Surah Jathiyah aya 1 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿حم﴾
[ الجاثية: 1]
H'a Mim
Surah Al-Jaathiyah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Ha, Meem.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Ha Mim .
Ha Mim. Hizi ni harufi mbili katika harufi za kutamkwa, zimeanzia Sura hii kama ada ya Sura nyingi katika Qurani ambazo zimeanzia kwa harufi kama hivi ili kuashiria kuwa washirikina wameshindwa kuleta mfano wake, ijapo kuwa hii Qurani imeundwa kwa harufi hizi hizi wanazo zitumia katika maneno yao.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na Akhera ni bora na yenye kudumu zaidi.
- Hakika hii ndiyo riziki yetu isiyo malizika.
- Na watasema: Tunaiamini! Lakini wataipata wapi kutoka huko mahala mbali?
- Na miadi ya haki ikakaribia. Hapo ndipo yatapo kodoka macho ya walio kufuru (na watasema:)
- Kwa Firauni na waheshimiwa wake. Lakini wao walifuata amri ya Firauni, na amri ya Firauni
- Yawaje basi itakapo fika roho kwenye koo,
- Hii basi ndiyo Jahannamu mliyo kuwa mkiahidiwa.
- Hasha! Tutaandika anayo yasema, tutamkunjulia muda wa adhabu.
- Amemuumba binaadamu kwa tone la damu,
- Na hakuwafikia Mtume ila walimkejeli.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Jathiyah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Jathiyah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Jathiyah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers