Surah Ghashiya aya 21 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَذَكِّرْ إِنَّمَا أَنتَ مُذَكِّرٌ﴾
[ الغاشية: 21]
Basi kumbusha! Hakika wewe ni Mkumbushaji.
Surah Al-Ghashiyah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
So remind, [O Muhammad]; you are only a reminder.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi kumbusha! Hakika wewe ni Mkumbushaji.
Basi kumbusha kwa wito wako, kwani kazi yako muhimu ni kufikisha wito tu.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wala nisingeli jua nini hisabu yangu.
- --katika mambo ya dunia na mambo ya Akhera. Na wanakuuliza juu ya mayatima. Sema: Kuwatengenezea
- Chemchem watakayo inywa walio kurubishwa.
- Wala hamlipwi ila hayo mliyo kuwa mkiyafanya.
- (Itasemwa:) Mkamateni na mtupeni katikati ya Jahannamu!
- Basi (Hud-hud) akakaa si mbali na akasema: Nimegundua usilo gundua wewe, na ninakujia hivi kutoka
- Laiti mauti ndiyo yangeli kuwa ya kunimaliza kabisa.
- Basi walio amini na wakatenda mema watapata maghfira na riziki za ukarimu.
- Na ukinyanyua sauti kwa kusema... basi hakika Yeye anajua siri na duni kuliko siri.
- Basi alipo jitenga nao na yale waliyo kuwa wakiyaabudu badala ya Mwenyezi Mungu, tulimpa Is-haq
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Ghashiya with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Ghashiya mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ghashiya Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



