🔥 0 siku mfululizo
📖 Sura ndefu — imegawanywa sehemu ndogo (62 Aya)
📚 Sura Zote
30%
🎤 Gusa ikoni ya maikrofoni 🎙️ karibu na aya yoyote ili kujirekodi, kisha sikiliza na ulinganishe na qari.
0/62
53:1 🔁 0/5
وَٱلنَّجۡمِ إِذَا هَوَىٰ  ۝١
Wannajmi izaa hawaa
Naapa kwa nyota inapo tua,
🎤 Rekodi yako:
53:2 🔁 0/5
مَا ضَلَّ صَاحِبُكُمۡ وَمَا غَوَىٰ  ۝٢
Maa dalla saahibukum wa maa ghawaa
Mwenzenu huyu hakupotea, wala hakukosea.
🎤 Rekodi yako:
53:3 🔁 0/5
وَمَا يَنطِقُ عَنِ ٱلۡهَوَىٰٓ  ۝٣
Wa maa yyantiqu `anilhawaaa
Wala hatamki kwa matamanio.
🎤 Rekodi yako:
53:4 🔁 0/5
إِنۡ هُوَ إِلَّا وَحۡيٌ يُوحَىٰ  ۝٤
In huwa illaa Wahyuny yoohaa
Hayakuwa haya ila ni ufunuo ulio funuliwa;
🎤 Rekodi yako:
53:5 🔁 0/5
عَلَّمَهُۥ شَدِيدُ ٱلۡقُوَىٰ  ۝٥
Allamahoo shadeedul quwaa
Amemfundisha aliye mwingi wa nguvu,
🎤 Rekodi yako:
53:6 🔁 0/5
ذُو مِرَّةٍ فَٱسۡتَوَىٰ  ۝٦
Zoo mirratin fastawaa
Mwenye kutua, akatulia,
🎤 Rekodi yako:
53:7 🔁 0/5
وَهُوَ بِٱلۡأُفُقِ ٱلۡأَعۡلَىٰ  ۝٧
Wa huwa bil ufuqil a`laa
Naye yuko juu kabisa upeo wa macho.
🎤 Rekodi yako:
53:8 🔁 0/5
ثُمَّ دَنَا فَتَدَلَّىٰ  ۝٨
Summa danaa fatadalla
Kisha akakaribia na akateremka.
🎤 Rekodi yako:
53:9 🔁 0/5
فَكَانَ قَابَ قَوۡسَيۡنِ أَوۡ أَدۡنَىٰ  ۝٩
Fakaana qaaba qawsaini aw adnaa
Akawa ni kama baina ya mipinde miwili, au karibu zaidi.
🎤 Rekodi yako:
53:10 🔁 0/5
فَأَوۡحَىٰٓ إِلَىٰ عَبۡدِهِۦ مَآ أَوۡحَىٰ  ۝١٠
Fa awhaaa ilaa `abdihee maaa awhaa
Akamfunulia mja wake (Mwenyezi Mungu) alicho mfunulia.
🎤 Rekodi yako:
53:11 🔁 0/5
مَا كَذَبَ ٱلۡفُؤَادُ مَا رَأَىٰٓ  ۝١١
Maa kazabal fu`aadu maa ra aa
Moyo haukusema uwongo uliyo yaona.
🎤 Rekodi yako:
53:12 🔁 0/5
أَفَتُمَٰرُونَهُۥ عَلَىٰ مَا يَرَىٰ  ۝١٢
Afatumaaroonahoo `alaa maayaraa
Je! Mnabishana naye kwa aliyo yaona?
🎤 Rekodi yako:
53:13 🔁 0/5
وَلَقَدۡ رَءَاهُ نَزۡلَةً أُخۡرَىٰ  ۝١٣
Wa laqad ra aahu nazlatan ukhraa
Na akamwona mara nyingine,
🎤 Rekodi yako:
53:14 🔁 0/5
عِندَ سِدۡرَةِ ٱلۡمُنتَهَىٰ  ۝١٤
Inda sidratil muntaha
Penye Mkunazi wa mwisho.
🎤 Rekodi yako:
53:15 🔁 0/5
عِندَهَا جَنَّةُ ٱلۡمَأۡوَىٰٓ  ۝١٥
Indahaa jannatul maawaa
Karibu yake ndiyo ipo Bustani inayo kaliwa.
🎤 Rekodi yako:
53:16 🔁 0/5
إِذۡ يَغۡشَى ٱلسِّدۡرَةَ مَا يَغۡشَىٰ  ۝١٦
Iz yaghshas sidrata maa yaghshaa
Kilipo ufunika huo Mkunazi hicho kilicho ufunuika.
🎤 Rekodi yako:
53:17 🔁 0/5
مَا زَاغَ ٱلۡبَصَرُ وَمَا طَغَىٰ  ۝١٧
Maa zaaghal basaru wa maa taghaa
Jicho halikuhangaika wala halikuruka mpaka.
🎤 Rekodi yako:
53:18 🔁 0/5
لَقَدۡ رَأَىٰ مِنۡ ءَايَٰتِ رَبِّهِ ٱلۡكُبۡرَىٰٓ  ۝١٨
Laqad ra aa min aayaati Rabbihil kubraaa
Kwa yakini aliona katika Ishara kubwa kabisa za Mola wake Mlezi.
🎤 Rekodi yako:
53:19 🔁 0/5
أَفَرَءَيۡتُمُ ٱللَّٰتَ وَٱلۡعُزَّىٰ  ۝١٩
Afara`aytumul laata wal `uzzaa
Je! Mmemuona Lata na Uzza?
🎤 Rekodi yako:
53:20 🔁 0/5
وَمَنَوٰةَ ٱلثَّالِثَةَ ٱلۡأُخۡرَىٰٓ  ۝٢٠
Wa manaatas saalisatal ukhraa
Na Manaat, mwingine wa tatu?
🎤 Rekodi yako:
53:21 🔁 0/5
أَلَكُمُ ٱلذَّكَرُ وَلَهُ ٱلۡأُنثَىٰ  ۝٢١
A-lakumuz zakaru wa lahul unsaa
Je! Nyinyi mnao wana wanaume na Yeye ndio awe na wanawake?
🎤 Rekodi yako:
53:22 🔁 0/5
تِلۡكَ إِذًا قِسۡمَةٌ ضِيزَىٰٓ  ۝٢٢
Tilka izan qismatun deezaa
Huo ni mgawanyo wa dhulma!
🎤 Rekodi yako:
53:23 🔁 0/5
إِنۡ هِيَ إِلَّآ أَسۡمَآءٌ سَمَّيۡتُمُوهَآ أَنتُمۡ وَءَابَآؤُكُم مَّآ أَنزَلَ ٱللَّهُ بِهَا مِن سُلۡطَٰنٍۚ إِن يَتَّبِعُونَ إِلَّا ٱلظَّنَّ وَمَا تَهۡوَى ٱلۡأَنفُسُۖ وَلَقَدۡ جَآءَهُم مِّن رَّبِّهِمُ ٱلۡهُدَىٰٓ  ۝٢٣
In hiya illaaa asmaaa`un sammaitumoohaaa antum wa aabaaa`ukum maaa anzalal laahu bihaa min sultaan; inyyattabi`oona illaz zanna wa maa tahwal anfusu wa laqad jaaa`ahum mir Rabbihimul hudaa
Hayo hayakuwa ila ni majina mliyo wapa nyinyi na baba zenu. Mwenyezi Mungu hakuleta uthibitisho wowote juu ya hayo. Hawafuati ila dhana tu na kipendacho nafsi. Na kwa yakini uwongofu ulikwisha wafikia kutoka kwa Mola wao Mlezi.
🎤 Rekodi yako:
53:24 🔁 0/5
أَمۡ لِلۡإِنسَٰنِ مَا تَمَنَّىٰ  ۝٢٤
Am lil insaani maa taman naa
Ati mtu anakipata kila anacho kitamani?
🎤 Rekodi yako:
53:25 🔁 0/5
فَلِلَّهِ ٱلۡأٓخِرَةُ وَٱلۡأُولَىٰ  ۝٢٥
Falillaahil aakhiratu wal oolaa
Mwenyezi Mungu tu ndiye Mwenye dunia na Akhera.
🎤 Rekodi yako:
53:26 🔁 0/5
۞ وَكَم مِّن مَّلَكٍ فِي ٱلسَّمَٰوَٰتِ لَا تُغۡنِي شَفَٰعَتُهُمۡ شَيۡـًٔا إِلَّا مِنۢ بَعۡدِ أَن يَأۡذَنَ ٱللَّهُ لِمَن يَشَآءُ وَيَرۡضَىٰٓ  ۝٢٦
Wa kam mim malakin fissamaawaati laa tughnee shafaa`atuhum shai`an illaa mim ba`di anyyaazanal laahu limany yashaaa`u wa yardaa
Na wako Malaika wangapi mbinguni, ambao uombezi wao hautafaa chochote isipo kuwa baada ya Mwenyezi Mungu kutoa idhini kwa amtakaye na kumridhia.
🎤 Rekodi yako:
53:27 🔁 0/5
إِنَّ ٱلَّذِينَ لَا يُؤۡمِنُونَ بِٱلۡأٓخِرَةِ لَيُسَمُّونَ ٱلۡمَلَٰٓئِكَةَ تَسۡمِيَةَ ٱلۡأُنثَىٰ  ۝٢٧
innal lazeena laa yu`minoona bil aakhirati la yusammoonal malaaa`ikata tasmiyatal unsaa
Hakika wasio amini Akhera bila ya shaka wao ndio wanawaita Malaika kwa majina ya kike.
🎤 Rekodi yako:
53:28 🔁 0/5
وَمَا لَهُم بِهِۦ مِنۡ عِلۡمٍۖ إِن يَتَّبِعُونَ إِلَّا ٱلظَّنَّۖ وَإِنَّ ٱلظَّنَّ لَا يُغۡنِي مِنَ ٱلۡحَقِّ شَيۡـًٔا  ۝٢٨
Wa maa lahum bihee min `ilmin iny yattabi`oona illaz zanna wa innaz zanna laa yughnee minal haqqi shai`aa
Nao hawana ujuzi wowote kwa hayo isipo kuwa wanafuata dhana tu. Na dhana haisaidii chochote mbele ya haki.
🎤 Rekodi yako:
53:29 🔁 0/5
فَأَعۡرِضۡ عَن مَّن تَوَلَّىٰ عَن ذِكۡرِنَا وَلَمۡ يُرِدۡ إِلَّا ٱلۡحَيَوٰةَ ٱلدُّنۡيَا  ۝٢٩
Fa a`rid `am man tawallaa `an zikrinaa wa lam yurid illal hayaatad dunyaa
Basi mwachilie mbali anaye upa kisogo ukumbusho wetu, na wala hataki ila maisha ya dunia.
🎤 Rekodi yako:
53:30 🔁 0/5
ذَٰلِكَ مَبۡلَغُهُم مِّنَ ٱلۡعِلۡمِۚ إِنَّ رَبَّكَ هُوَ أَعۡلَمُ بِمَن ضَلَّ عَن سَبِيلِهِۦ وَهُوَ أَعۡلَمُ بِمَنِ ٱهۡتَدَىٰ  ۝٣٠
Zalika mablaghuhum minal `ilm; inna rabbaka huwa a`lamu biman dalla `an sabee lihee wa huwa a`lamu bimanih tadaa
Huo ndio mwisho wao wa ujuzi. Hakika Mola wako Mlezi ndiye anaye mjua zaidi mwenye kuipotea njia yake, na Yeye ndiye anaye mjua zaidi mwenye kuongoka.
🎤 Rekodi yako:
53:31 🔁 0/5
وَلِلَّهِ مَا فِي ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَمَا فِي ٱلۡأَرۡضِ لِيَجۡزِيَ ٱلَّذِينَ أَسَٰٓـُٔواْ بِمَا عَمِلُواْ وَيَجۡزِيَ ٱلَّذِينَ أَحۡسَنُواْ بِٱلۡحُسۡنَى  ۝٣١
Wa lillaahi maa fis samaawaati wa maa fil ardi liyajziyal lazeena asaaa`oo bimaa `amiloo wa yajziyal lazeena ahsanoo bilhusnaa
Ni vya Mwenyezi Mungu vyote viliomo mbinguni na viliomo katika ardhi, ili awalipe walio tenda ubaya kwa waliyo yatenda, na walio tenda mema awalipe mema.
🎤 Rekodi yako:
53:32 🔁 0/5
ٱلَّذِينَ يَجۡتَنِبُونَ كَبَٰٓئِرَ ٱلۡإِثۡمِ وَٱلۡفَوَٰحِشَ إِلَّا ٱللَّمَمَۚ إِنَّ رَبَّكَ وَٰسِعُ ٱلۡمَغۡفِرَةِۚ هُوَ أَعۡلَمُ بِكُمۡ إِذۡ أَنشَأَكُم مِّنَ ٱلۡأَرۡضِ وَإِذۡ أَنتُمۡ أَجِنَّةٌ فِي بُطُونِ أُمَّهَٰتِكُمۡۖ فَلَا تُزَكُّوٓاْ أَنفُسَكُمۡۖ هُوَ أَعۡلَمُ بِمَنِ ٱتَّقَىٰٓ  ۝٣٢
Allazeena yajtaniboona kabaaa`iral ismi walfawaa hisha illal lamam; inna rabbaka waasi`ul maghfirah; huwa a`lamu bikum iz ansha akum minal ardi wa iz antum ajinnatun fee butooni umma haatikum falaa tuzakkooo anfusakum huwa a`lamu bimanit taqaa
Ambao wanajiepusha na madhambi makuu na vitendo vichafu, isipo kuwa makosa khafifu. Hakika Mola wako Mlezi ni Mkunjufu wa maghfira, naye anakujueni sana tangu alipo kuumbeni kutoka kwenye ardhi, na mlipo kuwa mimba matumboni mwa mama zenu. Basi msijisifu usafi. Yeye anamjua sana mwenye kujikinga na maovu.
🎤 Rekodi yako:
53:33 🔁 0/5
أَفَرَءَيۡتَ ٱلَّذِي تَوَلَّىٰ  ۝٣٣
Afara`ayatal lazee tawallaa
Je! Umemwona yule aliye geuka?
🎤 Rekodi yako:
53:34 🔁 0/5
وَأَعۡطَىٰ قَلِيلًا وَأَكۡدَىٰٓ  ۝٣٤
Wa a`taa qaleelanw wa akdaa
Na akatoa kidogo, kisha akajizuia?
🎤 Rekodi yako:
53:35 🔁 0/5
أَعِندَهُۥ عِلۡمُ ٱلۡغَيۡبِ فَهُوَ يَرَىٰٓ  ۝٣٥
A`indahoo `ilmul ghaibi fahuwa yaraa
Je! Anayo huyo ilimu ya ghaibu, basi ndio anaona?
🎤 Rekodi yako:
53:36 🔁 0/5
أَمۡ لَمۡ يُنَبَّأۡ بِمَا فِي صُحُفِ مُوسَىٰ  ۝٣٦
Am lam yunabbaa bimaa fee suhuhfi Moosa
Au hakuambiwa yaliyomo katika Vitabu vya Musa?
🎤 Rekodi yako:
53:37 🔁 0/5
وَإِبۡرَٰهِيمَ ٱلَّذِي وَفَّىٰٓ  ۝٣٧
Wa Ibraaheemal lazee waffaaa
Na vya Ibrahimu aliye timiza ahadi?
🎤 Rekodi yako:
53:38 🔁 0/5
أَلَّا تَزِرُ وَازِرَةٌ وِزۡرَ أُخۡرَىٰ  ۝٣٨
Allaa taziru waaziratunw wizra ukhraa
Ya kwamba hakika nafsi iliyo beba madhambi haibebi madhambi ya mwengine?
🎤 Rekodi yako:
53:39 🔁 0/5
وَأَن لَّيۡسَ لِلۡإِنسَٰنِ إِلَّا مَا سَعَىٰ  ۝٣٩
Wa al laisa lil insaani illaa maa sa`aa
Na ya kwamba hatapata mtu ila aliyo yafanya mwenyewe?
🎤 Rekodi yako:
53:40 🔁 0/5
وَأَنَّ سَعۡيَهُۥ سَوۡفَ يُرَىٰ  ۝٤٠
Wa anna sa`yahoo sawfa yuraa
Na kwamba vitendo vyake vitaonekana?
🎤 Rekodi yako:
53:41 🔁 0/5
ثُمَّ يُجۡزَىٰهُ ٱلۡجَزَآءَ ٱلۡأَوۡفَىٰ  ۝٤١
Summa yujzaahul jazaaa `al awfaa
Kisha ndio atalipwa malipo yake kwa ukamilifu.
🎤 Rekodi yako:
53:42 🔁 0/5
وَأَنَّ إِلَىٰ رَبِّكَ ٱلۡمُنتَهَىٰ  ۝٤٢
Wa anna ilaa rabbikal muntahaa
Na kwamba kwao Mola wako Mlezi ndio mwisho.
🎤 Rekodi yako:
53:43 🔁 0/5
وَأَنَّهُۥ هُوَ أَضۡحَكَ وَأَبۡكَىٰ  ۝٤٣
Wa annahoo huwa adhaka wa abkaa
Na kwamba Yeye ndiye anaye leta kicheko na kilio.
🎤 Rekodi yako:
53:44 🔁 0/5
وَأَنَّهُۥ هُوَ أَمَاتَ وَأَحۡيَا  ۝٤٤
Wa annahoo huwa amaata wa ahyaa
Na kwamba Yeye ndiye anaye fisha na kuhuisha.
🎤 Rekodi yako:
53:45 🔁 0/5
وَأَنَّهُۥ خَلَقَ ٱلزَّوۡجَيۡنِ ٱلذَّكَرَ وَٱلۡأُنثَىٰ  ۝٤٥
Wa annahoo khalaqaz zawjainiz zakara wal unsaa
Na kwamba Yeye ndiye aliye umba jozi, dume na jike
🎤 Rekodi yako:
53:46 🔁 0/5
مِن نُّطۡفَةٍ إِذَا تُمۡنَىٰ  ۝٤٦
Min nutfatin izaa tumnaa
Kutokana na mbegu ya uzazi inapo miminwa.
🎤 Rekodi yako:
53:47 🔁 0/5
وَأَنَّ عَلَيۡهِ ٱلنَّشۡأَةَ ٱلۡأُخۡرَىٰ  ۝٤٧
Wa anna `alaihin nash atal ukhraa
Na kwamba ni juu yake ufufuo mwengine.
🎤 Rekodi yako:
53:48 🔁 0/5
وَأَنَّهُۥ هُوَ أَغۡنَىٰ وَأَقۡنَىٰ  ۝٤٨
Wa annahoo huwa aghnaa wa aqnaa
Na kwamba ni Yeye ndiye anaye tosheleza na kukinaisha.
🎤 Rekodi yako:
53:49 🔁 0/5
وَأَنَّهُۥ هُوَ رَبُّ ٱلشِّعۡرَىٰ  ۝٤٩
Wa annahoo huwa rabbush shi`raa
Na kwamba hakika Yeye ndiye Mola Mlezi wa nyota ya Shii'ra.
🎤 Rekodi yako:
53:50 🔁 0/5
وَأَنَّهُۥٓ أَهۡلَكَ عَادًا ٱلۡأُولَىٰ  ۝٥٠
Wa annahooo ahlak a `Aadanil oolaa
Na kwamba Yeye ndiye aliye waangamiza A'di wa kwanza,
🎤 Rekodi yako:
53:51 🔁 0/5
وَثَمُودَاْ فَمَآ أَبۡقَىٰ  ۝٥١
Wa samooda famaaa abqaa
Na Thamudi hakuwabakisha,
🎤 Rekodi yako:
53:52 🔁 0/5
وَقَوۡمَ نُوحٍ مِّن قَبۡلُۖ إِنَّهُمۡ كَانُواْ هُمۡ أَظۡلَمَ وَأَطۡغَىٰ  ۝٥٢
Wa qawma Noohim min qablu innahum kaanoo hum azlama wa atghaa
Na kabla yao kaumu ya Nuhu. Na hao hakika walikuwa ni madhaalimu zaidi, na waovu zaidi;
🎤 Rekodi yako:
53:53 🔁 0/5
وَٱلۡمُؤۡتَفِكَةَ أَهۡوَىٰ  ۝٥٣
Wal mu`tafikata ahwaa
Na miji iliyo pinduliwa, ni Yeye aliye ipindua.
🎤 Rekodi yako:
53:54 🔁 0/5
فَغَشَّىٰهَا مَا غَشَّىٰ  ۝٥٤
Faghashshaahaa maa ghashshaa
Vikaifunika vilivyo funika.
🎤 Rekodi yako:
53:55 🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكَ تَتَمَارَىٰ  ۝٥٥
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbika tatamaaraa
Basi neema gani ya Mola wako Mlezi unayo ifanyia shaka?
🎤 Rekodi yako:
53:56 🔁 0/5
هَٰذَا نَذِيرٌ مِّنَ ٱلنُّذُرِ ٱلۡأُولَىٰٓ  ۝٥٦
Haazaa nazeerum minan nuzuril oolaa
Hili ni Onyo katika maonyo yale yale ya zamani.
🎤 Rekodi yako:
53:57 🔁 0/5
أَزِفَتِ ٱلۡأٓزِفَةُ  ۝٥٧
Azifatil laazifah
Kiyama kimekaribia!
🎤 Rekodi yako:
53:58 🔁 0/5
لَيۡسَ لَهَا مِن دُونِ ٱللَّهِ كَاشِفَةٌ  ۝٥٨
Laisa lahaa min doonil laahi kaashifah
Hapana wa kukifichua isipo kuwa Mwenyezi Mungu.
🎤 Rekodi yako:
53:59 🔁 0/5
أَفَمِنۡ هَٰذَا ٱلۡحَدِيثِ تَعۡجَبُونَ  ۝٥٩
Afamin hazal hadeesi ta`jaboon
Je! Mnayastaajabia maneno haya?
🎤 Rekodi yako:
53:60 🔁 0/5
وَتَضۡحَكُونَ وَلَا تَبۡكُونَ  ۝٦٠
Wa tadhakoona wa laa tabkoon
Na mnacheka, wala hamlii?
🎤 Rekodi yako:
53:61 🔁 0/5
وَأَنتُمۡ سَٰمِدُونَ  ۝٦١
Wa antum saamidoon
Nanyi mmeghafilika?
🎤 Rekodi yako:
53:62 🔁 0/5
فَٱسۡجُدُواْۤ لِلَّهِۤ وَٱعۡبُدُواْ۩  ۝٦٢
Fasjudoo lillaahi wa`budoo
Basi msujudieni Mwenyezi Mungu, na mumuabudu.
🎤 Rekodi yako:
💡 Gusa neno lililofichwa ili lionekane kwa muda — maendeleo yako yanahifadhiwa kiotomatiki.

🎉
🎊 Hongera! Umemaliza Kuhifadhi
Mishary Rashid Alafasy
Mahmoud Khalil Al-Husary
Abdurrahman As-Sudais
Mohamed Siddiq Al-Minshawi
Abdul Basit Abdul Samad
Ali Al-Hudhaify
Ahmed ibn Ali al-Ajamy
Abu Bakr Ash-Shaatree
Muhammad Ayyoub
Abdullah Basfar
Abdullah Al-Juhani
Maher Al Muaiqly
0:00
0:00
-

Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema