🔥 0 siku mfululizo
📖 Sura ndefu — imegawanywa sehemu ndogo (36 Aya)
📚 Sura Zote
30%
🎤 Gusa ikoni ya maikrofoni 🎙️ karibu na aya yoyote ili kujirekodi, kisha sikiliza na ulinganishe na qari.
0/36
83:1 🔁 0/5
وَيۡلٌ لِّلۡمُطَفِّفِينَ  ۝١
Wailul lil mutaffifeen
Ole wao hao wapunjao!
🎤 Rekodi yako:
83:2 🔁 0/5
ٱلَّذِينَ إِذَا ٱكۡتَالُواْ عَلَى ٱلنَّاسِ يَسۡتَوۡفُونَ  ۝٢
Allazeena izak taaloo `alan naasi yastawfoon
Ambao wanapo jipimia kwa watu hudai watimiziwe.
🎤 Rekodi yako:
83:3 🔁 0/5
وَإِذَا كَالُوهُمۡ أَو وَّزَنُوهُمۡ يُخۡسِرُونَ  ۝٣
Wa izaa kaaloohum aw wazanoohum yukhsiroon
Na wao wanapo wapimia watu kwa kipimo au mizani hupunguza.
🎤 Rekodi yako:
83:4 🔁 0/5
أَلَا يَظُنُّ أُوْلَٰٓئِكَ أَنَّهُم مَّبۡعُوثُونَ  ۝٤
Alaa yazunnu ulaaa`ika annahum mab`oosoon
Kwani hawadhani hao kwamba watafufuliwa
🎤 Rekodi yako:
83:5 🔁 0/5
لِيَوۡمٍ عَظِيمٍ  ۝٥
Li Yawmin `Azeem
Katika Siku iliyo kuu,
🎤 Rekodi yako:
83:6 🔁 0/5
يَوۡمَ يَقُومُ ٱلنَّاسُ لِرَبِّ ٱلۡعَٰلَمِينَ  ۝٦
Yawma yaqoomun naasu li Rabbil `aalameen
Siku watapo msimamia watu Mola Mlezi wa walimwengu wote?
🎤 Rekodi yako:
83:7 🔁 0/5
كـَلَّآ إِنَّ كِتَٰبَ ٱلۡفُجَّارِ لَفِي سِجِّينٍ  ۝٧
Kallaaa inna kitaabal fujjaari lafee Sijjeen
Hasha! Hakika maandiko ya wakosefu bila ya shaka yamo katika Sijjin.
🎤 Rekodi yako:
83:8 🔁 0/5
وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا سِجِّينٌ  ۝٨
Wa maa adraaka maa Sijjeen
Unajua nini Sijjin?
🎤 Rekodi yako:
83:9 🔁 0/5
كِتَٰبٌ مَّرۡقُومٌ  ۝٩
Kitaabum marqoom
Kitabu kilicho andikwa.
🎤 Rekodi yako:
83:10 🔁 0/5
وَيۡلٌ يَوۡمَئِذٍ لِّلۡمُكَذِّبِينَ  ۝١٠
Wailuny yawma`izil lil mukazzibeen
Ole wao siku hiyo kwa wanao kadhibisha!
🎤 Rekodi yako:
83:11 🔁 0/5
ٱلَّذِينَ يُكَذِّبُونَ بِيَوۡمِ ٱلدِّينِ  ۝١١
Allazeena yukazziboona bi yawmid deen
Ambao wanaikadhibisha Siku ya Malipo.
🎤 Rekodi yako:
83:12 🔁 0/5
وَمَا يُكَذِّبُ بِهِۦٓ إِلَّا كُلُّ مُعۡتَدٍ أَثِيمٍ  ۝١٢
Wa maa yukazzibu biheee illaa kullu mu`tadin aseem
Wala haikadhibishi ila kila mwenye kuruka mipaka, mwenye dhambi.
🎤 Rekodi yako:
83:13 🔁 0/5
إِذَا تُتۡلَىٰ عَلَيۡهِ ءَايَٰتُنَا قَالَ أَسَٰطِيرُ ٱلۡأَوَّلِينَ  ۝١٣
Izaa tutlaa`alaihi aayaatunaa qaala asaateerul awwaleen
Anapo somewa Aya zetu husema: Ni visa vya watu wa kale!
🎤 Rekodi yako:
83:14 🔁 0/5
كـَلَّاۖ بَلۡۜ رَانَ عَلَىٰ قُلُوبِهِم مَّا كَانُواْ يَكۡسِبُونَ  ۝١٤
Kallaa bal raana `alaa quloobihim maa kaanoo yaksiboon
Hasha! Bali yametia kutu juu ya nyoyo zao hao walio kuwa wakiyachuma.
🎤 Rekodi yako:
83:15 🔁 0/5
كـَلَّآ إِنَّهُمۡ عَن رَّبِّهِمۡ يَوۡمَئِذٍ لَّمَحۡجُوبُونَ  ۝١٥
Kallaaa innahum `ar Rabbihim yawma`izil lamah jooboon
Hasha! Hakika hao siku hiyo bila ya shaka watazuiliwa na neema za Mola wao Mlezi.
🎤 Rekodi yako:
83:16 🔁 0/5
ثُمَّ إِنَّهُمۡ لَصَالُواْ ٱلۡجَحِيمِ  ۝١٦
Summa innahum lasaa lul jaheem
Kisha wataingia Motoni!
🎤 Rekodi yako:
83:17 🔁 0/5
ثُمَّ يُقَالُ هَٰذَا ٱلَّذِي كُنتُم بِهِۦ تُكَذِّبُونَ  ۝١٧
Summa yuqaalu haazal lazee kuntum bihee tukazziboon
Kisha waambiwe: Haya ndiyo mliyo kuwa mkiyakadhabisha.
🎤 Rekodi yako:
83:18 🔁 0/5
كـَلَّآ إِنَّ كِتَٰبَ ٱلۡأَبۡرَارِ لَفِي عِلِّيِّينَ  ۝١٨
Kallaaa inna kitaabal abraari lafee`Illiyyeen
Hasha! Hakika maandiko ya watu wema bila ya shaka yamo katika I'liyyin.
🎤 Rekodi yako:
83:19 🔁 0/5
وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا عِلِّيُّونَ  ۝١٩
Wa maaa adraaka maa `Illiyyoon
Na nini kitakacho kujuvya nini I'liyyin?
🎤 Rekodi yako:
83:20 🔁 0/5
كِتَٰبٌ مَّرۡقُومٌ  ۝٢٠
Kitaabum marqoom
Kitabu kilicho andikwa.
🎤 Rekodi yako:
83:21 🔁 0/5
يَشۡهَدُهُ ٱلۡمُقَرَّبُونَ  ۝٢١
Yashhadu hul muqarra boon
Wanakishuhudia walio karibishwa.
🎤 Rekodi yako:
83:22 🔁 0/5
إِنَّ ٱلۡأَبۡرَارَ لَفِي نَعِيمٍ  ۝٢٢
Innal abraara lafee Na`eem
Hakika watu wema bila ya shaka watakuwa katika neema.
🎤 Rekodi yako:
83:23 🔁 0/5
عَلَى ٱلۡأَرَآئِكِ يَنظُرُونَ  ۝٢٣
Alal araaa`iki yanzuroon
Wakae juu ya viti vya enzi wakiangalia.
🎤 Rekodi yako:
83:24 🔁 0/5
تَعۡرِفُ فِي وُجُوهِهِمۡ نَضۡرَةَ ٱلنَّعِيمِ  ۝٢٤
Ta`rifu fee wujoohihim nadratan na`eem
Utatambua katika nyuso zao mng'aro wa neema,
🎤 Rekodi yako:
83:25 🔁 0/5
يُسۡقَوۡنَ مِن رَّحِيقٍ مَّخۡتُومٍ  ۝٢٥
Yusqawna mir raheeqim makhtoom
Watanyweshwa kinywaji safi kiliyo tiwa muhuri,
🎤 Rekodi yako:
83:26 🔁 0/5
خِتَٰمُهُۥ مِسۡكٌۚ وَفِي ذَٰلِكَ فَلۡيَتَنَافَسِ ٱلۡمُتَنَٰفِسُونَ  ۝٢٦
Khitaamuhoo misk; wa fee zaalika falyatanaafasil Mutanaafisoon
Muhuri wake ni miski. Na katika hayo washindanie wenye kushindana.
🎤 Rekodi yako:
83:27 🔁 0/5
وَمِزَاجُهُۥ مِن تَسۡنِيمٍ  ۝٢٧
Wa mizaajuhoo min Tasneem
Na mchanganyiko wake ni Tasniim,
🎤 Rekodi yako:
83:28 🔁 0/5
عَيۡنًا يَشۡرَبُ بِهَا ٱلۡمُقَرَّبُونَ  ۝٢٨
Ainaiy yashrabu bihal muqarraboon
Chemchem watakayo inywa walio kurubishwa.
🎤 Rekodi yako:
83:29 🔁 0/5
إِنَّ ٱلَّذِينَ أَجۡرَمُواْ كَانُواْ مِنَ ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ يَضۡحَكُونَ  ۝٢٩
Innal lazeena ajramoo kaanoo minal lazeena aamanoo yadhakoon
Kwa hakika wale walio kuwa wakosefu walikuwa wakiwacheka walio amini.
🎤 Rekodi yako:
83:30 🔁 0/5
وَإِذَا مَرُّواْ بِهِمۡ يَتَغَامَزُونَ  ۝٣٠
Wa izaa marroo bihim yataghaamazoon
Na wanapo pita karibu yao wakikonyezana.
🎤 Rekodi yako:
83:31 🔁 0/5
وَإِذَا ٱنقَلَبُوٓاْ إِلَىٰٓ أَهۡلِهِمُ ٱنقَلَبُواْ فَكِهِينَ  ۝٣١
Wa izan qalabooo ilaaa ahlihimun qalaboo fakiheen
Na wanapo rudi kwa watu wao hurudi nao wamefurahi.
🎤 Rekodi yako:
83:32 🔁 0/5
وَإِذَا رَأَوۡهُمۡ قَالُوٓاْ إِنَّ هَٰٓؤُلَآءِ لَضَآلُّونَ  ۝٣٢
Wa izaa ra awhum qaalooo inna haaa`ulaaa`i ladaaal loon
Na wanapo waona husema: Hakika hawa ndio khasa walio potea.
🎤 Rekodi yako:
83:33 🔁 0/5
وَمَآ أُرۡسِلُواْ عَلَيۡهِمۡ حَٰفِظِينَ  ۝٣٣
Wa maaa ursiloo `alaihim haafizeen
Na wao hawakutumwa wawe walinzi juu yao.
🎤 Rekodi yako:
83:34 🔁 0/5
فَٱلۡيَوۡمَ ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ مِنَ ٱلۡكُفَّارِ يَضۡحَكُونَ  ۝٣٤
Fal yawmal lazeena aamanoo minal kuffaari yadhakoon
Basi leo walio amini ndio watawacheka makafiri,
🎤 Rekodi yako:
83:35 🔁 0/5
عَلَى ٱلۡأَرَآئِكِ يَنظُرُونَ  ۝٣٥
Alal araaa`iki yanzuroon
Nao wako juu ya viti vya enzi wakiangalia.
🎤 Rekodi yako:
83:36 🔁 0/5
هَلۡ ثُوِّبَ ٱلۡكُفَّارُ مَا كَانُواْ يَفۡعَلُونَ  ۝٣٦
Hal suwwibal kuffaaru maa kaanoo yaf`aloon
Je! makafiri wamelipwa malipo ya yale waliyo kuwa wakiyatenda?
🎤 Rekodi yako:
💡 Gusa neno lililofichwa ili lionekane kwa muda — maendeleo yako yanahifadhiwa kiotomatiki.

🎉
🎊 Hongera! Umemaliza Kuhifadhi
Mishary Rashid Alafasy
Mahmoud Khalil Al-Husary
Abdurrahman As-Sudais
Mohamed Siddiq Al-Minshawi
Abdul Basit Abdul Samad
Ali Al-Hudhaify
Ahmed ibn Ali al-Ajamy
Abu Bakr Ash-Shaatree
Muhammad Ayyoub
Abdullah Basfar
Abdullah Al-Juhani
Maher Al Muaiqly
0:00
0:00
-

Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema