Surah Qariah aya 6 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَأَمَّا مَن ثَقُلَتْ مَوَازِينُهُ﴾
[ القارعة: 6]
Basi yule ambaye mizani yake itakuwa nzito,
Surah Al-Qariah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Then as for one whose scales are heavy [with good deeds],
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi yule ambaye mizani yake itakuwa nzito,
Ama yule ambaye mizani yake itakuwa nzito, mema yake yakapindukia kuliko maovu yake,
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Sema: Mwaonaje ikikufikieni hiyo adhabu yake usiku au mchana, sehemu gani ya adhabu wanaihimiza wakosefu?
- Mola wetu Mlezi! Wewe ndiye Mkusanyaji wa watu kwa Siku isiyo na shaka ndani yake.
- Na Firauni na walio mtangulia, na miji iliyo pinduliwa chini juu, walileta khatia.
- Mwezi mtakatifu kwa mwezi mtakatifu. Na vitu vitakatifu vimeekewa kisasi. Anaye kushambulieni nanyi mshambulieni, kwa
- Na mshike Sala, na mcheni Yeye, na kwake Yeye ndiko mtako kusanywa.
- Wanao shika Sala, na wanatoa Zaka, nao wana yakini na Akhera.
- Ewe uliye jigubika!
- Amenipoteza, nikaacha Ukumbusho, baada ya kwisha nijia, na kweli Shet'ani ni khaini kwa mwanaadamu.
- Na bila ya shaka walikwisha kanusha walio kuwa kabla yao; basi kulikuwaje kukasirika kwangu?
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qariah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qariah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qariah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers