Surah Qariah aya 6 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَأَمَّا مَن ثَقُلَتْ مَوَازِينُهُ﴾
[ القارعة: 6]
Basi yule ambaye mizani yake itakuwa nzito,
Surah Al-Qariah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Then as for one whose scales are heavy [with good deeds],
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi yule ambaye mizani yake itakuwa nzito,
Ama yule ambaye mizani yake itakuwa nzito, mema yake yakapindukia kuliko maovu yake,
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na mna nini hata hamumuamini Mwenyezi Mungu na hali Mtume anakuiteni mumuamini Mola wenu Mlezi?
- Mwenyezi Mungu ndiye aliye kuumbeni, kisha akakuruzukuni, kisha anakufisheni, na kisha anakufufueni. Je! Yupo yeyote
- Akasema: Enyi watu wangu! Mwaonaje ikiwa ninayo dalili wazi inayo tokana na Mola wangu Mlezi,
- Hakika wasio taraji kukutana nasi, na wakaridhia maisha ya dunia na wakatua nayo, na walio
- Kisha alirudi nyuma, akaingia kufanya juhudi.
- Na wanapo ambiwa: Yaaminini aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu. Wao husema: Tunaamini tuliyo teremshiwa sisi. Na
- Na Mwenyezi Mungu hakuwa wa kuwaadhibu nawe umo pamoja nao, wala Mwenyezi Mungu si wa
- Zikinyweshwa kutoka chemchem inayo chemka.
- Na hakika hii bila ya shaka ni haki ya yakini.
- Mwenyezi Mungu hatakushikeni kwa viapo vyenu vya upuuzi, lakini atakushikeni kwa mnavyo apa kweli kweli
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qariah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qariah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qariah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



