Sura Ash-Shams
PDF —
15 Aya Makka PDF
Built right in your browser — download starts automatically

Sura Ash-Shams pdf — Pakua (Kiswahili)

Sura Ash-Shams pdf Kiswahili — Pakua Sura Ash-Shams Tafsiri. Ash-Shams (Makka) 15 Aya.



Sura Ash-Shams
15 Aya · Makka · Kiswahili
bismillah
ﭜﭝﭞ
Naapa kwa jua na mwangaza wake!
ﭟﭠﭡﭢ
Na kwa mwezi unapo lifuatia!
ﭣﭤﭥﭦ
Na kwa mchana unapo lidhihirisha!
ﭧﭨﭩﭪ
Na kwa usiku unapo lifunika!
ﭫﭬﭭﭮ
Na kwa mbingu na kwa aliye ijenga!
ﭯﭰﭱﭲ
Na kwa ardhi na kwa aliye itandaza!
ﭳﭴﭵﭶ
Na kwa nafsi na kwa aliye itengeneza!
ﭷﭸﭹﭺ
Kisha akaifahamisha uovu wake na wema wake,
ﭻﭼﭽﭾﭿ
Hakika amefanikiwa aliye itakasa,
ﮀﮁﮂﮃﮄ
Na hakika amekhasiri aliye iviza.
ﮅﮆﮇﮈ
Kina Thamudi walikadhibisha kwa sababu ya upotofu wao,
ﮉﮊﮋﮌ
Alipo simama mwovu wao mkubwa,
ﮍﮎﮏﮐﮑﮒﮓﮔ
Hapo Mtume wa Mwenyezi Mungu alipo waambia: Huyu ni ngamia wa Mwenyezi Mungu, mwacheni anywe maji fungu lake.
ﮕﮖﮗﮘﮙﮚﮛﮜ
Lakini walimkadhibisha na wakamchinja ngamia, kwa hivyo Mola wao Mlezi aliwaangamiza kwa sababu ya dhambi zao na akawafuta kabisa.
ﮝﮞﮟﮠ
Wala Yeye haogopi matokeo yake.

Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema