Surah Al-Ghashiyah with Swahili

  1. Surah mp3
  2. More
  3. Swahili
The Holy Quran | Quran translation | Language Swahili | Surah Ghashiya | الغاشية - Ayat Count 26 - The number of the surah in moshaf: 88 - The meaning of the surah in English: The Overwhelming Event.

هَلْ أَتَاكَ حَدِيثُ الْغَاشِيَةِ(1)

 Je! Imekufikia khabari ya msiba wa kufudikiza?

وُجُوهٌ يَوْمَئِذٍ خَاشِعَةٌ(2)

 Siku hiyo nyuso zitainama,

عَامِلَةٌ نَّاصِبَةٌ(3)

 Zikifanya kazi, nazo taabani.

تَصْلَىٰ نَارًا حَامِيَةً(4)

 Ziingie katika Moto unao waka -

تُسْقَىٰ مِنْ عَيْنٍ آنِيَةٍ(5)

 Zikinyweshwa kutoka chemchem inayo chemka.

لَّيْسَ لَهُمْ طَعَامٌ إِلَّا مِن ضَرِيعٍ(6)

 Hawatakuwa na chakula isipo kuwa kichungu chenye miba.

لَّا يُسْمِنُ وَلَا يُغْنِي مِن جُوعٍ(7)

 Hakinenepeshi wala hakiondoi njaa.

وُجُوهٌ يَوْمَئِذٍ نَّاعِمَةٌ(8)

 Siku hiyo nyuso nyengine zitakuwa kunjufu.

لِّسَعْيِهَا رَاضِيَةٌ(9)

 Zitakuwa radhi kwa juhudi yao,

فِي جَنَّةٍ عَالِيَةٍ(10)

 Katika Bustani ya juu.

لَّا تَسْمَعُ فِيهَا لَاغِيَةً(11)

 Hawatasikia humo upuuzi.

فِيهَا عَيْنٌ جَارِيَةٌ(12)

 Humo imo chemchem inayo miminika.

فِيهَا سُرُرٌ مَّرْفُوعَةٌ(13)

 Humo vimo viti vilivyo nyanyuliwa,

وَأَكْوَابٌ مَّوْضُوعَةٌ(14)

 Na bilauri zilizo pangwa,

وَنَمَارِقُ مَصْفُوفَةٌ(15)

 Na matakia safu safu,

وَزَرَابِيُّ مَبْثُوثَةٌ(16)

 Na mazulia yaliyo tandikwa.

أَفَلَا يَنظُرُونَ إِلَى الْإِبِلِ كَيْفَ خُلِقَتْ(17)

 Je! Hawamtazami ngamia jinsi alivyo umbwa?

وَإِلَى السَّمَاءِ كَيْفَ رُفِعَتْ(18)

 Na mbingu jinsi ilivyo inuliwa?

وَإِلَى الْجِبَالِ كَيْفَ نُصِبَتْ(19)

 Na milima jinsi ilivyo thibitishwa?

وَإِلَى الْأَرْضِ كَيْفَ سُطِحَتْ(20)

 Na ardhi jinsi ilivyo tandazwa?

فَذَكِّرْ إِنَّمَا أَنتَ مُذَكِّرٌ(21)

 Basi kumbusha! Hakika wewe ni Mkumbushaji.

لَّسْتَ عَلَيْهِم بِمُصَيْطِرٍ(22)

 Wewe si mwenye kuwatawalia.

إِلَّا مَن تَوَلَّىٰ وَكَفَرَ(23)

 Lakini anaye rudi nyuma na kukataa,

فَيُعَذِّبُهُ اللَّهُ الْعَذَابَ الْأَكْبَرَ(24)

 Basi Mwenyezi Mungu atamuadhibu kwa adhabu iliyo kubwa kabisa!

إِنَّ إِلَيْنَا إِيَابَهُمْ(25)

 Hakika ni kwetu Sisi ndio marejeo yao.

ثُمَّ إِنَّ عَلَيْنَا حِسَابَهُم(26)

 Kisha hakika ni juu yetu Sisi hisabu yao!


More surahs in Swahili:


Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download surah Al-Ghashiyah with the voice of the most famous Quran reciters :

surah Al-Ghashiyah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al-Ghashiyah Complete with high quality
surah Al-Ghashiyah Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
surah Al-Ghashiyah Bandar Balila
Bandar Balila
surah Al-Ghashiyah Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
surah Al-Ghashiyah Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
surah Al-Ghashiyah Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
surah Al-Ghashiyah Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
surah Al-Ghashiyah Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
surah Al-Ghashiyah Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
surah Al-Ghashiyah Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
surah Al-Ghashiyah Fares Abbad
Fares Abbad
surah Al-Ghashiyah Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
surah Al-Ghashiyah Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
surah Al-Ghashiyah Al Hosary
Al Hosary
surah Al-Ghashiyah Al-afasi
Mishari Al-afasi
surah Al-Ghashiyah Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, May 6, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب