🔥 0 siku mfululizo
📖 Sura ndefu — imegawanywa sehemu ndogo (52 Aya)
📚 Sura Zote
30%
🎤 Gusa ikoni ya maikrofoni 🎙️ karibu na aya yoyote ili kujirekodi, kisha sikiliza na ulinganishe na qari.
0/52
68:1 🔁 0/5
نٓۚ وَٱلۡقَلَمِ وَمَا يَسۡطُرُونَ  ۝١
Noon; walqalami wa maa yasturoon
Nuun. Naapa kwa kalamu na yale wayaandikayo,
🎤 Rekodi yako:
68:2 🔁 0/5
مَآ أَنتَ بِنِعۡمَةِ رَبِّكَ بِمَجۡنُونٍ  ۝٢
Maa anta bini`mati Rabbika bimajnoon
Kwa neema ya Mola wako Mlezi wewe si mwendawazimu.
🎤 Rekodi yako:
68:3 🔁 0/5
وَإِنَّ لَكَ لَأَجۡرًا غَيۡرَ مَمۡنُونٍ  ۝٣
Wa inna laka la ajran ghaira mamnoon
Na kwa hakika wewe una malipo yasiyo katika.
🎤 Rekodi yako:
68:4 🔁 0/5
وَإِنَّكَ لَعَلَىٰ خُلُقٍ عَظِيمٍ  ۝٤
Wa innaka la`alaa khuluqin `azeem
Na hakika wewe una tabia tukufu.
🎤 Rekodi yako:
68:5 🔁 0/5
فَسَتُبۡصِرُ وَيُبۡصِرُونَ  ۝٥
Fasatubsiru wa yubsiroon
Karibu utaona, na wao wataona,
🎤 Rekodi yako:
68:6 🔁 0/5
بِأَييِّكُمُ ٱلۡمَفۡتُونُ  ۝٦
Bi ayyikumul maftoon
Ni nani kati yenu aliye pandwa na wazimu.
🎤 Rekodi yako:
68:7 🔁 0/5
إِنَّ رَبَّكَ هُوَ أَعۡلَمُ بِمَن ضَلَّ عَن سَبِيلِهِۦ وَهُوَ أَعۡلَمُ بِٱلۡمُهۡتَدِينَ  ۝٧
Innaa Rabbaka Huwa a`lamu biman dalla `an sabeelihee wa Huwa a`lamu bilmuhtadeen
Hakika Mola wako Mlezi ndiye Yeye ajuaye zaidi nani aliye ipotea Njia yake, na Yeye ndiye anaye wajua zaidi walio ongoka.
🎤 Rekodi yako:
68:8 🔁 0/5
فَلَا تُطِعِ ٱلۡمُكَذِّبِينَ  ۝٨
Falaa tuti`il mukazzibeen
Basi usiwat'ii wanao kadhibisha.
🎤 Rekodi yako:
68:9 🔁 0/5
وَدُّواْ لَوۡ تُدۡهِنُ فَيُدۡهِنُونَ  ۝٩
Waddoo law tudhinu fa-yudhinoon
Wanatamani lau unge lainisha ili nao wakulainishie.
🎤 Rekodi yako:
68:10 🔁 0/5
وَلَا تُطِعۡ كُلَّ حَلَّافٍ مَّهِينٍ  ۝١٠
Wa laa tuti` kulla hallaa fim maheen
Wala usimt'ii kila mwingi wa kuapa wa kudharauliwa,
🎤 Rekodi yako:
68:11 🔁 0/5
هَمَّازٍ مَّشَّآءِۭ بِنَمِيمٍ  ۝١١
Hammaazim mash shaaa`im binameem
Mtapitapi, apitaye akifitini,
🎤 Rekodi yako:
68:12 🔁 0/5
مَّنَّاعٍ لِّلۡخَيۡرِ مُعۡتَدٍ أَثِيمٍ  ۝١٢
Mannaa`il lilkhairi mu`tadin aseem
Mwenye kuzuia kheri, dhaalimu, mwingi wa madhambi,
🎤 Rekodi yako:
68:13 🔁 0/5
عُتُلِّۭ بَعۡدَ ذَٰلِكَ زَنِيمٍ  ۝١٣
Utullim ba`da zaalika zaneem
Mkavu, na juu ya hayo, mshari, amejipachika tu.
🎤 Rekodi yako:
68:14 🔁 0/5
أَن كَانَ ذَا مَالٍ وَبَنِينَ  ۝١٤
An kaana zaa maalinw-wa baneen
Ati kwa kuwa ana mali na watoto!
🎤 Rekodi yako:
68:15 🔁 0/5
إِذَا تُتۡلَىٰ عَلَيۡهِ ءَايَٰتُنَا قَالَ أَسَٰطِيرُ ٱلۡأَوَّلِينَ  ۝١٥
Izaa tutlaa `alaihi aayaatunaa qaala asaateerul awwaleen
Anapo somewa Aya zetu, husema: Hizi ni simulizi za uwongo za watu wa zamani!
🎤 Rekodi yako:
68:16 🔁 0/5
سَنَسِمُهُۥ عَلَى ٱلۡخُرۡطُومِ  ۝١٦
Sanasimuhoo `alal khurtoom
Tutamtia kovu juu ya pua yake.
🎤 Rekodi yako:
68:17 🔁 0/5
إِنَّا بَلَوۡنَٰهُمۡ كَمَا بَلَوۡنَآ أَصۡحَٰبَ ٱلۡجَنَّةِ إِذۡ أَقۡسَمُواْ لَيَصۡرِمُنَّهَا مُصۡبِحِينَ  ۝١٧
Innaa balawnaahum kamaa balawnaaa As-haabal jannati iz `aqsamoo la-yasri munnahaa musbiheen
Hakika tumewajaribu hawa kama tulivyo wajaribu wale wenye shamba, walipo apa kwamba watayavuna mazao yake itakapo kuwa asubuhi.
🎤 Rekodi yako:
68:18 🔁 0/5
وَلَا يَسۡتَثۡنُونَ  ۝١٨
Wa laa yastasnoon
Wala hawakusema: Mungu akipenda!
🎤 Rekodi yako:
68:19 🔁 0/5
فَطَافَ عَلَيۡهَا طَآئِفٌ مِّن رَّبِّكَ وَهُمۡ نَآئِمُونَ  ۝١٩
Fataafa `alaihaa taaa`i fum mir rabbika wa hum naaa`imoon
Basi lilitokea tukio juu yake kutoka kwa Mola wako Mlezi, nao wamelala!
🎤 Rekodi yako:
68:20 🔁 0/5
فَأَصۡبَحَتۡ كَٱلصَّرِيمِ  ۝٢٠
Fa asbahat kassareem
Likawa kama usiku wa giza.
🎤 Rekodi yako:
68:21 🔁 0/5
فَتَنَادَوۡاْ مُصۡبِحِينَ  ۝٢١
Fatanaadaw musbiheen
Asubuhi wakaitana.
🎤 Rekodi yako:
68:22 🔁 0/5
أَنِ ٱغۡدُواْ عَلَىٰ حَرۡثِكُمۡ إِن كُنتُمۡ صَٰرِمِينَ  ۝٢٢
Anighdoo `alaa harsikum in kuntum saarimeen
Ya kwamba nendeni kondeni mwenu ikiwa mnataka kuvuna.
🎤 Rekodi yako:
68:23 🔁 0/5
فَٱنطَلَقُواْ وَهُمۡ يَتَخَٰفَتُونَ  ۝٢٣
Fantalaqoo wa hum yatakhaafatoon
Basi walikwenda na huku wakinong'onezana,
🎤 Rekodi yako:
68:24 🔁 0/5
أَن لَّا يَدۡخُلَنَّهَا ٱلۡيَوۡمَ عَلَيۡكُم مِّسۡكِينٌ  ۝٢٤
Al laa yadkhulannahal yawma `alaikum miskeen
Ya kuwa leo hata masikini mmoja asikuingilieni.
🎤 Rekodi yako:
68:25 🔁 0/5
وَغَدَوۡاْ عَلَىٰ حَرۡدٍ قَٰدِرِينَ  ۝٢٥
Wa ghadaw `alaa hardin qaadireen
Na walikwenda asubuhi, nao wameshikilia azimio hilo.
🎤 Rekodi yako:
68:26 🔁 0/5
فَلَمَّا رَأَوۡهَا قَالُوٓاْ إِنَّا لَضَآلُّونَ  ۝٢٦
Falammaa ra awhaa qaalooo innaa ladaaalloon
Basi walipo liona, wakasema: Hakika tumepotea!
🎤 Rekodi yako:
68:27 🔁 0/5
بَلۡ نَحۡنُ مَحۡرُومُونَ  ۝٢٧
Bal nahnu mahroomoon
Bali tumenyimwa!
🎤 Rekodi yako:
68:28 🔁 0/5
قَالَ أَوۡسَطُهُمۡ أَلَمۡ أَقُل لَّكُمۡ لَوۡلَا تُسَبِّحُونَ  ۝٢٨
Qaala awsatuhum alam aqul lakum law laa tusabbihoon
Mbora wao akasema: Sikukwambieni, kwa nini hamumtakasi Mwenyezi Mungu?
🎤 Rekodi yako:
68:29 🔁 0/5
قَالُواْ سُبۡحَٰنَ رَبِّنَآ إِنَّا كُنَّا ظَٰلِمِينَ  ۝٢٩
Qaaloo subhaana rabbinaaa innaa kunnaa zaalimeen
Wakasema: Ametakasika Mola wetu Mlezi! Hakika sisi tulikuwa wenye kudhulumu.
🎤 Rekodi yako:
68:30 🔁 0/5
فَأَقۡبَلَ بَعۡضُهُمۡ عَلَىٰ بَعۡضٍ يَتَلَٰوَمُونَ  ۝٣٠
Fa aqbala ba`duhum `alaa ba`diny yatalaawamoon
Basi wakakabiliana kulaumiana wao kwa wao.
🎤 Rekodi yako:
68:31 🔁 0/5
قَالُواْ يَٰوَيۡلَنَآ إِنَّا كُنَّا طَٰغِينَ  ۝٣١
Qaaloo yaa wailanaaa innaa kunnaa taagheen
Wakasema: Ole wetu! Tulikuwa tumeikiuka mipaka!
🎤 Rekodi yako:
68:32 🔁 0/5
عَسَىٰ رَبُّنَآ أَن يُبۡدِلَنَا خَيۡرًا مِّنۡهَآ إِنَّآ إِلَىٰ رَبِّنَا رَٰغِبُونَ  ۝٣٢
Asaa rabbunaaa any yubdilanaa khairam minhaaa innaaa ilaa rabbinaa raaghiboon
Asaa Mola wetu Mlezi akatubadilishia lilio bora kuliko hili. Hakika sisi ni wenye kurejea kwa Mola wetu Mlezi.
🎤 Rekodi yako:
68:33 🔁 0/5
كَذَٰلِكَ ٱلۡعَذَابُۖ وَلَعَذَابُ ٱلۡأٓخِرَةِ أَكۡبَرُۚ لَوۡ كَانُواْ يَعۡلَمُونَ  ۝٣٣
Kazaalikal azaab, wa la`azaabul aakhirati akbar; law kaanoo ya`lamoon
Namna hivi yanakuwa mateso, na bila ya shaka mateso ya Akhera ni makubwa zaidi, laiti wangeli jua!
🎤 Rekodi yako:
68:34 🔁 0/5
إِنَّ لِلۡمُتَّقِينَ عِندَ رَبِّهِمۡ جَنَّٰتِ ٱلنَّعِيمِ  ۝٣٤
Inna lilmuttaqeena `inda rabbihim jannaatin na`eem
Hakika wachamngu watakuwa na Bustani za neema kwa Mola wao Mlezi.
🎤 Rekodi yako:
68:35 🔁 0/5
أَفَنَجۡعَلُ ٱلۡمُسۡلِمِينَ كَٱلۡمُجۡرِمِينَ  ۝٣٥
Afanaj`alul muslimeena kalmujrimeen
Kwani tutawafanya Waislamu kama wakosefu?
🎤 Rekodi yako:
68:36 🔁 0/5
مَا لَكُمۡ كَيۡفَ تَحۡكُمُونَ  ۝٣٦
Maa lakum kaifa tahhkumoon
Mna nini? Mnahukumu vipi?
🎤 Rekodi yako:
68:37 🔁 0/5
أَمۡ لَكُمۡ كِتَٰبٌ فِيهِ تَدۡرُسُونَ  ۝٣٧
Am lakum kitaabun feehi tadrusoon
Au mnacho kitabu ambacho ndani yake mnasoma?
🎤 Rekodi yako:
68:38 🔁 0/5
إِنَّ لَكُمۡ فِيهِ لَمَا تَخَيَّرُونَ  ۝٣٨
Inna lakum feehi lamaa takhaiyaroon
Kuwa mtapata humo mnayo yapenda?
🎤 Rekodi yako:
68:39 🔁 0/5
أَمۡ لَكُمۡ أَيۡمَٰنٌ عَلَيۡنَا بَٰلِغَةٌ إِلَىٰ يَوۡمِ ٱلۡقِيَٰمَةِ إِنَّ لَكُمۡ لَمَا تَحۡكُمُونَ  ۝٣٩
Am lakum aymaanun `alainaa baalighatun ilaa yawmil qiyaamati inna lakum lamaa tahkumoon
Au mnazo ahadi za viapo juu yetu za kufika Siku ya Kiyama ya kuwa hakika mtapata kila mnayo jihukumia?
🎤 Rekodi yako:
68:40 🔁 0/5
سَلۡهُمۡ أَيُّهُم بِذَٰلِكَ زَعِيمٌ  ۝٤٠
Salhum ayyuhum bizaa lika za`eem
Waulize: Ni nani miongoni mwao dhamini wa haya?
🎤 Rekodi yako:
68:41 🔁 0/5
أَمۡ لَهُمۡ شُرَكَآءُ فَلۡيَأۡتُواْ بِشُرَكَآئِهِمۡ إِن كَانُواْ صَٰدِقِينَ  ۝٤١
Am lahum shurakaaa`u falyaatoo bishurakaaa `ihim in kaanoo saadiqeen
Au wanao washirika? Basi wawalete washirika wao wakiwa wanasema kweli.
🎤 Rekodi yako:
68:42 🔁 0/5
يَوۡمَ يُكۡشَفُ عَن سَاقٍ وَيُدۡعَوۡنَ إِلَى ٱلسُّجُودِ فَلَا يَسۡتَطِيعُونَ  ۝٤٢
Yawma yukshafu `am saaqinw wa yud`awna ilas sujoodi falaa yastatee`oon
Siku utakapo wekwa wazi mundi, na wataitwa kusujudu, lakini hawataweza,
🎤 Rekodi yako:
68:43 🔁 0/5
خَٰشِعَةً أَبۡصَٰرُهُمۡ تَرۡهَقُهُمۡ ذِلَّةٌۖ وَقَدۡ كَانُواْ يُدۡعَوۡنَ إِلَى ٱلسُّجُودِ وَهُمۡ سَٰلِمُونَ  ۝٤٣
Khaashi`atan absaaruhum tarhaquhum zillatunw wa qad kaanoo yud`awna ilassujoodi wa hum saalimoon
Macho yao yatainama chini, fedheha itawafunika. Na hakika walikuwa wakiitwa wasujudu walipo kuwa wazima -
🎤 Rekodi yako:
68:44 🔁 0/5
فَذَرۡنِي وَمَن يُكَذِّبُ بِهَٰذَا ٱلۡحَدِيثِۖ سَنَسۡتَدۡرِجُهُم مِّنۡ حَيۡثُ لَا يَعۡلَمُونَ  ۝٤٤
Fazarnee wa many yukazzibu bihaazal hadeesi sanastad rijuhum min haisu laa ya`lamoon
Basi niache na wanao kadhibisha maneno haya! Tutawavutia kidogo kidogo kwa mahali wasipo pajua.
🎤 Rekodi yako:
68:45 🔁 0/5
وَأُمۡلِي لَهُمۡۚ إِنَّ كَيۡدِي مَتِينٌ  ۝٤٥
Wa umlee lahum; inna kaidee mateen
Na ninawapururia muhula; hakika hila zangu ni imara.
🎤 Rekodi yako:
68:46 🔁 0/5
أَمۡ تَسۡـَٔلُهُمۡ أَجۡرًا فَهُم مِّن مَّغۡرَمٍ مُّثۡقَلُونَ  ۝٤٦
Am tas`aluhum ajran fahum mim maghramim musqaloon
Au unawaomba ujira, na wao wanaemewa na gharama hiyo?
🎤 Rekodi yako:
68:47 🔁 0/5
أَمۡ عِندَهُمُ ٱلۡغَيۡبُ فَهُمۡ يَكۡتُبُونَ  ۝٤٧
Am `indahumul ghaibu fahum yaktuboon
Au iko kwao siri, basi wao wanaiandika?
🎤 Rekodi yako:
68:48 🔁 0/5
فَٱصۡبِرۡ لِحُكۡمِ رَبِّكَ وَلَا تَكُن كَصَاحِبِ ٱلۡحُوتِ إِذۡ نَادَىٰ وَهُوَ مَكۡظُومٌ  ۝٤٨
Fasbir lihkmi rabbika wa laa takun kasaahibil boot; iz naadaa wa huwa makzoom
Basi ingojee hukumu ya Mola wako Mlezi, wala usiwe kama mmezwa na samaki, alipo nadi naye kazongwa.
🎤 Rekodi yako:
68:49 🔁 0/5
لَّوۡلَآ أَن تَدَٰرَكَهُۥ نِعۡمَةٌ مِّن رَّبِّهِۦ لَنُبِذَ بِٱلۡعَرَآءِ وَهُوَ مَذۡمُومٌ  ۝٤٩
Law laaa an tadaara kahoo ni`matum mir rabbihee lanubiza bil`araaa`i wa huwa mazmoom
Kama isingeli mfikia neema kutoka kwa Mola wake Mlezi, bila ya shaka angeli tupwa ufukweni naye ni mwenye kulaumiwa.
🎤 Rekodi yako:
68:50 🔁 0/5
فَٱجۡتَبَٰهُ رَبُّهُۥ فَجَعَلَهُۥ مِنَ ٱلصَّٰلِحِينَ  ۝٥٠
Fajtabaahu rabbuhoo faja`alahoo minas saaliheen
Lakini Mola wake Mlezi alimteua na akamfanya miongoni mwa watu wema.
🎤 Rekodi yako:
68:51 🔁 0/5
وَإِن يَكَادُ ٱلَّذِينَ كَفَرُواْ لَيُزۡلِقُونَكَ بِأَبۡصَٰرِهِمۡ لَمَّا سَمِعُواْ ٱلذِّكۡرَ وَيَقُولُونَ إِنَّهُۥ لَمَجۡنُونٌ  ۝٥١
Wa iny-yakaadul lazeena kafaroo la-yuzliqoonaka biabsaarihim lammaa saml`uz-Zikra wa yaqooloona innahoo lamajnoon
Na walio kufuru hukaribia kukutelezesha kwa macho yao, wanapo sikia mawaidha, na wanasema: Hakika yeye ni mwendawazimu.
🎤 Rekodi yako:
68:52 🔁 0/5
وَمَا هُوَ إِلَّا ذِكۡرٌ لِّلۡعَٰلَمِينَ  ۝٥٢
Wa maa huwa illaa zikrul lil`aalameen
Na hayakuwa haya, ila ni ukumbusho kwa walimwengu wote.
🎤 Rekodi yako:
💡 Gusa neno lililofichwa ili lionekane kwa muda — maendeleo yako yanahifadhiwa kiotomatiki.

🎉
🎊 Hongera! Umemaliza Kuhifadhi
Mishary Rashid Alafasy
Mahmoud Khalil Al-Husary
Abdurrahman As-Sudais
Mohamed Siddiq Al-Minshawi
Abdul Basit Abdul Samad
Ali Al-Hudhaify
Ahmed ibn Ali al-Ajamy
Abu Bakr Ash-Shaatree
Muhammad Ayyoub
Abdullah Basfar
Abdullah Al-Juhani
Maher Al Muaiqly
0:00
0:00
-

Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema