🔥 0 siku mfululizo
📖 Sura ndefu — imegawanywa sehemu ndogo (49 Aya)
0/49
52:1
🔁 0/5
وَٱلطُّورِ ١
Wat-Toor
Naapa kwa mlima wa T'ur,
🎤 Rekodi yako:
52:2
🔁 0/5
وَكِتَٰبٍ مَّسۡطُورٍ ٢
Wa kitaabim mastoor
Na Kitabu kilicho andikwa
🎤 Rekodi yako:
52:3
🔁 0/5
فِي رَقٍّ مَّنشُورٍ ٣
Fee raqqim manshoor
Katika ngozi iliyo kunjuliwa,
🎤 Rekodi yako:
52:4
🔁 0/5
وَٱلۡبَيۡتِ ٱلۡمَعۡمُورِ ٤
Wal baitil ma`moor
Na kwa Nyumba iliyo jengwa,
🎤 Rekodi yako:
52:5
🔁 0/5
وَٱلسَّقۡفِ ٱلۡمَرۡفُوعِ ٥
Wassaqfil marfoo
Na kwa dari iliyo nyanyuliwa,
🎤 Rekodi yako:
52:6
🔁 0/5
وَٱلۡبَحۡرِ ٱلۡمَسۡجُورِ ٦
Wal bahril masjoor
Na kwa bahari iliyo jazwa,
🎤 Rekodi yako:
52:7
🔁 0/5
إِنَّ عَذَابَ رَبِّكَ لَوَٰقِعٌ ٧
Inna `azaaba Rabbika lawaaqi
Hakika adhabu ya Mola wako Mlezi hapana shaka itatokea.
🎤 Rekodi yako:
52:8
🔁 0/5
مَّا لَهُۥ مِن دَافِعٍ ٨
Maa lahoo min daafi
Hapana wa kuizuia.
🎤 Rekodi yako:
52:9
🔁 0/5
يَوۡمَ تَمُورُ ٱلسَّمَآءُ مَوۡرًا ٩
Yawma tamoorus samaaa`u mawraa
Siku zitakapo tikisika mbingu kwa mtikiso,
🎤 Rekodi yako:
52:10
🔁 0/5
وَتَسِيرُ ٱلۡجِبَالُ سَيۡرًا ١٠
Wa taseerul jibaalu sairaa
Na milima iwe inakwenda kwa mwendo mkubwa.
🎤 Rekodi yako:
52:11
🔁 0/5
فَوَيۡلٌ يَوۡمَئِذٍ لِّلۡمُكَذِّبِينَ ١١
Fawailuny yawma `izil lil mukaazzibeen
Basi ole wao siku hiyo hao wanao kadhibisha,
🎤 Rekodi yako:
52:12
🔁 0/5
ٱلَّذِينَ هُمۡ فِي خَوۡضٍ يَلۡعَبُونَ ١٢
Allazeena hum fee khawdiny yal`aboon
Ambao wanacheza katika mambo ya upuuzi.
🎤 Rekodi yako:
52:13
🔁 0/5
يَوۡمَ يُدَعُّونَ إِلَىٰ نَارِ جَهَنَّمَ دَعًّا ١٣
Yawma yuda`-`oona ilaa naari jahannama da`-`aa
Siku watapo sukumwa kwenye Moto kwa msukumo wa nguvu,
🎤 Rekodi yako:
52:14
🔁 0/5
هَٰذِهِ ٱلنَّارُ ٱلَّتِي كُنتُم بِهَا تُكَذِّبُونَ ١٤
Haazihin naarul latee kuntum bihaa tukazziboon
(Waambiwe): Huu ndio ule Moto mlio kuwa mkiukanusha!
🎤 Rekodi yako:
52:15
🔁 0/5
أَفَسِحۡرٌ هَٰذَآ أَمۡ أَنتُمۡ لَا تُبۡصِرُونَ ١٥
Afasihrun haazaaaa am antum laa tubsiroon
Je! Huu ni uchawi, au hamwoni tu?
🎤 Rekodi yako:
52:16
🔁 0/5
ٱصۡلَوۡهَا فَٱصۡبِرُوٓاْ أَوۡ لَا تَصۡبِرُواْ سَوَآءٌ عَلَيۡكُمۡۖ إِنَّمَا تُجۡزَوۡنَ مَا كُنتُمۡ تَعۡمَلُونَ ١٦
Islawhaa fasbirooo aw laa tasbiroo sawaaa`un `alaikum innamaa tujzawna maa kuntum ta`maloon
Uingieni, mkistahamili au msistahamili - ni mamoja kwenu. Hakika mnalipwa kwa mliyo kuwa mkiyatenda.
🎤 Rekodi yako:
52:17
🔁 0/5
إِنَّ ٱلۡمُتَّقِينَ فِي جَنَّٰتٍ وَنَعِيمٍ ١٧
Innal muttaqeena fee jannaatinw wa na`eem
Hakika wachamngu watakuwa katika Mabustani na neema,
🎤 Rekodi yako:
52:18
🔁 0/5
فَٰكِهِينَ بِمَآ ءَاتَىٰهُمۡ رَبُّهُمۡ وَوَقَىٰهُمۡ رَبُّهُمۡ عَذَابَ ٱلۡجَحِيمِ ١٨
Faakiheena bimaaa aataahum rabbuhum wa waqaahum rabbuhum `azaabal jaheem
Wakifurahi kwa yale aliyo wapa Mola wao Mlezi. Na Mola wao Mlezi atawalinda na adhabu ya Motoni.
🎤 Rekodi yako:
52:19
🔁 0/5
كُلُواْ وَٱشۡرَبُواْ هَنِيٓـَٔۢا بِمَا كُنتُمۡ تَعۡمَلُونَ ١٩
Kuloo washraboo haneee `am bimaa kuntum ta`maloon
Kuleni na kunyweni kwa raha kabisa kwa sababu ya mliyo kuwa mkiyatenda.
🎤 Rekodi yako:
52:20
🔁 0/5
مُتَّكِـِٔينَ عَلَىٰ سُرُرٍ مَّصۡفُوفَةٍۖ وَزَوَّجۡنَٰهُم بِحُورٍ عِينٍ ٢٠
Muttaki`eena `alaa sururim masfoofatinw wa zawwaj naahum bihoorin `een
Watakuwa wameegemea juu ya viti vya enzi vilivyo pangwa kwa safu. Na tutawaoza mahuru-l-aini.
🎤 Rekodi yako:
52:21
🔁 0/5
وَٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ وَٱتَّبَعَتۡهُمۡ ذُرِّيَّتُهُم بِإِيمَٰنٍ أَلۡحَقۡنَا بِهِمۡ ذُرِّيَّتَهُمۡ وَمَآ أَلَتۡنَٰهُم مِّنۡ عَمَلِهِم مِّن شَيۡءٍۚ كُلُّ ٱمۡرِيِٕۭ بِمَا كَسَبَ رَهِينٌ ٢١
Wallazeena aamanoo wattaba`at hum zurriyyatuhum bieemaanin alhaqnaa bihim zurriyyatahum wa maaa alatnaahum min `amalihim min shai`; kullum ri`im bimaa kasaba raheen
Na walio amini na dhuriya zao wakawafuata kwa Imani tutawakutanisha nao dhuriya zao, na wala hatutawapunja hata kidogo katika vitendo vyao. Kila mtu lazima atapata alicho kichuma.
🎤 Rekodi yako:
52:22
🔁 0/5
وَأَمۡدَدۡنَٰهُم بِفَٰكِهَةٍ وَلَحۡمٍ مِّمَّا يَشۡتَهُونَ ٢٢
Wa amdadnaahum bifaa kihatinw wa lahmim mimmaa yashtahoon
Na tutawapa matunda, na nyama kama watavyo penda.
🎤 Rekodi yako:
52:23
🔁 0/5
يَتَنَٰزَعُونَ فِيهَا كَأۡسًا لَّا لَغۡوٌ فِيهَا وَلَا تَأۡثِيمٌ ٢٣
Yatanaaza`oona feehaa kaasal laa laghwun feehaa wa laa taaseem
Watapeana humo bilauri zisio na vinywaji vya kuleta maneno ya upuuzi wala dhambi.
🎤 Rekodi yako:
52:24
🔁 0/5
۞ وَيَطُوفُ عَلَيۡهِمۡ غِلۡمَانٌ لَّهُمۡ كَأَنَّهُمۡ لُؤۡلُؤٌ مَّكۡنُونٌ ٢٤
Wa yatoofu `alaihim ghilmaanul lahum ka annahum lu`lu`um maknoon
Iwe wanawapitia watumishi wao kama kwamba ni lulu zilizomo katika chaza.
🎤 Rekodi yako:
52:25
🔁 0/5
وَأَقۡبَلَ بَعۡضُهُمۡ عَلَىٰ بَعۡضٍ يَتَسَآءَلُونَ ٢٥
Wa aqbala ba`duhum `alaa ba`diny yatasaaa`aloon
Wataelekeana wakiulizana.
🎤 Rekodi yako:
52:26
🔁 0/5
قَالُوٓاْ إِنَّا كُنَّا قَبۡلُ فِيٓ أَهۡلِنَا مُشۡفِقِينَ ٢٦
Qaalooo innaa kunnaa qablu feee ahlinaa mushfiqeen
Waseme: Tulikuwa zamani pamoja na ahali zetu tukiogopa;
🎤 Rekodi yako:
52:27
🔁 0/5
فَمَنَّ ٱللَّهُ عَلَيۡنَا وَوَقَىٰنَا عَذَابَ ٱلسَّمُومِ ٢٧
Famannnal laahu `alainaa wa waqaanaa `azaabas samoom
Basi Mwenyezi Mungu akatufanyia hisani na akatulinda na adhabu ya upepo wa Moto.
🎤 Rekodi yako:
52:28
🔁 0/5
إِنَّا كُنَّا مِن قَبۡلُ نَدۡعُوهُۖ إِنَّهُۥ هُوَ ٱلۡبَرُّ ٱلرَّحِيمُ ٢٨
Innaa kunnaa min qablu nad`oohu innahoo huwal barrur raheem
Hakika sisi zamani tulikuwa tukimwomba Yeye tu. Hakika Yeye ndiye Mwema Mwenye kurehemu.
🎤 Rekodi yako:
52:29
🔁 0/5
فَذَكِّرۡ فَمَآ أَنتَ بِنِعۡمَتِ رَبِّكَ بِكَاهِنٍ وَلَا مَجۡنُونٍ ٢٩
Fazakkir famaaa anta bini`mati rabbika bikaahininw wa laa majnoon
Basi kumbusha! Kwani wewe, kwa neema ya Mola wako Mlezi, si kuhani wala mwendawazimu.
🎤 Rekodi yako:
52:30
🔁 0/5
أَمۡ يَقُولُونَ شَاعِرٌ نَّتَرَبَّصُ بِهِۦ رَيۡبَ ٱلۡمَنُونِ ٣٠
Am yaqooloona shaa`irun natarabbasu bihee raibal manoon
Au wanasema: Huyu ni mtunga mashairi, tunamtarajia kupatilizwa na dahari.
🎤 Rekodi yako:
52:31
🔁 0/5
قُلۡ تَرَبَّصُواْ فَإِنِّي مَعَكُم مِّنَ ٱلۡمُتَرَبِّصِينَ ٣١
Qul tarabbasoo fa innee ma`akum minal mutarabbiseen
Sema: Tarajieni, na mimi pia ni pamoja nanyi katika kutarajia.
🎤 Rekodi yako:
52:32
🔁 0/5
أَمۡ تَأۡمُرُهُمۡ أَحۡلَٰمُهُم بِهَٰذَآۚ أَمۡ هُمۡ قَوۡمٌ طَاغُونَ ٣٢
Am taamuruhum ahlaamuhum bihaazaaa am hum qawmun taaghoon
Au hizo akili zao ndio zinawaamrisha haya, au wao basi ni watu majeuri tu?
🎤 Rekodi yako:
52:33
🔁 0/5
أَمۡ يَقُولُونَ تَقَوَّلَهُۥۚ بَل لَّا يُؤۡمِنُونَ ٣٣
Am yaqooloona taqawwalah; bal laa yu`minoon
Au ndio wanasema: Ameitunga hii! Bali basi tu hawaamini!
🎤 Rekodi yako:
52:34
🔁 0/5
فَلۡيَأۡتُواْ بِحَدِيثٍ مِّثۡلِهِۦٓ إِن كَانُواْ صَٰدِقِينَ ٣٤
Falyaatoo bihadeesim misliheee in kaanoo saadiqeen
Basi nawalete masimulizi kama haya ikiwa wao wanasema kweli.
🎤 Rekodi yako:
52:35
🔁 0/5
أَمۡ خُلِقُواْ مِنۡ غَيۡرِ شَيۡءٍ أَمۡ هُمُ ٱلۡخَٰلِقُونَ ٣٥
Am khuliqoo min ghairi shai`in am humul khaaliqoon
Au wao wameumbwa pasipo kutokana na kitu chochote, au ni wao ndio waumbaji?
🎤 Rekodi yako:
52:36
🔁 0/5
أَمۡ خَلَقُواْ ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلۡأَرۡضَۚ بَل لَّا يُوقِنُونَ ٣٦
Am khalaqus samaawaati wal ard; bal laa yooqinoon
Au wao wameziumba mbingu na ardhi? Bali hawana na yakini.
🎤 Rekodi yako:
52:37
🔁 0/5
أَمۡ عِندَهُمۡ خَزَآئِنُ رَبِّكَ أَمۡ هُمُ ٱلۡمُصَۜيۡطِرُونَ ٣٧
Am`indahum khazaaa`inu rabbika am humul musaitiroon
Au wanazo khazina za Mola wako Mlezi au wao ndio wenye madaraka?
🎤 Rekodi yako:
52:38
🔁 0/5
أَمۡ لَهُمۡ سُلَّمٌ يَسۡتَمِعُونَ فِيهِۖ فَلۡيَأۡتِ مُسۡتَمِعُهُم بِسُلۡطَٰنٍ مُّبِينٍ ٣٨
Am lahum sullamuny yastami`oona feehi falyaati mustami`uhum bisultaanim mubeen
Au wanazo ngazi za kusikilizia? Basi huyo msikilizaji wao na alete hoja ilio wazi!
🎤 Rekodi yako:
52:39
🔁 0/5
أَمۡ لَهُ ٱلۡبَنَٰتُ وَلَكُمُ ٱلۡبَنُونَ ٣٩
Am lahul banaatu wa lakumul banoon
Au Yeye Mwenyezi Mungu ana wasichana, na nyinyi ndio mna wavulana?
🎤 Rekodi yako:
52:40
🔁 0/5
أَمۡ تَسۡـَٔلُهُمۡ أَجۡرًا فَهُم مِّن مَّغۡرَمٍ مُّثۡقَلُونَ ٤٠
Am tas`aluhum ajran fahum mim maghramim musqaloon
Au wewe unawaomba ujira, na kwa hivyo ndio wanaelemewa na uzito wa gharama?
🎤 Rekodi yako:
52:41
🔁 0/5
أَمۡ عِندَهُمُ ٱلۡغَيۡبُ فَهُمۡ يَكۡتُبُونَ ٤١
Am `indahumul ghaibu fahum yaktuboon
Au wanayo ilimu ya ghaibu, nao wameandika?
🎤 Rekodi yako:
52:42
🔁 0/5
أَمۡ يُرِيدُونَ كَيۡدًاۖ فَٱلَّذِينَ كَفَرُواْ هُمُ ٱلۡمَكِيدُونَ ٤٢
Am yureedoona kaidan fallazeena kafaroo humul makeedoon
Au wanataka kufanya vitimbi tu? Lakini hao walio kufuru ndio watakao tegeka.
🎤 Rekodi yako:
52:43
🔁 0/5
أَمۡ لَهُمۡ إِلَٰهٌ غَيۡرُ ٱللَّهِۚ سُبۡحَٰنَ ٱللَّهِ عَمَّا يُشۡرِكُونَ ٤٣
Am lahum ilaahun ghairul laa; subhaanal laahi `ammaa yushrikoon
Au wanae mungu asiye kuwa Mwenyezi Mungu? Subhanallah! Ametaksika Mwenyezi Mungu na hao wanao washirikisha naye.
🎤 Rekodi yako:
52:44
🔁 0/5
وَإِن يَرَوۡاْ كِسۡفًا مِّنَ ٱلسَّمَآءِ سَاقِطًا يَقُولُواْ سَحَابٌ مَّرۡكُومٌ ٤٤
Wa iny yaraw kisfam minas samaaa`i saaqitany yaqooloo sahaabum markoom
Na hata wange ona pande linatoka mbinguni linaanguka wange sema: Ni mawingu yaliyo bebana.
🎤 Rekodi yako:
52:45
🔁 0/5
فَذَرۡهُمۡ حَتَّىٰ يُلَٰقُواْ يَوۡمَهُمُ ٱلَّذِي فِيهِ يُصۡعَقُونَ ٤٥
Fazarhum hatta yulaaqoo yawmahumul lazee feehi yus`aqoon
Basi waache mpaka wakutane na siku yao watakapo hilikishwa.
🎤 Rekodi yako:
52:46
🔁 0/5
يَوۡمَ لَا يُغۡنِي عَنۡهُمۡ كَيۡدُهُمۡ شَيۡـًٔا وَلَا هُمۡ يُنصَرُونَ ٤٦
Yawma laa yughnee `anhum kaidumhum shai`anw wa laa hum yunsaroon
Siku ambayo hila zao hazitawafaa hata kidogo, wala wao hawatanusuriwa.
🎤 Rekodi yako:
52:47
🔁 0/5
وَإِنَّ لِلَّذِينَ ظَلَمُواْ عَذَابًا دُونَ ذَٰلِكَ وَلَٰكِنَّ أَكۡثَرَهُمۡ لَا يَعۡلَمُونَ ٤٧
Wa inna lillazeena zalamoo `azaaban doona zalika wa laakinna aksarahum laa ya`lamoon
Na hakika walio dhulumu watapata adhabu nyengine isiyo kuwa hii, lakini wengi wao hawajui.
🎤 Rekodi yako:
52:48
🔁 0/5
وَٱصۡبِرۡ لِحُكۡمِ رَبِّكَ فَإِنَّكَ بِأَعۡيُنِنَاۖ وَسَبِّحۡ بِحَمۡدِ رَبِّكَ حِينَ تَقُومُ ٤٨
Wasbir lihukmi rabbika fa innaka bi-a`yuninaa wa sabbih bihamdi rabbika heena taqoom
Na ingojee hukumu ya Mola wako Mlezi. Kwani wewe hakika uko mbele ya macho yetu, na mtakase kwa kumsifu Mola wako Mlezi unapo simama,
🎤 Rekodi yako:
52:49
🔁 0/5
وَمِنَ ٱلَّيۡلِ فَسَبِّحۡهُ وَإِدۡبَٰرَ ٱلنُّجُومِ ٤٩
Wa minal laili fasabbihhu wa idbaaran nujoom
Na usiku pia mtakase, na zinapo kuchwa nyota.
🎤 Rekodi yako:
💡 Gusa neno lililofichwa ili lionekane kwa muda — maendeleo yako yanahifadhiwa kiotomatiki.
العربيةEnglishBahasa IndonesiaTürkçeРусскийفارسیFrançaisاردوবাংলাDeutschEspañol中文हिन्दीPortuguêsItalianoภาษาไทยPolskiNederlandsShqipKiswahiliO'zbekதமிழ்MelayuBosanskiSoomaaliAzərbaycanکوردی한국어日本語SvenskaDanskNorskپښتوമലയാളംසිංහලTamazightHausaአማርኛБългарскиТоҷикӣҚазақшаFilipinoسنڌيYorùbáFulfuldeТатарчаئۇيغۇرچەКыргызчаਪੰਜਾਬੀJawaతెలుగుမြန်မာગુજરાતીOromoमराठीTiếng ViệtMalagasyНохчийнWolofދިވެހިಕನ್ನಡУкраїнськаΕλληνικάქართულიខ្មែរدریQafar afMaranaoनेपाली
Kurani Tukufu
Tuesday, August 18, 2026
Usitusahau katika dua zako njema







