Surah Muzammil aya 19 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Muzammil aya 19 in arabic text(The Enfolded One).
  
   

﴿إِنَّ هَٰذِهِ تَذْكِرَةٌ ۖ فَمَن شَاءَ اتَّخَذَ إِلَىٰ رَبِّهِ سَبِيلًا
[ المزمل: 19]

Kwa hakika hili ni kumbusho. Mwenye kutaka atashika njia ya kwendea kwa Mola wake Mlezi.

Surah Al-Muzzammil in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Indeed, this is a reminder, so whoever wills may take to his Lord a way.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Kwa hakika hili ni kumbusho. Mwenye kutaka atashika njia ya kwendea kwa Mola wake Mlezi.


Hakika Aya hizi zinazo taja ahadi ya Mwenyezi Mungu ni mawaidha. Kwa hivyo mwenye kutaka kunafiika kwazo ataishika njia ya kumwendea Mola wake Mlezi kwa kuchamngu na kunyenyekea.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 19 from Muzammil


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na hakika walikanushwa Mitume wa kabla yako. Nao wakavumilia kule kukanushwa, na kuudhiwa, mpaka ilipo
  2. Na alipo liona jua linachomoza akasema: Huyu ndiye Mola Mlezi wangu. Huyu mkubwa kuliko wote.
  3. Kuleni, na mchunge wanyama wenu. Hakika katika hayo zipo ishara kwa wenye akili.
  4. Haiwi kwa Muumini mwanamume wala Muumini mwanamke kuwa na khiari katika jambo, Mwenyezi Mungu na
  5. Mwenyezi Mungu ndiye Muumba wa kila kitu, na Yeye ndiye Mlinzi juu ya kila kitu.
  6. Wala hawatakuwa na waombezi miongoni mwa walio kuwa wakiwashirikisha na Mungu; na wao wenyewe watawakataa
  7. (Wakiwaambia) Assalamu Alaikum! Amani iwe juu yenu, kwa sababu ya mlivyo subiri! Basi ni mema
  8. Unaangamiza kila kitu kwa amri ya Mola wake Mlezi. Wakawa hawaonekani ila nyumba zao tu.
  9. Watakuwa wanapitishiwa sahani za dhahabu na vikombe; na vitakuwamo ambavyo nafsi zinavipenda na macho yanavifurahia,
  10. Karibu utaona, na wao wataona,

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Muzammil with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Muzammil mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Muzammil Complete with high quality
Surah Muzammil Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Muzammil Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Muzammil Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Muzammil Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Muzammil Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Muzammil Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Muzammil Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Muzammil Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Muzammil Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Muzammil Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Muzammil Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Muzammil Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Muzammil Al Hosary
Al Hosary
Surah Muzammil Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Muzammil Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, January 30, 2026

Please remember us in your sincere prayers