Surah An Naba aya 15 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿لِّنُخْرِجَ بِهِ حَبًّا وَنَبَاتًا﴾
[ النبأ: 15]
Ili tutoe kwayo nafaka na mimea,
Surah An-Naba in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
That We may bring forth thereby grain and vegetation
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Ili tutoe kwayo nafaka na mimea.
Ili tutoe kwa maji haya nafaka na mimea kuwa ni chakula kwa ajili ya watu na wanyama.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na jamaa zake walio kuwa wakimkimu,
- Kama kwamba wao ni yakuti na marijani.
- Basi itakapo shuka uwanjani kwao, itakuwa asubuhi mbaya kwa walio onywa.
- Kwa hakika wale walio kuwa wakosefu walikuwa wakiwacheka walio amini.
- Na Jahannamu itapo chochewa,
- Yeye ndiye aliye mtuma Mtume wake kwa uwongofu na Dini ya haki ili ipate kuzishinda
- Moto utababua nyuso zao, nao watakuwa na nyuso zilizo kunjana.
- Na Sisi hatuiakhirishi ila kwa muda unao hisabiwa.
- Wakasema: Ewe Hud! Hujatuletea dalili wazi. Wala sisi hatuiachi miungu yetu kwa kufuata kauli yako.
- Na wakielekea amani nawe pia elekea, na mtegemee Mwenyezi Mungu. Hakika Yeye ndiye Mwenye kusikia
Quran Surah in Swahili :
Download Surah An Naba with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah An Naba mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter An Naba Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers