Surah Fussilat aya 39 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَمِنْ آيَاتِهِ أَنَّكَ تَرَى الْأَرْضَ خَاشِعَةً فَإِذَا أَنزَلْنَا عَلَيْهَا الْمَاءَ اهْتَزَّتْ وَرَبَتْ ۚ إِنَّ الَّذِي أَحْيَاهَا لَمُحْيِي الْمَوْتَىٰ ۚ إِنَّهُ عَلَىٰ كُلِّ شَيْءٍ قَدِيرٌ﴾
[ فصلت: 39]
Na katika Ishara zake ni kwamba unaiona ardhi nyonge, lakini tunapo iteremshia maji mara unaiona inataharaki na kuumuka. Bila ya shaka aliye ihuisha ardhi ndiye atakaye huisha wafu. Hakika Yeye ni Muweza wa kila kitu.
Surah Fussilat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And of His signs is that you see the earth stilled, but when We send down upon it rain, it quivers and grows. Indeed, He who has given it life is the Giver of Life to the dead. Indeed, He is over all things competent.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na katika Ishara zake ni kwamba unaiona ardhi nyonge, lakini tunapo iteremshia maji mara unaiona inataharaki na kuumuka. Bila ya shaka aliye ihuisha ardhi ndiye atakaye huisha wafu. Hakika Yeye ni Muweza wa kila kitu.
Na katika dalili za uweza wake, Mtukufu, ni kwamba unaona, wewe unaye weza kuona, ardhi kavu. Tukiiteremshia maji inatikisika kwa mimea, na inaumuka na kuja juu. Hakika huyo aliye ihuisha ardhi iliyo kwisha kufa ndiye aliye elekea kuhuisha wafu katika hayawani. Yeye ni mtimilivu wa uweza juu ya kila kitu. Aya hii inabainisha kwamba mawadi za mbolea ambazo ni chumvi chumvi zisio na uhai, pindi zipatapo maji ya mvua, huyayuka, na kwa hivyo husahilika kufikilia kwenye mbegu za mimea na mizizi yake. Hapo hugeuka kuingia katika khalaya (Cells) na mifumo na viungo vilio hai. Na kwa hivyo vinaonekana kuwa ni hai. Na ukubwa wake hukua na kuzidi kwa kuingiana na kukuzwa na mimea.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na ninawapururia muhula; hakika hila zangu ni imara.
- Yeye ndiye aliye lijaalia jua kuwa na mwangaza, na mwezi ukawa na nuru, na akaupimia
- Wala msimguse kwa uwovu, isije ikakushikeni adhabu ya Siku Kubwa.
- Basi walipo mchukua na wakakubaliana wamtumbukize ndani ya kisima, tulimfunulia Yusuf: Hapana shaka yoyote utakuja
- Hii ni ada ya Mwenyezi Mungu iliyo kuwa kwa wale walio pita zamani. Wala hutapata
- Basi ikauonja ubaya wa mambo yake; na mwisho wa mambo yao ilikuwa khasara.
- AKASEMA: Basi ujumbe wenu ni nini, enyi mlio tumwa?
- Na ilipo wafikia Haki wakasema: Huu ni uchawi, na sisi hakika tunaukataa.
- Anajua viliomo katika mbingu na ardhi, na anajua mnayo yaficha na mnayo yatangaza. Na Mwenyezi
- Na kwa ardhi na kwa aliye itandaza!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Fussilat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Fussilat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Fussilat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



