Surah Ghashiya aya 7 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿لَّا يُسْمِنُ وَلَا يُغْنِي مِن جُوعٍ﴾
[ الغاشية: 7]
Hakinenepeshi wala hakiondoi njaa.
Surah Al-Ghashiyah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Which neither nourishes nor avails against hunger.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hakinenepeshi wala hakiondoi njaa.
Hakileti nafuu yoyote katika mwili, wala hakiondoi njaa.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Mkizidhihirisha sadaka ni vizuri; na mkizificha mkawapa mafakiri kwa siri basi hivyo ni kheri kwenu,
- Ni rehema itokayo kwa Mola wako Mlezi. Hakika Yeye ni Mwenye kusikia Mwenye kujua.
- Tukasema: Shukeni nyote; na kama ukikufikieni uwongofu utokao kwangu, basi watakao fuata uwongofu wangu huo
- Na watasema: Tunaiamini! Lakini wataipata wapi kutoka huko mahala mbali?
- Na tungeli penda tungeli yafutilia mbali macho yao, wakawa wanaiwania njia. Lakini wange ionaje?
- Na wale wanao kesha kwa ajili ya Mola wao Mlezi kwa kusujudu na kusimama.
- Je! Wanaihimiza adhabu yetu?
- Na wakasema: Nyoyo zetu zimo katika vifuniko kwa hayo unayo tuitia, na masikio yetu yana
- Watavaa hariri nyepesi na hariri nzito wakikabiliana,
- Hawatausikia mvumo wake, na wao watadumu katika yale zinayo yatamani nafsi zao.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Ghashiya with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Ghashiya mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ghashiya Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers