Surah Furqan aya 25 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَيَوْمَ تَشَقَّقُ السَّمَاءُ بِالْغَمَامِ وَنُزِّلَ الْمَلَائِكَةُ تَنزِيلًا﴾
[ الفرقان: 25]
Na siku zitapo funguka mbingu kwa mawingu, na wateremshwe Malaika kwa wingi,
Surah Al-Furqan in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And [mention] the Day when the heaven will split open with [emerging] clouds, and the angels will be sent down in successive descent.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na siku zitapo funguka mbingu kwa mawingu, na wateremshwe Malaika kwa wingi,
Ewe Nabii! Itaje Siku itapo pasuka mbingu na ikafunguka, na yakadhihiri kati yake mawingu, na Malaika wakashuka khasa kwa yakini.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wanafunzi walipo sema: Ewe Isa bin Maryamu! Je, Mola wako Mlezi anaweza kututeremshia chakula kutoka
- Na tukitaka tunawazamisha, wala hapana wa kuwasaidia, wala hawaokolewi,
- Na wale ambao wanapo kumbushwa Ishara za Mola wao Mlezi hawajifanyi viziwi nazo, na vipofu.
- Hakika haya ni malipo yenu; na juhudi zenu zimekubaliwa.
- Na wanao jitahidi kuzipinga Aya zetu hao ndio watu wa Motoni.
- Hakika Mola wako Mlezi yupo kwenye mavizio anawavizia.
- Na amefanya vikutumikieni vilivyomo mbinguni na vilivyomo katika ardhi, vyote vimetoka kwake. Hakika katika hayo
- Ambao walifanya jeuri katika nchi?
- Wala huwezi kuwaongoa vipofu waache upotovu wao. Huwezi kuwafanya wasikie isipo kuwa wenye kuziamini Ishara
- Wakasema: Enyi kaumu yetu! Sisi tumesikia Kitabu kilicho teremshwa baada ya Musa, kinacho sadikisha yaliyo
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Furqan with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Furqan mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Furqan Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



