🔥 0 siku mfululizo
📚 Sura Zote
30%
🎤 Gusa ikoni ya maikrofoni 🎙️ karibu na aya yoyote ili kujirekodi, kisha sikiliza na ulinganishe na qari.
0/15
91:1 🔁 0/5
وَٱلشَّمۡسِ وَضُحَىٰهَا  ۝١
Wash shamsi wa duhaa haa
Naapa kwa jua na mwangaza wake!
🎤 Rekodi yako:
91:2 🔁 0/5
وَٱلۡقَمَرِ إِذَا تَلَىٰهَا  ۝٢
Wal qamari izaa talaa haa
Na kwa mwezi unapo lifuatia!
🎤 Rekodi yako:
91:3 🔁 0/5
وَٱلنَّهَارِ إِذَا جَلَّىٰهَا  ۝٣
Wannahaari izaa jallaa haa
Na kwa mchana unapo lidhihirisha!
🎤 Rekodi yako:
91:4 🔁 0/5
وَٱلَّيۡلِ إِذَا يَغۡشَىٰهَا  ۝٤
Wallaili izaa yaghshaa haa
Na kwa usiku unapo lifunika!
🎤 Rekodi yako:
91:5 🔁 0/5
وَٱلسَّمَآءِ وَمَا بَنَىٰهَا  ۝٥
Wassamaaa`i wa maa banaahaa
Na kwa mbingu na kwa aliye ijenga!
🎤 Rekodi yako:
91:6 🔁 0/5
وَٱلۡأَرۡضِ وَمَا طَحَىٰهَا  ۝٦
Wal ardi wa maa tahaahaa
Na kwa ardhi na kwa aliye itandaza!
🎤 Rekodi yako:
91:7 🔁 0/5
وَنَفۡسٍ وَمَا سَوَّىٰهَا  ۝٧
Wa nafsinw wa maa sawwaahaa
Na kwa nafsi na kwa aliye itengeneza!
🎤 Rekodi yako:
91:8 🔁 0/5
فَأَلۡهَمَهَا فُجُورَهَا وَتَقۡوَىٰهَا  ۝٨
Fa-alhamahaa fujoorahaa wa taqwaahaa
Kisha akaifahamisha uovu wake na wema wake,
🎤 Rekodi yako:
91:9 🔁 0/5
قَدۡ أَفۡلَحَ مَن زَكَّىٰهَا  ۝٩
Qad aflaha man zakkaahaa
Hakika amefanikiwa aliye itakasa,
🎤 Rekodi yako:
91:10 🔁 0/5
وَقَدۡ خَابَ مَن دَسَّىٰهَا  ۝١٠
Wa qad khaaba man dassaahaa
Na hakika amekhasiri aliye iviza.
🎤 Rekodi yako:
91:11 🔁 0/5
كَذَّبَتۡ ثَمُودُ بِطَغۡوَىٰهَآ  ۝١١
Kazzabat Samoodu bi taghwaahaaa
Kina Thamudi walikadhibisha kwa sababu ya upotofu wao,
🎤 Rekodi yako:
91:12 🔁 0/5
إِذِ ٱنۢبَعَثَ أَشۡقَىٰهَا  ۝١٢
Izim ba`asa ashqaahaa
Alipo simama mwovu wao mkubwa,
🎤 Rekodi yako:
91:13 🔁 0/5
فَقَالَ لَهُمۡ رَسُولُ ٱللَّهِ نَاقَةَ ٱللَّهِ وَسُقۡيَٰهَا  ۝١٣
Faqaala lahum Rasoolul laahi naaqatal laahi wa suqiyaahaa
Hapo Mtume wa Mwenyezi Mungu alipo waambia: Huyu ni ngamia wa Mwenyezi Mungu, mwacheni anywe maji fungu lake.
🎤 Rekodi yako:
91:14 🔁 0/5
فَكَذَّبُوهُ فَعَقَرُوهَا فَدَمۡدَمَ عَلَيۡهِمۡ رَبُّهُم بِذَنۢبِهِمۡ فَسَوَّىٰهَا  ۝١٤
Fakazzaboohu fa`aqaroohaa fadamdama `alaihim Rabbuhum bizambihim fasaw waahaa
Lakini walimkadhibisha na wakamchinja ngamia, kwa hivyo Mola wao Mlezi aliwaangamiza kwa sababu ya dhambi zao na akawafuta kabisa.
🎤 Rekodi yako:
91:15 🔁 0/5
وَلَا يَخَافُ عُقۡبَٰهَا  ۝١٥
Wa laa yakhaafu`uqbaahaa
Wala Yeye haogopi matokeo yake.
🎤 Rekodi yako:
💡 Gusa neno lililofichwa ili lionekane kwa muda — maendeleo yako yanahifadhiwa kiotomatiki.

🎉
🎊 Hongera! Umemaliza Kuhifadhi
Mishary Rashid Alafasy
Mahmoud Khalil Al-Husary
Abdurrahman As-Sudais
Mohamed Siddiq Al-Minshawi
Abdul Basit Abdul Samad
Ali Al-Hudhaify
Ahmed ibn Ali al-Ajamy
Abu Bakr Ash-Shaatree
Muhammad Ayyoub
Abdullah Basfar
Abdullah Al-Juhani
Maher Al Muaiqly
0:00
0:00
-

Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema