37:132
🔁 0/5
إِنَّهُۥ مِنۡ عِبَادِنَا ٱلۡمُؤۡمِنِينَ ١٣٢
Innahoo min `ibaadinal mu`mineen
Hakika yeye ni katika waja wetu walio amini.
🎤 Rekodi yako:
37:133
🔁 0/5
وَإِنَّ لُوطًا لَّمِنَ ٱلۡمُرۡسَلِينَ ١٣٣
Wa inna Lootal laminal mursaleen
Na hakika Lut'i bila ya shaka ni miongoni mwa Mitume.
🎤 Rekodi yako:
37:134
🔁 0/5
إِذۡ نَجَّيۡنَٰهُ وَأَهۡلَهُۥٓ أَجۡمَعِينَ ١٣٤
Iz najjainaahu wa ahlahooo ajma`een
Tulipo mwokoa yeye na ahali zake wote,
🎤 Rekodi yako:
37:135
🔁 0/5
إِلَّا عَجُوزًا فِي ٱلۡغَٰبِرِينَ ١٣٥
Illaa `ajoozan fil ghaabireen
Isipo kuwa mwanamke mkongwe katika wale walio bakia nyuma.
🎤 Rekodi yako:
37:136
🔁 0/5
ثُمَّ دَمَّرۡنَا ٱلۡأٓخَرِينَ ١٣٦
Summa dammarnal aakhareen
Kisha tukawaangamiza wale wengineo.
🎤 Rekodi yako:
37:137
🔁 0/5
وَإِنَّكُمۡ لَتَمُرُّونَ عَلَيۡهِم مُّصۡبِحِينَ ١٣٧
Wa innakum latamurroona `alaihim musbiheen
Na hakika nyinyi mnawapitia wakati wa asubuhi,
🎤 Rekodi yako:
37:138
🔁 0/5
وَبِٱلَّيۡلِۚ أَفَلَا تَعۡقِلُونَ ١٣٨
Wa billail; afalaa ta`qiloon
Na usiku. Basi je! Hamyatii akilini?
🎤 Rekodi yako:
37:139
🔁 0/5
وَإِنَّ يُونُسَ لَمِنَ ٱلۡمُرۡسَلِينَ ١٣٩
Wa inna Yoonusa laminal mursaleen
Na hakika Yunus alikuwa miongoni mwa Mitume.
🎤 Rekodi yako:
37:140
🔁 0/5
إِذۡ أَبَقَ إِلَى ٱلۡفُلۡكِ ٱلۡمَشۡحُونِ ١٤٠
Iz abaqa ilal fulkil mash hoon
Alipo kimbia katika jahazi lilio sheheni.
🎤 Rekodi yako:
37:141
🔁 0/5
فَسَاهَمَ فَكَانَ مِنَ ٱلۡمُدۡحَضِينَ ١٤١
Fasaahama fakaana minal mudhadeen
Akaingia katika kupigiwa kura, na akawa katika walio shindwa.
🎤 Rekodi yako:
37:142
🔁 0/5
فَٱلۡتَقَمَهُ ٱلۡحُوتُ وَهُوَ مُلِيمٌ ١٤٢
Faltaqamahul hootu wa huwa muleem
Samaki akammeza hali ya kuwa ni mwenye kulaumiwa.
🎤 Rekodi yako:
37:143
🔁 0/5
فَلَوۡلَآ أَنَّهُۥ كَانَ مِنَ ٱلۡمُسَبِّحِينَ ١٤٣
Falaw laaa annahoo kaana minal musabbiheen
Na ingeli kuwa hakuwa katika wanao mtakasa Mwenyezi Mungu,
🎤 Rekodi yako:
37:144
🔁 0/5
لَلَبِثَ فِي بَطۡنِهِۦٓ إِلَىٰ يَوۡمِ يُبۡعَثُونَ ١٤٤
Lalabisa fee batniheee ilaa Yawmi yub`asoon
Bila ya shaka angeli kaa ndani yake mpaka siku ya kufufuliwa.
🎤 Rekodi yako:
37:145
🔁 0/5
۞ فَنَبَذۡنَٰهُ بِٱلۡعَرَآءِ وَهُوَ سَقِيمٌ ١٤٥
Fanabaznaahu bil`araaa`i wa huwa saqeem
Lakini tulimtupa ufukweni patupu, hali yu mgonjwa.
🎤 Rekodi yako:
37:146
🔁 0/5
وَأَنۢبَتۡنَا عَلَيۡهِ شَجَرَةً مِّن يَقۡطِينٍ ١٤٦
Wa ambatnaa `alaihi shajaratam mai yaqteen
Na tukauotesha juu yake mmea wa kabila ya mung'unye.
🎤 Rekodi yako:
37:147
🔁 0/5
وَأَرۡسَلۡنَٰهُ إِلَىٰ مِاْئَةِ أَلۡفٍ أَوۡ يَزِيدُونَ ١٤٧
Wa arsalnaahu ilaa mi`ati alfin aw yazeedoon
Na tulimtuma kwa watu laki moja au zaidi.
🎤 Rekodi yako:
37:148
🔁 0/5
فَـَٔامَنُواْ فَمَتَّعۡنَٰهُمۡ إِلَىٰ حِينٍ ١٤٨
Fa aamanoo famatta` naahum ilaa heen
Basi wakaamini, na tukawastarehesha kwa muda.
🎤 Rekodi yako:
37:149
🔁 0/5
فَٱسۡتَفۡتِهِمۡ أَلِرَبِّكَ ٱلۡبَنَاتُ وَلَهُمُ ٱلۡبَنُونَ ١٤٩
Fastaftihim ali Rabbikal banaatu wa lahumul banoon
Basi waulize: Ati Mola wako Mlezi ndiye mwenye watoto wa kike, na wao wanao watoto wa kiume?
🎤 Rekodi yako:
37:150
🔁 0/5
أَمۡ خَلَقۡنَا ٱلۡمَلَٰٓئِكَةَ إِنَٰثًا وَهُمۡ شَٰهِدُونَ ١٥٠
Am khalaqnal malaaa`i kata inaasanw wa hm shaahidoon
Au tumewaumba Malaika kuwa ni wanawake, na wao wakashuhudia?
🎤 Rekodi yako:
37:151
🔁 0/5
أَلَآ إِنَّهُم مِّنۡ إِفۡكِهِمۡ لَيَقُولُونَ ١٥١
Alaaa innahum min ifkihim la yaqooloon
Ati ni kwa uzushi wao ndio wanasema:
🎤 Rekodi yako:
37:152
🔁 0/5
وَلَدَ ٱللَّهُ وَإِنَّهُمۡ لَكَٰذِبُونَ ١٥٢
Waladal laahu wa innhum lakaaziboon
Mwenyezi Mungu amezaa! Ama hakika bila ya shaka hao ni waongo!
🎤 Rekodi yako:
37:153
🔁 0/5
أَصۡطَفَى ٱلۡبَنَاتِ عَلَى ٱلۡبَنِينَ ١٥٣
Astafal banaati `alal baneen
Ati amekhiari watoto wa kike kuliko wanaume?
🎤 Rekodi yako:
37:154
🔁 0/5
مَا لَكُمۡ كَيۡفَ تَحۡكُمُونَ ١٥٤
Maa lakum kaifa tahkumoon
Mna nini? Mnahukumu vipi nyinyi?
🎤 Rekodi yako:
37:155
🔁 0/5
أَفَلَا تَذَكَّرُونَ ١٥٥
Afalaa tazakkaroon
Hamkumbuki?
🎤 Rekodi yako:
37:156
🔁 0/5
أَمۡ لَكُمۡ سُلۡطَٰنٌ مُّبِينٌ ١٥٦
Am lakum sultaanum mubeen
Au mnayo hoja iliyo wazi?
🎤 Rekodi yako:
37:157
🔁 0/5
فَأۡتُواْ بِكِتَٰبِكُمۡ إِن كُنتُمۡ صَٰدِقِينَ ١٥٧
Faatoo bi Kitaabikum in kuntum saadiqeen
Basi leteni Kitabu chenu kama mnasema kweli.
🎤 Rekodi yako:
37:158
🔁 0/5
وَجَعَلُواْ بَيۡنَهُۥ وَبَيۡنَ ٱلۡجِنَّةِ نَسَبًاۚ وَلَقَدۡ عَلِمَتِ ٱلۡجِنَّةُ إِنَّهُمۡ لَمُحۡضَرُونَ ١٥٨
Wa ja`aloo bainahoo wa bainal jinnati nasabaa; wa laqad `alimatil jinnatu innahum lamuhdaroon
Na wameweka makhusiano ya nasaba baina yake na majini; na majini wamekwisha jua bila ya shaka kuwa wao watahudhurishwa.
🎤 Rekodi yako:
37:159
🔁 0/5
سُبۡحَٰنَ ٱللَّهِ عَمَّا يَصِفُونَ ١٥٩
Subhaanal laahi `ammaa yasifoon
Subhana 'Llah Ametakasika Mwenyezi Mungu na hayo wanayo msingizia.
🎤 Rekodi yako:
37:160
🔁 0/5
إِلَّا عِبَادَ ٱللَّهِ ٱلۡمُخۡلَصِينَ ١٦٠
Illaa `ibaadal laahil mukhlaseen
Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio safishwa.
🎤 Rekodi yako:
37:161
🔁 0/5
فَإِنَّكُمۡ وَمَا تَعۡبُدُونَ ١٦١
Fa innakum wa maa ta`ubdoon
Basi hakika nyinyi na mnao waabudu
🎤 Rekodi yako:
37:162
🔁 0/5
مَآ أَنتُمۡ عَلَيۡهِ بِفَٰتِنِينَ ١٦٢
Maaa antum `alaihi befaaatineen
Hamwezi kuwapoteza
🎤 Rekodi yako:
37:163
🔁 0/5
إِلَّا مَنۡ هُوَ صَالِ ٱلۡجَحِيمِ ١٦٣
Illaa man huwa saalil jaheem
Isipo kuwa yule atakaye ingia Motoni.
🎤 Rekodi yako:
37:164
🔁 0/5
وَمَا مِنَّآ إِلَّا لَهُۥ مَقَامٌ مَّعۡلُومٌ ١٦٤
Wa maa minnasa illaa lahoo maqaamum ma`loom
Na hapana katika sisi ila anapo mahali pake maalumu.
🎤 Rekodi yako:
37:165
🔁 0/5
وَإِنَّا لَنَحۡنُ ٱلصَّآفُّونَ ١٦٥
Wa innaa llanah nus saaffoon
Na hakika bila ya shaka sisi ndio wajipangao safu.
🎤 Rekodi yako:
37:166
🔁 0/5
وَإِنَّا لَنَحۡنُ ٱلۡمُسَبِّحُونَ ١٦٦
Wa innaa lanah nul musabbihoon
Na hakika sisi ndio wenye kusabihi kutakasa.
🎤 Rekodi yako:
37:167
🔁 0/5
وَإِن كَانُواْ لَيَقُولُونَ ١٦٧
Wa in kaanoo la yaqooloon
Na walikuwapo walio kuwa wakisema:
🎤 Rekodi yako:
37:168
🔁 0/5
لَوۡ أَنَّ عِندَنَا ذِكۡرًا مِّنَ ٱلۡأَوَّلِينَ ١٦٨
Law anna `indana zikram minal awwaleen
Tungeli kuwa na Ukumbusho kama wa watu wa zamani,
🎤 Rekodi yako:
37:169
🔁 0/5
لَكُنَّا عِبَادَ ٱللَّهِ ٱلۡمُخۡلَصِينَ ١٦٩
Lakunna `ibaadal laahil mukhlaseen
Bila ya shaka tungeli kuwa ni waja wa Mwenyezi Mungu wenye ikhlasi.
🎤 Rekodi yako:
37:170
🔁 0/5
فَكَفَرُواْ بِهِۦۖ فَسَوۡفَ يَعۡلَمُونَ ١٧٠
Fakafaroo bihee fasawfa ya`lamoon
Lakini waliukataa. Basi watakuja jua.
🎤 Rekodi yako:
37:171
🔁 0/5
وَلَقَدۡ سَبَقَتۡ كَلِمَتُنَا لِعِبَادِنَا ٱلۡمُرۡسَلِينَ ١٧١
Wa laqad sabaqat Kalimatunaa li`ibaadinal mursa leen
Na bila ya shaka neno letu lilikwisha tangulia kwa waja wetu walio tumwa.
🎤 Rekodi yako:
37:172
🔁 0/5
إِنَّهُمۡ لَهُمُ ٱلۡمَنصُورُونَ ١٧٢
Innaa hum lahumul mansooroon
Ya kuwa wao bila ya shaka ndio watakao nusuriwa.
🎤 Rekodi yako:
37:173
🔁 0/5
وَإِنَّ جُندَنَا لَهُمُ ٱلۡغَٰلِبُونَ ١٧٣
Wa inna jundana lahumul ghaaliboon
Na kwamba jeshi letu ndilo litakalo shinda.
🎤 Rekodi yako:
37:174
🔁 0/5
فَتَوَلَّ عَنۡهُمۡ حَتَّىٰ حِينٍ ١٧٤
Fatawalla `anhum hatta heen
Basi waachilie mbali kwa muda.
🎤 Rekodi yako:
37:175
🔁 0/5
وَأَبۡصِرۡهُمۡ فَسَوۡفَ يُبۡصِرُونَ ١٧٥
Wa absirhum fasawfa yubsiroon
Na watazame, nao wataona.
🎤 Rekodi yako:
37:176
🔁 0/5
أَفَبِعَذَابِنَا يَسۡتَعۡجِلُونَ ١٧٦
Afabi`azaabinaa yasta`jiloon
Je! Wanaihimiza adhabu yetu?
🎤 Rekodi yako:
37:177
🔁 0/5
فَإِذَا نَزَلَ بِسَاحَتِهِمۡ فَسَآءَ صَبَاحُ ٱلۡمُنذَرِينَ ١٧٧
Fa izaa nazala bisaahatihim fasaaa`a sabaahul munzareen
Basi itakapo shuka uwanjani kwao, itakuwa asubuhi mbaya kwa walio onywa.
🎤 Rekodi yako:
37:178
🔁 0/5
وَتَوَلَّ عَنۡهُمۡ حَتَّىٰ حِينٍ ١٧٨
Wa tawalla `anhum hattaa heen
Na waache kwa muda.
🎤 Rekodi yako:
37:179
🔁 0/5
وَأَبۡصِرۡ فَسَوۡفَ يُبۡصِرُونَ ١٧٩
Wa absir fasawfa yubsiroon
Na tazama, na wao wataona.
🎤 Rekodi yako:
37:180
🔁 0/5
سُبۡحَٰنَ رَبِّكَ رَبِّ ٱلۡعِزَّةِ عَمَّا يَصِفُونَ ١٨٠
Subhaana Rabbika Rabbil `izzati `amma yasifoon
Subhana Rabbi'l'Izzat Ametakasika Mola Mlezi Mwenye enzi na yale wanayo mzulia.
🎤 Rekodi yako:
37:181
🔁 0/5
وَسَلَٰمٌ عَلَى ٱلۡمُرۡسَلِينَ ١٨١
Wa salaamun `alalmursaleen
Na Salamu juu ya Mitume.
🎤 Rekodi yako:
37:182
🔁 0/5
وَٱلۡحَمۡدُ لِلَّهِ رَبِّ ٱلۡعَٰلَمِينَ ١٨٢
Walhamdu lillaahi Rabbil `aalameen
Na sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu Mola Mlezi wa walimwengu wote.
🎤 Rekodi yako:
💡 Gusa neno lililofichwa ili lionekane kwa muda — maendeleo yako yanahifadhiwa kiotomatiki.
العربيةEnglishBahasa IndonesiaTürkçeРусскийفارسیFrançaisاردوবাংলাDeutschEspañol中文हिन्दीPortuguêsItalianoภาษาไทยPolskiNederlandsShqipKiswahiliO'zbekதமிழ்MelayuBosanskiSoomaaliAzərbaycanکوردی한국어日本語SvenskaDanskNorskپښتوമലയാളംසිංහලTamazightHausaአማርኛБългарскиТоҷикӣҚазақшаFilipinoسنڌيYorùbáFulfuldeТатарчаئۇيغۇرچەКыргызчаਪੰਜਾਬੀJawaతెలుగుမြန်မာગુજરાતીOromoमराठीTiếng ViệtMalagasyНохчийнWolofދިވެހިಕನ್ನಡУкраїнськаΕλληνικάქართულიខ្មែរدریQafar afMaranaoनेपाली
Kurani Tukufu
Tuesday, August 18, 2026
Usitusahau katika dua zako njema







