La sourate Al-Qariah en Swahili
الْقَارِعَةُ(1) Inayo gonga! |
مَا الْقَارِعَةُ(2) Nini Inayo gonga? |
وَمَا أَدْرَاكَ مَا الْقَارِعَةُ(3) Na nini kitacho kujuilisha nini Inayo gonga? |
يَوْمَ يَكُونُ النَّاسُ كَالْفَرَاشِ الْمَبْثُوثِ(4) Siku ambayo watu watakuwa kama nondo walio tawanyika; |
وَتَكُونُ الْجِبَالُ كَالْعِهْنِ الْمَنفُوشِ(5) Na milima itakuwa kama sufi zilizo chambuliwa! |
فَأَمَّا مَن ثَقُلَتْ مَوَازِينُهُ(6) Basi yule ambaye mizani yake itakuwa nzito, |
فَهُوَ فِي عِيشَةٍ رَّاضِيَةٍ(7) Huyo atakuwa katika maisha ya kupendeza. |
وَأَمَّا مَنْ خَفَّتْ مَوَازِينُهُ(8) Na yule ambaye mizani yake itakuwa khafifu, |
فَأُمُّهُ هَاوِيَةٌ(9) Huyo maskani yake yatakuwa Moto wa Hawiya! |
وَمَا أَدْرَاكَ مَا هِيَهْ(10) Na nini kitacho kujuilisha nini hiyo? |
نَارٌ حَامِيَةٌ(11) Ni Moto mkali! |
Plus de sourates en Swahili :
Téléchargez la sourate avec la voix des récitants du Coran les plus célèbres :
Téléchargez le fichier mp3 de la sourate Al-Qariah : choisissez le récitateur pour écouter et télécharger la sourate Al-Qariah complète en haute qualité.
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Donnez-nous une invitation valide




