Surah Ghashiya aya 9 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿لِّسَعْيِهَا رَاضِيَةٌ﴾
[ الغاشية: 9]
Zitakuwa radhi kwa juhudi yao,
Surah Al-Ghashiyah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
With their effort [they are] satisfied
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Zitakuwa radhi kwa juhudi yao!
Hao watakuwa wameridhia kwa watayo yapata katika Pepo iliyo juu kwa pahala na cheo.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na mna nini hata hamumuamini Mwenyezi Mungu na hali Mtume anakuiteni mumuamini Mola wenu Mlezi?
- (Firauni) akasema: Ukimfuata mungu mwengine asiye kuwa mimi, basi bila ya shaka nitakufunga gerezani.
- Na hakika tumemuumba mtu, nasi tunayajua yanayo mpitikia katika nafsi yake. Na Sisi tuko karibu
- Hawa wagomvi wawili walio gombana kwa ajili ya Mola wao Mlezi. Basi walio kufuru watakatiwa
- Na wanapo iona biashara au pumbao wanayakimbilia hayo na wakakuacha umesimama. Sema: Yaliyoko kwa Mwenyezi
- Uwongofu na bishara kwa Waumini,
- Hakika Ibrahim alikuwa mpole, ana huruma, na mwepesi wa kurejea kwa Mwenyezi Mungu.
- Naye akawaapia: Kwa yakini mimi ni miongoni wa wanao kunasihini.
- Na hawajii Nabii yeyote ila walikuwa wakimkejeli.
- Au wao wanao miungu watao weza kuwakinga nasi? Hao hawawezi kujinusuru nafsi zao, wala hawatalindwa
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Ghashiya with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Ghashiya mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ghashiya Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers