Surah Ghashiya aya 8 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وُجُوهٌ يَوْمَئِذٍ نَّاعِمَةٌ﴾
[ الغاشية: 8]
Siku hiyo nyuso nyengine zitakuwa kunjufu.
Surah Al-Ghashiyah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
[Other] faces, that Day, will show pleasure.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Siku hiyo nyuso nyengine zitakuwa kunjufu.
Na pia zitakuwapo nyuso zenye kutoa nuru Siku ya Kiyama, kwa malipo ya vitendo vyao walivyo fanya duniani.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na hatukuwateremshia kaumu yake baada yake jeshi kutoka mbinguni, wala si wenye kuteremsha.
- Ni nini kilicho kupelekeni Motoni?
- Hakika hao wanao bishana katika Ishara za Mwenyezi Mungu bila ya uthibitisho wowote uliyo wajia,
- Je! Anayo huyo ilimu ya ghaibu, basi ndio anaona?
- Na tumefika kwako kwa Haki, na hakika sisi tunasema kweli.
- Akawakaribisha, akasema: Mbona hamli?
- Akasema: Laiti ningeli kuwa na nguvu kwenu, au nategemea kwenye nguzo yenye nguvu!
- Sema: Je! Haya ni bora au Pepo ya milele, ambayo wameahidiwa wachamngu, iwe kwao malipo
- Amri ya Mwenyezi Mungu itafika tu. Basi msiihimize. Ametakasika na Ametukuka na wanayo mshirikisha nayo.
- Penye Mkunazi wa mwisho.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Ghashiya with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Ghashiya mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ghashiya Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



