Surah Yasin aya 1 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿يس﴾
[ يس: 1]
Ya-Sin (Y. S.).
Surah Ya-Sin in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Ya, Seen.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Ya-Sin (Y.S.).
Ya-Sin: Hizi ni harufi mbili zilizo anzia Sura hii kwa mujibu wa mpango wa Qurani katika kuanzia baadhi ya Sura kwa harufi moja moja.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na wale wasio mwomba mungu mwengine pamoja na Mwenyezi Mungu, wala hawaui nafsi aliyo iharimisha
- Na Firauni alitangaza kwa watu wake, akisema: Enyi watu wangu! Kwani mimi sinao huu ufalme
- Au umbo lolote mnalo liona kubwa katika vifua vyenu. Watasema: Nani atakaye turudisha tena? Sema:
- Basi maneno gani baada ya haya watayaamini?
- Na hivi ndivyo tutakavyo mlipa kila apitaye kiasi, na asiye amini ishara za Mola wake
- Tunawastarehesha kwa uchache, kisha tutawasukuma kwenye adhabu ngumu.
- Je! Kukaribishwa hivi si ndio bora, au mti wa Zaqqum?
- Je! Huwaoni wale wanao bishana katika Ishara za Mwenyezi Mungu? Wanageuziwa wapi?
- Na pamoja nao wake zao wenye kutuliza macho, hirimu zao.
- Mkidhihirisha chochote kile, au mkikificha, basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua kila kitu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Yasin with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Yasin mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yasin Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers