Surah Fussilat aya 39 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Fussilat aya 39 in arabic text(Expounded).
  
   

﴿وَمِنْ آيَاتِهِ أَنَّكَ تَرَى الْأَرْضَ خَاشِعَةً فَإِذَا أَنزَلْنَا عَلَيْهَا الْمَاءَ اهْتَزَّتْ وَرَبَتْ ۚ إِنَّ الَّذِي أَحْيَاهَا لَمُحْيِي الْمَوْتَىٰ ۚ إِنَّهُ عَلَىٰ كُلِّ شَيْءٍ قَدِيرٌ
[ فصلت: 39]

Na katika Ishara zake ni kwamba unaiona ardhi nyonge, lakini tunapo iteremshia maji mara unaiona inataharaki na kuumuka. Bila ya shaka aliye ihuisha ardhi ndiye atakaye huisha wafu. Hakika Yeye ni Muweza wa kila kitu.

Surah Fussilat in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And of His signs is that you see the earth stilled, but when We send down upon it rain, it quivers and grows. Indeed, He who has given it life is the Giver of Life to the dead. Indeed, He is over all things competent.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na katika Ishara zake ni kwamba unaiona ardhi nyonge, lakini tunapo iteremshia maji mara unaiona inataharaki na kuumuka. Bila ya shaka aliye ihuisha ardhi ndiye atakaye huisha wafu. Hakika Yeye ni Muweza wa kila kitu.


Na katika dalili za uweza wake, Mtukufu, ni kwamba unaona, wewe unaye weza kuona, ardhi kavu. Tukiiteremshia maji inatikisika kwa mimea, na inaumuka na kuja juu. Hakika huyo aliye ihuisha ardhi iliyo kwisha kufa ndiye aliye elekea kuhuisha wafu katika hayawani. Yeye ni mtimilivu wa uweza juu ya kila kitu. Aya hii inabainisha kwamba mawadi za mbolea ambazo ni chumvi chumvi zisio na uhai, pindi zipatapo maji ya mvua, huyayuka, na kwa hivyo husahilika kufikilia kwenye mbegu za mimea na mizizi yake. Hapo hugeuka kuingia katika khalaya (Cells) na mifumo na viungo vilio hai. Na kwa hivyo vinaonekana kuwa ni hai. Na ukubwa wake hukua na kuzidi kwa kuingiana na kukuzwa na mimea.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 39 from Fussilat


Ayats from Quran in Swahili


Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Fussilat with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Fussilat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Fussilat Complete with high quality
Surah Fussilat Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Fussilat Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Fussilat Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Fussilat Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Fussilat Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Fussilat Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Fussilat Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Fussilat Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Fussilat Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Fussilat Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Fussilat Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Fussilat Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Fussilat Al Hosary
Al Hosary
Surah Fussilat Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Fussilat Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, May 12, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب