🔥 0 siku mfululizo
0/20
90:1
🔁 0/5
لَآ أُقۡسِمُ بِهَٰذَا ٱلۡبَلَدِ ١
Laaa uqsimu bihaazal balad
Naapa kwa Mji huu!
🎤 Rekodi yako:
90:2
🔁 0/5
وَأَنتَ حِلُّۢ بِهَٰذَا ٱلۡبَلَدِ ٢
Wa anta hillum bihaazal balad
Nawe unaukaa Mji huu.
🎤 Rekodi yako:
90:3
🔁 0/5
وَوَالِدٍ وَمَا وَلَدَ ٣
Wa waalidinw wa maa walad
Na naapa kwa mzazi na alicho kizaa.
🎤 Rekodi yako:
90:4
🔁 0/5
لَقَدۡ خَلَقۡنَا ٱلۡإِنسَٰنَ فِي كَبَدٍ ٤
Laqad khalaqnal insaana fee kabad
Hakika tumemuumba mtu katika taabu.
🎤 Rekodi yako:
90:5
🔁 0/5
أَيَحۡسَبُ أَن لَّن يَقۡدِرَ عَلَيۡهِ أَحَدٌ ٥
Ayahsabu al-lai yaqdira `alaihi ahad
Ati anadhani hapana yeyote ataye muweza?
🎤 Rekodi yako:
90:6
🔁 0/5
يَقُولُ أَهۡلَكۡتُ مَالًا لُّبَدًا ٦
Yaqoolu ahlaktu maalal lubadaa
Anasema: Nimeteketeza chungu ya mali.
🎤 Rekodi yako:
90:7
🔁 0/5
أَيَحۡسَبُ أَن لَّمۡ يَرَهُۥٓ أَحَدٌ ٧
Ayahsabu al lam yarahooo ahad
Ati anadhani ya kuwa hapana yeyote anaye mwona?
🎤 Rekodi yako:
90:8
🔁 0/5
أَلَمۡ نَجۡعَل لَّهُۥ عَيۡنَيۡنِ ٨
Alam naj`al lahoo `aynayn
Kwani hatukumpa macho mawili?
🎤 Rekodi yako:
90:9
🔁 0/5
وَلِسَانًا وَشَفَتَيۡنِ ٩
Wa lisaananw wa shafatayn
Na ulimi, na midomo miwili?
🎤 Rekodi yako:
90:10
🔁 0/5
وَهَدَيۡنَٰهُ ٱلنَّجۡدَيۡنِ ١٠
Wa hadaynaahun najdayn
Na tukambainishia zote njia mbili?
🎤 Rekodi yako:
90:11
🔁 0/5
فَلَا ٱقۡتَحَمَ ٱلۡعَقَبَةَ ١١
Falaq tahamal-`aqabah
Lakini hakujitoma kwenye njia ya vikwazo vya milimani.
🎤 Rekodi yako:
90:12
🔁 0/5
وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا ٱلۡعَقَبَةُ ١٢
Wa maaa adraaka mal`aqabah
Na nini kitakujuvya ni nini njia ya vikwazo vya milimani?
🎤 Rekodi yako:
90:13
🔁 0/5
فَكُّ رَقَبَةٍ ١٣
Fakku raqabah
Kumkomboa mtumwa;
🎤 Rekodi yako:
90:14
🔁 0/5
أَوۡ إِطۡعَٰمٌ فِي يَوۡمٍ ذِي مَسۡغَبَةٍ ١٤
Aw it`aamun fee yawmin zee masghabah
Au kumlisha siku ya njaa
🎤 Rekodi yako:
90:15
🔁 0/5
يَتِيمًا ذَا مَقۡرَبَةٍ ١٥
Yateeman zaa maqrabah
Yatima aliye jamaa,
🎤 Rekodi yako:
90:16
🔁 0/5
أَوۡ مِسۡكِينًا ذَا مَتۡرَبَةٍ ١٦
Aw miskeenan zaa matrabah
Au masikini aliye vumbini.
🎤 Rekodi yako:
90:17
🔁 0/5
ثُمَّ كَانَ مِنَ ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ وَتَوَاصَوۡاْ بِٱلصَّبۡرِ وَتَوَاصَوۡاْ بِٱلۡمَرۡحَمَةِ ١٧
Summa kaana minal lazeena aamanoo wa tawaasaw bissabri wa tawaasaw bilmarhamah
Tena awe miongoni mwa walio amini na wakausiana kusubiri na wakausiana kuhurumiana.
🎤 Rekodi yako:
90:18
🔁 0/5
أُوْلَٰٓئِكَ أَصۡحَٰبُ ٱلۡمَيۡمَنَةِ ١٨
Ulaaa`ika As-haabul maimanah
Hao ndio watu wa kheri wa kuliani.
🎤 Rekodi yako:
90:19
🔁 0/5
وَٱلَّذِينَ كَفَرُواْ بِـَٔايَٰتِنَا هُمۡ أَصۡحَٰبُ ٱلۡمَشۡـَٔمَةِ ١٩
Wallazeena kafaroo bi aayaatinaa hum as-haabul Mash`amah
Lakini walio zikataa Ishara zetu, hao ndio watu wa shari wa kushotoni.
🎤 Rekodi yako:
90:20
🔁 0/5
عَلَيۡهِمۡ نَارٌ مُّؤۡصَدَةُۢ ٢٠
Alaihim naarum mu`sadah
Juu yao utakuwa Moto ulio fungiwa kila upande.
🎤 Rekodi yako:
💡 Gusa neno lililofichwa ili lionekane kwa muda — maendeleo yako yanahifadhiwa kiotomatiki.
العربيةEnglishBahasa IndonesiaTürkçeРусскийفارسیFrançaisاردوবাংলাDeutschEspañol中文हिन्दीPortuguêsItalianoภาษาไทยPolskiNederlandsShqipKiswahiliO'zbekதமிழ்MelayuBosanskiSoomaaliAzərbaycanکوردی한국어日本語SvenskaDanskNorskپښتوമലയാളംසිංහලTamazightHausaአማርኛБългарскиТоҷикӣҚазақшаFilipinoسنڌيYorùbáFulfuldeТатарчаئۇيغۇرچەКыргызчаਪੰਜਾਬੀJawaతెలుగుမြန်မာગુજરાતીOromoमराठीTiếng ViệtMalagasyНохчийнWolofދިވެހިಕನ್ನಡУкраїнськаΕλληνικάქართულიខ្មែរدریQafar afMaranaoनेपाली
Kurani Tukufu
Tuesday, August 18, 2026
Usitusahau katika dua zako njema







