Surah An Naba aya 14 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَأَنزَلْنَا مِنَ الْمُعْصِرَاتِ مَاءً ثَجَّاجًا﴾
[ النبأ: 14]
Na tukateremsha maji yanayo anguka kwa kasi kutoka mawinguni,
Surah An-Naba in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And sent down, from the rain clouds, pouring water
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na tukateremsha maji yanayo anguka kwa kasi kutoka mawinguni,
Na tumeteremsha kutokana na mawingu yaliyo karibia kunyesha maji yenye kumiminika kwa nguvu. Mvua ndio kitu pekee kinacho toka asli yake maji matamu katika ardhi. Na asli ya mvua ni kukusanyika vijisehemu vya maji yanayo panda kutoka baharini, na maziwa na mito, yakakusanyika kama mawingu na yakageuka chembe za mvua au vipande vya barafu, na khatimaye yakaanguka kwa sura ya mvua au theluji.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na nini kitakujuulisha pengine yeye atatakasika?
- Hakika vinyama vilio viovu kabisa mbele ya Mwenyezi Mungu ni wale wanao kufuru, basi hao
- Na Salamu juu ya Mitume.
- Na bahari zitakapo pasuliwa,
- Na timizeni kipimo mpimapo. Na pimeni kwa mizani zilizo sawa. Hayo ni wema kwenu na
- Na wale ambao hawatoi ushahidi wa uwongo, na pindi wapitapo penye upuuzi, hupita kwa hishima
- Na taabu inapo mfikia mtu humwomba Mola wake Mlezi naye ameelekea kwake. Kisha akimpa neema
- Na kwa yakini tulimtuma Musa pamoja na Ishara zetu na uthibitisho ulio wazi,
- Hakikingi moto, wala hakiwaepushi na mwako.
- Na hata tukikuondoa, Sisi tutalipiza kisasi chetu kwao.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah An Naba with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah An Naba mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter An Naba Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers