🔥 0 siku mfululizo
📖 Sura ndefu — imegawanywa sehemu ndogo (44 Aya)
📚 Sura Zote
30%
🎤 Gusa ikoni ya maikrofoni 🎙️ karibu na aya yoyote ili kujirekodi, kisha sikiliza na ulinganishe na qari.
0/44
70:1 🔁 0/5
سَأَلَ سَآئِلُۢ بِعَذَابٍ وَاقِعٍ  ۝١
Sa ala saaa`ilum bi`azaa binw-waaqi
Muulizaji aliuliza juu ya adhabu itakayo tokea,
🎤 Rekodi yako:
70:2 🔁 0/5
لِّلۡكَٰفِرِينَ لَيۡسَ لَهُۥ دَافِعٌ  ۝٢
Lilkaafireen laisa lahoo daafi
Kwa makafiri - ambayo hapana awezaye kuizuia -
🎤 Rekodi yako:
70:3 🔁 0/5
مِّنَ ٱللَّهِ ذِي ٱلۡمَعَارِجِ  ۝٣
Minal laahi zil ma`aarij
Kutoka kwa Mwenyezi Mungu Mwenye mbingu za daraja.
🎤 Rekodi yako:
70:4 🔁 0/5
تَعۡرُجُ ٱلۡمَلَٰٓئِكَةُ وَٱلرُّوحُ إِلَيۡهِ فِي يَوۡمٍ كَانَ مِقۡدَارُهُۥ خَمۡسِينَ أَلۡفَ سَنَةٍ  ۝٤
Ta`rujul malaaa`ikatu war Roohu ilaihi fee yawmin kaana miqdaaruhoo khamseena alfa sanah
Malaika na Roho hupanda kwendea kwake katika siku ambayo kadiri yake ni miaka khamsini elfu!
🎤 Rekodi yako:
70:5 🔁 0/5
فَٱصۡبِرۡ صَبۡرًا جَمِيلًا  ۝٥
Fasbir ssabran jameelaa
Basi subiri kwa subira njema.
🎤 Rekodi yako:
70:6 🔁 0/5
إِنَّهُمۡ يَرَوۡنَهُۥ بَعِيدًا  ۝٦
Inaahum yarawnahoo ba`eedaa
Hakika wao wanaiona iko mbali,
🎤 Rekodi yako:
70:7 🔁 0/5
وَنَرَىٰهُ قَرِيبًا  ۝٧
Wa naraahu qareebaa
Na Sisi tunaiona iko karibu.
🎤 Rekodi yako:
70:8 🔁 0/5
يَوۡمَ تَكُونُ ٱلسَّمَآءُ كَٱلۡمُهۡلِ  ۝٨
Yawma takoonus samaaa`u kalmuhl
Siku ambayo mbingu zitakapo kuwa kama maadeni iliyo yayushwa.
🎤 Rekodi yako:
70:9 🔁 0/5
وَتَكُونُ ٱلۡجِبَالُ كَٱلۡعِهۡنِ  ۝٩
Wa takoonul jibaalu kal`ihn
Na milima itakuwa kama sufi.
🎤 Rekodi yako:
70:10 🔁 0/5
وَلَا يَسۡـَٔلُ حَمِيمٌ حَمِيمًا  ۝١٠
Wa laa yas`alu hameemun hameemaa
Wala jamaa hatamuuliza jamaa yake.
🎤 Rekodi yako:
70:11 🔁 0/5
يُبَصَّرُونَهُمۡۚ يَوَدُّ ٱلۡمُجۡرِمُ لَوۡ يَفۡتَدِي مِنۡ عَذَابِ يَوۡمِئِذِۭ بِبَنِيهِ  ۝١١
Yubassaroonahum; ya waddul mujrimu law yaftadee min `azaabi yawma`izim bibaneeh
Ijapo kuwa wataonyeshwa waonane. Atatamani mkosefu lau ajikomboe na adhabu ya siku hiyo kwa kuwatoa fidia wanawe,
🎤 Rekodi yako:
70:12 🔁 0/5
وَصَٰحِبَتِهِۦ وَأَخِيهِ  ۝١٢
Wa saahibatihee wa akheeh
Na mkewe, na nduguye,
🎤 Rekodi yako:
70:13 🔁 0/5
وَفَصِيلَتِهِ ٱلَّتِي تُـٔۡوِيهِ  ۝١٣
Wa faseelathil latee tu`weeh
Na jamaa zake walio kuwa wakimkimu,
🎤 Rekodi yako:
70:14 🔁 0/5
وَمَن فِي ٱلۡأَرۡضِ جَمِيعًا ثُمَّ يُنجِيهِ  ۝١٤
Wa man fil ardi jamee`an summa yunjeeh
Na wote waliomo duniani, kisha aokoke yeye.
🎤 Rekodi yako:
70:15 🔁 0/5
كـَلَّآۖ إِنَّهَا لَظَىٰ  ۝١٥
Kallaa innahaa lazaa
La, hasha! Kwa hakika huo ni Moto mkali kabisa,
🎤 Rekodi yako:
70:16 🔁 0/5
نَزَّاعَةً لِّلشَّوَىٰ  ۝١٦
Nazzaa`atal lishshawaa
Unao babua ngozi ya kichwa!
🎤 Rekodi yako:
70:17 🔁 0/5
تَدۡعُواْ مَنۡ أَدۡبَرَ وَتَوَلَّىٰ  ۝١٧
Tad`oo man adbara wa tawallaa
Utamwita kila aliye geuza mgongo na akageuka.
🎤 Rekodi yako:
70:18 🔁 0/5
وَجَمَعَ فَأَوۡعَىٰٓ  ۝١٨
W jama`a fa aw`aa
Na akakusanya mali, kisha akayahifadhi.
🎤 Rekodi yako:
70:19 🔁 0/5
۞ إِنَّ ٱلۡإِنسَٰنَ خُلِقَ هَلُوعًا  ۝١٩
Innal insaana khuliqa haloo`aa
Hakika mtu ameumbwa na papara.
🎤 Rekodi yako:
70:20 🔁 0/5
إِذَا مَسَّهُ ٱلشَّرُّ جَزُوعًا  ۝٢٠
Izaa massahush sharru jazoo`aa
Inapo mgusa shari hupapatika.
🎤 Rekodi yako:
70:21 🔁 0/5
وَإِذَا مَسَّهُ ٱلۡخَيۡرُ مَنُوعًا  ۝٢١
Wa izaa massahul khairu manoo`aa
Na inapo mgusa kheri huizuilia.
🎤 Rekodi yako:
70:22 🔁 0/5
إِلَّا ٱلۡمُصَلِّينَ  ۝٢٢
Illal musalleen
Isipo kuwa wanao sali,
🎤 Rekodi yako:
70:23 🔁 0/5
ٱلَّذِينَ هُمۡ عَلَىٰ صَلَاتِهِمۡ دَآئِمُونَ  ۝٢٣
Allazeena hum `alaa Salaatihim daaa`imoon
Ambao wanadumisha Sala zao,
🎤 Rekodi yako:
70:24 🔁 0/5
وَٱلَّذِينَ فِيٓ أَمۡوَٰلِهِمۡ حَقٌّ مَّعۡلُومٌ  ۝٢٤
Wallazeena feee amwaalihim haqqum ma`loom
Na ambao katika mali yao iko haki maalumu
🎤 Rekodi yako:
70:25 🔁 0/5
لِّلسَّآئِلِ وَٱلۡمَحۡرُومِ  ۝٢٥
Lissaaa `ili walmahroom
Kwa mwenye kuomba na anaye jizuilia kuomba;
🎤 Rekodi yako:
70:26 🔁 0/5
وَٱلَّذِينَ يُصَدِّقُونَ بِيَوۡمِ ٱلدِّينِ  ۝٢٦
Wallazeena yusaddiqoona bi yawmid Deen
Na ambao wanaisadiki Siku ya Malipo,
🎤 Rekodi yako:
70:27 🔁 0/5
وَٱلَّذِينَ هُم مِّنۡ عَذَابِ رَبِّهِم مُّشۡفِقُونَ  ۝٢٧
Wallazeena hum min `azaabi Rabbihim mushfiqoon
Na ambao wanaiogopa adhabu itokayo kwa Mola wao Mlezi.
🎤 Rekodi yako:
70:28 🔁 0/5
إِنَّ عَذَابَ رَبِّهِمۡ غَيۡرُ مَأۡمُونٍ  ۝٢٨
Inna `azaaba Rabbihim ghairu maamoon
Hakika adhabu ya Mola wao Mlezi si ya kuaminika nayo.
🎤 Rekodi yako:
70:29 🔁 0/5
وَٱلَّذِينَ هُمۡ لِفُرُوجِهِمۡ حَٰفِظُونَ  ۝٢٩
Wallazeena hum lifuroo jihim haafizoon
Na ambao wanahifadhi tupu zao.
🎤 Rekodi yako:
70:30 🔁 0/5
إِلَّا عَلَىٰٓ أَزۡوَٰجِهِمۡ أَوۡ مَا مَلَكَتۡ أَيۡمَٰنُهُمۡ فَإِنَّهُمۡ غَيۡرُ مَلُومِينَ  ۝٣٠
Illaa `alaaa azwaajihim aw maa malakat aymaanuhum fainnahum ghairu maloomeen
Isipo kuwa kwa wake zao, au iliyo wamiliki mikono yao ya kuume, basi hao hawalaumiwi -
🎤 Rekodi yako:
70:31 🔁 0/5
فَمَنِ ٱبۡتَغَىٰ وَرَآءَ ذَٰلِكَ فَأُوْلَٰٓئِكَ هُمُ ٱلۡعَادُونَ  ۝٣١
Famanib taghaa waraaa`a zaalika fa ulaaa`ika humul `aadoon
Lakini wanao taka kinyume ya haya, basi hao ndio wanao ruka mipaka.
🎤 Rekodi yako:
70:32 🔁 0/5
وَٱلَّذِينَ هُمۡ لِأَمَٰنَٰتِهِمۡ وَعَهۡدِهِمۡ رَٰعُونَ  ۝٣٢
Wallazeena hum li amaa naatihim wa `ahdihim raa`oon
Na ambao wanazichunga amana zao na ahadi zao,
🎤 Rekodi yako:
70:33 🔁 0/5
وَٱلَّذِينَ هُم بِشَهَٰدَٰتِهِمۡ قَآئِمُونَ  ۝٣٣
Wallazeena hum bishahaadaatihim qaaa`imoon
Na ambao wanasimama imara katika ushahidi wao,
🎤 Rekodi yako:
70:34 🔁 0/5
وَٱلَّذِينَ هُمۡ عَلَىٰ صَلَاتِهِمۡ يُحَافِظُونَ  ۝٣٤
Wallazeena hum `alaa salaatihim yuhaafizoon
Na ambao wanazihifadhi Sala zao.
🎤 Rekodi yako:
70:35 🔁 0/5
أُوْلَٰٓئِكَ فِي جَنَّٰتٍ مُّكۡرَمُونَ  ۝٣٥
Ulaaa`ika fee jannaatim mukramoon
Hao ndio watakao hishimiwa Peponi.
🎤 Rekodi yako:
70:36 🔁 0/5
فَمَالِ ٱلَّذِينَ كَفَرُواْ قِبَلَكَ مُهۡطِعِينَ  ۝٣٦
Famaa lil lazeena kafaroo qibalaka muhti`een
Wana nini wale walio kufuru wanakutumbulia macho tu?
🎤 Rekodi yako:
70:37 🔁 0/5
عَنِ ٱلۡيَمِينِ وَعَنِ ٱلشِّمَالِ عِزِينَ  ۝٣٧
Anil yameeni wa `anish shimaali `izeen
Makundi kwa makundi upande wa kulia na upande wa kushoto!
🎤 Rekodi yako:
70:38 🔁 0/5
أَيَطۡمَعُ كُلُّ ٱمۡرِيٍٕ مِّنۡهُمۡ أَن يُدۡخَلَ جَنَّةَ نَعِيمٍ  ۝٣٨
Ayatma`u kullum ri`im minhum anyyudkhala jannata Na`eem
Kwani kila mmoja wao anatumai kuingizwa katika Pepo ya neema?
🎤 Rekodi yako:
70:39 🔁 0/5
كـَلَّآۖ إِنَّا خَلَقۡنَٰهُم مِّمَّا يَعۡلَمُونَ  ۝٣٩
Kallaaa innaa khalaq nahum mimmaa ya`lamoon
La, hasha! Hakika Sisi tumewaumba kutokana na wanacho kijua.
🎤 Rekodi yako:
70:40 🔁 0/5
فَلَآ أُقۡسِمُ بِرَبِّ ٱلۡمَشَٰرِقِ وَٱلۡمَغَٰرِبِ إِنَّا لَقَٰدِرُونَ  ۝٤٠
Falaaa uqsimu bi Rabbil mashaariqi wal maghaaribi innaa laqaadiroon
Basi naapa kwa Mola Mlezi wa mashariki zote na magharibi zote kwamba Sisi tunaweza
🎤 Rekodi yako:
70:41 🔁 0/5
عَلَىٰٓ أَن نُّبَدِّلَ خَيۡرًا مِّنۡهُمۡ وَمَا نَحۡنُ بِمَسۡبُوقِينَ  ۝٤١
Alaaa an nubaddila khairam minhum wa maa Nahnu bimasbooqeen
Kuwabadili kwa walio bora kuliko wao; na Sisi hatushindwi.
🎤 Rekodi yako:
70:42 🔁 0/5
فَذَرۡهُمۡ يَخُوضُواْ وَيَلۡعَبُواْ حَتَّىٰ يُلَٰقُواْ يَوۡمَهُمُ ٱلَّذِي يُوعَدُونَ  ۝٤٢
Fazarhum yakhoodoo wa yal`aboo hattaa yulaaqoo yaw mahumul lazee yoo`adoon
Basi waache wapige porojo na wacheze, mpaka wakutane na siku yao wanayo ahidiwa,
🎤 Rekodi yako:
70:43 🔁 0/5
يَوۡمَ يَخۡرُجُونَ مِنَ ٱلۡأَجۡدَاثِ سِرَاعًا كَأَنَّهُمۡ إِلَىٰ نُصُبٍ يُوفِضُونَ  ۝٤٣
Yawma yakhrujoona minal ajdaasi siraa`an ka anna hum ilaa nusubiny yoofidoon
Siku watakapotoka makaburini kwa upesi kama kwamba wanakimbilia mfundo,
🎤 Rekodi yako:
70:44 🔁 0/5
خَٰشِعَةً أَبۡصَٰرُهُمۡ تَرۡهَقُهُمۡ ذِلَّةٌۚ ذَٰلِكَ ٱلۡيَوۡمُ ٱلَّذِي كَانُواْ يُوعَدُونَ  ۝٤٤
Khaashi`atan absaaruhum tarhaquhum zillah; zaalikal yawmul lazee kaanoo yoo`adoon
Macho yao yatainama, fedheha itawafunika. Hiyo ndiyo Siku waliyo kuwa wakiahidiwa.
🎤 Rekodi yako:
💡 Gusa neno lililofichwa ili lionekane kwa muda — maendeleo yako yanahifadhiwa kiotomatiki.

🎉
🎊 Hongera! Umemaliza Kuhifadhi
Mishary Rashid Alafasy
Mahmoud Khalil Al-Husary
Abdurrahman As-Sudais
Mohamed Siddiq Al-Minshawi
Abdul Basit Abdul Samad
Ali Al-Hudhaify
Ahmed ibn Ali al-Ajamy
Abu Bakr Ash-Shaatree
Muhammad Ayyoub
Abdullah Basfar
Abdullah Al-Juhani
Maher Al Muaiqly
0:00
0:00
-

Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema