🔥 0 siku mfululizo
📖 Sura ndefu — imegawanywa sehemu ndogo (44 Aya)
0/44
70:1
🔁 0/5
سَأَلَ سَآئِلُۢ بِعَذَابٍ وَاقِعٍ ١
Sa ala saaa`ilum bi`azaa binw-waaqi
Muulizaji aliuliza juu ya adhabu itakayo tokea,
🎤 Rekodi yako:
70:2
🔁 0/5
لِّلۡكَٰفِرِينَ لَيۡسَ لَهُۥ دَافِعٌ ٢
Lilkaafireen laisa lahoo daafi
Kwa makafiri - ambayo hapana awezaye kuizuia -
🎤 Rekodi yako:
70:3
🔁 0/5
مِّنَ ٱللَّهِ ذِي ٱلۡمَعَارِجِ ٣
Minal laahi zil ma`aarij
Kutoka kwa Mwenyezi Mungu Mwenye mbingu za daraja.
🎤 Rekodi yako:
70:4
🔁 0/5
تَعۡرُجُ ٱلۡمَلَٰٓئِكَةُ وَٱلرُّوحُ إِلَيۡهِ فِي يَوۡمٍ كَانَ مِقۡدَارُهُۥ خَمۡسِينَ أَلۡفَ سَنَةٍ ٤
Ta`rujul malaaa`ikatu war Roohu ilaihi fee yawmin kaana miqdaaruhoo khamseena alfa sanah
Malaika na Roho hupanda kwendea kwake katika siku ambayo kadiri yake ni miaka khamsini elfu!
🎤 Rekodi yako:
70:5
🔁 0/5
فَٱصۡبِرۡ صَبۡرًا جَمِيلًا ٥
Fasbir ssabran jameelaa
Basi subiri kwa subira njema.
🎤 Rekodi yako:
70:6
🔁 0/5
إِنَّهُمۡ يَرَوۡنَهُۥ بَعِيدًا ٦
Inaahum yarawnahoo ba`eedaa
Hakika wao wanaiona iko mbali,
🎤 Rekodi yako:
70:7
🔁 0/5
وَنَرَىٰهُ قَرِيبًا ٧
Wa naraahu qareebaa
Na Sisi tunaiona iko karibu.
🎤 Rekodi yako:
70:8
🔁 0/5
يَوۡمَ تَكُونُ ٱلسَّمَآءُ كَٱلۡمُهۡلِ ٨
Yawma takoonus samaaa`u kalmuhl
Siku ambayo mbingu zitakapo kuwa kama maadeni iliyo yayushwa.
🎤 Rekodi yako:
70:9
🔁 0/5
وَتَكُونُ ٱلۡجِبَالُ كَٱلۡعِهۡنِ ٩
Wa takoonul jibaalu kal`ihn
Na milima itakuwa kama sufi.
🎤 Rekodi yako:
70:10
🔁 0/5
وَلَا يَسۡـَٔلُ حَمِيمٌ حَمِيمًا ١٠
Wa laa yas`alu hameemun hameemaa
Wala jamaa hatamuuliza jamaa yake.
🎤 Rekodi yako:
70:11
🔁 0/5
يُبَصَّرُونَهُمۡۚ يَوَدُّ ٱلۡمُجۡرِمُ لَوۡ يَفۡتَدِي مِنۡ عَذَابِ يَوۡمِئِذِۭ بِبَنِيهِ ١١
Yubassaroonahum; ya waddul mujrimu law yaftadee min `azaabi yawma`izim bibaneeh
Ijapo kuwa wataonyeshwa waonane. Atatamani mkosefu lau ajikomboe na adhabu ya siku hiyo kwa kuwatoa fidia wanawe,
🎤 Rekodi yako:
70:12
🔁 0/5
وَصَٰحِبَتِهِۦ وَأَخِيهِ ١٢
Wa saahibatihee wa akheeh
Na mkewe, na nduguye,
🎤 Rekodi yako:
70:13
🔁 0/5
وَفَصِيلَتِهِ ٱلَّتِي تُـٔۡوِيهِ ١٣
Wa faseelathil latee tu`weeh
Na jamaa zake walio kuwa wakimkimu,
🎤 Rekodi yako:
70:14
🔁 0/5
وَمَن فِي ٱلۡأَرۡضِ جَمِيعًا ثُمَّ يُنجِيهِ ١٤
Wa man fil ardi jamee`an summa yunjeeh
Na wote waliomo duniani, kisha aokoke yeye.
🎤 Rekodi yako:
70:15
🔁 0/5
كـَلَّآۖ إِنَّهَا لَظَىٰ ١٥
Kallaa innahaa lazaa
La, hasha! Kwa hakika huo ni Moto mkali kabisa,
🎤 Rekodi yako:
70:16
🔁 0/5
نَزَّاعَةً لِّلشَّوَىٰ ١٦
Nazzaa`atal lishshawaa
Unao babua ngozi ya kichwa!
🎤 Rekodi yako:
70:17
🔁 0/5
تَدۡعُواْ مَنۡ أَدۡبَرَ وَتَوَلَّىٰ ١٧
Tad`oo man adbara wa tawallaa
Utamwita kila aliye geuza mgongo na akageuka.
🎤 Rekodi yako:
70:18
🔁 0/5
وَجَمَعَ فَأَوۡعَىٰٓ ١٨
W jama`a fa aw`aa
Na akakusanya mali, kisha akayahifadhi.
🎤 Rekodi yako:
70:19
🔁 0/5
۞ إِنَّ ٱلۡإِنسَٰنَ خُلِقَ هَلُوعًا ١٩
Innal insaana khuliqa haloo`aa
Hakika mtu ameumbwa na papara.
🎤 Rekodi yako:
70:20
🔁 0/5
إِذَا مَسَّهُ ٱلشَّرُّ جَزُوعًا ٢٠
Izaa massahush sharru jazoo`aa
Inapo mgusa shari hupapatika.
🎤 Rekodi yako:
70:21
🔁 0/5
وَإِذَا مَسَّهُ ٱلۡخَيۡرُ مَنُوعًا ٢١
Wa izaa massahul khairu manoo`aa
Na inapo mgusa kheri huizuilia.
🎤 Rekodi yako:
70:22
🔁 0/5
إِلَّا ٱلۡمُصَلِّينَ ٢٢
Illal musalleen
Isipo kuwa wanao sali,
🎤 Rekodi yako:
70:23
🔁 0/5
ٱلَّذِينَ هُمۡ عَلَىٰ صَلَاتِهِمۡ دَآئِمُونَ ٢٣
Allazeena hum `alaa Salaatihim daaa`imoon
Ambao wanadumisha Sala zao,
🎤 Rekodi yako:
70:24
🔁 0/5
وَٱلَّذِينَ فِيٓ أَمۡوَٰلِهِمۡ حَقٌّ مَّعۡلُومٌ ٢٤
Wallazeena feee amwaalihim haqqum ma`loom
Na ambao katika mali yao iko haki maalumu
🎤 Rekodi yako:
70:25
🔁 0/5
لِّلسَّآئِلِ وَٱلۡمَحۡرُومِ ٢٥
Lissaaa `ili walmahroom
Kwa mwenye kuomba na anaye jizuilia kuomba;
🎤 Rekodi yako:
70:26
🔁 0/5
وَٱلَّذِينَ يُصَدِّقُونَ بِيَوۡمِ ٱلدِّينِ ٢٦
Wallazeena yusaddiqoona bi yawmid Deen
Na ambao wanaisadiki Siku ya Malipo,
🎤 Rekodi yako:
70:27
🔁 0/5
وَٱلَّذِينَ هُم مِّنۡ عَذَابِ رَبِّهِم مُّشۡفِقُونَ ٢٧
Wallazeena hum min `azaabi Rabbihim mushfiqoon
Na ambao wanaiogopa adhabu itokayo kwa Mola wao Mlezi.
🎤 Rekodi yako:
70:28
🔁 0/5
إِنَّ عَذَابَ رَبِّهِمۡ غَيۡرُ مَأۡمُونٍ ٢٨
Inna `azaaba Rabbihim ghairu maamoon
Hakika adhabu ya Mola wao Mlezi si ya kuaminika nayo.
🎤 Rekodi yako:
70:29
🔁 0/5
وَٱلَّذِينَ هُمۡ لِفُرُوجِهِمۡ حَٰفِظُونَ ٢٩
Wallazeena hum lifuroo jihim haafizoon
Na ambao wanahifadhi tupu zao.
🎤 Rekodi yako:
70:30
🔁 0/5
إِلَّا عَلَىٰٓ أَزۡوَٰجِهِمۡ أَوۡ مَا مَلَكَتۡ أَيۡمَٰنُهُمۡ فَإِنَّهُمۡ غَيۡرُ مَلُومِينَ ٣٠
Illaa `alaaa azwaajihim aw maa malakat aymaanuhum fainnahum ghairu maloomeen
Isipo kuwa kwa wake zao, au iliyo wamiliki mikono yao ya kuume, basi hao hawalaumiwi -
🎤 Rekodi yako:
70:31
🔁 0/5
فَمَنِ ٱبۡتَغَىٰ وَرَآءَ ذَٰلِكَ فَأُوْلَٰٓئِكَ هُمُ ٱلۡعَادُونَ ٣١
Famanib taghaa waraaa`a zaalika fa ulaaa`ika humul `aadoon
Lakini wanao taka kinyume ya haya, basi hao ndio wanao ruka mipaka.
🎤 Rekodi yako:
70:32
🔁 0/5
وَٱلَّذِينَ هُمۡ لِأَمَٰنَٰتِهِمۡ وَعَهۡدِهِمۡ رَٰعُونَ ٣٢
Wallazeena hum li amaa naatihim wa `ahdihim raa`oon
Na ambao wanazichunga amana zao na ahadi zao,
🎤 Rekodi yako:
70:33
🔁 0/5
وَٱلَّذِينَ هُم بِشَهَٰدَٰتِهِمۡ قَآئِمُونَ ٣٣
Wallazeena hum bishahaadaatihim qaaa`imoon
Na ambao wanasimama imara katika ushahidi wao,
🎤 Rekodi yako:
70:34
🔁 0/5
وَٱلَّذِينَ هُمۡ عَلَىٰ صَلَاتِهِمۡ يُحَافِظُونَ ٣٤
Wallazeena hum `alaa salaatihim yuhaafizoon
Na ambao wanazihifadhi Sala zao.
🎤 Rekodi yako:
70:35
🔁 0/5
أُوْلَٰٓئِكَ فِي جَنَّٰتٍ مُّكۡرَمُونَ ٣٥
Ulaaa`ika fee jannaatim mukramoon
Hao ndio watakao hishimiwa Peponi.
🎤 Rekodi yako:
70:36
🔁 0/5
فَمَالِ ٱلَّذِينَ كَفَرُواْ قِبَلَكَ مُهۡطِعِينَ ٣٦
Famaa lil lazeena kafaroo qibalaka muhti`een
Wana nini wale walio kufuru wanakutumbulia macho tu?
🎤 Rekodi yako:
70:37
🔁 0/5
عَنِ ٱلۡيَمِينِ وَعَنِ ٱلشِّمَالِ عِزِينَ ٣٧
Anil yameeni wa `anish shimaali `izeen
Makundi kwa makundi upande wa kulia na upande wa kushoto!
🎤 Rekodi yako:
70:38
🔁 0/5
أَيَطۡمَعُ كُلُّ ٱمۡرِيٍٕ مِّنۡهُمۡ أَن يُدۡخَلَ جَنَّةَ نَعِيمٍ ٣٨
Ayatma`u kullum ri`im minhum anyyudkhala jannata Na`eem
Kwani kila mmoja wao anatumai kuingizwa katika Pepo ya neema?
🎤 Rekodi yako:
70:39
🔁 0/5
كـَلَّآۖ إِنَّا خَلَقۡنَٰهُم مِّمَّا يَعۡلَمُونَ ٣٩
Kallaaa innaa khalaq nahum mimmaa ya`lamoon
La, hasha! Hakika Sisi tumewaumba kutokana na wanacho kijua.
🎤 Rekodi yako:
70:40
🔁 0/5
فَلَآ أُقۡسِمُ بِرَبِّ ٱلۡمَشَٰرِقِ وَٱلۡمَغَٰرِبِ إِنَّا لَقَٰدِرُونَ ٤٠
Falaaa uqsimu bi Rabbil mashaariqi wal maghaaribi innaa laqaadiroon
Basi naapa kwa Mola Mlezi wa mashariki zote na magharibi zote kwamba Sisi tunaweza
🎤 Rekodi yako:
70:41
🔁 0/5
عَلَىٰٓ أَن نُّبَدِّلَ خَيۡرًا مِّنۡهُمۡ وَمَا نَحۡنُ بِمَسۡبُوقِينَ ٤١
Alaaa an nubaddila khairam minhum wa maa Nahnu bimasbooqeen
Kuwabadili kwa walio bora kuliko wao; na Sisi hatushindwi.
🎤 Rekodi yako:
70:42
🔁 0/5
فَذَرۡهُمۡ يَخُوضُواْ وَيَلۡعَبُواْ حَتَّىٰ يُلَٰقُواْ يَوۡمَهُمُ ٱلَّذِي يُوعَدُونَ ٤٢
Fazarhum yakhoodoo wa yal`aboo hattaa yulaaqoo yaw mahumul lazee yoo`adoon
Basi waache wapige porojo na wacheze, mpaka wakutane na siku yao wanayo ahidiwa,
🎤 Rekodi yako:
70:43
🔁 0/5
يَوۡمَ يَخۡرُجُونَ مِنَ ٱلۡأَجۡدَاثِ سِرَاعًا كَأَنَّهُمۡ إِلَىٰ نُصُبٍ يُوفِضُونَ ٤٣
Yawma yakhrujoona minal ajdaasi siraa`an ka anna hum ilaa nusubiny yoofidoon
Siku watakapotoka makaburini kwa upesi kama kwamba wanakimbilia mfundo,
🎤 Rekodi yako:
70:44
🔁 0/5
خَٰشِعَةً أَبۡصَٰرُهُمۡ تَرۡهَقُهُمۡ ذِلَّةٌۚ ذَٰلِكَ ٱلۡيَوۡمُ ٱلَّذِي كَانُواْ يُوعَدُونَ ٤٤
Khaashi`atan absaaruhum tarhaquhum zillah; zaalikal yawmul lazee kaanoo yoo`adoon
Macho yao yatainama, fedheha itawafunika. Hiyo ndiyo Siku waliyo kuwa wakiahidiwa.
🎤 Rekodi yako:
💡 Gusa neno lililofichwa ili lionekane kwa muda — maendeleo yako yanahifadhiwa kiotomatiki.
العربيةEnglishBahasa IndonesiaTürkçeРусскийفارسیFrançaisاردوবাংলাDeutschEspañol中文हिन्दीPortuguêsItalianoภาษาไทยPolskiNederlandsShqipKiswahiliO'zbekதமிழ்MelayuBosanskiSoomaaliAzərbaycanکوردی한국어日本語SvenskaDanskNorskپښتوമലയാളംසිංහලTamazightHausaአማርኛБългарскиТоҷикӣҚазақшаFilipinoسنڌيYorùbáFulfuldeТатарчаئۇيغۇرچەКыргызчаਪੰਜਾਬੀJawaతెలుగుမြန်မာગુજરાતીOromoमराठीTiếng ViệtMalagasyНохчийнWolofދިވެހިಕನ್ನಡУкраїнськаΕλληνικάქართულიខ្មែរدریQafar afMaranaoनेपाली
Kurani Tukufu
Tuesday, August 18, 2026
Usitusahau katika dua zako njema







