🔥 0 siku mfululizo
📖 Sura ndefu — imegawanywa sehemu ndogo (55 Aya)
0/55
54:1
🔁 0/5
ٱقۡتَرَبَتِ ٱلسَّاعَةُ وَٱنشَقَّ ٱلۡقَمَرُ ١
Iqtarabatis Saa`atu wsan shaqqal qamar
Saa imekaribia, na mwezi umepasuka!
🎤 Rekodi yako:
54:2
🔁 0/5
وَإِن يَرَوۡاْ ءَايَةً يُعۡرِضُواْ وَيَقُولُواْ سِحۡرٌ مُّسۡتَمِرٌّ ٢
Wa iny yaraw aayatany yu`ridoo wa yaqooloo sihrum mustamirr
Na wakiona Ishara hugeuka upande na husema: Huu uchawi tu unazidi kuendelea.
🎤 Rekodi yako:
54:3
🔁 0/5
وَكَذَّبُواْ وَٱتَّبَعُوٓاْ أَهۡوَآءَهُمۡۚ وَكُلُّ أَمۡرٍ مُّسۡتَقِرٌّ ٣
Wa kazzaboo wattaba`ooo ahwaaa`ahum; wa kullu amrim mustaqirr
Na wamekanusha na wamefuata matamanio yao. Na kila jambo ni lenye kuthibiti.
🎤 Rekodi yako:
54:4
🔁 0/5
وَلَقَدۡ جَآءَهُم مِّنَ ٱلۡأَنۢبَآءِ مَا فِيهِ مُزۡدَجَرٌ ٤
Wa laqad jaaa`ahum minal ambaaa`i maa feehi muzdajar
Na bila ya shaka zimewajia khabari zenye makaripio.
🎤 Rekodi yako:
54:5
🔁 0/5
حِكۡمَةُۢ بَٰلِغَةٌۖ فَمَا تُغۡنِ ٱلنُّذُرُ ٥
Hikmatum baalighatun famaa tughnin nuzur
Hikima kaamili; lakini maonyo hayafai kitu!
🎤 Rekodi yako:
54:6
🔁 0/5
فَتَوَلَّ عَنۡهُمۡۘ يَوۡمَ يَدۡعُ ٱلدَّاعِ إِلَىٰ شَيۡءٍ نُّكُرٍ ٦
Fatawalla `anhum; yawma yad`ud daa`i ilaa shai `in nukur
Basi jiepushe nao. Siku atakapo ita mwitaji kuliendea jambo linalo chusha;
🎤 Rekodi yako:
54:7
🔁 0/5
خُشَّعًا أَبۡصَٰرُهُمۡ يَخۡرُجُونَ مِنَ ٱلۡأَجۡدَاثِ كَأَنَّهُمۡ جَرَادٌ مُّنتَشِرٌ ٧
khushsha`an absaaruhum yakrujoona minal ajdaasi ka annahum jaraadum muntashir
Macho yao yatainama; watatoka makaburini kama nzige walio tawanyika,
🎤 Rekodi yako:
54:8
🔁 0/5
مُّهۡطِعِينَ إِلَى ٱلدَّاعِۖ يَقُولُ ٱلۡكَٰفِرُونَ هَٰذَا يَوۡمٌ عَسِرٌ ٨
Muhti`eena ilad daa`i yaqoolul kafiroona haazaa yawmun `asir
Wanamkimbilia mwitaji, na makafiri wanasema: Hii ni siku ngumu.
🎤 Rekodi yako:
54:9
🔁 0/5
۞ كَذَّبَتۡ قَبۡلَهُمۡ قَوۡمُ نُوحٍ فَكَذَّبُواْ عَبۡدَنَا وَقَالُواْ مَجۡنُونٌ وَٱزۡدُجِرَ ٩
Kazzabat qablahum qawmu Noohin fakazzaboo `abdanaa wa qaaloo majnoo nunw wazdujir
Kabla yao kaumu ya Nuhu walikanusha; wakamkanusha mja wetu, na wakasema ni mwendawazimu, na akakaripiwa.
🎤 Rekodi yako:
54:10
🔁 0/5
فَدَعَا رَبَّهُۥٓ أَنِّي مَغۡلُوبٌ فَٱنتَصِرۡ ١٠
Fada`aa Rabbahooo annee maghloobun fantasir
Basi akamwomba Mola wake Mlezi akasema: Kwa hakika mimi nimeshindwa, basi ninusuru!
🎤 Rekodi yako:
54:11
🔁 0/5
فَفَتَحۡنَآ أَبۡوَٰبَ ٱلسَّمَآءِ بِمَآءٍ مُّنۡهَمِرٍ ١١
Fafatahnaaa abwaabas sa maaa`i bimaa`im munhamir
Basi tukaifungua milango ya mbingu kwa maji yanayo miminika.
🎤 Rekodi yako:
54:12
🔁 0/5
وَفَجَّرۡنَا ٱلۡأَرۡضَ عُيُونًا فَٱلۡتَقَى ٱلۡمَآءُ عَلَىٰٓ أَمۡرٍ قَدۡ قُدِرَ ١٢
Wa fajjamal arda `uyoonan faltaqal maaa`u `alaaa amrin qad qudir
Na tukazipasua ardhi kwa chemchem, yakakutana maji kwa jambo lilio kadiriwa.
🎤 Rekodi yako:
54:13
🔁 0/5
وَحَمَلۡنَٰهُ عَلَىٰ ذَاتِ أَلۡوَٰحٍ وَدُسُرٍ ١٣
Wa hamalnaahu `alaa zaati alwaahinw wa dusur
Na tukamchukua kwenye safina ya mbao na kamba.
🎤 Rekodi yako:
54:14
🔁 0/5
تَجۡرِي بِأَعۡيُنِنَا جَزَآءً لِّمَن كَانَ كُفِرَ ١٤
Tajree bi a`yuninaa jazaaa `al liman kaana kufir
Ikawa inakwenda kwa nadhari yetu, kuwa ni malipo kwa alivyo kuwa amekanushwa.
🎤 Rekodi yako:
54:15
🔁 0/5
وَلَقَد تَّرَكۡنَٰهَآ ءَايَةً فَهَلۡ مِن مُّدَّكِرٍ ١٥
Wa laqat taraknaahaad aayatan fahal mim muddakir
Na bila ya shaka tuliiacha iwe ni Ishara. Lakini je, yupo anaye kumbuka?
🎤 Rekodi yako:
54:16
🔁 0/5
فَكَيۡفَ كَانَ عَذَابِي وَنُذُرِ ١٦
Fakaifa kaana `azaabee wa nuzur
Basi ilikuwaje adhabu yangu, na maonyo yangu.
🎤 Rekodi yako:
54:17
🔁 0/5
وَلَقَدۡ يَسَّرۡنَا ٱلۡقُرۡءَانَ لِلذِّكۡرِ فَهَلۡ مِن مُّدَّكِرٍ ١٧
Wa laqad yassamal Quraana liz zikri fahal mimmuddakir
Na bila ya shaka Sisi tumeifanya Qur'ani iwe nyepesi kufahamika. Lakini yupo anaye kumbuka?
🎤 Rekodi yako:
54:18
🔁 0/5
كَذَّبَتۡ عَادٌ فَكَيۡفَ كَانَ عَذَابِي وَنُذُرِ ١٨
Kazzabat `Aadun fakaifa kaana `azaabee wa nuzur
Kina A'di walikanusha. Basi ilikuwaje adhabu yangu na maonyo yangu?
🎤 Rekodi yako:
54:19
🔁 0/5
إِنَّآ أَرۡسَلۡنَا عَلَيۡهِمۡ رِيحًا صَرۡصَرًا فِي يَوۡمِ نَحۡسٍ مُّسۡتَمِرٍّ ١٩
Innaa arsalnaa `alaihim reehan sarsaran fee Yawmi nahsim mustamirr
Hakika Sisi tuliwapelekea upepo wa kimbunga katika siku korofi mfululizo,
🎤 Rekodi yako:
54:20
🔁 0/5
تَنزِعُ ٱلنَّاسَ كَأَنَّهُمۡ أَعۡجَازُ نَخۡلٍ مُّنقَعِرٍ ٢٠
Tanzi;un naasa ka anna huma`jaazu nakhlim munqa`ir
Ukiwang'oa watu kama vigogo vya mitende vilio ng'olewa.
🎤 Rekodi yako:
54:21
🔁 0/5
فَكَيۡفَ كَانَ عَذَابِي وَنُذُرِ ٢١
Fakaifa kaana `azaabee wa nuzur
Basi ilikuwaje adhabu yangu na maonyo yangu?
🎤 Rekodi yako:
54:22
🔁 0/5
وَلَقَدۡ يَسَّرۡنَا ٱلۡقُرۡءَانَ لِلذِّكۡرِ فَهَلۡ مِن مُّدَّكِرٍ ٢٢
Wa laqad yassamal Quraana liz zikri fahal mim muddakir
Na bila ya shaka Sisi tumeifanya Qur'ani nyepesi kufahamika; lakini yupo anaye kumbuka?
🎤 Rekodi yako:
54:23
🔁 0/5
كَذَّبَتۡ ثَمُودُ بِٱلنُّذُرِ ٢٣
Kazzabat Samoodu binnuzur
Thamudi waliwakanusha Waonyaji.
🎤 Rekodi yako:
54:24
🔁 0/5
فَقَالُوٓاْ أَبَشَرًا مِّنَّا وَٰحِدًا نَّتَّبِعُهُۥٓ إِنَّآ إِذًا لَّفِي ضَلَٰلٍ وَسُعُرٍ ٢٤
Faqaalooo a-basharam minnaa waahidan nattabi`uhooo innaa izal lafee dalaalinw wa su`ur
Wakasema: Ati tumfuate binaadamu mmoja katika sisi? Basi hivyo sisi tutakuwa katika upotofu na kichaa!
🎤 Rekodi yako:
54:25
🔁 0/5
أَءُلۡقِيَ ٱلذِّكۡرُ عَلَيۡهِ مِنۢ بَيۡنِنَا بَلۡ هُوَ كَذَّابٌ أَشِرٌ ٢٥
A-ulqiyaz zikru `alaihi mim baininaa bal huwa kazzaabun ashir
Ni yeye tu aliye teremshiwa huo ukumbusho kati yetu sote? Bali huyu ni mwongo mwenye kiburi!
🎤 Rekodi yako:
54:26
🔁 0/5
سَيَعۡلَمُونَ غَدًا مَّنِ ٱلۡكَذَّابُ ٱلۡأَشِرُ ٢٦
Sa-ya`lamoona ghadam manil kazzaabul ashir
Kesho watajua ni nani huyo mwongo mwenye kiburi.
🎤 Rekodi yako:
54:27
🔁 0/5
إِنَّا مُرۡسِلُواْ ٱلنَّاقَةِ فِتۡنَةً لَّهُمۡ فَٱرۡتَقِبۡهُمۡ وَٱصۡطَبِرۡ ٢٧
Innaa mursilun naaqati fitnatal lahum fartaqibhum wastabir
Hakika Sisi tutawapelekea ngamia jike ili kuwajaribu, basi watazame tu na ustahamili.
🎤 Rekodi yako:
54:28
🔁 0/5
وَنَبِّئۡهُمۡ أَنَّ ٱلۡمَآءَ قِسۡمَةُۢ بَيۡنَهُمۡۖ كُلُّ شِرۡبٍ مُّحۡتَضَرٌ ٢٨
Wa nabbi`hum annal maaa`a qismatum bainahum kullu shirbim muhtadar
Na waambie kwamba maji yatagawanywa baina yao; kila sehemu ya maji itahudhuriwa na aliye khusika.
🎤 Rekodi yako:
54:29
🔁 0/5
فَنَادَوۡاْ صَاحِبَهُمۡ فَتَعَاطَىٰ فَعَقَرَ ٢٩
Fanaadaw saahibahum fata`aataa fa`aqar
Basi wakamwita mtu wao akaja akamchinja.
🎤 Rekodi yako:
54:30
🔁 0/5
فَكَيۡفَ كَانَ عَذَابِي وَنُذُرِ ٣٠
Fakaifa kaana `azaabee wa nuzur
Basi ilikuwaje adhabu yangu na maonyo yangu!
🎤 Rekodi yako:
54:31
🔁 0/5
إِنَّآ أَرۡسَلۡنَا عَلَيۡهِمۡ صَيۡحَةً وَٰحِدَةً فَكَانُواْ كَهَشِيمِ ٱلۡمُحۡتَظِرِ ٣١
Innaaa arsalnaa `alaihim saihatanw waahidatan fakaano kahasheemil muhtazir
Hakika Sisi tuliwapelekea ukelele mmoja tu, wakawa kama mabuwa ya kujengea uwa.
🎤 Rekodi yako:
54:32
🔁 0/5
وَلَقَدۡ يَسَّرۡنَا ٱلۡقُرۡءَانَ لِلذِّكۡرِ فَهَلۡ مِن مُّدَّكِرٍ ٣٢
Wa laqad yassarnal quraana liz zikri fahal mim muddakir
Na bila ya shaka Sisi tumeifanya Qur'ani iwe nyepesi kwa kukumbuka, lakini yupo akumbukaye?
🎤 Rekodi yako:
54:33
🔁 0/5
كَذَّبَتۡ قَوۡمُ لُوطِۭ بِٱلنُّذُرِ ٣٣
Kazzabat qawmu lootim binnuzur
Kaumu Lut'i nao waliwakadhibisha Waonyaji.
🎤 Rekodi yako:
54:34
🔁 0/5
إِنَّآ أَرۡسَلۡنَا عَلَيۡهِمۡ حَاصِبًا إِلَّآ ءَالَ لُوطٍۖ نَّجَّيۡنَٰهُم بِسَحَرٍ ٣٤
Innaa arsalnaa `alaihim haasiban illaaa aala Loot najjainaahum bisahar
Hakika Sisi tukawapelekea kimbunga cha vijiwe, isipo kuwa wafuasi wa Lut'i. Hao tuliwaokoa karibu na alfajiri.
🎤 Rekodi yako:
54:35
🔁 0/5
نِّعۡمَةً مِّنۡ عِندِنَاۚ كَذَٰلِكَ نَجۡزِي مَن شَكَرَ ٣٥
Ni`matam min `indinaa; kazaalika najzee man shakar
Kwa neema inayo toka kwetu. Hivyo ndivyo tumlipavyo anaye shukuru.
🎤 Rekodi yako:
54:36
🔁 0/5
وَلَقَدۡ أَنذَرَهُم بَطۡشَتَنَا فَتَمَارَوۡاْ بِٱلنُّذُرِ ٣٦
Wa laqad anzarahum batshatanaa fatamaaraw binnuzur
Na hakika yeye aliwaonya adhabu yetu; lakini wao waliyatilia shaka hayo maonyo.
🎤 Rekodi yako:
54:37
🔁 0/5
وَلَقَدۡ رَٰوَدُوهُ عَن ضَيۡفِهِۦ فَطَمَسۡنَآ أَعۡيُنَهُمۡ فَذُوقُواْ عَذَابِي وَنُذُرِ ٣٧
Wa laqad raawadoohu `andaifee fatamasnaaa a`yunahum fazooqoo `azaabee wa nuzur
Na walimtaka awape wageni wake. Tukayapofua macho yao, na tukawaambia: Onjeni basi adhabu na maonyo yangu!
🎤 Rekodi yako:
54:38
🔁 0/5
وَلَقَدۡ صَبَّحَهُم بُكۡرَةً عَذَابٌ مُّسۡتَقِرٌّ ٣٨
Wa laqad sabbahahum bukratan `azaabum mustaqirr
Na iliwafikia wakati wa asubuhi adhabu yangu ya kuendelea.
🎤 Rekodi yako:
54:39
🔁 0/5
فَذُوقُواْ عَذَابِي وَنُذُرِ ٣٩
Fazooqoo `azaabee wa nuzur
Basi onjeni adhabu na maonyo yangu!
🎤 Rekodi yako:
54:40
🔁 0/5
وَلَقَدۡ يَسَّرۡنَا ٱلۡقُرۡءَانَ لِلذِّكۡرِ فَهَلۡ مِن مُّدَّكِرٍ ٤٠
Wa laqad yassarnal Quraana liz zikri fahal mim muddakir
Na hakika tumeisahilisha Qur'ani kuikumbuka. Lakini yupo anaye kumbuka?
🎤 Rekodi yako:
54:41
🔁 0/5
وَلَقَدۡ جَآءَ ءَالَ فِرۡعَوۡنَ ٱلنُّذُرُ ٤١
Wa laqad jaaa`a Aala Fir`awnan nuzur
Na Waonyaji waliwafikia watu wa Firauni.
🎤 Rekodi yako:
54:42
🔁 0/5
كَذَّبُواْ بِـَٔايَٰتِنَا كُلِّهَا فَأَخَذۡنَٰهُمۡ أَخۡذَ عَزِيزٍ مُّقۡتَدِرٍ ٤٢
Kazzaboo bi Aayaatinaa kullihaa fa akhaznaahum akhza `azeezim muqtadir
Walizikadhibisha Ishara zetu zote, nasi tukawashika kama anavyo shika Mwenye nguvu Mwenye uweza.
🎤 Rekodi yako:
54:43
🔁 0/5
أَكُفَّارُكُمۡ خَيۡرٌ مِّنۡ أُوْلَٰٓئِكُمۡ أَمۡ لَكُم بَرَآءَةٌ فِي ٱلزُّبُرِ ٤٣
Akuffaarukum khairum min ulaaa`ikum am lakum baraaa`atun fiz Zubur
Je! Makafiri wenu ni bora kuliko hao, au yameandikwa vitabuni kuwa nyinyi hamtiwi makosani?
🎤 Rekodi yako:
54:44
🔁 0/5
أَمۡ يَقُولُونَ نَحۡنُ جَمِيعٌ مُّنتَصِرٌ ٤٤
Am yaqooloona nahnu jamee`um muntasir
Au ndio wanasema: Sisi ni wengi tutashinda tu.
🎤 Rekodi yako:
54:45
🔁 0/5
سَيُهۡزَمُ ٱلۡجَمۡعُ وَيُوَلُّونَ ٱلدُّبُرَ ٤٥
Sa yuhzamul jam`u wa yuwalloonad dubur
Wingi wao huu utashindwa, na wao watasukumwa nyuma.
🎤 Rekodi yako:
54:46
🔁 0/5
بَلِ ٱلسَّاعَةُ مَوۡعِدُهُمۡ وَٱلسَّاعَةُ أَدۡهَىٰ وَأَمَرُّ ٤٦
Balis Saa`atu maw`iduhum was Saa`atu adhaa wa amarr
Bali Saa ya Kiyama ndio miadi yao, na Saa hiyo ni nzito zaidi na chungu zaidi.
🎤 Rekodi yako:
54:47
🔁 0/5
إِنَّ ٱلۡمُجۡرِمِينَ فِي ضَلَٰلٍ وَسُعُرٍ ٤٧
Innal mujrimeena fee dalaalinw wa su`ur
Hakika wakosefu wamo katika upotofu na wazimu.
🎤 Rekodi yako:
54:48
🔁 0/5
يَوۡمَ يُسۡحَبُونَ فِي ٱلنَّارِ عَلَىٰ وُجُوهِهِمۡ ذُوقُواْ مَسَّ سَقَرَ ٤٨
Yawma yushaboona fin Naari`alaa wujoohimim zooqoo massa saqar
Siku watakapo kokotwa Motoni kifudifudi waambiwe: Onjeni mguso wa Jahannamu!
🎤 Rekodi yako:
54:49
🔁 0/5
إِنَّا كُلَّ شَيۡءٍ خَلَقۡنَٰهُ بِقَدَرٍ ٤٩
Innaa kulla shai`in khalaqnaahu biqadar
Kwa hakika Sisi tumekiumba kila kitu kwa kipimo.
🎤 Rekodi yako:
54:50
🔁 0/5
وَمَآ أَمۡرُنَآ إِلَّا وَٰحِدَةٌ كَلَمۡحِۭ بِٱلۡبَصَرِ ٥٠
Wa maaa amrunaaa illaa waahidatun kalamhim bilbasar
Na amri yetu haikuwa ila ni moja tu, kama kupepesa jicho.
🎤 Rekodi yako:
54:51
🔁 0/5
وَلَقَدۡ أَهۡلَكۡنَآ أَشۡيَاعَكُمۡ فَهَلۡ مِن مُّدَّكِرٍ ٥١
Wa laqad ahlaknaaa ashyaa`akum fahal mim muddakir
Na bila ya shaka tumekwisha waangamiza wenzenu. Lakini yupo anaye kumbuka?
🎤 Rekodi yako:
54:52
🔁 0/5
وَكُلُّ شَيۡءٍ فَعَلُوهُ فِي ٱلزُّبُرِ ٥٢
Wa kullu shai`in fa`aloohu fiz Zubur
Na kila jambo walilo lifanya limo vitabuni.
🎤 Rekodi yako:
54:53
🔁 0/5
وَكُلُّ صَغِيرٍ وَكَبِيرٍ مُّسۡتَطَرٌ ٥٣
Wa kullu sagheerinw wa kabeerim mustatar
Na kila kidogo na kikubwa kimeandikwa.
🎤 Rekodi yako:
54:54
🔁 0/5
إِنَّ ٱلۡمُتَّقِينَ فِي جَنَّٰتٍ وَنَهَرٍ ٥٤
Innal muttaqeena fee jannaatinw wa nahar
Hakika wachamngu watakuwa katika Mabustani na mito.
🎤 Rekodi yako:
54:55
🔁 0/5
فِي مَقۡعَدِ صِدۡقٍ عِندَ مَلِيكٍ مُّقۡتَدِرِۭ ٥٥
Fee maq`adi sidqin `inda Maleekim Muqtadir
Katika makalio ya haki kwa Mfalme Mwenye uweza.
🎤 Rekodi yako:
💡 Gusa neno lililofichwa ili lionekane kwa muda — maendeleo yako yanahifadhiwa kiotomatiki.
العربيةEnglishBahasa IndonesiaTürkçeРусскийفارسیFrançaisاردوবাংলাDeutschEspañol中文हिन्दीPortuguêsItalianoภาษาไทยPolskiNederlandsShqipKiswahiliO'zbekதமிழ்MelayuBosanskiSoomaaliAzərbaycanکوردی한국어日本語SvenskaDanskNorskپښتوമലയാളംසිංහලTamazightHausaአማርኛБългарскиТоҷикӣҚазақшаFilipinoسنڌيYorùbáFulfuldeТатарчаئۇيغۇرچەКыргызчаਪੰਜਾਬੀJawaతెలుగుမြန်မာગુજરાતીOromoमराठीTiếng ViệtMalagasyНохчийнWolofދިވެހިಕನ್ನಡУкраїнськаΕλληνικάქართულიខ្មែរدریQafar afMaranaoनेपाली
Kurani Tukufu
Tuesday, August 18, 2026
Usitusahau katika dua zako njema







