🔥 0 siku mfululizo
📖 Sura ndefu — imegawanywa sehemu ndogo (36 Aya)
0/36
83:1
🔁 0/5
وَيۡلٌ لِّلۡمُطَفِّفِينَ ١
Wailul lil mutaffifeen
Ole wao hao wapunjao!
🎤 Rekodi yako:
83:2
🔁 0/5
ٱلَّذِينَ إِذَا ٱكۡتَالُواْ عَلَى ٱلنَّاسِ يَسۡتَوۡفُونَ ٢
Allazeena izak taaloo `alan naasi yastawfoon
Ambao wanapo jipimia kwa watu hudai watimiziwe.
🎤 Rekodi yako:
83:3
🔁 0/5
وَإِذَا كَالُوهُمۡ أَو وَّزَنُوهُمۡ يُخۡسِرُونَ ٣
Wa izaa kaaloohum aw wazanoohum yukhsiroon
Na wao wanapo wapimia watu kwa kipimo au mizani hupunguza.
🎤 Rekodi yako:
83:4
🔁 0/5
أَلَا يَظُنُّ أُوْلَٰٓئِكَ أَنَّهُم مَّبۡعُوثُونَ ٤
Alaa yazunnu ulaaa`ika annahum mab`oosoon
Kwani hawadhani hao kwamba watafufuliwa
🎤 Rekodi yako:
83:5
🔁 0/5
لِيَوۡمٍ عَظِيمٍ ٥
Li Yawmin `Azeem
Katika Siku iliyo kuu,
🎤 Rekodi yako:
83:6
🔁 0/5
يَوۡمَ يَقُومُ ٱلنَّاسُ لِرَبِّ ٱلۡعَٰلَمِينَ ٦
Yawma yaqoomun naasu li Rabbil `aalameen
Siku watapo msimamia watu Mola Mlezi wa walimwengu wote?
🎤 Rekodi yako:
83:7
🔁 0/5
كـَلَّآ إِنَّ كِتَٰبَ ٱلۡفُجَّارِ لَفِي سِجِّينٍ ٧
Kallaaa inna kitaabal fujjaari lafee Sijjeen
Hasha! Hakika maandiko ya wakosefu bila ya shaka yamo katika Sijjin.
🎤 Rekodi yako:
83:8
🔁 0/5
وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا سِجِّينٌ ٨
Wa maa adraaka maa Sijjeen
Unajua nini Sijjin?
🎤 Rekodi yako:
83:9
🔁 0/5
كِتَٰبٌ مَّرۡقُومٌ ٩
Kitaabum marqoom
Kitabu kilicho andikwa.
🎤 Rekodi yako:
83:10
🔁 0/5
وَيۡلٌ يَوۡمَئِذٍ لِّلۡمُكَذِّبِينَ ١٠
Wailuny yawma`izil lil mukazzibeen
Ole wao siku hiyo kwa wanao kadhibisha!
🎤 Rekodi yako:
83:11
🔁 0/5
ٱلَّذِينَ يُكَذِّبُونَ بِيَوۡمِ ٱلدِّينِ ١١
Allazeena yukazziboona bi yawmid deen
Ambao wanaikadhibisha Siku ya Malipo.
🎤 Rekodi yako:
83:12
🔁 0/5
وَمَا يُكَذِّبُ بِهِۦٓ إِلَّا كُلُّ مُعۡتَدٍ أَثِيمٍ ١٢
Wa maa yukazzibu biheee illaa kullu mu`tadin aseem
Wala haikadhibishi ila kila mwenye kuruka mipaka, mwenye dhambi.
🎤 Rekodi yako:
83:13
🔁 0/5
إِذَا تُتۡلَىٰ عَلَيۡهِ ءَايَٰتُنَا قَالَ أَسَٰطِيرُ ٱلۡأَوَّلِينَ ١٣
Izaa tutlaa`alaihi aayaatunaa qaala asaateerul awwaleen
Anapo somewa Aya zetu husema: Ni visa vya watu wa kale!
🎤 Rekodi yako:
83:14
🔁 0/5
كـَلَّاۖ بَلۡۜ رَانَ عَلَىٰ قُلُوبِهِم مَّا كَانُواْ يَكۡسِبُونَ ١٤
Kallaa bal raana `alaa quloobihim maa kaanoo yaksiboon
Hasha! Bali yametia kutu juu ya nyoyo zao hao walio kuwa wakiyachuma.
🎤 Rekodi yako:
83:15
🔁 0/5
كـَلَّآ إِنَّهُمۡ عَن رَّبِّهِمۡ يَوۡمَئِذٍ لَّمَحۡجُوبُونَ ١٥
Kallaaa innahum `ar Rabbihim yawma`izil lamah jooboon
Hasha! Hakika hao siku hiyo bila ya shaka watazuiliwa na neema za Mola wao Mlezi.
🎤 Rekodi yako:
83:16
🔁 0/5
ثُمَّ إِنَّهُمۡ لَصَالُواْ ٱلۡجَحِيمِ ١٦
Summa innahum lasaa lul jaheem
Kisha wataingia Motoni!
🎤 Rekodi yako:
83:17
🔁 0/5
ثُمَّ يُقَالُ هَٰذَا ٱلَّذِي كُنتُم بِهِۦ تُكَذِّبُونَ ١٧
Summa yuqaalu haazal lazee kuntum bihee tukazziboon
Kisha waambiwe: Haya ndiyo mliyo kuwa mkiyakadhabisha.
🎤 Rekodi yako:
83:18
🔁 0/5
كـَلَّآ إِنَّ كِتَٰبَ ٱلۡأَبۡرَارِ لَفِي عِلِّيِّينَ ١٨
Kallaaa inna kitaabal abraari lafee`Illiyyeen
Hasha! Hakika maandiko ya watu wema bila ya shaka yamo katika I'liyyin.
🎤 Rekodi yako:
83:19
🔁 0/5
وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا عِلِّيُّونَ ١٩
Wa maaa adraaka maa `Illiyyoon
Na nini kitakacho kujuvya nini I'liyyin?
🎤 Rekodi yako:
83:20
🔁 0/5
كِتَٰبٌ مَّرۡقُومٌ ٢٠
Kitaabum marqoom
Kitabu kilicho andikwa.
🎤 Rekodi yako:
83:21
🔁 0/5
يَشۡهَدُهُ ٱلۡمُقَرَّبُونَ ٢١
Yashhadu hul muqarra boon
Wanakishuhudia walio karibishwa.
🎤 Rekodi yako:
83:22
🔁 0/5
إِنَّ ٱلۡأَبۡرَارَ لَفِي نَعِيمٍ ٢٢
Innal abraara lafee Na`eem
Hakika watu wema bila ya shaka watakuwa katika neema.
🎤 Rekodi yako:
83:23
🔁 0/5
عَلَى ٱلۡأَرَآئِكِ يَنظُرُونَ ٢٣
Alal araaa`iki yanzuroon
Wakae juu ya viti vya enzi wakiangalia.
🎤 Rekodi yako:
83:24
🔁 0/5
تَعۡرِفُ فِي وُجُوهِهِمۡ نَضۡرَةَ ٱلنَّعِيمِ ٢٤
Ta`rifu fee wujoohihim nadratan na`eem
Utatambua katika nyuso zao mng'aro wa neema,
🎤 Rekodi yako:
83:25
🔁 0/5
يُسۡقَوۡنَ مِن رَّحِيقٍ مَّخۡتُومٍ ٢٥
Yusqawna mir raheeqim makhtoom
Watanyweshwa kinywaji safi kiliyo tiwa muhuri,
🎤 Rekodi yako:
83:26
🔁 0/5
خِتَٰمُهُۥ مِسۡكٌۚ وَفِي ذَٰلِكَ فَلۡيَتَنَافَسِ ٱلۡمُتَنَٰفِسُونَ ٢٦
Khitaamuhoo misk; wa fee zaalika falyatanaafasil Mutanaafisoon
Muhuri wake ni miski. Na katika hayo washindanie wenye kushindana.
🎤 Rekodi yako:
83:27
🔁 0/5
وَمِزَاجُهُۥ مِن تَسۡنِيمٍ ٢٧
Wa mizaajuhoo min Tasneem
Na mchanganyiko wake ni Tasniim,
🎤 Rekodi yako:
83:28
🔁 0/5
عَيۡنًا يَشۡرَبُ بِهَا ٱلۡمُقَرَّبُونَ ٢٨
Ainaiy yashrabu bihal muqarraboon
Chemchem watakayo inywa walio kurubishwa.
🎤 Rekodi yako:
83:29
🔁 0/5
إِنَّ ٱلَّذِينَ أَجۡرَمُواْ كَانُواْ مِنَ ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ يَضۡحَكُونَ ٢٩
Innal lazeena ajramoo kaanoo minal lazeena aamanoo yadhakoon
Kwa hakika wale walio kuwa wakosefu walikuwa wakiwacheka walio amini.
🎤 Rekodi yako:
83:30
🔁 0/5
وَإِذَا مَرُّواْ بِهِمۡ يَتَغَامَزُونَ ٣٠
Wa izaa marroo bihim yataghaamazoon
Na wanapo pita karibu yao wakikonyezana.
🎤 Rekodi yako:
83:31
🔁 0/5
وَإِذَا ٱنقَلَبُوٓاْ إِلَىٰٓ أَهۡلِهِمُ ٱنقَلَبُواْ فَكِهِينَ ٣١
Wa izan qalabooo ilaaa ahlihimun qalaboo fakiheen
Na wanapo rudi kwa watu wao hurudi nao wamefurahi.
🎤 Rekodi yako:
83:32
🔁 0/5
وَإِذَا رَأَوۡهُمۡ قَالُوٓاْ إِنَّ هَٰٓؤُلَآءِ لَضَآلُّونَ ٣٢
Wa izaa ra awhum qaalooo inna haaa`ulaaa`i ladaaal loon
Na wanapo waona husema: Hakika hawa ndio khasa walio potea.
🎤 Rekodi yako:
83:33
🔁 0/5
وَمَآ أُرۡسِلُواْ عَلَيۡهِمۡ حَٰفِظِينَ ٣٣
Wa maaa ursiloo `alaihim haafizeen
Na wao hawakutumwa wawe walinzi juu yao.
🎤 Rekodi yako:
83:34
🔁 0/5
فَٱلۡيَوۡمَ ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ مِنَ ٱلۡكُفَّارِ يَضۡحَكُونَ ٣٤
Fal yawmal lazeena aamanoo minal kuffaari yadhakoon
Basi leo walio amini ndio watawacheka makafiri,
🎤 Rekodi yako:
83:35
🔁 0/5
عَلَى ٱلۡأَرَآئِكِ يَنظُرُونَ ٣٥
Alal araaa`iki yanzuroon
Nao wako juu ya viti vya enzi wakiangalia.
🎤 Rekodi yako:
83:36
🔁 0/5
هَلۡ ثُوِّبَ ٱلۡكُفَّارُ مَا كَانُواْ يَفۡعَلُونَ ٣٦
Hal suwwibal kuffaaru maa kaanoo yaf`aloon
Je! makafiri wamelipwa malipo ya yale waliyo kuwa wakiyatenda?
🎤 Rekodi yako:
💡 Gusa neno lililofichwa ili lionekane kwa muda — maendeleo yako yanahifadhiwa kiotomatiki.
العربيةEnglishBahasa IndonesiaTürkçeРусскийفارسیFrançaisاردوবাংলাDeutschEspañol中文हिन्दीPortuguêsItalianoภาษาไทยPolskiNederlandsShqipKiswahiliO'zbekதமிழ்MelayuBosanskiSoomaaliAzərbaycanکوردی한국어日本語SvenskaDanskNorskپښتوമലയാളംසිංහලTamazightHausaአማርኛБългарскиТоҷикӣҚазақшаFilipinoسنڌيYorùbáFulfuldeТатарчаئۇيغۇرچەКыргызчаਪੰਜਾਬੀJawaతెలుగుမြန်မာગુજરાતીOromoमराठीTiếng ViệtMalagasyНохчийнWolofދިވެހިಕನ್ನಡУкраїнськаΕλληνικάქართულიខ្មែរدریQafar afMaranaoनेपाली
Kurani Tukufu
Tuesday, August 18, 2026
Usitusahau katika dua zako njema







