Surah Ghashiya aya 25 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِنَّ إِلَيْنَا إِيَابَهُمْ﴾
[ الغاشية: 25]
Hakika ni kwetu Sisi ndio marejeo yao.
Surah Al-Ghashiyah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Indeed, to Us is their return.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hakika ni kwetu Sisi ndio marejeo yao.
Hakika ni kwetu Sisi marejeo yao kwa kifo na kufufuliwa, wala hapana penginepo isipo kuwa kwetu.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na yeyote kati yao atakaye sema: Mimi ni mungu, badala yake, basi huyo tutamlipa malipo
- Kwa nusura ya Mwenyezi Mungu humnusuru amtakaye. Naye ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
- Siku ambayo nafsi haitakuwa na madaraka yoyote juu ya nafsi; na amri yote siku hiyo
- Kwani Mwenyezi Mungu si muadilifu kuliko mahakimu wote?
- Na mkumbuke Ismail na Alyasaa na Dhulkifli, na wote hao ni katika walio bora.
- Itakuwaje! Nao wakikushindeni hawatazami kwenu udugu wala ahadi. Wanakufurahisheni kwa midomo yao tu, na nyoyo
- Hakika hao wanao kuita nawe uko nyuma ya vyumba, wengi wao hawana akili.
- Kwa siku ya kupambanua!
- Na ninasadikisha yaliyo kuwa kabla yangu katika Taurati, na ili nikuhalalishieni baadhi ya yale mlio
- Ati tukisha kufa na tukawa udongo na mifupa ndio kweli tutafufuliwa?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Ghashiya with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Ghashiya mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ghashiya Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers