🔥 0 siku mfululizo
📖 Sura ndefu — imegawanywa sehemu ndogo (55 Aya)
📚 Sura Zote
30%
🎤 Gusa ikoni ya maikrofoni 🎙️ karibu na aya yoyote ili kujirekodi, kisha sikiliza na ulinganishe na qari.
0/55
54:1 🔁 0/5
ٱقۡتَرَبَتِ ٱلسَّاعَةُ وَٱنشَقَّ ٱلۡقَمَرُ  ۝١
Iqtarabatis Saa`atu wsan shaqqal qamar
Saa imekaribia, na mwezi umepasuka!
🎤 Rekodi yako:
54:2 🔁 0/5
وَإِن يَرَوۡاْ ءَايَةً يُعۡرِضُواْ وَيَقُولُواْ سِحۡرٌ مُّسۡتَمِرٌّ  ۝٢
Wa iny yaraw aayatany yu`ridoo wa yaqooloo sihrum mustamirr
Na wakiona Ishara hugeuka upande na husema: Huu uchawi tu unazidi kuendelea.
🎤 Rekodi yako:
54:3 🔁 0/5
وَكَذَّبُواْ وَٱتَّبَعُوٓاْ أَهۡوَآءَهُمۡۚ وَكُلُّ أَمۡرٍ مُّسۡتَقِرٌّ  ۝٣
Wa kazzaboo wattaba`ooo ahwaaa`ahum; wa kullu amrim mustaqirr
Na wamekanusha na wamefuata matamanio yao. Na kila jambo ni lenye kuthibiti.
🎤 Rekodi yako:
54:4 🔁 0/5
وَلَقَدۡ جَآءَهُم مِّنَ ٱلۡأَنۢبَآءِ مَا فِيهِ مُزۡدَجَرٌ  ۝٤
Wa laqad jaaa`ahum minal ambaaa`i maa feehi muzdajar
Na bila ya shaka zimewajia khabari zenye makaripio.
🎤 Rekodi yako:
54:5 🔁 0/5
حِكۡمَةُۢ بَٰلِغَةٌۖ فَمَا تُغۡنِ ٱلنُّذُرُ  ۝٥
Hikmatum baalighatun famaa tughnin nuzur
Hikima kaamili; lakini maonyo hayafai kitu!
🎤 Rekodi yako:
54:6 🔁 0/5
فَتَوَلَّ عَنۡهُمۡۘ يَوۡمَ يَدۡعُ ٱلدَّاعِ إِلَىٰ شَيۡءٍ نُّكُرٍ  ۝٦
Fatawalla `anhum; yawma yad`ud daa`i ilaa shai `in nukur
Basi jiepushe nao. Siku atakapo ita mwitaji kuliendea jambo linalo chusha;
🎤 Rekodi yako:
54:7 🔁 0/5
خُشَّعًا أَبۡصَٰرُهُمۡ يَخۡرُجُونَ مِنَ ٱلۡأَجۡدَاثِ كَأَنَّهُمۡ جَرَادٌ مُّنتَشِرٌ  ۝٧
khushsha`an absaaruhum yakrujoona minal ajdaasi ka annahum jaraadum muntashir
Macho yao yatainama; watatoka makaburini kama nzige walio tawanyika,
🎤 Rekodi yako:
54:8 🔁 0/5
مُّهۡطِعِينَ إِلَى ٱلدَّاعِۖ يَقُولُ ٱلۡكَٰفِرُونَ هَٰذَا يَوۡمٌ عَسِرٌ  ۝٨
Muhti`eena ilad daa`i yaqoolul kafiroona haazaa yawmun `asir
Wanamkimbilia mwitaji, na makafiri wanasema: Hii ni siku ngumu.
🎤 Rekodi yako:
54:9 🔁 0/5
۞ كَذَّبَتۡ قَبۡلَهُمۡ قَوۡمُ نُوحٍ فَكَذَّبُواْ عَبۡدَنَا وَقَالُواْ مَجۡنُونٌ وَٱزۡدُجِرَ  ۝٩
Kazzabat qablahum qawmu Noohin fakazzaboo `abdanaa wa qaaloo majnoo nunw wazdujir
Kabla yao kaumu ya Nuhu walikanusha; wakamkanusha mja wetu, na wakasema ni mwendawazimu, na akakaripiwa.
🎤 Rekodi yako:
54:10 🔁 0/5
فَدَعَا رَبَّهُۥٓ أَنِّي مَغۡلُوبٌ فَٱنتَصِرۡ  ۝١٠
Fada`aa Rabbahooo annee maghloobun fantasir
Basi akamwomba Mola wake Mlezi akasema: Kwa hakika mimi nimeshindwa, basi ninusuru!
🎤 Rekodi yako:
54:11 🔁 0/5
فَفَتَحۡنَآ أَبۡوَٰبَ ٱلسَّمَآءِ بِمَآءٍ مُّنۡهَمِرٍ  ۝١١
Fafatahnaaa abwaabas sa maaa`i bimaa`im munhamir
Basi tukaifungua milango ya mbingu kwa maji yanayo miminika.
🎤 Rekodi yako:
54:12 🔁 0/5
وَفَجَّرۡنَا ٱلۡأَرۡضَ عُيُونًا فَٱلۡتَقَى ٱلۡمَآءُ عَلَىٰٓ أَمۡرٍ قَدۡ قُدِرَ  ۝١٢
Wa fajjamal arda `uyoonan faltaqal maaa`u `alaaa amrin qad qudir
Na tukazipasua ardhi kwa chemchem, yakakutana maji kwa jambo lilio kadiriwa.
🎤 Rekodi yako:
54:13 🔁 0/5
وَحَمَلۡنَٰهُ عَلَىٰ ذَاتِ أَلۡوَٰحٍ وَدُسُرٍ  ۝١٣
Wa hamalnaahu `alaa zaati alwaahinw wa dusur
Na tukamchukua kwenye safina ya mbao na kamba.
🎤 Rekodi yako:
54:14 🔁 0/5
تَجۡرِي بِأَعۡيُنِنَا جَزَآءً لِّمَن كَانَ كُفِرَ  ۝١٤
Tajree bi a`yuninaa jazaaa `al liman kaana kufir
Ikawa inakwenda kwa nadhari yetu, kuwa ni malipo kwa alivyo kuwa amekanushwa.
🎤 Rekodi yako:
54:15 🔁 0/5
وَلَقَد تَّرَكۡنَٰهَآ ءَايَةً فَهَلۡ مِن مُّدَّكِرٍ  ۝١٥
Wa laqat taraknaahaad aayatan fahal mim muddakir
Na bila ya shaka tuliiacha iwe ni Ishara. Lakini je, yupo anaye kumbuka?
🎤 Rekodi yako:
54:16 🔁 0/5
فَكَيۡفَ كَانَ عَذَابِي وَنُذُرِ  ۝١٦
Fakaifa kaana `azaabee wa nuzur
Basi ilikuwaje adhabu yangu, na maonyo yangu.
🎤 Rekodi yako:
54:17 🔁 0/5
وَلَقَدۡ يَسَّرۡنَا ٱلۡقُرۡءَانَ لِلذِّكۡرِ فَهَلۡ مِن مُّدَّكِرٍ  ۝١٧
Wa laqad yassamal Quraana liz zikri fahal mimmuddakir
Na bila ya shaka Sisi tumeifanya Qur'ani iwe nyepesi kufahamika. Lakini yupo anaye kumbuka?
🎤 Rekodi yako:
54:18 🔁 0/5
كَذَّبَتۡ عَادٌ فَكَيۡفَ كَانَ عَذَابِي وَنُذُرِ  ۝١٨
Kazzabat `Aadun fakaifa kaana `azaabee wa nuzur
Kina A'di walikanusha. Basi ilikuwaje adhabu yangu na maonyo yangu?
🎤 Rekodi yako:
54:19 🔁 0/5
إِنَّآ أَرۡسَلۡنَا عَلَيۡهِمۡ رِيحًا صَرۡصَرًا فِي يَوۡمِ نَحۡسٍ مُّسۡتَمِرٍّ  ۝١٩
Innaa arsalnaa `alaihim reehan sarsaran fee Yawmi nahsim mustamirr
Hakika Sisi tuliwapelekea upepo wa kimbunga katika siku korofi mfululizo,
🎤 Rekodi yako:
54:20 🔁 0/5
تَنزِعُ ٱلنَّاسَ كَأَنَّهُمۡ أَعۡجَازُ نَخۡلٍ مُّنقَعِرٍ  ۝٢٠
Tanzi;un naasa ka anna huma`jaazu nakhlim munqa`ir
Ukiwang'oa watu kama vigogo vya mitende vilio ng'olewa.
🎤 Rekodi yako:
54:21 🔁 0/5
فَكَيۡفَ كَانَ عَذَابِي وَنُذُرِ  ۝٢١
Fakaifa kaana `azaabee wa nuzur
Basi ilikuwaje adhabu yangu na maonyo yangu?
🎤 Rekodi yako:
54:22 🔁 0/5
وَلَقَدۡ يَسَّرۡنَا ٱلۡقُرۡءَانَ لِلذِّكۡرِ فَهَلۡ مِن مُّدَّكِرٍ  ۝٢٢
Wa laqad yassamal Quraana liz zikri fahal mim muddakir
Na bila ya shaka Sisi tumeifanya Qur'ani nyepesi kufahamika; lakini yupo anaye kumbuka?
🎤 Rekodi yako:
54:23 🔁 0/5
كَذَّبَتۡ ثَمُودُ بِٱلنُّذُرِ  ۝٢٣
Kazzabat Samoodu binnuzur
Thamudi waliwakanusha Waonyaji.
🎤 Rekodi yako:
54:24 🔁 0/5
فَقَالُوٓاْ أَبَشَرًا مِّنَّا وَٰحِدًا نَّتَّبِعُهُۥٓ إِنَّآ إِذًا لَّفِي ضَلَٰلٍ وَسُعُرٍ  ۝٢٤
Faqaalooo a-basharam minnaa waahidan nattabi`uhooo innaa izal lafee dalaalinw wa su`ur
Wakasema: Ati tumfuate binaadamu mmoja katika sisi? Basi hivyo sisi tutakuwa katika upotofu na kichaa!
🎤 Rekodi yako:
54:25 🔁 0/5
أَءُلۡقِيَ ٱلذِّكۡرُ عَلَيۡهِ مِنۢ بَيۡنِنَا بَلۡ هُوَ كَذَّابٌ أَشِرٌ  ۝٢٥
A-ulqiyaz zikru `alaihi mim baininaa bal huwa kazzaabun ashir
Ni yeye tu aliye teremshiwa huo ukumbusho kati yetu sote? Bali huyu ni mwongo mwenye kiburi!
🎤 Rekodi yako:
54:26 🔁 0/5
سَيَعۡلَمُونَ غَدًا مَّنِ ٱلۡكَذَّابُ ٱلۡأَشِرُ  ۝٢٦
Sa-ya`lamoona ghadam manil kazzaabul ashir
Kesho watajua ni nani huyo mwongo mwenye kiburi.
🎤 Rekodi yako:
54:27 🔁 0/5
إِنَّا مُرۡسِلُواْ ٱلنَّاقَةِ فِتۡنَةً لَّهُمۡ فَٱرۡتَقِبۡهُمۡ وَٱصۡطَبِرۡ  ۝٢٧
Innaa mursilun naaqati fitnatal lahum fartaqibhum wastabir
Hakika Sisi tutawapelekea ngamia jike ili kuwajaribu, basi watazame tu na ustahamili.
🎤 Rekodi yako:
54:28 🔁 0/5
وَنَبِّئۡهُمۡ أَنَّ ٱلۡمَآءَ قِسۡمَةُۢ بَيۡنَهُمۡۖ كُلُّ شِرۡبٍ مُّحۡتَضَرٌ  ۝٢٨
Wa nabbi`hum annal maaa`a qismatum bainahum kullu shirbim muhtadar
Na waambie kwamba maji yatagawanywa baina yao; kila sehemu ya maji itahudhuriwa na aliye khusika.
🎤 Rekodi yako:
54:29 🔁 0/5
فَنَادَوۡاْ صَاحِبَهُمۡ فَتَعَاطَىٰ فَعَقَرَ  ۝٢٩
Fanaadaw saahibahum fata`aataa fa`aqar
Basi wakamwita mtu wao akaja akamchinja.
🎤 Rekodi yako:
54:30 🔁 0/5
فَكَيۡفَ كَانَ عَذَابِي وَنُذُرِ  ۝٣٠
Fakaifa kaana `azaabee wa nuzur
Basi ilikuwaje adhabu yangu na maonyo yangu!
🎤 Rekodi yako:
54:31 🔁 0/5
إِنَّآ أَرۡسَلۡنَا عَلَيۡهِمۡ صَيۡحَةً وَٰحِدَةً فَكَانُواْ كَهَشِيمِ ٱلۡمُحۡتَظِرِ  ۝٣١
Innaaa arsalnaa `alaihim saihatanw waahidatan fakaano kahasheemil muhtazir
Hakika Sisi tuliwapelekea ukelele mmoja tu, wakawa kama mabuwa ya kujengea uwa.
🎤 Rekodi yako:
54:32 🔁 0/5
وَلَقَدۡ يَسَّرۡنَا ٱلۡقُرۡءَانَ لِلذِّكۡرِ فَهَلۡ مِن مُّدَّكِرٍ  ۝٣٢
Wa laqad yassarnal quraana liz zikri fahal mim muddakir
Na bila ya shaka Sisi tumeifanya Qur'ani iwe nyepesi kwa kukumbuka, lakini yupo akumbukaye?
🎤 Rekodi yako:
54:33 🔁 0/5
كَذَّبَتۡ قَوۡمُ لُوطِۭ بِٱلنُّذُرِ  ۝٣٣
Kazzabat qawmu lootim binnuzur
Kaumu Lut'i nao waliwakadhibisha Waonyaji.
🎤 Rekodi yako:
54:34 🔁 0/5
إِنَّآ أَرۡسَلۡنَا عَلَيۡهِمۡ حَاصِبًا إِلَّآ ءَالَ لُوطٍۖ نَّجَّيۡنَٰهُم بِسَحَرٍ  ۝٣٤
Innaa arsalnaa `alaihim haasiban illaaa aala Loot najjainaahum bisahar
Hakika Sisi tukawapelekea kimbunga cha vijiwe, isipo kuwa wafuasi wa Lut'i. Hao tuliwaokoa karibu na alfajiri.
🎤 Rekodi yako:
54:35 🔁 0/5
نِّعۡمَةً مِّنۡ عِندِنَاۚ كَذَٰلِكَ نَجۡزِي مَن شَكَرَ  ۝٣٥
Ni`matam min `indinaa; kazaalika najzee man shakar
Kwa neema inayo toka kwetu. Hivyo ndivyo tumlipavyo anaye shukuru.
🎤 Rekodi yako:
54:36 🔁 0/5
وَلَقَدۡ أَنذَرَهُم بَطۡشَتَنَا فَتَمَارَوۡاْ بِٱلنُّذُرِ  ۝٣٦
Wa laqad anzarahum batshatanaa fatamaaraw binnuzur
Na hakika yeye aliwaonya adhabu yetu; lakini wao waliyatilia shaka hayo maonyo.
🎤 Rekodi yako:
54:37 🔁 0/5
وَلَقَدۡ رَٰوَدُوهُ عَن ضَيۡفِهِۦ فَطَمَسۡنَآ أَعۡيُنَهُمۡ فَذُوقُواْ عَذَابِي وَنُذُرِ  ۝٣٧
Wa laqad raawadoohu `andaifee fatamasnaaa a`yunahum fazooqoo `azaabee wa nuzur
Na walimtaka awape wageni wake. Tukayapofua macho yao, na tukawaambia: Onjeni basi adhabu na maonyo yangu!
🎤 Rekodi yako:
54:38 🔁 0/5
وَلَقَدۡ صَبَّحَهُم بُكۡرَةً عَذَابٌ مُّسۡتَقِرٌّ  ۝٣٨
Wa laqad sabbahahum bukratan `azaabum mustaqirr
Na iliwafikia wakati wa asubuhi adhabu yangu ya kuendelea.
🎤 Rekodi yako:
54:39 🔁 0/5
فَذُوقُواْ عَذَابِي وَنُذُرِ  ۝٣٩
Fazooqoo `azaabee wa nuzur
Basi onjeni adhabu na maonyo yangu!
🎤 Rekodi yako:
54:40 🔁 0/5
وَلَقَدۡ يَسَّرۡنَا ٱلۡقُرۡءَانَ لِلذِّكۡرِ فَهَلۡ مِن مُّدَّكِرٍ  ۝٤٠
Wa laqad yassarnal Quraana liz zikri fahal mim muddakir
Na hakika tumeisahilisha Qur'ani kuikumbuka. Lakini yupo anaye kumbuka?
🎤 Rekodi yako:
54:41 🔁 0/5
وَلَقَدۡ جَآءَ ءَالَ فِرۡعَوۡنَ ٱلنُّذُرُ  ۝٤١
Wa laqad jaaa`a Aala Fir`awnan nuzur
Na Waonyaji waliwafikia watu wa Firauni.
🎤 Rekodi yako:
54:42 🔁 0/5
كَذَّبُواْ بِـَٔايَٰتِنَا كُلِّهَا فَأَخَذۡنَٰهُمۡ أَخۡذَ عَزِيزٍ مُّقۡتَدِرٍ  ۝٤٢
Kazzaboo bi Aayaatinaa kullihaa fa akhaznaahum akhza `azeezim muqtadir
Walizikadhibisha Ishara zetu zote, nasi tukawashika kama anavyo shika Mwenye nguvu Mwenye uweza.
🎤 Rekodi yako:
54:43 🔁 0/5
أَكُفَّارُكُمۡ خَيۡرٌ مِّنۡ أُوْلَٰٓئِكُمۡ أَمۡ لَكُم بَرَآءَةٌ فِي ٱلزُّبُرِ  ۝٤٣
Akuffaarukum khairum min ulaaa`ikum am lakum baraaa`atun fiz Zubur
Je! Makafiri wenu ni bora kuliko hao, au yameandikwa vitabuni kuwa nyinyi hamtiwi makosani?
🎤 Rekodi yako:
54:44 🔁 0/5
أَمۡ يَقُولُونَ نَحۡنُ جَمِيعٌ مُّنتَصِرٌ  ۝٤٤
Am yaqooloona nahnu jamee`um muntasir
Au ndio wanasema: Sisi ni wengi tutashinda tu.
🎤 Rekodi yako:
54:45 🔁 0/5
سَيُهۡزَمُ ٱلۡجَمۡعُ وَيُوَلُّونَ ٱلدُّبُرَ  ۝٤٥
Sa yuhzamul jam`u wa yuwalloonad dubur
Wingi wao huu utashindwa, na wao watasukumwa nyuma.
🎤 Rekodi yako:
54:46 🔁 0/5
بَلِ ٱلسَّاعَةُ مَوۡعِدُهُمۡ وَٱلسَّاعَةُ أَدۡهَىٰ وَأَمَرُّ  ۝٤٦
Balis Saa`atu maw`iduhum was Saa`atu adhaa wa amarr
Bali Saa ya Kiyama ndio miadi yao, na Saa hiyo ni nzito zaidi na chungu zaidi.
🎤 Rekodi yako:
54:47 🔁 0/5
إِنَّ ٱلۡمُجۡرِمِينَ فِي ضَلَٰلٍ وَسُعُرٍ  ۝٤٧
Innal mujrimeena fee dalaalinw wa su`ur
Hakika wakosefu wamo katika upotofu na wazimu.
🎤 Rekodi yako:
54:48 🔁 0/5
يَوۡمَ يُسۡحَبُونَ فِي ٱلنَّارِ عَلَىٰ وُجُوهِهِمۡ ذُوقُواْ مَسَّ سَقَرَ  ۝٤٨
Yawma yushaboona fin Naari`alaa wujoohimim zooqoo massa saqar
Siku watakapo kokotwa Motoni kifudifudi waambiwe: Onjeni mguso wa Jahannamu!
🎤 Rekodi yako:
54:49 🔁 0/5
إِنَّا كُلَّ شَيۡءٍ خَلَقۡنَٰهُ بِقَدَرٍ  ۝٤٩
Innaa kulla shai`in khalaqnaahu biqadar
Kwa hakika Sisi tumekiumba kila kitu kwa kipimo.
🎤 Rekodi yako:
54:50 🔁 0/5
وَمَآ أَمۡرُنَآ إِلَّا وَٰحِدَةٌ كَلَمۡحِۭ بِٱلۡبَصَرِ  ۝٥٠
Wa maaa amrunaaa illaa waahidatun kalamhim bilbasar
Na amri yetu haikuwa ila ni moja tu, kama kupepesa jicho.
🎤 Rekodi yako:
54:51 🔁 0/5
وَلَقَدۡ أَهۡلَكۡنَآ أَشۡيَاعَكُمۡ فَهَلۡ مِن مُّدَّكِرٍ  ۝٥١
Wa laqad ahlaknaaa ashyaa`akum fahal mim muddakir
Na bila ya shaka tumekwisha waangamiza wenzenu. Lakini yupo anaye kumbuka?
🎤 Rekodi yako:
54:52 🔁 0/5
وَكُلُّ شَيۡءٍ فَعَلُوهُ فِي ٱلزُّبُرِ  ۝٥٢
Wa kullu shai`in fa`aloohu fiz Zubur
Na kila jambo walilo lifanya limo vitabuni.
🎤 Rekodi yako:
54:53 🔁 0/5
وَكُلُّ صَغِيرٍ وَكَبِيرٍ مُّسۡتَطَرٌ  ۝٥٣
Wa kullu sagheerinw wa kabeerim mustatar
Na kila kidogo na kikubwa kimeandikwa.
🎤 Rekodi yako:
54:54 🔁 0/5
إِنَّ ٱلۡمُتَّقِينَ فِي جَنَّٰتٍ وَنَهَرٍ  ۝٥٤
Innal muttaqeena fee jannaatinw wa nahar
Hakika wachamngu watakuwa katika Mabustani na mito.
🎤 Rekodi yako:
54:55 🔁 0/5
فِي مَقۡعَدِ صِدۡقٍ عِندَ مَلِيكٍ مُّقۡتَدِرِۭ  ۝٥٥
Fee maq`adi sidqin `inda Maleekim Muqtadir
Katika makalio ya haki kwa Mfalme Mwenye uweza.
🎤 Rekodi yako:
💡 Gusa neno lililofichwa ili lionekane kwa muda — maendeleo yako yanahifadhiwa kiotomatiki.

🎉
🎊 Hongera! Umemaliza Kuhifadhi
Mishary Rashid Alafasy
Mahmoud Khalil Al-Husary
Abdurrahman As-Sudais
Mohamed Siddiq Al-Minshawi
Abdul Basit Abdul Samad
Ali Al-Hudhaify
Ahmed ibn Ali al-Ajamy
Abu Bakr Ash-Shaatree
Muhammad Ayyoub
Abdullah Basfar
Abdullah Al-Juhani
Maher Al Muaiqly
0:00
0:00
-

Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema