🔥 0 siku mfululizo
📖 Sura ndefu — imegawanywa sehemu ndogo (59 Aya)
0/59
44:1
🔁 0/5
حمٓ ١
Haa Meeem
H'a Mim
🎤 Rekodi yako:
44:2
🔁 0/5
وَٱلۡكِتَٰبِ ٱلۡمُبِينِ ٢
Wal Kitaabil Mubeen
Naapa kwa Kitabu kinacho bainisha,
🎤 Rekodi yako:
44:3
🔁 0/5
إِنَّآ أَنزَلۡنَٰهُ فِي لَيۡلَةٍ مُّبَٰرَكَةٍۚ إِنَّا كُنَّا مُنذِرِينَ ٣
Innaaa anzalnaahu fee lailatim mubaarakah; innaa kunnaa munzireen
Hakika tumekiteremsha katika usiku ulio barikiwa. Hakika Sisi ni Waonyaji.
🎤 Rekodi yako:
44:4
🔁 0/5
فِيهَا يُفۡرَقُ كُلُّ أَمۡرٍ حَكِيمٍ ٤
Feehaa yufraqu kullu amrin hakeem
Katika usiku huu hubainishwa kila jambo la hikima,
🎤 Rekodi yako:
44:5
🔁 0/5
أَمۡرًا مِّنۡ عِندِنَآۚ إِنَّا كُنَّا مُرۡسِلِينَ ٥
Amram min `indinaaa; innaa kunnaa mursileen
Jambo litokalo kwetu. Hakika Sisi ndio wenye kutuma.
🎤 Rekodi yako:
44:6
🔁 0/5
رَحۡمَةً مِّن رَّبِّكَۚ إِنَّهُۥ هُوَ ٱلسَّمِيعُ ٱلۡعَلِيمُ ٦
Rahmatam mir rabbik; innahoo Huwas Samee`ul `Aleem
Ni rehema itokayo kwa Mola wako Mlezi. Hakika Yeye ni Mwenye kusikia Mwenye kujua.
🎤 Rekodi yako:
44:7
🔁 0/5
رَبِّ ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلۡأَرۡضِ وَمَا بَيۡنَهُمَآۖ إِن كُنتُم مُّوقِنِينَ ٧
Rabbis samaawaati wal ardi wa maa bainahumaa; in kuntum mooqineen
Mola Mlezi wa mbingu na ardhi na vilio baina yao, ikiwa nyinyi mna yakini.
🎤 Rekodi yako:
44:8
🔁 0/5
لَآ إِلَٰهَ إِلَّا هُوَ يُحۡيِۦ وَيُمِيتُۖ رَبُّكُمۡ وَرَبُّ ءَابَآئِكُمُ ٱلۡأَوَّلِينَ ٨
Laaa ilaaha illaa Huwa yuhyee wa yumeetu Rabbukum wa Rabbu aabaaa`ikumul awwaleen
Hakuna mungu ila Yeye; anahuisha na anafisha- Mola Mlezi wenu na Mola Mlezi wa baba zenu wa mwanzo.
🎤 Rekodi yako:
44:9
🔁 0/5
بَلۡ هُمۡ فِي شَكٍّ يَلۡعَبُونَ ٩
Bal hum fee shakkiny yal`aboon
Lakini wao wanacheza katika shaka.
🎤 Rekodi yako:
44:10
🔁 0/5
فَٱرۡتَقِبۡ يَوۡمَ تَأۡتِي ٱلسَّمَآءُ بِدُخَانٍ مُّبِينٍ ١٠
Fartaqib Yawma taatis samaaa`u bidukhaanim mubeen
Basi ingoje siku ambayo mbingu zitakapo leta moshi ulio dhaahiri,
🎤 Rekodi yako:
44:11
🔁 0/5
يَغۡشَى ٱلنَّاسَۖ هَٰذَا عَذَابٌ أَلِيمٌ ١١
Yaghshan naasa haazaa `azaabun aleem
Utakao wafunika watu: Hii ni adhabu chungu!
🎤 Rekodi yako:
44:12
🔁 0/5
رَّبَّنَا ٱكۡشِفۡ عَنَّا ٱلۡعَذَابَ إِنَّا مُؤۡمِنُونَ ١٢
Rabbanak shif `annal `azaaba innaa mu`minoon
Mola wetu Mlezi! Tuondolee adhabu hii. Hakika tutaamini.
🎤 Rekodi yako:
44:13
🔁 0/5
أَنَّىٰ لَهُمُ ٱلذِّكۡرَىٰ وَقَدۡ جَآءَهُمۡ رَسُولٌ مُّبِينٌ ١٣
Annaa lahumuz zikraa wa qad jaaa`ahum Rasoolum mubeen
Nini faida ya kukumbuka kwao? Na alikwisha wafikia Mtume mwenye kubainisha.
🎤 Rekodi yako:
44:14
🔁 0/5
ثُمَّ تَوَلَّوۡاْ عَنۡهُ وَقَالُواْ مُعَلَّمٌ مَّجۡنُونٌ ١٤
Summaa tawallaw `anhu wa qaaloo mu`allamum majnoon
Na wao wakamgeuzia uso, na wakasema: Huyu amefunzwa, naye ni mwendawazimu.
🎤 Rekodi yako:
44:15
🔁 0/5
إِنَّا كَاشِفُواْ ٱلۡعَذَابِ قَلِيلًاۚ إِنَّكُمۡ عَآئِدُونَ ١٥
Innaa kaashiful `azaabi qaleelaa; innakum `aaa`indoon
Hakika sisi tutaiondoa adhabu kidogo, lakini nyinyi kwa yakini mtarejea vile vile!
🎤 Rekodi yako:
44:16
🔁 0/5
يَوۡمَ نَبۡطِشُ ٱلۡبَطۡشَةَ ٱلۡكُبۡرَىٰٓ إِنَّا مُنتَقِمُونَ ١٦
Yawma nabtishul batsha tal kubraa innaa muntaqimoon
Siku tutayo yashambulia mashambulio makubwa, bila ya shaka Sisi ni wenye kutesa.
🎤 Rekodi yako:
44:17
🔁 0/5
۞ وَلَقَدۡ فَتَنَّا قَبۡلَهُمۡ قَوۡمَ فِرۡعَوۡنَ وَجَآءَهُمۡ رَسُولٌ كَرِيمٌ ١٧
Wa laqad fatannaa qablahum qawma Fir`awna wa jaaa`ahum Rasoolun kareem
Na hakika kabla ya hawa tuliwafanyia mtihani watu wa Firauni, na aliwafikia Mtume Mtukufu.
🎤 Rekodi yako:
44:18
🔁 0/5
أَنۡ أَدُّوٓاْ إِلَيَّ عِبَادَ ٱللَّهِۖ إِنِّي لَكُمۡ رَسُولٌ أَمِينٌ ١٨
An addooo ilaiya `ibaadal laahi innee lakum Rasoolun ameen
Akasema: Nipeni waja wa Mwenyezi Mungu; kwa hakika mimi kwenu ni Mtume Muaminifu.
🎤 Rekodi yako:
44:19
🔁 0/5
وَأَن لَّا تَعۡلُواْ عَلَى ٱللَّهِۖ إِنِّيٓ ءَاتِيكُم بِسُلۡطَٰنٍ مُّبِينٍ ١٩
Wa al laa ta`loo `alal laahi innee aateekum bisultaanim mubeen
Na msimfanyie kiburi Mwenyezi Mungu; hakika mimi nitakuleteeni uthibitisho ulio wazi.
🎤 Rekodi yako:
44:20
🔁 0/5
وَإِنِّي عُذۡتُ بِرَبِّي وَرَبِّكُمۡ أَن تَرۡجُمُونِ ٢٠
Wa innee `uztu bi Rabbee wa rabbikum an tarjumoon
Nami najikinga kwa Mola wangu Mlezi na ndiye Mola wenu Mlezi pia, ili msinipige mawe.
🎤 Rekodi yako:
44:21
🔁 0/5
وَإِن لَّمۡ تُؤۡمِنُواْ لِي فَٱعۡتَزِلُونِ ٢١
Wa il lam tu`minoo lee fa`taziloon
Na ikiwa hamniamini, basi jitengeni nami.
🎤 Rekodi yako:
44:22
🔁 0/5
فَدَعَا رَبَّهُۥٓ أَنَّ هَٰٓؤُلَآءِ قَوۡمٌ مُّجۡرِمُونَ ٢٢
Fada`aa rabbahooo anna haaa`ulaaa`i qawmum mujrimoon
Ndipo akamwomba Mola wake Mlezi: Hakika watu hawa ni wakosefu.
🎤 Rekodi yako:
44:23
🔁 0/5
فَأَسۡرِ بِعِبَادِي لَيۡلًا إِنَّكُم مُّتَّبَعُونَ ٢٣
Fa asri bi`ibaadee lailan innakum muttaba`oon
Mwenyezi Mungu akasema: Basi nenda na waja wangu usiku. Kwa yakini mtafuatwa.
🎤 Rekodi yako:
44:24
🔁 0/5
وَٱتۡرُكِ ٱلۡبَحۡرَ رَهۡوًاۖ إِنَّهُمۡ جُندٌ مُّغۡرَقُونَ ٢٤
Watrukil bahra rahwan innahum jundum mughraqoon
Na iache bahari vivyo hivyo imeachana, hakika wao hao ni jeshi litakalo zamishwa.
🎤 Rekodi yako:
44:25
🔁 0/5
كَمۡ تَرَكُواْ مِن جَنَّٰتٍ وَعُيُونٍ ٢٥
Kam tarakoo min jannaatinw wa `uyoon
Mabustani mangapi, na chemchem ngapi waliziacha!
🎤 Rekodi yako:
44:26
🔁 0/5
وَزُرُوعٍ وَمَقَامٍ كَرِيمٍ ٢٦
Wa zuroo`inw wa maqaa min kareem
Na mimea na vyeo vitukufu!
🎤 Rekodi yako:
44:27
🔁 0/5
وَنَعۡمَةٍ كَانُواْ فِيهَا فَٰكِهِينَ ٢٧
Wa na`matin kaanoo feehaa faakiheen
Na neema walizo kuwa wakijistareheshea!
🎤 Rekodi yako:
44:28
🔁 0/5
كَذَٰلِكَۖ وَأَوۡرَثۡنَٰهَا قَوۡمًا ءَاخَرِينَ ٢٨
Kazaalika wa awrasnaahaa qawman aakhareen
Ndio hivyo! Na tukawarithisha haya watu wenginewe.
🎤 Rekodi yako:
44:29
🔁 0/5
فَمَا بَكَتۡ عَلَيۡهِمُ ٱلسَّمَآءُ وَٱلۡأَرۡضُ وَمَا كَانُواْ مُنظَرِينَ ٢٩
Famaa bakat `alaihimus samaaa`u wal ardu wa maa kaanoo munzareen
La mbingu wala ardhi hazikuwalilia, wala hawakupewa muhula.
🎤 Rekodi yako:
44:30
🔁 0/5
وَلَقَدۡ نَجَّيۡنَا بَنِيٓ إِسۡرَٰٓءِيلَ مِنَ ٱلۡعَذَابِ ٱلۡمُهِينِ ٣٠
Wa laqad najjainaa Baneee Israaa`eela minal`azaabil muheen
Na bila ya shaka tuliwaokoa Wana wa Israili katika adhabu ya kuwadhalilisha,
🎤 Rekodi yako:
44:31
🔁 0/5
مِن فِرۡعَوۡنَۚ إِنَّهُۥ كَانَ عَالِيًا مِّنَ ٱلۡمُسۡرِفِينَ ٣١
Min Fir`awn; innahoo kaana `aaliyam minal musrifeen
Ya Firauni. Hakika yeye alikuwa jeuri katika wenye kupindukia mipaka.
🎤 Rekodi yako:
44:32
🔁 0/5
وَلَقَدِ ٱخۡتَرۡنَٰهُمۡ عَلَىٰ عِلۡمٍ عَلَى ٱلۡعَٰلَمِينَ ٣٢
Wa laqadikh tarnaahum `alaa `ilmin `alal `aalameen
Na tuliwakhiari kwa ujuzi wetu kuliko walimwengu wenginewe.
🎤 Rekodi yako:
44:33
🔁 0/5
وَءَاتَيۡنَٰهُم مِّنَ ٱلۡأٓيَٰتِ مَا فِيهِ بَلَٰٓؤٌاْ مُّبِينٌ ٣٣
Wa aatainaahum minal aayaati maa feehi balaaa`um mubeen
Na tukawapa katika ishara zenye majaribio yaliyo wazi.
🎤 Rekodi yako:
44:34
🔁 0/5
إِنَّ هَٰٓؤُلَآءِ لَيَقُولُونَ ٣٤
Inna haaa`ulaaa`i la yaqooloon
Hakika hawa wanasema:
🎤 Rekodi yako:
44:35
🔁 0/5
إِنۡ هِيَ إِلَّا مَوۡتَتُنَا ٱلۡأُولَىٰ وَمَا نَحۡنُ بِمُنشَرِينَ ٣٥
In hiya illaa mawtatunal oolaa wa maa nahnu bimun shareen
Hapana ila kufa kwetu mara ya kwanza tu, wala sisi hatufufuliwi.
🎤 Rekodi yako:
44:36
🔁 0/5
فَأۡتُواْ بِـَٔابَآئِنَآ إِن كُنتُمۡ صَٰدِقِينَ ٣٦
Faatoo bi aabaaa`inaaa inkuntum saadiqeen
Basi warudisheni baba zetu, ikiwa nyinyi mnasema kweli.
🎤 Rekodi yako:
44:37
🔁 0/5
أَهُمۡ خَيۡرٌ أَمۡ قَوۡمُ تُبَّعٍ وَٱلَّذِينَ مِن قَبۡلِهِمۡ أَهۡلَكۡنَٰهُمۡۚ إِنَّهُمۡ كَانُواْ مُجۡرِمِينَ ٣٧
Ahum khayrun am qawmu Tubba`inw wallazeena min qablihim; ahlaknaahum innahum kaanoo mujrimeen
Je! Ni wao bora au watu wa Tubbaa' na walio kuwa kabla yao? Tuliwaangamiza. Hakika hao walikuwa wakosefu.
🎤 Rekodi yako:
44:38
🔁 0/5
وَمَا خَلَقۡنَا ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلۡأَرۡضَ وَمَا بَيۡنَهُمَا لَٰعِبِينَ ٣٨
Wa maa khalaqnas samaawaati wal arda wa maa baina humaa laa`ibeen
Na hatukuziumba mbingu na ardhi na vilivyomo baina yake kwa mchezo.
🎤 Rekodi yako:
44:39
🔁 0/5
مَا خَلَقۡنَٰهُمَآ إِلَّا بِٱلۡحَقِّ وَلَٰكِنَّ أَكۡثَرَهُمۡ لَا يَعۡلَمُونَ ٣٩
Maa khalaqnaahumaaa illaa bilhaqqi wa laakinna aksarahum laa ya`lamoon
Hatukuviumba hivyo ila kwa Haki, lakini wengi wao hawajui.
🎤 Rekodi yako:
44:40
🔁 0/5
إِنَّ يَوۡمَ ٱلۡفَصۡلِ مِيقَٰتُهُمۡ أَجۡمَعِينَ ٤٠
Inna yawmal fasli meeqaatuhum ajma`een
Hakika siku ya Uamuzi ni wakati ulio wekwa kwa wao wote.
🎤 Rekodi yako:
44:41
🔁 0/5
يَوۡمَ لَا يُغۡنِي مَوۡلًى عَن مَّوۡلًى شَيۡـًٔا وَلَا هُمۡ يُنصَرُونَ ٤١
Yawma laa yughnee mawlan `am mawlan shai`anw wa laa hum yunsaroon
Siku ambayo rafiki hatamfaa rafiki yake kwa chochote, wala hawatanusuriwa.
🎤 Rekodi yako:
44:42
🔁 0/5
إِلَّا مَن رَّحِمَ ٱللَّهُۚ إِنَّهُۥ هُوَ ٱلۡعَزِيزُ ٱلرَّحِيمُ ٤٢
Illaa mar rahimal laah` innahoo huwal `azeezur raheem
Isipo kuwa atakaye mrehemu Mwenyezi Mungu. Hakika Yeye ndiye Mwenye nguvu, Mwenye kurehemu.
🎤 Rekodi yako:
44:43
🔁 0/5
إِنَّ شَجَرَتَ ٱلزَّقُّومِ ٤٣
Inna shajarataz zaqqoom
Hakika Mti wa Zaqqum,
🎤 Rekodi yako:
44:44
🔁 0/5
طَعَامُ ٱلۡأَثِيمِ ٤٤
Ta`aamul aseem
Ni chakula cha mwenye dhambi.
🎤 Rekodi yako:
44:45
🔁 0/5
كَٱلۡمُهۡلِ يَغۡلِي فِي ٱلۡبُطُونِ ٤٥
Kalmuhli yaghlee filbutoon
Kama shaba iliyo yayushwa, hutokota matumboni
🎤 Rekodi yako:
44:46
🔁 0/5
كَغَلۡيِ ٱلۡحَمِيمِ ٤٦
Kaghalyil hameem
Kama kutokota kwa maji ya moto.
🎤 Rekodi yako:
44:47
🔁 0/5
خُذُوهُ فَٱعۡتِلُوهُ إِلَىٰ سَوَآءِ ٱلۡجَحِيمِ ٤٧
Khuzoohu fa`tiloohu ilaa sawaaa`il Jaheem
(Itasemwa:) Mkamateni na mtupeni katikati ya Jahannamu!
🎤 Rekodi yako:
44:48
🔁 0/5
ثُمَّ صُبُّواْ فَوۡقَ رَأۡسِهِۦ مِنۡ عَذَابِ ٱلۡحَمِيمِ ٤٨
Summa subboo fawqa raasihee min `azaabil hameem
Kisha mmwagieni juu ya kichwa chake adhabu ya maji yanayo chemka.
🎤 Rekodi yako:
44:49
🔁 0/5
ذُقۡ إِنَّكَ أَنتَ ٱلۡعَزِيزُ ٱلۡكَرِيمُ ٤٩
Zuq innaka antal `azeezul kareem
Onja! Ati wewe ndiye mwenye nguvu, mtukufu!
🎤 Rekodi yako:
44:50
🔁 0/5
إِنَّ هَٰذَا مَا كُنتُم بِهِۦ تَمۡتَرُونَ ٥٠
Inna haazaa maa kuntum bihee tamtaroon
Hakika haya ndiyo mliyo kuwa mkiyatilia shaka.
🎤 Rekodi yako:
44:51
🔁 0/5
إِنَّ ٱلۡمُتَّقِينَ فِي مَقَامٍ أَمِينٍ ٥١
Innal muttaqeena fee maqaamin ameen
Hakika wachamngu watakuwa katika mahali pa amani,
🎤 Rekodi yako:
44:52
🔁 0/5
فِي جَنَّٰتٍ وَعُيُونٍ ٥٢
Fee jannaatinw wa `uyoon
Katika mabustani na chemchem,
🎤 Rekodi yako:
44:53
🔁 0/5
يَلۡبَسُونَ مِن سُندُسٍ وَإِسۡتَبۡرَقٍ مُّتَقَٰبِلِينَ ٥٣
Yalbasoona min sundusinw wa istbraqim mutaqaabileen
Watavaa hariri nyepesi na hariri nzito wakikabiliana,
🎤 Rekodi yako:
44:54
🔁 0/5
كَذَٰلِكَ وَزَوَّجۡنَٰهُم بِحُورٍ عِينٍ ٥٤
Kazaalika wa zawwajnaahum bihoorin `een
Hivi ndivyo itakavyo kuwa, na tutawaoza mahurilaini.
🎤 Rekodi yako:
44:55
🔁 0/5
يَدۡعُونَ فِيهَا بِكُلِّ فَٰكِهَةٍ ءَامِنِينَ ٥٥
Yad`oona feehaa bikulli faakihatin aamineen
Humo watataka kila aina ya matunda, na wakae kwa amani.
🎤 Rekodi yako:
44:56
🔁 0/5
لَا يَذُوقُونَ فِيهَا ٱلۡمَوۡتَ إِلَّا ٱلۡمَوۡتَةَ ٱلۡأُولَىٰۖ وَوَقَىٰهُمۡ عَذَابَ ٱلۡجَحِيمِ ٥٦
Laa yazooqoona feehal mawtaa illal mawtatal oolaa wa qaqaahum `azaabal jaheem
Humo hawataonja mauti ila mauti yale ya kwanza, na (Mwenyezi Mungu) atawalinda na adhabu ya Jahannamu,
🎤 Rekodi yako:
44:57
🔁 0/5
فَضۡلًا مِّن رَّبِّكَۚ ذَٰلِكَ هُوَ ٱلۡفَوۡزُ ٱلۡعَظِيمُ ٥٧
Fadlam mir rabbik; zaalika huwal fawzul `azeem
Kuwa ni fadhila zitokazo kwa Mola wako Mlezi. Huko ndiko kufuzu kukubwa.
🎤 Rekodi yako:
44:58
🔁 0/5
فَإِنَّمَا يَسَّرۡنَٰهُ بِلِسَانِكَ لَعَلَّهُمۡ يَتَذَكَّرُونَ ٥٨
Fa innamaa yassarnaahu bilisaanika la`allahum yatazakkaroon
Basi tumeifanya nyepesi hii Qur'ani kwa ulimi wako, ili wapate kukumbuka.
🎤 Rekodi yako:
44:59
🔁 0/5
فَٱرۡتَقِبۡ إِنَّهُم مُّرۡتَقِبُونَ ٥٩
Fartaqib innahum murta qiboon
Ngoja tu, na wao wangoje pia.
🎤 Rekodi yako:
💡 Gusa neno lililofichwa ili lionekane kwa muda — maendeleo yako yanahifadhiwa kiotomatiki.
العربيةEnglishBahasa IndonesiaTürkçeРусскийفارسیFrançaisاردوবাংলাDeutschEspañol中文हिन्दीPortuguêsItalianoภาษาไทยPolskiNederlandsShqipKiswahiliO'zbekதமிழ்MelayuBosanskiSoomaaliAzərbaycanکوردی한국어日本語SvenskaDanskNorskپښتوമലയാളംසිංහලTamazightHausaአማርኛБългарскиТоҷикӣҚазақшаFilipinoسنڌيYorùbáFulfuldeТатарчаئۇيغۇرچەКыргызчаਪੰਜਾਬੀJawaతెలుగుမြန်မာગુજરાતીOromoमराठीTiếng ViệtMalagasyНохчийнWolofދިވެހިಕನ್ನಡУкраїнськаΕλληνικάქართულიខ្មែរدریQafar afMaranaoनेपाली
Kurani Tukufu
Tuesday, August 18, 2026
Usitusahau katika dua zako njema







