🔥 0 siku mfululizo
📖 Sura ndefu — imegawanywa sehemu ndogo (30 Aya)
📚 Sura Zote
30%
🎤 Gusa ikoni ya maikrofoni 🎙️ karibu na aya yoyote ili kujirekodi, kisha sikiliza na ulinganishe na qari.
0/30
89:1 🔁 0/5
وَٱلۡفَجۡرِ  ۝١
Wal-Fajr
Naapa kwa alfajiri,
🎤 Rekodi yako:
89:2 🔁 0/5
وَلَيَالٍ عَشۡرٍ  ۝٢
Wa layaalin `ashr
Na kwa masiku kumi,
🎤 Rekodi yako:
89:3 🔁 0/5
وَٱلشَّفۡعِ وَٱلۡوَتۡرِ  ۝٣
Wash shaf`i wal watr
Na kwa viwili viwili na kimoja kimoja,
🎤 Rekodi yako:
89:4 🔁 0/5
وَٱلَّيۡلِ إِذَا يَسۡرِ  ۝٤
Wallaili izaa yasr
Na kwa usiku unapo pita,
🎤 Rekodi yako:
89:5 🔁 0/5
هَلۡ فِي ذَٰلِكَ قَسَمٌ لِّذِي حِجۡرٍ  ۝٥
Hal fee zaalika qasamul lizee hijr
Je! Hapana katika haya kiapo kwa mwenye akili?
🎤 Rekodi yako:
89:6 🔁 0/5
أَلَمۡ تَرَ كَيۡفَ فَعَلَ رَبُّكَ بِعَادٍ  ۝٦
Alam tara kaifa fa`ala rabbuka bi`aad
Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo wafanya kina A'di?
🎤 Rekodi yako:
89:7 🔁 0/5
إِرَمَ ذَاتِ ٱلۡعِمَادِ  ۝٧
Iramaa zaatil `imaad
Wa Iram, wenye majumba marefu?
🎤 Rekodi yako:
89:8 🔁 0/5
ٱلَّتِي لَمۡ يُخۡلَقۡ مِثۡلُهَا فِي ٱلۡبِلَٰدِ  ۝٨
Allatee lam yukhlaq misluhaa fil bilaad
Ambao haukuumbwa mfano wake katika nchi?
🎤 Rekodi yako:
89:9 🔁 0/5
وَثَمُودَ ٱلَّذِينَ جَابُواْ ٱلصَّخۡرَ بِٱلۡوَادِ  ۝٩
Wa samoodal lazeena jaabus sakhra bil waad
Na Thamudi walio chonga majabali huko bondeni?
🎤 Rekodi yako:
89:10 🔁 0/5
وَفِرۡعَوۡنَ ذِي ٱلۡأَوۡتَادِ  ۝١٠
Wa fir`awna zil awtaad
Na Firauni mwenye vigingi?
🎤 Rekodi yako:
89:11 🔁 0/5
ٱلَّذِينَ طَغَوۡاْ فِي ٱلۡبِلَٰدِ  ۝١١
Allazeena taghaw fil bilaad
Ambao walifanya jeuri katika nchi?
🎤 Rekodi yako:
89:12 🔁 0/5
فَأَكۡثَرُواْ فِيهَا ٱلۡفَسَادَ  ۝١٢
Fa aksaroo feehal fasaad
Wakakithirisha humo ufisadi?
🎤 Rekodi yako:
89:13 🔁 0/5
فَصَبَّ عَلَيۡهِمۡ رَبُّكَ سَوۡطَ عَذَابٍ  ۝١٣
Fasabba `alaihim Rabbuka sawta `azaab
Basi Mola wako Mlezi aliwapiga mjeledi wa adhabu.
🎤 Rekodi yako:
89:14 🔁 0/5
إِنَّ رَبَّكَ لَبِٱلۡمِرۡصَادِ  ۝١٤
Inna Rabbaka labil mirsaad
Hakika Mola wako Mlezi yupo kwenye mavizio anawavizia.
🎤 Rekodi yako:
89:15 🔁 0/5
فَأَمَّا ٱلۡإِنسَٰنُ إِذَا مَا ٱبۡتَلَىٰهُ رَبُّهُۥ فَأَكۡرَمَهُۥ وَنَعَّمَهُۥ فَيَقُولُ رَبِّيٓ أَكۡرَمَنِ  ۝١٥
Fa ammal insaanu izaa mab talaahu Rabbuhoo fa akramahoo wa na` `amahoo fa yaqoolu Rabbeee akraman
Ama mtu anapo jaribiwa na Mola wake Mlezi, akamkirimu na akamneemesha, husema: Mola wangu Mlezi amenikirimu!
🎤 Rekodi yako:
89:16 🔁 0/5
وَأَمَّآ إِذَا مَا ٱبۡتَلَىٰهُ فَقَدَرَ عَلَيۡهِ رِزۡقَهُۥ فَيَقُولُ رَبِّيٓ أَهَٰنَنِ  ۝١٦
Wa ammaaa izaa mabtalaahu faqadara `alaihi rizqahoo fa yaqoolu Rabbeee ahaanan
Na ama anapo mjaribu akampunguzia riziki yake, husema: Mola wangu Mlezi amenitia unyonge!
🎤 Rekodi yako:
89:17 🔁 0/5
كـَلَّاۖ بَل لَّا تُكۡرِمُونَ ٱلۡيَتِيمَ  ۝١٧
Kalla bal laa tukrimooo nal yateem
Sivyo hivyo! Bali nyinyi hamuwakirimu mayatima,
🎤 Rekodi yako:
89:18 🔁 0/5
وَلَا تَحَٰٓضُّونَ عَلَىٰ طَعَامِ ٱلۡمِسۡكِينِ  ۝١٨
Wa laa tahaaaddoona `alaata`aamil miskeen
Wala hamhimizani kulisha masikini;
🎤 Rekodi yako:
89:19 🔁 0/5
وَتَأۡكُلُونَ ٱلتُّرَاثَ أَكۡلًا لَّمًّا  ۝١٩
Wa taakuloonat turaasa aklal lammaa
Na mnakula urithi kwa ulaji wa pupa,
🎤 Rekodi yako:
89:20 🔁 0/5
وَتُحِبُّونَ ٱلۡمَالَ حُبًّا جَمًّا  ۝٢٠
Wa tuhibboonal maala hubban jammaa
Na mnapenda mali pendo la kupita kiasi.
🎤 Rekodi yako:
89:21 🔁 0/5
كـَلَّآۖ إِذَا دُكَّتِ ٱلۡأَرۡضُ دَكًّا دَكًّا  ۝٢١
Kallaaa izaaa dukkatil ardu dakkan dakka
Sivyo hivyo! Itakapo vunjwa ardhi vipande vipande,
🎤 Rekodi yako:
89:22 🔁 0/5
وَجَآءَ رَبُّكَ وَٱلۡمَلَكُ صَفًّا صَفًّا  ۝٢٢
Wa jaaa`a Rabbuka wal malaku saffan saffaa
Na akaja Mola wako Mlezi na Malaika safu safu,
🎤 Rekodi yako:
89:23 🔁 0/5
وَجِاْيٓءَ يَوۡمَئِذِۭ بِجَهَنَّمَۚ يَوۡمَئِذٍ يَتَذَكَّرُ ٱلۡإِنسَٰنُ وَأَنَّىٰ لَهُ ٱلذِّكۡرَىٰ  ۝٢٣
Wa jeee`a yawma`izim bi jahannnam; Yawma `iziny yatazakkarul insaanu wa annaa lahuz zikraa
Na ikaletwa Jahannamu siku hiyo, siku hiyo mtu atakumbuka! Lakini kukumbuka huko kutamfaa nini?
🎤 Rekodi yako:
89:24 🔁 0/5
يَقُولُ يَٰلَيۡتَنِي قَدَّمۡتُ لِحَيَاتِي  ۝٢٤
Yaqoolu yaa laitanee qaddamtu lihayaatee
Atasema: Laiti ningeli jitangulizia kwa uhai wangu!
🎤 Rekodi yako:
89:25 🔁 0/5
فَيَوۡمَئِذٍ لَّا يُعَذِّبُ عَذَابَهُۥٓ أَحَدٌ  ۝٢٥
Fa Yawma izil laa yu`azzibu `azaabahooo ahad
Basi siku hiyo hataadhibu yeyote namna ya kuadhibu kwake.
🎤 Rekodi yako:
89:26 🔁 0/5
وَلَا يُوثِقُ وَثَاقَهُۥٓ أَحَدٌ  ۝٢٦
Wa laa yoosiqu wasaaqa hooo ahad
Wala hatafunga yeyote kama kufunga kwake.
🎤 Rekodi yako:
89:27 🔁 0/5
يَٰٓأَيَّتُهَا ٱلنَّفۡسُ ٱلۡمُطۡمَئِنَّةُ  ۝٢٧
Yaaa ayyatuhan nafsul mutma `innah
Ewe nafsi iliyo tua!
🎤 Rekodi yako:
89:28 🔁 0/5
ٱرۡجِعِيٓ إِلَىٰ رَبِّكِ رَاضِيَةً مَّرۡضِيَّةً  ۝٢٨
Irji`eee ilaa Rabbiki raadiyatam mardiyyah
Rejea kwa Mola wako Mlezi umeridhika, na umemridhisha.
🎤 Rekodi yako:
89:29 🔁 0/5
فَٱدۡخُلِي فِي عِبَٰدِي  ۝٢٩
Fadkhulee fee `ibaadee
Basi ingia miongoni mwa waja wangu,
🎤 Rekodi yako:
89:30 🔁 0/5
وَٱدۡخُلِي جَنَّتِي  ۝٣٠
Wadkhulee jannatee
Na ingia katika Pepo yangu.
🎤 Rekodi yako:
💡 Gusa neno lililofichwa ili lionekane kwa muda — maendeleo yako yanahifadhiwa kiotomatiki.

🎉
🎊 Hongera! Umemaliza Kuhifadhi
Mishary Rashid Alafasy
Mahmoud Khalil Al-Husary
Abdurrahman As-Sudais
Mohamed Siddiq Al-Minshawi
Abdul Basit Abdul Samad
Ali Al-Hudhaify
Ahmed ibn Ali al-Ajamy
Abu Bakr Ash-Shaatree
Muhammad Ayyoub
Abdullah Basfar
Abdullah Al-Juhani
Maher Al Muaiqly
0:00
0:00
-

Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema