Surah An Naba aya 14 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَأَنزَلْنَا مِنَ الْمُعْصِرَاتِ مَاءً ثَجَّاجًا﴾
[ النبأ: 14]
Na tukateremsha maji yanayo anguka kwa kasi kutoka mawinguni,
Surah An-Naba in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And sent down, from the rain clouds, pouring water
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na tukateremsha maji yanayo anguka kwa kasi kutoka mawinguni,
Na tumeteremsha kutokana na mawingu yaliyo karibia kunyesha maji yenye kumiminika kwa nguvu. Mvua ndio kitu pekee kinacho toka asli yake maji matamu katika ardhi. Na asli ya mvua ni kukusanyika vijisehemu vya maji yanayo panda kutoka baharini, na maziwa na mito, yakakusanyika kama mawingu na yakageuka chembe za mvua au vipande vya barafu, na khatimaye yakaanguka kwa sura ya mvua au theluji.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi akachukua mimba yake, na akaondoka nayo mpaka mahali pa mbali.
- Basi ni nani aliye dhaalimu zaidi kuliko yule anaye mzulia uwongo Mwenyezi Mungu na akazikanusha
- Basi hautawafaa kitu uombezi wa waombezi.
- Hakika haya ndiyo mliyo kuwa mkiyatilia shaka.
- Mola wangu Mlezi! Nitunukie hukumu na uniunganishe na watendao mema.
- Ati anadhani binaadamu kuwa ataachwa bure?
- Hakika wao ndio waharibifu, lakini hawatambui.
- Isipo kuwa kifo chetu cha kwanza? Wala sisi hatutaadhibiwa.
- Walipo tupa, Musa alisema: Mliyo leta ni uchawi. Hakika Mwenyezi Mungu haitengenezi kazi ya waharibifu.
- Wote hao tunawakunjulia - hawa na hao - katika neema za Mola wako Mlezi. Wala
Quran Surah in Swahili :
Download Surah An Naba with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah An Naba mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter An Naba Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



