Surah Ghashiya aya 20 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Ghashiya aya 20 in arabic text(The Overwhelming Event).
  
   

﴿وَإِلَى الْأَرْضِ كَيْفَ سُطِحَتْ﴾
[ الغاشية: 20]

Na ardhi jinsi ilivyo tandazwa?

Surah Al-Ghashiyah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And at the earth - how it is spread out?


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na ardhi jinsi ilivyo tandazwa?


Na ardhi wanayo ikalia na kuyendea juu yake, vipi ilivyo kunjuliwa na kutandazwa! Mara nyingi katika Qurani tukufu inatajwa kuwa ardhi -imekunjuliwa-. Na makusudio ya hayo ni kuwa ardhi ijapo kuwa ni duara kama mpira kwa sura yake, lakini inavyo onekana kwa watazamao ni kuwa imekunjuliwa. Na haya hayagongani na yaliyo thibitishwa na sayansi katika jambo lolote.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 20 from Ghashiya


Ayats from Quran in Swahili

  1. Hao ndio warithi,
  2. Lau wangeli jua wale walio kufuru wakati ambao hawatauzuia Moto kwenye nyuso zao wala migongo
  3. Hakika katika haya ipo ishara kwa yule anaye ogopa adhabu ya Akhera. Hiyo ndiyo Siku
  4. Bali tuliwastarehesha hawa na baba zao mpaka ikawafikia Haki na Mtume aliye bainisha.
  5. Mwenye kutenda mema, mwanamume au mwanamke, naye akawa ni Muumini, tutamhuisha maisha mema; na tutawapa
  6. Nao husema: Tutapo kwisha potea chini ya ardhi, ni kweli tutarudishwa katika umbo jipya? Bali
  7. Nayo ni Bustani za milele, wataziingia wao na walio wema miongoni mwa baba zao, na
  8. Na wanakuuliza khabari za milima. Waambie: Mola wangu Mlezi ataivuruga vuruga.
  9. Na Daud na Suleiman walipo kata hukumu katika kadhiya ya konde walipo lisha humo mbuzi
  10. Na Sulaiman alimrithi Daudi, na akasema: Enyi watu! Tumefunzwa usemi wa ndege, na tumepewa kila

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Ghashiya with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Ghashiya mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ghashiya Complete with high quality
Surah Ghashiya Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Ghashiya Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Ghashiya Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Ghashiya Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Ghashiya Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Ghashiya Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Ghashiya Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Ghashiya Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Ghashiya Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Ghashiya Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Ghashiya Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Ghashiya Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Ghashiya Al Hosary
Al Hosary
Surah Ghashiya Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Ghashiya Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, August 5, 2025

Please remember us in your sincere prayers