Surah Ghashiya aya 8 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Ghashiya aya 8 in arabic text(The Overwhelming Event).
  
   

﴿وُجُوهٌ يَوْمَئِذٍ نَّاعِمَةٌ﴾
[ الغاشية: 8]

Siku hiyo nyuso nyengine zitakuwa kunjufu.

Surah Al-Ghashiyah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


[Other] faces, that Day, will show pleasure.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Siku hiyo nyuso nyengine zitakuwa kunjufu.


Na pia zitakuwapo nyuso zenye kutoa nuru Siku ya Kiyama, kwa malipo ya vitendo vyao walivyo fanya duniani.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 8 from Ghashiya


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na namna hivi tumekufunulia Qur'ani kwa amri yetu. Ulikuwa hujui Kitabu ni nini, wala Imani.
  2. (Mwenyezi Mungu) anajua khiyana ya macho na yanayo ficha vifua.
  3. (Itasemwa:) Mkamateni na mtupeni katikati ya Jahannamu!
  4. Na walio kufuru na wakakadhibisha Ishara zetu, hao ni watu wa Motoni, watadumu humo milele.
  5. Sema: Ikiwa nyumba ya Akhera iliyoko kwa Mwenyezi Mungu ni yenu tu bila ya watu
  6. Wala msifanye kuwa kuna mungu mwengine pamoja na Mwenyezi Mungu. Hakika mimi ni mwonyaji kwenu
  7. Hakika wewe ni miongoni mwa walio tumwa,
  8. Enyi mlio amini! Kuleni vizuri tulivyo kuruzukuni, na mumshukuru Mwenyezi Mungu, ikiwa kweli mnamuabudu Yeye
  9. Au ndio wanasema: Ameizua? Sema: Ikiwa nimeizua, basi kosa hilo ni juu yangu, na mimi
  10. Waambie waja wangu waseme maneno mazuri, maana Shet'ani huchochea ugomvi baina yao. Hakika Shet'ani ni

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Ghashiya with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Ghashiya mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ghashiya Complete with high quality
Surah Ghashiya Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Ghashiya Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Ghashiya Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Ghashiya Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Ghashiya Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Ghashiya Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Ghashiya Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Ghashiya Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Ghashiya Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Ghashiya Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Ghashiya Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Ghashiya Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Ghashiya Al Hosary
Al Hosary
Surah Ghashiya Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Ghashiya Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, August 4, 2026

Please remember us in your sincere prayers