Surah Qariah aya 6 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَأَمَّا مَن ثَقُلَتْ مَوَازِينُهُ﴾
[ القارعة: 6]
Basi yule ambaye mizani yake itakuwa nzito,
Surah Al-Qariah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Then as for one whose scales are heavy [with good deeds],
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi yule ambaye mizani yake itakuwa nzito,
Ama yule ambaye mizani yake itakuwa nzito, mema yake yakapindukia kuliko maovu yake,
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kumwendea Firauni na Hamana na Qaruni, wakasema: Huyu ni mchawi, mwongo mkubwa.
- Na nini kitakujuulisha nini hilo Tukio la haki?
- Au wanazo wao khazina za rehema za Mola wako Mlezi, Mwenye nguvu, Mpaji?
- Akasema: Basi toka humo, kwani hakika wewe umelaanika.
- Jee huwaoni wale wanao dai kuwa ati wametakasika? Bali Mwenyezi Mungu humtakasa amtakaye. Na hawatadhulumiwa
- Wamenunua thamani ndogo kwa Ishara za Mwenyezi Mungu, na wakazuilia watu na Njia yake. Hakika
- Akasema: Mola wangu Mlezi! Hakika watu wangu wamenikanusha.
- Hakika hawa wanasema:
- Haya ni kwa ajili awakate sehemu katika walio kufuru, au awahizi wapate kurejea nyuma nao
- Na wawili kati yenu wafanyao hayo waadhibuni. Na wakitubia wakatengenea basi waacheni. Hakika Mwenyezi Mungu
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qariah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qariah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qariah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers