🔥 0 siku mfululizo
📖 Sura ndefu — imegawanywa sehemu ndogo (99 Aya)
0/99
15:1
🔁 0/5
الٓرۚ تِلۡكَ ءَايَٰتُ ٱلۡكِتَٰبِ وَقُرۡءَانٍ مُّبِينٍ ١
Alif-Laaam-Raa; tilka Aayaatul Kitaabi wa Qur-aa-nim Mubeen
Alif Lam Ra. (A. L. R). Hizi ni Aya za Kitabu na Qur'ani inayo bainisha.
🎤 Rekodi yako:
15:2
🔁 0/5
رُّبَمَا يَوَدُّ ٱلَّذِينَ كَفَرُواْ لَوۡ كَانُواْ مُسۡلِمِينَ ٢
Rubamaa yawaddul lazeena kafaroo law kaanoo muslimeen
HUENDA ikawa walio kufuru wakatamani wange kuwa Waislamu.
🎤 Rekodi yako:
15:3
🔁 0/5
ذَرۡهُمۡ يَأۡكُلُواْ وَيَتَمَتَّعُواْ وَيُلۡهِهِمُ ٱلۡأَمَلُۖ فَسَوۡفَ يَعۡلَمُونَ ٣
Zarhum yaakuloo wa tatamatta`oo wa yulhihimul amalu fasawfa ya`lamoon
Waache wale, na wastarehe, na iwazuge tamaa. Watakuja jua.
🎤 Rekodi yako:
15:4
🔁 0/5
وَمَآ أَهۡلَكۡنَا مِن قَرۡيَةٍ إِلَّا وَلَهَا كِتَابٌ مَّعۡلُومٌ ٤
Wa maaa ahlaknaa min qaryatin illaa wa lahaa kitaabum ma`loom
Na hatukuuangamiza mji wowote ule ila ulikuwa na muda wake maalumu.
🎤 Rekodi yako:
15:5
🔁 0/5
مَّا تَسۡبِقُ مِنۡ أُمَّةٍ أَجَلَهَا وَمَا يَسۡتَـٔۡخِرُونَ ٥
Maa tasbiqu min ummatin ajalahaa wa maa yastaakhiroon
Hawawezi watu wowote kuitangulia ajali yao, wala kuchelewa.
🎤 Rekodi yako:
15:6
🔁 0/5
وَقَالُواْ يَٰٓأَيُّهَا ٱلَّذِي نُزِّلَ عَلَيۡهِ ٱلذِّكۡرُ إِنَّكَ لَمَجۡنُونٌ ٦
Wa qaaloo yaaa aiyuhal lazee nuzzila `alaihiz Zikru innaka lamajnoon
Na walisema: Ewe uliyeteremshiwa Ukumbusho! Hakika wewe ni mwendawazimu.
🎤 Rekodi yako:
15:7
🔁 0/5
لَّوۡمَا تَأۡتِينَا بِٱلۡمَلَٰٓئِكَةِ إِن كُنتَ مِنَ ٱلصَّٰدِقِينَ ٧
Law maa taateenaa bil malaaa`ikati in kunta minas saadiqeen
Mbona hutuletei Malaika ikiwa wewe ni miongoni mwa wasemao kweli?
🎤 Rekodi yako:
15:8
🔁 0/5
مَا نُنَزِّلُ ٱلۡمَلَٰٓئِكَةَ إِلَّا بِٱلۡحَقِّ وَمَا كَانُوٓاْ إِذًا مُّنظَرِينَ ٨
Maa nunazzilul malaaa`i kata illaa bilhaqqi wa maa kaanooo izam munzareen
Sisi hatuwateremshi Malaika ila kwa sababu ya haki, na hapo hawatapewa muhula.
🎤 Rekodi yako:
15:9
🔁 0/5
إِنَّا نَحۡنُ نَزَّلۡنَا ٱلذِّكۡرَ وَإِنَّا لَهُۥ لَحَٰفِظُونَ ٩
Innaa Nahnu nazalnaz Zikra wa Innaa lahoo lahaa fizoon
Hakika Sisi ndio tulio teremsha Ukumbusho huu, na hakika Sisi ndio tutao ulinda.
🎤 Rekodi yako:
15:10
🔁 0/5
وَلَقَدۡ أَرۡسَلۡنَا مِن قَبۡلِكَ فِي شِيَعِ ٱلۡأَوَّلِينَ ١٠
Wa laqad arsalnaa min qablika fee shiya`il awwaleen
Na hakika tulikwisha watumia Mitume mataifa ya mwanzo.
🎤 Rekodi yako:
15:11
🔁 0/5
وَمَا يَأۡتِيهِم مِّن رَّسُولٍ إِلَّا كَانُواْ بِهِۦ يَسۡتَهۡزِءُونَ ١١
Wa maa yaateehim mir Rasoolin illaa kaanoo bihee yastahzi`oon
Na hakuwafikia Mtume ila walimkejeli.
🎤 Rekodi yako:
15:12
🔁 0/5
كَذَٰلِكَ نَسۡلُكُهُۥ فِي قُلُوبِ ٱلۡمُجۡرِمِينَ ١٢
kazaalika naslukuhoo fee quloobil mujrimeen
Na kama hivi ndivyo tunavyo ingiza katika nyoyo za wakosefu.
🎤 Rekodi yako:
15:13
🔁 0/5
لَا يُؤۡمِنُونَ بِهِۦ وَقَدۡ خَلَتۡ سُنَّةُ ٱلۡأَوَّلِينَ ١٣
Laa yu`minoona bihee wa qad khalat sunnatul awwaleen
Hawayaamini haya, na hali ya kuwa umekwisha wapitia mfano wa watu wa kale.
🎤 Rekodi yako:
15:14
🔁 0/5
وَلَوۡ فَتَحۡنَا عَلَيۡهِم بَابًا مِّنَ ٱلسَّمَآءِ فَظَلُّواْ فِيهِ يَعۡرُجُونَ ١٤
Wa law fatahnaa `alaihim baabam minas samaaa`i fazaloo feehi ya`rujoon
Na lau tungeli wafungulia mlango wa mbingu, wakawa wanapanda,
🎤 Rekodi yako:
15:15
🔁 0/5
لَقَالُوٓاْ إِنَّمَا سُكِّرَتۡ أَبۡصَٰرُنَا بَلۡ نَحۡنُ قَوۡمٌ مَّسۡحُورُونَ ١٥
Laqaaloo innamaa sukkirat absaarunaa bal nahnu qawmum mashooroon
Basi wangeli sema: Macho yetu yamelevywa, bali sisi wenyewe tumerogwa.
🎤 Rekodi yako:
15:16
🔁 0/5
وَلَقَدۡ جَعَلۡنَا فِي ٱلسَّمَآءِ بُرُوجًا وَزَيَّنَّٰهَا لِلنَّٰظِرِينَ ١٦
Wa laqad ja`alnaa fissamaaa`i buroojanw wa zaiyannaahaa linnaazireen
Na hakika tumeweka katika mbingu vituo vya sayari, na tumezipamba kwa wenye kuangalia.
🎤 Rekodi yako:
15:17
🔁 0/5
وَحَفِظۡنَٰهَا مِن كُلِّ شَيۡطَٰنٍ رَّجِيمٍ ١٧
Wa hafiznaahaa min kulli Shaitaanir rajeem
Na tumezilinda na kila shetani afukuzwaye.
🎤 Rekodi yako:
15:18
🔁 0/5
إِلَّا مَنِ ٱسۡتَرَقَ ٱلسَّمۡعَ فَأَتۡبَعَهُۥ شِهَابٌ مُّبِينٌ ١٨
Illaa manis taraqas sam`a fa atba`ahoo shihaabum mubeen
Isipo kuwa mwenye kusikiliza kwa kuibia, naye hufuatwa na kijinga cha moto kinacho onekana.
🎤 Rekodi yako:
15:19
🔁 0/5
وَٱلۡأَرۡضَ مَدَدۡنَٰهَا وَأَلۡقَيۡنَا فِيهَا رَوَٰسِيَ وَأَنۢبَتۡنَا فِيهَا مِن كُلِّ شَيۡءٍ مَّوۡزُونٍ ١٩
Wal arda madadnaahaa wa alqainaa feehaa rawaasiya wa ambatnaa feehaa min kulli shai`im mawzoon
Na ardhi tumeitandaza na humo tumeweka milima, na tumeotesha kila kitu kwa kiasi chake.
🎤 Rekodi yako:
15:20
🔁 0/5
وَجَعَلۡنَا لَكُمۡ فِيهَا مَعَٰيِشَ وَمَن لَّسۡتُمۡ لَهُۥ بِرَٰزِقِينَ ٢٠
Wa ja`alnaa lakum feehaa ma`aayisha wa mal lastum lahoo biraaziqeen
Na tumekujaalieni humo vitu vya maisha yenu, na ya hao ambao nyinyi sio wenye kuwaruzuku.
🎤 Rekodi yako:
15:21
🔁 0/5
وَإِن مِّن شَيۡءٍ إِلَّا عِندَنَا خَزَآئِنُهُۥ وَمَا نُنَزِّلُهُۥٓ إِلَّا بِقَدَرٍ مَّعۡلُومٍ ٢١
Wa im min shai`in illaa `indanaa khazaaa `inuhoo wa maa nunazziluhooo illaa biqadarim ma`loom
Na hakuna chochote ila asili yake inatokana na Sisi; wala hatukiteremshi ila kwa kipimo maalumu.
🎤 Rekodi yako:
15:22
🔁 0/5
وَأَرۡسَلۡنَا ٱلرِّيَٰحَ لَوَٰقِحَ فَأَنزَلۡنَا مِنَ ٱلسَّمَآءِ مَآءً فَأَسۡقَيۡنَٰكُمُوهُ وَمَآ أَنتُمۡ لَهُۥ بِخَٰزِنِينَ ٢٢
Wa arsalnar riyaaha la waaqiha fa anzalnaa minas samaaa`i maaa`an fa asqai naakumoohu wa maaa antum lahoo bikhaazineen
Na tunazipeleka pepo za kupandishia, na tunateremsha kutoka mbinguni maji, kisha tukakunywesheni maji hayo. Wala si nyinyi mnayo yaweka.
🎤 Rekodi yako:
15:23
🔁 0/5
وَإِنَّا لَنَحۡنُ نُحۡيِۦ وَنُمِيتُ وَنَحۡنُ ٱلۡوَٰرِثُونَ ٢٣
Wa innnaa la nahnu nuhyee wa numeetu wa nahnul waarisoon
Na Sisi ndio tunao huisha na tunao fisha. Na Sisi ndio Warithi.
🎤 Rekodi yako:
15:24
🔁 0/5
وَلَقَدۡ عَلِمۡنَا ٱلۡمُسۡتَقۡدِمِينَ مِنكُمۡ وَلَقَدۡ عَلِمۡنَا ٱلۡمُسۡتَـٔۡخِرِينَ ٢٤
Wa la qad `alimnal mustaqdimeena minkum wa laqad `alimnal mustaakhireen
Na tunawajua walio tangulia katika nyinyi, na tunawajua walio taakhari.
🎤 Rekodi yako:
15:25
🔁 0/5
وَإِنَّ رَبَّكَ هُوَ يَحۡشُرُهُمۡۚ إِنَّهُۥ حَكِيمٌ عَلِيمٌ ٢٥
Wa inna Rabbaka Huwa yahshuruhum; innahoo Hakeem `Aleem
Na hakika Mola wako Mlezi ndiye atakaye wakusanya. Hakika Yeye ni Mwenye hikima na Mjuzi.
🎤 Rekodi yako:
15:26
🔁 0/5
وَلَقَدۡ خَلَقۡنَا ٱلۡإِنسَٰنَ مِن صَلۡصَٰلٍ مِّنۡ حَمَإٍ مَّسۡنُونٍ ٢٦
Wa laqad khalaqnal insaana min salsaalim min hama im masnoon
Na tulimuumba mtu kwa udongo unao toa sauti, unao tokana na matope yaliyo tiwa sura.
🎤 Rekodi yako:
15:27
🔁 0/5
وَٱلۡجَآنَّ خَلَقۡنَٰهُ مِن قَبۡلُ مِن نَّارِ ٱلسَّمُومِ ٢٧
Waljaaanna khalaqnaahu min qablu min naaris samoom
Na majini tuliwaumba kabla kwa moto wa upepo umoto.
🎤 Rekodi yako:
15:28
🔁 0/5
وَإِذۡ قَالَ رَبُّكَ لِلۡمَلَٰٓئِكَةِ إِنِّي خَٰلِقُۢ بَشَرًا مِّن صَلۡصَٰلٍ مِّنۡ حَمَإٍ مَّسۡنُونٍ ٢٨
Wa iz qaala Rabbuka lilmalaaa` ikati innee khaaliqum basharam min salsaalim min hama im masnoon
Na Mola wako Mlezi alipo waambia Malaika: Hakika Mimi nitamuumba mtu kwa udongo unao toa sauti, unao tokana na matope yaliyo tiwa sura.
🎤 Rekodi yako:
15:29
🔁 0/5
فَإِذَا سَوَّيۡتُهُۥ وَنَفَخۡتُ فِيهِ مِن رُّوحِي فَقَعُواْ لَهُۥ سَٰجِدِينَ ٢٩
Fa izaa sawwaituhoo wa nafakhtu feehi mir roohee faqa`oo lahoo saajideen
Basi nitakapo mkamilisha na nikampulizia roho yangu, basi mumwangukie kumsujudia.
🎤 Rekodi yako:
15:30
🔁 0/5
فَسَجَدَ ٱلۡمَلَٰٓئِكَةُ كُلُّهُمۡ أَجۡمَعُونَ ٣٠
Fasajadal malaaa`ikatu kulluhum ajma`oon
Basi Malaika wote pamoja walimsujudia,
🎤 Rekodi yako:
15:31
🔁 0/5
إِلَّآ إِبۡلِيسَ أَبَىٰٓ أَن يَكُونَ مَعَ ٱلسَّٰجِدِينَ ٣١
Illaaa ibleesa abaaa ai yakoona ma`as saajideen
Isipo kuwa Iblisi. Yeye alikataa kuwa pamoja na walio sujudu.
🎤 Rekodi yako:
15:32
🔁 0/5
قَالَ يَٰٓإِبۡلِيسُ مَا لَكَ أَلَّا تَكُونَ مَعَ ٱلسَّٰجِدِينَ ٣٢
Qaala yaaa Ibleesu maa laka allaa takoona ma`as saajideen
(Mwenyezi Mungu) akasema: Ewe Iblisi! Una nini hata hukuwa pamoja na walio sujudu?
🎤 Rekodi yako:
15:33
🔁 0/5
قَالَ لَمۡ أَكُن لِّأَسۡجُدَ لِبَشَرٍ خَلَقۡتَهُۥ مِن صَلۡصَٰلٍ مِّنۡ حَمَإٍ مَّسۡنُونٍ ٣٣
Qaala lam akul li asjuda libasharin khalaqtahoo min salsaalim min hama im masnoon
Akasema: Haiwi mimi nimsujudie mtu uliye muumba kwa udongo unao toa sauti, unao tokana na matope yenye sura.
🎤 Rekodi yako:
15:34
🔁 0/5
قَالَ فَٱخۡرُجۡ مِنۡهَا فَإِنَّكَ رَجِيمٌ ٣٤
Qaala fakhruj minhaa fa innaka rajeem
(Mwenyezi Mungu) akasema: Basi toka humo, kwani hakika wewe ni maluuni!
🎤 Rekodi yako:
15:35
🔁 0/5
وَإِنَّ عَلَيۡكَ ٱللَّعۡنَةَ إِلَىٰ يَوۡمِ ٱلدِّينِ ٣٥
Wa inna `alikal la`nata ilaa Yawmid Deen
Na hakika juu yako ipo laana mpaka Siku ya Malipo.
🎤 Rekodi yako:
15:36
🔁 0/5
قَالَ رَبِّ فَأَنظِرۡنِيٓ إِلَىٰ يَوۡمِ يُبۡعَثُونَ ٣٦
Qaala Rabbi fa anzirneee ilaa Yawmi yub`asoon
Akasema (Iblisi): Mola wangu Mlezi! Nipe muhula mpaka siku watapo fufuliwa.
🎤 Rekodi yako:
15:37
🔁 0/5
قَالَ فَإِنَّكَ مِنَ ٱلۡمُنظَرِينَ ٣٧
Qaala fa innaka minal munzareen
(Mwenyezi Mungu) akasema: Hakika wewe ni katika walio pewa muhula
🎤 Rekodi yako:
15:38
🔁 0/5
إِلَىٰ يَوۡمِ ٱلۡوَقۡتِ ٱلۡمَعۡلُومِ ٣٨
Ilaa Yawmil waqtil ma`loom
Mpaka siku ya wakati maalumu.
🎤 Rekodi yako:
15:39
🔁 0/5
قَالَ رَبِّ بِمَآ أَغۡوَيۡتَنِي لَأُزَيِّنَنَّ لَهُمۡ فِي ٱلۡأَرۡضِ وَلَأُغۡوِيَنَّهُمۡ أَجۡمَعِينَ ٣٩
Qaala Rabbi bimaaa aghwaitanee la uzayyinaana lahum fil ardi wa la ughwiyan nahum ajma`een
Akasema: Mola wangu Mlezi! Ilivyo kuwa umenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa duniani na nitawapoteza wote,
🎤 Rekodi yako:
15:40
🔁 0/5
إِلَّا عِبَادَكَ مِنۡهُمُ ٱلۡمُخۡلَصِينَ ٤٠
Illaa `ibaadaka minhumul mukhlaseen
Ila waja wako walio safika.
🎤 Rekodi yako:
15:41
🔁 0/5
قَالَ هَٰذَا صِرَٰطٌ عَلَيَّ مُسۡتَقِيمٌ ٤١
Qaala haaza Siraatun `alaiya Mustaqeem
Akasema: Hii Njia ya kujia kwangu Iliyo Nyooka.
🎤 Rekodi yako:
15:42
🔁 0/5
إِنَّ عِبَادِي لَيۡسَ لَكَ عَلَيۡهِمۡ سُلۡطَٰنٌ إِلَّا مَنِ ٱتَّبَعَكَ مِنَ ٱلۡغَاوِينَ ٤٢
Inna `ibaadee laisa laka `alaihim sultaanun illaa manittaba`aka minal ghaaween
Hakika waja wangu, wewe hutakuwa na mamlaka juu yao, isipo kuwa wale wapotofu walio kufuata.
🎤 Rekodi yako:
15:43
🔁 0/5
وَإِنَّ جَهَنَّمَ لَمَوۡعِدُهُمۡ أَجۡمَعِينَ ٤٣
Wa inna jahannama lamaw`iduhum ajma`een
Na bila shaka Jahannamu ndipo pahali pao walipo ahidiwa wote.
🎤 Rekodi yako:
15:44
🔁 0/5
لَهَا سَبۡعَةُ أَبۡوَٰبٍ لِّكُلِّ بَابٍ مِّنۡهُمۡ جُزۡءٌ مَّقۡسُومٌ ٤٤
Lahaa sab`atu abwaab; likulli baabim minhum juz`um maqsoom
Ina milango saba; na kwa kila mlango iko sehemu walio tengewa.
🎤 Rekodi yako:
15:45
🔁 0/5
إِنَّ ٱلۡمُتَّقِينَ فِي جَنَّٰتٍ وَعُيُونٍ ٤٥
Innal muttaqeena fee Jannaatinw wa `uyoon
Hakika wachamngu watakuwa katika Mabustani na chemchem.
🎤 Rekodi yako:
15:46
🔁 0/5
ٱدۡخُلُوهَا بِسَلَٰمٍ ءَامِنِينَ ٤٦
Udkhuloohaa bisalaamin aamineen
(Wataambiwa:) Ingieni kwa salama na amani.
🎤 Rekodi yako:
15:47
🔁 0/5
وَنَزَعۡنَا مَا فِي صُدُورِهِم مِّنۡ غِلٍّ إِخۡوَٰنًا عَلَىٰ سُرُرٍ مُّتَقَٰبِلِينَ ٤٧
Wa naza`naa ma fee sudoorihim min ghillin ikhwaanan `alaa sururim mutaqaabileen
Na tutaondoa chuki iliyo kuwamo vifuani mwao, wawe ndugu juu ya viti vya enzi wameelekeana.
🎤 Rekodi yako:
15:48
🔁 0/5
لَا يَمَسُّهُمۡ فِيهَا نَصَبٌ وَمَا هُم مِّنۡهَا بِمُخۡرَجِينَ ٤٨
Laa yamas suhum feehaa nasabunw wa maa hum minhaa bimukhrajeen
Humo hayatawagusa machofu, wala hawatatolewa humo.
🎤 Rekodi yako:
15:49
🔁 0/5
۞ نَبِّئۡ عِبَادِيٓ أَنِّيٓ أَنَا ٱلۡغَفُورُ ٱلرَّحِيمُ ٤٩
Nabbi` `ibaadeee annneee anal Ghafoorur Raheem
Waambie waja wangu ya kwamba Mimi ndiye Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.
🎤 Rekodi yako:
15:50
🔁 0/5
وَأَنَّ عَذَابِي هُوَ ٱلۡعَذَابُ ٱلۡأَلِيمُ ٥٠
Wa anna `azaabee uwal `azaabul aleem
Na kwamba adhabu yangu ndio adhabu iliyo chungu!
🎤 Rekodi yako:
15:51
🔁 0/5
وَنَبِّئۡهُمۡ عَن ضَيۡفِ إِبۡرَٰهِيمَ ٥١
Wa nabbi`hum `an daifi Ibraaheem
Na uwape khabari za wageni wa Ibrahim.
🎤 Rekodi yako:
15:52
🔁 0/5
إِذۡ دَخَلُواْ عَلَيۡهِ فَقَالُواْ سَلَٰمًا قَالَ إِنَّا مِنكُمۡ وَجِلُونَ ٥٢
Iz dakhaloo `alaihi faqaaloo salaaman qaala innaa minkum wajiloon
Walipo ingia kwake na wakasema: Salama! Yeye akasema: Hakika sisi tunakuogopeni.
🎤 Rekodi yako:
15:53
🔁 0/5
قَالُواْ لَا تَوۡجَلۡ إِنَّا نُبَشِّرُكَ بِغُلَٰمٍ عَلِيمٍ ٥٣
Qaaloo la tawjal innaa nubashshiruka bighulaamin `aleem
Wakasema: Usiogope. Sisi tunakubashiria kijana mwenye ujuzi.
🎤 Rekodi yako:
15:54
🔁 0/5
قَالَ أَبَشَّرۡتُمُونِي عَلَىٰٓ أَن مَّسَّنِيَ ٱلۡكِبَرُ فَبِمَ تُبَشِّرُونَ ٥٤
Qaala abashshartumoonee `alaaa am massaniyal kibaru fabima tubashshiroon
Akasema: Mnanibashiria nami uzee umenishika! Basi kwa njia gani mnanibashiria?
🎤 Rekodi yako:
15:55
🔁 0/5
قَالُواْ بَشَّرۡنَٰكَ بِٱلۡحَقِّ فَلَا تَكُن مِّنَ ٱلۡقَٰنِطِينَ ٥٥
Qaaloo bashsharnaaka bilhaqqi falaa takum minal qaaniteen
Wakasema: Tunakubashiria kwa haki; basi usiwe miongoni mwa wanao kata tamaa.
🎤 Rekodi yako:
15:56
🔁 0/5
قَالَ وَمَن يَقۡنَطُ مِن رَّحۡمَةِ رَبِّهِۦٓ إِلَّا ٱلضَّآلُّونَ ٥٦
Qaala wa mai yaqnatu mir rahmati Rabbiheee illad daaaloon
Akasema: Na nani anaye kata tamaa na rehema ya Mola wake Mlezi ila wale walio potea?
🎤 Rekodi yako:
15:57
🔁 0/5
قَالَ فَمَا خَطۡبُكُمۡ أَيُّهَا ٱلۡمُرۡسَلُونَ ٥٧
Qaala famaa khatbukum aiyuhal mursaloon
Akasema: Hebu nini amri yenu, enyi wajumbe?
🎤 Rekodi yako:
15:58
🔁 0/5
قَالُوٓاْ إِنَّآ أُرۡسِلۡنَآ إِلَىٰ قَوۡمٍ مُّجۡرِمِينَ ٥٨
Qaaloo innaaa ursilnaaa ilaa qawmim mujrimeen
Wakasema: Hakika sisi tumetumwa kwa kaumu ya wakosefu!
🎤 Rekodi yako:
15:59
🔁 0/5
إِلَّآ ءَالَ لُوطٍ إِنَّا لَمُنَجُّوهُمۡ أَجۡمَعِينَ ٥٩
Illaaa Aala Loot; innaa lamunajjoohum ajma`een
Isipo kuwa walio mfuata Luut'i. Bila ya shaka sisi tutawaokoa hao wote.
🎤 Rekodi yako:
15:60
🔁 0/5
إِلَّا ٱمۡرَأَتَهُۥ قَدَّرۡنَآ إِنَّهَا لَمِنَ ٱلۡغَٰبِرِينَ ٦٠
Illam ra atahoo qaddarnaaa innahaa laminal ghaabireen
Ila mkewe. Tunakadiria huyo atakuwa miongoni watao bakia nyuma.
🎤 Rekodi yako:
15:61
🔁 0/5
فَلَمَّا جَآءَ ءَالَ لُوطٍ ٱلۡمُرۡسَلُونَ ٦١
Falamma jaaa`a Aala Lootinil mursaloon
Basi wale wajumbe walipo fika kwa Luut'i,
🎤 Rekodi yako:
15:62
🔁 0/5
قَالَ إِنَّكُمۡ قَوۡمٌ مُّنكَرُونَ ٦٢
Qaala innakum qawmum munkaroon
Alisema (Luut'i): Hakika nyinyi ni watu msio juulikana.
🎤 Rekodi yako:
15:63
🔁 0/5
قَالُواْ بَلۡ جِئۡنَٰكَ بِمَا كَانُواْ فِيهِ يَمۡتَرُونَ ٦٣
Qaaloo bal ji`naaka bimaa kaanoo feehi yamtaroon
Wakasema: Bali sisi tumekuletea yale waliyo kuwa wakiyafanyia shaka.
🎤 Rekodi yako:
15:64
🔁 0/5
وَأَتَيۡنَٰكَ بِٱلۡحَقِّ وَإِنَّا لَصَٰدِقُونَ ٦٤
Wa atainaaka bilhaqqi wa innaa lasaadiqoon
Na tumefika kwako kwa Haki, na hakika sisi tunasema kweli.
🎤 Rekodi yako:
15:65
🔁 0/5
فَأَسۡرِ بِأَهۡلِكَ بِقِطۡعٍ مِّنَ ٱلَّيۡلِ وَٱتَّبِعۡ أَدۡبَٰرَهُمۡ وَلَا يَلۡتَفِتۡ مِنكُمۡ أَحَدٌ وَٱمۡضُواْ حَيۡثُ تُؤۡمَرُونَ ٦٥
Fa asri bi ahlika biqit`im minal laili wattabi` adbaarahum wa laa yaltafit minkum ahadunw wamdoo haisu tu`maroon
Basi ondoka na ahli zako usiku ungalipo, nawe ufuate nyuma yao, wala yeyote kati yenu asigeuke nyuma. Na mwende mnapo amrishwa.
🎤 Rekodi yako:
15:66
🔁 0/5
وَقَضَيۡنَآ إِلَيۡهِ ذَٰلِكَ ٱلۡأَمۡرَ أَنَّ دَابِرَ هَٰٓؤُلَآءِ مَقۡطُوعٌ مُّصۡبِحِينَ ٦٦
Wa qadainaaa ilaihi zaalikal amra anna daabira haaa`ulaaa`i maqtoo`um musbiheen
Na tukamfunulia hukumu hiyo, ya kwamba hata wa mwisho wao hao ikifika asubuhi atakuwa kesha katiliwa mbali.
🎤 Rekodi yako:
15:67
🔁 0/5
وَجَآءَ أَهۡلُ ٱلۡمَدِينَةِ يَسۡتَبۡشِرُونَ ٦٧
Wa jaaa`a ahlul madeenati yastabshiroon
Na wakaja watu wa mji ule nao furahani.
🎤 Rekodi yako:
15:68
🔁 0/5
قَالَ إِنَّ هَٰٓؤُلَآءِ ضَيۡفِي فَلَا تَفۡضَحُونِ ٦٨
Qaala inna haaa`ulaaa`i daifee falaa tafdahoon
Akasema: Hakika hawa wageni wangu, basi msinifedheheshe.
🎤 Rekodi yako:
15:69
🔁 0/5
وَٱتَّقُواْ ٱللَّهَ وَلَا تُخۡزُونِ ٦٩
Wattaqul laaha wa laa tukhzoon
Na mcheni Mwenyezi Mungu, wala msinihizi.
🎤 Rekodi yako:
15:70
🔁 0/5
قَالُوٓاْ أَوَلَمۡ نَنۡهَكَ عَنِ ٱلۡعَٰلَمِينَ ٧٠
Qaalooo awalam nanhaka `anil `aalameen
Wakasema: Sisi hatukukukataza usimkaribishe yeyote?
🎤 Rekodi yako:
15:71
🔁 0/5
قَالَ هَٰٓؤُلَآءِ بَنَاتِيٓ إِن كُنتُمۡ فَٰعِلِينَ ٧١
Qaala haaa`ulaaa`i banaateee in kuntum faa`ileen
Akasema: Hawa binti zangu, ikiwa nyinyi ni watendaji.
🎤 Rekodi yako:
15:72
🔁 0/5
لَعَمۡرُكَ إِنَّهُمۡ لَفِي سَكۡرَتِهِمۡ يَعۡمَهُونَ ٧٢
La`amruka innahum lafee sakratihim ya`mahoon
Naapa kwa umri wako! Hakika hao walikuwa katika ulevi wao, wakihangaika ovyo.
🎤 Rekodi yako:
15:73
🔁 0/5
فَأَخَذَتۡهُمُ ٱلصَّيۡحَةُ مُشۡرِقِينَ ٧٣
Fa akhazat humus saihatu mushriqeen
Ukelele ukawatwaa wakipambaukiwa.
🎤 Rekodi yako:
15:74
🔁 0/5
فَجَعَلۡنَا عَٰلِيَهَا سَافِلَهَا وَأَمۡطَرۡنَا عَلَيۡهِمۡ حِجَارَةً مِّن سِجِّيلٍ ٧٤
Faja`alnaa `aaliyahaa saafilahaa wa amtamaa `alaihim hijaaratam min sjijjeel
Na tukaigeuza nchi juu chini, na tukawanyeshea mvua ya mawe ya udongo wa Motoni.
🎤 Rekodi yako:
15:75
🔁 0/5
إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَأٓيَٰتٍ لِّلۡمُتَوَسِّمِينَ ٧٥
Inna fee zaalika la Aayaatil lilmutawassimeen
Hakika katika hayo zipo ishara kwa waaguzi.
🎤 Rekodi yako:
15:76
🔁 0/5
وَإِنَّهَا لَبِسَبِيلٍ مُّقِيمٍ ٧٦
Wa innahaa labi sabeelim muqeem
Na miji hii ipo kwenye njia inayo pitiwa.
🎤 Rekodi yako:
15:77
🔁 0/5
إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَأٓيَةً لِّلۡمُؤۡمِنِينَ ٧٧
Inna fee zaalika la Aayatal lilmu`mineen
Hakika katika hayo ipo ishara kwa Waumini.
🎤 Rekodi yako:
15:78
🔁 0/5
وَإِن كَانَ أَصۡحَٰبُ ٱلۡأَيۡكَةِ لَظَٰلِمِينَ ٧٨
Wa in kaana Ashaabul Aikati lazaalimeen
Na hakika watu wa Kichakani walikuwa wenye kudhulumu.
🎤 Rekodi yako:
15:79
🔁 0/5
فَٱنتَقَمۡنَا مِنۡهُمۡ وَإِنَّهُمَا لَبِإِمَامٍ مُّبِينٍ ٧٩
Fantaqamnaa minhum wa innahumaa labi imaamim mubeen
Kwa hivyo tukawaadhibu. Na nchi mbili hizi ziko kwenye njia ilio wazi.
🎤 Rekodi yako:
15:80
🔁 0/5
وَلَقَدۡ كَذَّبَ أَصۡحَٰبُ ٱلۡحِجۡرِ ٱلۡمُرۡسَلِينَ ٨٠
Wa laqad kazzaba ashaabul Hijril mursaleen
Na bila ya shaka wakaazi wa Hijr waliwakanusha Mitume.
🎤 Rekodi yako:
15:81
🔁 0/5
وَءَاتَيۡنَٰهُمۡ ءَايَٰتِنَا فَكَانُواْ عَنۡهَا مُعۡرِضِينَ ٨١
Wa aatainaahum Aayaatinaa fakaanoo `anhaa mu`rideen
Na tuliwapa ishara zetu, nao wakazipuuza.
🎤 Rekodi yako:
15:82
🔁 0/5
وَكَانُواْ يَنۡحِتُونَ مِنَ ٱلۡجِبَالِ بُيُوتًا ءَامِنِينَ ٨٢
Wa kaanoo yanhitoona minal jibaali buyootan aamineen
Nao walikuwa wakichonga majumba katika milima kwa amani.
🎤 Rekodi yako:
15:83
🔁 0/5
فَأَخَذَتۡهُمُ ٱلصَّيۡحَةُ مُصۡبِحِينَ ٨٣
Fa akhazat humus saihatu musbiheen
Basi ukelele ukawatwaa asubuhi.
🎤 Rekodi yako:
15:84
🔁 0/5
فَمَآ أَغۡنَىٰ عَنۡهُم مَّا كَانُواْ يَكۡسِبُونَ ٨٤
Famaaa aghnaa `anhum maa kaanoo yaksiboon
Hayakuwafaa waliyo kuwa wakiyachuma.
🎤 Rekodi yako:
15:85
🔁 0/5
وَمَا خَلَقۡنَا ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلۡأَرۡضَ وَمَا بَيۡنَهُمَآ إِلَّا بِٱلۡحَقِّۗ وَإِنَّ ٱلسَّاعَةَ لَأٓتِيَةٌۖ فَٱصۡفَحِ ٱلصَّفۡحَ ٱلۡجَمِيلَ ٨٥
Wa maa khalaqnas samaawaati wal arda wa maa bainahumaaa illaa bilhaqq; wa innas Saa`ata la aatiyatun fasfahis safhal jameel
Na hatukuziumba mbingu na ardhi na vilivyomo ndani yake ila kwa ajili ya Haki. Na hakika Kiyama kitafika. Basi samehe msamaha mzuri.
🎤 Rekodi yako:
15:86
🔁 0/5
إِنَّ رَبَّكَ هُوَ ٱلۡخَلَّٰقُ ٱلۡعَلِيمُ ٨٦
Inna Rabbaka Huwal khallaaqul `aleem
Hakika Mola wako Mlezi ndiye Muumbaji Mjuzi.
🎤 Rekodi yako:
15:87
🔁 0/5
وَلَقَدۡ ءَاتَيۡنَٰكَ سَبۡعًا مِّنَ ٱلۡمَثَانِي وَٱلۡقُرۡءَانَ ٱلۡعَظِيمَ ٨٧
Wa laqad aatainaaka sab`am mnal masaanee wal Qur-aanal `azeem
Na tumekupa Aya saba zinazo somwa mara kwa mara, na Qur'ani Tukufu.
🎤 Rekodi yako:
15:88
🔁 0/5
لَا تَمُدَّنَّ عَيۡنَيۡكَ إِلَىٰ مَا مَتَّعۡنَا بِهِۦٓ أَزۡوَٰجًا مِّنۡهُمۡ وَلَا تَحۡزَنۡ عَلَيۡهِمۡ وَٱخۡفِضۡ جَنَاحَكَ لِلۡمُؤۡمِنِينَ ٨٨
Laa tamuddanna `ainaika ilaa maa matta `naa biheee azwaajam minhum wa laa tahzan `alaihim wakhfid janaahaka lilmu `mineen
Usivitumbulie macho yako vitu tulivyo waneemesha makundi fulani kati yao, wala usiwahuzunikie. Na wainamishie bawa lako (la huruma) Waumini.
🎤 Rekodi yako:
15:89
🔁 0/5
وَقُلۡ إِنِّيٓ أَنَا ٱلنَّذِيرُ ٱلۡمُبِينُ ٨٩
Wa qul inneee anan nazeerul mubeen
Na sema: Hakika mimi ni mwonyaji mwenye kubainisha.
🎤 Rekodi yako:
15:90
🔁 0/5
كَمَآ أَنزَلۡنَا عَلَى ٱلۡمُقۡتَسِمِينَ ٩٠
Kamaaa anzalnaa `alal muqtasimeen
Kama hivyo tuliwateremshia walio gawa,
🎤 Rekodi yako:
15:91
🔁 0/5
ٱلَّذِينَ جَعَلُواْ ٱلۡقُرۡءَانَ عِضِينَ ٩١
Allazeena ja`alul Quraana`ideen
Ambao wakaifanya Qur'ani vipande vipande.
🎤 Rekodi yako:
15:92
🔁 0/5
فَوَرَبِّكَ لَنَسۡـَٔلَنَّهُمۡ أَجۡمَعِينَ ٩٢
Fawa Rabbika lanas`a lannahum ajma`een
Basi Naapa kwa Mola wako Mlezi! Tutawahoji wote,
🎤 Rekodi yako:
15:93
🔁 0/5
عَمَّا كَانُواْ يَعۡمَلُونَ ٩٣
Ammaa kaanoo ya`maloon
Kwa waliyo kuwa wakiyatenda.
🎤 Rekodi yako:
15:94
🔁 0/5
فَٱصۡدَعۡ بِمَا تُؤۡمَرُ وَأَعۡرِضۡ عَنِ ٱلۡمُشۡرِكِينَ ٩٤
Fasda` bimaa tu`maru wa a`rid anil mushrikeen
Basi wewe yatangaze uliyo amrishwa, na jitenge na washirikina.
🎤 Rekodi yako:
15:95
🔁 0/5
إِنَّا كَفَيۡنَٰكَ ٱلۡمُسۡتَهۡزِءِينَ ٩٥
Innaa kafainaakal mustahzi`een
Hakika Sisi tunatosha kukukinga na wanao kejeli.
🎤 Rekodi yako:
15:96
🔁 0/5
ٱلَّذِينَ يَجۡعَلُونَ مَعَ ٱللَّهِ إِلَٰهًا ءَاخَرَۚ فَسَوۡفَ يَعۡلَمُونَ ٩٦
Allazeena yaj`aloona ma`al laahi ilaahan aakhar; fasawfa ya`lamoon
Hao wanao fanya kuwa pamoja na Mwenyezi Mungu yupo mungu mwingine. Basi, watakuja jua!
🎤 Rekodi yako:
15:97
🔁 0/5
وَلَقَدۡ نَعۡلَمُ أَنَّكَ يَضِيقُ صَدۡرُكَ بِمَا يَقُولُونَ ٩٧
Wa laqad na`lamu annak yadeequ sadruka bimaa yaqooloon
Na Sisi tunajua kwa hakika kuwa wewe kifua chako kinaona dhiki kwa hayo wayasemayo.
🎤 Rekodi yako:
15:98
🔁 0/5
فَسَبِّحۡ بِحَمۡدِ رَبِّكَ وَكُن مِّنَ ٱلسَّٰجِدِينَ ٩٨
Fasbbih bihamdi Rabbika wa kum minas saajideen
Basi mtakase Mola wako Mlezi kwa kumhimidi, na uwe miongoni wanao msujudia.
🎤 Rekodi yako:
15:99
🔁 0/5
وَٱعۡبُدۡ رَبَّكَ حَتَّىٰ يَأۡتِيَكَ ٱلۡيَقِينُ ٩٩
Wa`bud Rabbaka hattaa yaatiyakal yaqeen
Na muabudu Mola wako Mlezi mpaka ikufikie Yakini.
🎤 Rekodi yako:
💡 Gusa neno lililofichwa ili lionekane kwa muda — maendeleo yako yanahifadhiwa kiotomatiki.
العربيةEnglishBahasa IndonesiaTürkçeРусскийفارسیFrançaisاردوবাংলাDeutschEspañol中文हिन्दीPortuguêsItalianoภาษาไทยPolskiNederlandsShqipKiswahiliO'zbekதமிழ்MelayuBosanskiSoomaaliAzərbaycanکوردی한국어日本語SvenskaDanskNorskپښتوമലയാളംසිංහලTamazightHausaአማርኛБългарскиТоҷикӣҚазақшаFilipinoسنڌيYorùbáFulfuldeТатарчаئۇيغۇرچەКыргызчаਪੰਜਾਬੀJawaతెలుగుမြန်မာગુજરાતીOromoमराठीTiếng ViệtMalagasyНохчийнWolofދިވެހިಕನ್ನಡУкраїнськаΕλληνικάქართულიខ្មែរدریQafar afMaranaoनेपाली
Kurani Tukufu
Tuesday, August 18, 2026
Usitusahau katika dua zako njema







