Surah Ghashiya aya 21 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَذَكِّرْ إِنَّمَا أَنتَ مُذَكِّرٌ﴾
[ الغاشية: 21]
Basi kumbusha! Hakika wewe ni Mkumbushaji.
Surah Al-Ghashiyah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
So remind, [O Muhammad]; you are only a reminder.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi kumbusha! Hakika wewe ni Mkumbushaji.
Basi kumbusha kwa wito wako, kwani kazi yako muhimu ni kufikisha wito tu.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Enyi mlio amini! Msiliane mali yenu kwa dhulma, isipo kuwa iwe biashara kwa kuridhiana wenyewe.
- Na watwae kwa upole wanao kufuata miongoni mwa Waumini.
- Ili wale matunda yake, na hayo hayakufanywa na mikono yao! Basi je, hawashukuru?
- Hakika yeye hana madaraka juu ya walio amini na wakamtegemea Mola wao Mlezi.
- Na wamekanusha na wamefuata matamanio yao. Na kila jambo ni lenye kuthibiti.
- Na hapana katika sisi ila anapo mahali pake maalumu.
- Na hakika yeye kwetu Sisi ana cheo cha kukaribishwa kwetu, na pahala pazuri pa kurejea.
- Kisha akamfisha, akamtia kaburini.
- Haya ni kwa sababu mlikuwa mkijitapa katika ardhi pasipo haki, na kwa sababu mlikuwa mkijishaua.
- Haliwi jua kuufikia mwezi, wala usiku kuupita mchana. Na vyote vinaogelea katika njia zao.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Ghashiya with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Ghashiya mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ghashiya Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



