🔥 0 siku mfululizo
📖 Sura ndefu — imegawanywa sehemu ndogo (30 Aya)
0/30
89:1
🔁 0/5
وَٱلۡفَجۡرِ ١
Wal-Fajr
Naapa kwa alfajiri,
🎤 Rekodi yako:
89:2
🔁 0/5
وَلَيَالٍ عَشۡرٍ ٢
Wa layaalin `ashr
Na kwa masiku kumi,
🎤 Rekodi yako:
89:3
🔁 0/5
وَٱلشَّفۡعِ وَٱلۡوَتۡرِ ٣
Wash shaf`i wal watr
Na kwa viwili viwili na kimoja kimoja,
🎤 Rekodi yako:
89:4
🔁 0/5
وَٱلَّيۡلِ إِذَا يَسۡرِ ٤
Wallaili izaa yasr
Na kwa usiku unapo pita,
🎤 Rekodi yako:
89:5
🔁 0/5
هَلۡ فِي ذَٰلِكَ قَسَمٌ لِّذِي حِجۡرٍ ٥
Hal fee zaalika qasamul lizee hijr
Je! Hapana katika haya kiapo kwa mwenye akili?
🎤 Rekodi yako:
89:6
🔁 0/5
أَلَمۡ تَرَ كَيۡفَ فَعَلَ رَبُّكَ بِعَادٍ ٦
Alam tara kaifa fa`ala rabbuka bi`aad
Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo wafanya kina A'di?
🎤 Rekodi yako:
89:7
🔁 0/5
إِرَمَ ذَاتِ ٱلۡعِمَادِ ٧
Iramaa zaatil `imaad
Wa Iram, wenye majumba marefu?
🎤 Rekodi yako:
89:8
🔁 0/5
ٱلَّتِي لَمۡ يُخۡلَقۡ مِثۡلُهَا فِي ٱلۡبِلَٰدِ ٨
Allatee lam yukhlaq misluhaa fil bilaad
Ambao haukuumbwa mfano wake katika nchi?
🎤 Rekodi yako:
89:9
🔁 0/5
وَثَمُودَ ٱلَّذِينَ جَابُواْ ٱلصَّخۡرَ بِٱلۡوَادِ ٩
Wa samoodal lazeena jaabus sakhra bil waad
Na Thamudi walio chonga majabali huko bondeni?
🎤 Rekodi yako:
89:10
🔁 0/5
وَفِرۡعَوۡنَ ذِي ٱلۡأَوۡتَادِ ١٠
Wa fir`awna zil awtaad
Na Firauni mwenye vigingi?
🎤 Rekodi yako:
89:11
🔁 0/5
ٱلَّذِينَ طَغَوۡاْ فِي ٱلۡبِلَٰدِ ١١
Allazeena taghaw fil bilaad
Ambao walifanya jeuri katika nchi?
🎤 Rekodi yako:
89:12
🔁 0/5
فَأَكۡثَرُواْ فِيهَا ٱلۡفَسَادَ ١٢
Fa aksaroo feehal fasaad
Wakakithirisha humo ufisadi?
🎤 Rekodi yako:
89:13
🔁 0/5
فَصَبَّ عَلَيۡهِمۡ رَبُّكَ سَوۡطَ عَذَابٍ ١٣
Fasabba `alaihim Rabbuka sawta `azaab
Basi Mola wako Mlezi aliwapiga mjeledi wa adhabu.
🎤 Rekodi yako:
89:14
🔁 0/5
إِنَّ رَبَّكَ لَبِٱلۡمِرۡصَادِ ١٤
Inna Rabbaka labil mirsaad
Hakika Mola wako Mlezi yupo kwenye mavizio anawavizia.
🎤 Rekodi yako:
89:15
🔁 0/5
فَأَمَّا ٱلۡإِنسَٰنُ إِذَا مَا ٱبۡتَلَىٰهُ رَبُّهُۥ فَأَكۡرَمَهُۥ وَنَعَّمَهُۥ فَيَقُولُ رَبِّيٓ أَكۡرَمَنِ ١٥
Fa ammal insaanu izaa mab talaahu Rabbuhoo fa akramahoo wa na` `amahoo fa yaqoolu Rabbeee akraman
Ama mtu anapo jaribiwa na Mola wake Mlezi, akamkirimu na akamneemesha, husema: Mola wangu Mlezi amenikirimu!
🎤 Rekodi yako:
89:16
🔁 0/5
وَأَمَّآ إِذَا مَا ٱبۡتَلَىٰهُ فَقَدَرَ عَلَيۡهِ رِزۡقَهُۥ فَيَقُولُ رَبِّيٓ أَهَٰنَنِ ١٦
Wa ammaaa izaa mabtalaahu faqadara `alaihi rizqahoo fa yaqoolu Rabbeee ahaanan
Na ama anapo mjaribu akampunguzia riziki yake, husema: Mola wangu Mlezi amenitia unyonge!
🎤 Rekodi yako:
89:17
🔁 0/5
كـَلَّاۖ بَل لَّا تُكۡرِمُونَ ٱلۡيَتِيمَ ١٧
Kalla bal laa tukrimooo nal yateem
Sivyo hivyo! Bali nyinyi hamuwakirimu mayatima,
🎤 Rekodi yako:
89:18
🔁 0/5
وَلَا تَحَٰٓضُّونَ عَلَىٰ طَعَامِ ٱلۡمِسۡكِينِ ١٨
Wa laa tahaaaddoona `alaata`aamil miskeen
Wala hamhimizani kulisha masikini;
🎤 Rekodi yako:
89:19
🔁 0/5
وَتَأۡكُلُونَ ٱلتُّرَاثَ أَكۡلًا لَّمًّا ١٩
Wa taakuloonat turaasa aklal lammaa
Na mnakula urithi kwa ulaji wa pupa,
🎤 Rekodi yako:
89:20
🔁 0/5
وَتُحِبُّونَ ٱلۡمَالَ حُبًّا جَمًّا ٢٠
Wa tuhibboonal maala hubban jammaa
Na mnapenda mali pendo la kupita kiasi.
🎤 Rekodi yako:
89:21
🔁 0/5
كـَلَّآۖ إِذَا دُكَّتِ ٱلۡأَرۡضُ دَكًّا دَكًّا ٢١
Kallaaa izaaa dukkatil ardu dakkan dakka
Sivyo hivyo! Itakapo vunjwa ardhi vipande vipande,
🎤 Rekodi yako:
89:22
🔁 0/5
وَجَآءَ رَبُّكَ وَٱلۡمَلَكُ صَفًّا صَفًّا ٢٢
Wa jaaa`a Rabbuka wal malaku saffan saffaa
Na akaja Mola wako Mlezi na Malaika safu safu,
🎤 Rekodi yako:
89:23
🔁 0/5
وَجِاْيٓءَ يَوۡمَئِذِۭ بِجَهَنَّمَۚ يَوۡمَئِذٍ يَتَذَكَّرُ ٱلۡإِنسَٰنُ وَأَنَّىٰ لَهُ ٱلذِّكۡرَىٰ ٢٣
Wa jeee`a yawma`izim bi jahannnam; Yawma `iziny yatazakkarul insaanu wa annaa lahuz zikraa
Na ikaletwa Jahannamu siku hiyo, siku hiyo mtu atakumbuka! Lakini kukumbuka huko kutamfaa nini?
🎤 Rekodi yako:
89:24
🔁 0/5
يَقُولُ يَٰلَيۡتَنِي قَدَّمۡتُ لِحَيَاتِي ٢٤
Yaqoolu yaa laitanee qaddamtu lihayaatee
Atasema: Laiti ningeli jitangulizia kwa uhai wangu!
🎤 Rekodi yako:
89:25
🔁 0/5
فَيَوۡمَئِذٍ لَّا يُعَذِّبُ عَذَابَهُۥٓ أَحَدٌ ٢٥
Fa Yawma izil laa yu`azzibu `azaabahooo ahad
Basi siku hiyo hataadhibu yeyote namna ya kuadhibu kwake.
🎤 Rekodi yako:
89:26
🔁 0/5
وَلَا يُوثِقُ وَثَاقَهُۥٓ أَحَدٌ ٢٦
Wa laa yoosiqu wasaaqa hooo ahad
Wala hatafunga yeyote kama kufunga kwake.
🎤 Rekodi yako:
89:27
🔁 0/5
يَٰٓأَيَّتُهَا ٱلنَّفۡسُ ٱلۡمُطۡمَئِنَّةُ ٢٧
Yaaa ayyatuhan nafsul mutma `innah
Ewe nafsi iliyo tua!
🎤 Rekodi yako:
89:28
🔁 0/5
ٱرۡجِعِيٓ إِلَىٰ رَبِّكِ رَاضِيَةً مَّرۡضِيَّةً ٢٨
Irji`eee ilaa Rabbiki raadiyatam mardiyyah
Rejea kwa Mola wako Mlezi umeridhika, na umemridhisha.
🎤 Rekodi yako:
89:29
🔁 0/5
فَٱدۡخُلِي فِي عِبَٰدِي ٢٩
Fadkhulee fee `ibaadee
Basi ingia miongoni mwa waja wangu,
🎤 Rekodi yako:
89:30
🔁 0/5
وَٱدۡخُلِي جَنَّتِي ٣٠
Wadkhulee jannatee
Na ingia katika Pepo yangu.
🎤 Rekodi yako:
💡 Gusa neno lililofichwa ili lionekane kwa muda — maendeleo yako yanahifadhiwa kiotomatiki.
العربيةEnglishBahasa IndonesiaTürkçeРусскийفارسیFrançaisاردوবাংলাDeutschEspañol中文हिन्दीPortuguêsItalianoภาษาไทยPolskiNederlandsShqipKiswahiliO'zbekதமிழ்MelayuBosanskiSoomaaliAzərbaycanکوردی한국어日本語SvenskaDanskNorskپښتوമലയാളംසිංහලTamazightHausaአማርኛБългарскиТоҷикӣҚазақшаFilipinoسنڌيYorùbáFulfuldeТатарчаئۇيغۇرچەКыргызчаਪੰਜਾਬੀJawaతెలుగుမြန်မာગુજરાતીOromoमराठीTiếng ViệtMalagasyНохчийнWolofދިވެހިಕನ್ನಡУкраїнськаΕλληνικάქართულიខ្មែរدریQafar afMaranaoनेपाली
Kurani Tukufu
Tuesday, August 18, 2026
Usitusahau katika dua zako njema







