🔥 0 siku mfululizo
📚 Sura Zote
30%
🎤 Gusa ikoni ya maikrofoni 🎙️ karibu na aya yoyote ili kujirekodi, kisha sikiliza na ulinganishe na qari.
0/20
90:1 🔁 0/5
لَآ أُقۡسِمُ بِهَٰذَا ٱلۡبَلَدِ  ۝١
Laaa uqsimu bihaazal balad
Naapa kwa Mji huu!
🎤 Rekodi yako:
90:2 🔁 0/5
وَأَنتَ حِلُّۢ بِهَٰذَا ٱلۡبَلَدِ  ۝٢
Wa anta hillum bihaazal balad
Nawe unaukaa Mji huu.
🎤 Rekodi yako:
90:3 🔁 0/5
وَوَالِدٍ وَمَا وَلَدَ  ۝٣
Wa waalidinw wa maa walad
Na naapa kwa mzazi na alicho kizaa.
🎤 Rekodi yako:
90:4 🔁 0/5
لَقَدۡ خَلَقۡنَا ٱلۡإِنسَٰنَ فِي كَبَدٍ  ۝٤
Laqad khalaqnal insaana fee kabad
Hakika tumemuumba mtu katika taabu.
🎤 Rekodi yako:
90:5 🔁 0/5
أَيَحۡسَبُ أَن لَّن يَقۡدِرَ عَلَيۡهِ أَحَدٌ  ۝٥
Ayahsabu al-lai yaqdira `alaihi ahad
Ati anadhani hapana yeyote ataye muweza?
🎤 Rekodi yako:
90:6 🔁 0/5
يَقُولُ أَهۡلَكۡتُ مَالًا لُّبَدًا  ۝٦
Yaqoolu ahlaktu maalal lubadaa
Anasema: Nimeteketeza chungu ya mali.
🎤 Rekodi yako:
90:7 🔁 0/5
أَيَحۡسَبُ أَن لَّمۡ يَرَهُۥٓ أَحَدٌ  ۝٧
Ayahsabu al lam yarahooo ahad
Ati anadhani ya kuwa hapana yeyote anaye mwona?
🎤 Rekodi yako:
90:8 🔁 0/5
أَلَمۡ نَجۡعَل لَّهُۥ عَيۡنَيۡنِ  ۝٨
Alam naj`al lahoo `aynayn
Kwani hatukumpa macho mawili?
🎤 Rekodi yako:
90:9 🔁 0/5
وَلِسَانًا وَشَفَتَيۡنِ  ۝٩
Wa lisaananw wa shafatayn
Na ulimi, na midomo miwili?
🎤 Rekodi yako:
90:10 🔁 0/5
وَهَدَيۡنَٰهُ ٱلنَّجۡدَيۡنِ  ۝١٠
Wa hadaynaahun najdayn
Na tukambainishia zote njia mbili?
🎤 Rekodi yako:
90:11 🔁 0/5
فَلَا ٱقۡتَحَمَ ٱلۡعَقَبَةَ  ۝١١
Falaq tahamal-`aqabah
Lakini hakujitoma kwenye njia ya vikwazo vya milimani.
🎤 Rekodi yako:
90:12 🔁 0/5
وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا ٱلۡعَقَبَةُ  ۝١٢
Wa maaa adraaka mal`aqabah
Na nini kitakujuvya ni nini njia ya vikwazo vya milimani?
🎤 Rekodi yako:
90:13 🔁 0/5
فَكُّ رَقَبَةٍ  ۝١٣
Fakku raqabah
Kumkomboa mtumwa;
🎤 Rekodi yako:
90:14 🔁 0/5
أَوۡ إِطۡعَٰمٌ فِي يَوۡمٍ ذِي مَسۡغَبَةٍ  ۝١٤
Aw it`aamun fee yawmin zee masghabah
Au kumlisha siku ya njaa
🎤 Rekodi yako:
90:15 🔁 0/5
يَتِيمًا ذَا مَقۡرَبَةٍ  ۝١٥
Yateeman zaa maqrabah
Yatima aliye jamaa,
🎤 Rekodi yako:
90:16 🔁 0/5
أَوۡ مِسۡكِينًا ذَا مَتۡرَبَةٍ  ۝١٦
Aw miskeenan zaa matrabah
Au masikini aliye vumbini.
🎤 Rekodi yako:
90:17 🔁 0/5
ثُمَّ كَانَ مِنَ ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ وَتَوَاصَوۡاْ بِٱلصَّبۡرِ وَتَوَاصَوۡاْ بِٱلۡمَرۡحَمَةِ  ۝١٧
Summa kaana minal lazeena aamanoo wa tawaasaw bissabri wa tawaasaw bilmarhamah
Tena awe miongoni mwa walio amini na wakausiana kusubiri na wakausiana kuhurumiana.
🎤 Rekodi yako:
90:18 🔁 0/5
أُوْلَٰٓئِكَ أَصۡحَٰبُ ٱلۡمَيۡمَنَةِ  ۝١٨
Ulaaa`ika As-haabul maimanah
Hao ndio watu wa kheri wa kuliani.
🎤 Rekodi yako:
90:19 🔁 0/5
وَٱلَّذِينَ كَفَرُواْ بِـَٔايَٰتِنَا هُمۡ أَصۡحَٰبُ ٱلۡمَشۡـَٔمَةِ  ۝١٩
Wallazeena kafaroo bi aayaatinaa hum as-haabul Mash`amah
Lakini walio zikataa Ishara zetu, hao ndio watu wa shari wa kushotoni.
🎤 Rekodi yako:
90:20 🔁 0/5
عَلَيۡهِمۡ نَارٌ مُّؤۡصَدَةُۢ  ۝٢٠
Alaihim naarum mu`sadah
Juu yao utakuwa Moto ulio fungiwa kila upande.
🎤 Rekodi yako:
💡 Gusa neno lililofichwa ili lionekane kwa muda — maendeleo yako yanahifadhiwa kiotomatiki.

🎉
🎊 Hongera! Umemaliza Kuhifadhi
Mishary Rashid Alafasy
Mahmoud Khalil Al-Husary
Abdurrahman As-Sudais
Mohamed Siddiq Al-Minshawi
Abdul Basit Abdul Samad
Ali Al-Hudhaify
Ahmed ibn Ali al-Ajamy
Abu Bakr Ash-Shaatree
Muhammad Ayyoub
Abdullah Basfar
Abdullah Al-Juhani
Maher Al Muaiqly
0:00
0:00
-

Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema