Surah An Naba aya 14 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah An Naba aya 14 in arabic text(The Great News).
  
   

﴿وَأَنزَلْنَا مِنَ الْمُعْصِرَاتِ مَاءً ثَجَّاجًا﴾
[ النبأ: 14]

Na tukateremsha maji yanayo anguka kwa kasi kutoka mawinguni,

Surah An-Naba in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And sent down, from the rain clouds, pouring water


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na tukateremsha maji yanayo anguka kwa kasi kutoka mawinguni,


Na tumeteremsha kutokana na mawingu yaliyo karibia kunyesha maji yenye kumiminika kwa nguvu. Mvua ndio kitu pekee kinacho toka asli yake maji matamu katika ardhi. Na asli ya mvua ni kukusanyika vijisehemu vya maji yanayo panda kutoka baharini, na maziwa na mito, yakakusanyika kama mawingu na yakageuka chembe za mvua au vipande vya barafu, na khatimaye yakaanguka kwa sura ya mvua au theluji.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 14 from An Naba


Ayats from Quran in Swahili

  1. Ni malipo kwa waliyo kuwa wakiyatenda.
  2. Je! Ati ndio kila wanapo funga ahadi huwapo kikundi miongoni mwao kikaivunja? Bali wengi wao
  3. Isipo kuwa wale walio tubu baada ya hayo na wakatengenea; kwani Mwenyezi Mungu ni Mwenye
  4. Enyi mlio amini! Msiwafanye makafiri kuwa ndio marafiki badala ya Waumini. Je, mnataka Mwenyezi Mungu
  5. Na tukamuingiza katika rehema yetu. Hakika yeye ni miongoni mwa watenda mema.
  6. Na akasema mtu mmoja Muumini, aliye kuwa mmoja katika watu wa Firauni aliye ficha Imani
  7. Akasema: Siyo hivyo kabisa! Nendeni na miujiza yetu. Hakika Sisi tu pamoja nanyi, tunasikiliza.
  8. Sikuwaambia lolote ila uliyo niamrisha, nayo ni: Muabuduni Mwenyezi Mungu, Mola wangu Mlezi na Mola
  9. Sema: Je! Yupo katika miungu yenu ya ushirikina anaye ongoa kwendea Haki? Sema: Mwenyezi Mungu
  10. Mwenyezi Mungu humkunjulia riziki amtakaye, na humkunjia kwa kipimo. Na wamefurahia maisha ya dunia. Na

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah An Naba with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah An Naba mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter An Naba Complete with high quality
Surah An Naba Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah An Naba Bandar Balila
Bandar Balila
Surah An Naba Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah An Naba Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah An Naba Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah An Naba Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah An Naba Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah An Naba Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah An Naba Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah An Naba Fares Abbad
Fares Abbad
Surah An Naba Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah An Naba Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah An Naba Al Hosary
Al Hosary
Surah An Naba Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah An Naba Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Saturday, April 19, 2025

Please remember us in your sincere prayers