Surah Ghashiya aya 20 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Ghashiya aya 20 in arabic text(The Overwhelming Event).
  
   

﴿وَإِلَى الْأَرْضِ كَيْفَ سُطِحَتْ﴾
[ الغاشية: 20]

Na ardhi jinsi ilivyo tandazwa?

Surah Al-Ghashiyah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And at the earth - how it is spread out?


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na ardhi jinsi ilivyo tandazwa?


Na ardhi wanayo ikalia na kuyendea juu yake, vipi ilivyo kunjuliwa na kutandazwa! Mara nyingi katika Qurani tukufu inatajwa kuwa ardhi -imekunjuliwa-. Na makusudio ya hayo ni kuwa ardhi ijapo kuwa ni duara kama mpira kwa sura yake, lakini inavyo onekana kwa watazamao ni kuwa imekunjuliwa. Na haya hayagongani na yaliyo thibitishwa na sayansi katika jambo lolote.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 20 from Ghashiya


Ayats from Quran in Swahili

  1. SUBHANA, Ametakasika aliye mchukua mja wake usiku mmoja kutoka Msikiti Mtukufu mpaka Msikiti wa Mbali,
  2. Je! Hawatembei katika ardhi wakaona ulivyo kuwa mwisho wa walio kuwa kabla yao? Nao walikuwa
  3. Sema: Mimi nipo kwenye sharia iliyo wazi itokayo kwa Mola wangu Mlezi, nanyi mnaikanusha. Mimi
  4. Mfano wa Pepo walio ahidiwa wachamngu ina mito ya maji yasiyo vunda, na mito ya
  5. Na Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye ufalme wa mbingu na ardhi. Na siku itapo simama Saa
  6. Literemshalo linyanyualo,
  7. Hakika Ibrahim alikuwa mfano mwema, mnyenyekevu kwa Mwenyezi Mungu, mwongofu, wala hakuwa miongoni mwa washirikina.
  8. Enyi mlio amini! Mkimnusuru Mwenyezi Mungu naye atakunusuruni na ataithibitisha miguu yenu.
  9. Na wale walio kufuru husema: Mbona hakuteremshiwa muujiza kutoka kwa Mola wake Mlezi? Hakika wewe
  10. Na pale Ibrahim alipo mwambia baba yake na kaumu yake: Hakika mimi ninajitenga mbali na

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Ghashiya with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Ghashiya mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ghashiya Complete with high quality
Surah Ghashiya Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Ghashiya Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Ghashiya Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Ghashiya Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Ghashiya Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Ghashiya Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Ghashiya Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Ghashiya Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Ghashiya Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Ghashiya Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Ghashiya Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Ghashiya Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Ghashiya Al Hosary
Al Hosary
Surah Ghashiya Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Ghashiya Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Saturday, October 25, 2025

Please remember us in your sincere prayers