Surah Qariah aya 1 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿الْقَارِعَةُ﴾
[ القارعة: 1]
Inayo gonga!
Surah Al-Qariah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
The Striking Calamity -
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Inayo gonga!
AL-QAARIah, Inayo gonga, ni Kiyama, ambacho kinaanza kwa mpulizo wa mwanzo wa barugumu, na kinaishia itapo katwa hukumu baina ya watu.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na hakika tuliiangamiza miji ilio jirani zenu, na tulizitumia Ishara ili wapate kurejea.
- Na atakupeni mali na wana, na atakupeni mabustani na atakufanyieni mito.
- Na mimea yenye kutambaa, na miti, inanyenyekea.
- Na pale Mwenyezi Mungu atapo sema: Ewe Isa bin Maryamu! Kumbuka neema yangu juu yako,
- Na msichana aliye zikwa hai atapo ulizwa,
- Hakika Mwenyezi Mungu hawadhulumu watu kitu chochote; lakini watu wenyewe wanajidhulumu nafsi zao.
- Nao wako juu ya viti vya enzi wakiangalia.
- Na likakusanywa jua na mwezi,
- Enyi mlio amini! Chukueni hadhari yenu! Na mtoke kwa vikosi au tokeni nyote pamoja!
- Na hakika tumewaletea Kitabu tulicho kipambanua kwa ilimu, uwongofu na rehema kwa watu wenye kuamini.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qariah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qariah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qariah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



