Surah Baqarah aya 101 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Baqarah aya 101 in arabic text(The Cow).
  
   

﴿وَلَمَّا جَاءَهُمْ رَسُولٌ مِّنْ عِندِ اللَّهِ مُصَدِّقٌ لِّمَا مَعَهُمْ نَبَذَ فَرِيقٌ مِّنَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ كِتَابَ اللَّهِ وَرَاءَ ظُهُورِهِمْ كَأَنَّهُمْ لَا يَعْلَمُونَ﴾
[ البقرة: 101]

Na alipo wajia Mtume kutoka kwa Mwenyezi Mungu, mwenye kuthibitisha yale waliyo nayo, kundi moja miongoni mwa wale walio pewa Kitabu lilitupa Kitabu cha Mwenyezi Mungu hicho nyuma ya migongo yao kama kwamba hawajui.

Surah Al-Baqarah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And when a messenger from Allah came to them confirming that which was with them, a party of those who had been given the Scripture threw the Scripture of Allah behind their backs as if they did not know [what it contained].


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na alipo wajia Mtume kutoka kwa Mwenyezi Mungu, mwenye kuthibitisha yale waliyo nayo, kundi moja miongoni mwa wale walio pewa Kitabu lilitupa Kitabu cha Mwenyezi Mungu hicho nyuma ya migongo yao kama kwamba hawajui.


Na alipo wajia Mtume aliye toka kwa Mwenyezi Mungu aliye wafikiana sawa sawa na sifa zilizo tajwa katika Vitabu vyao, naye ni Muhammad, rehema na amani iwe juu yake, kikundi kimojapo kutokana nao kilikataa hayo yaliyo tajwa katika Vitabu vyao kumkhusu Mtume huyu, kama kwamba halikutajwa jambo hilo humo wala wao hawajui lolote katika hayo.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 101 from Baqarah


Ayats from Quran in Swahili


    Quran Surah in Swahili :

    Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
    Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
    Al-Hijr Al-Kahf Maryam
    Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
    As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
    Al-Fath Al-Hujurat Qaf
    An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
    Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
    Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

    Download Surah Baqarah with the voice of the most famous Quran reciters :

    Surah Baqarah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Baqarah Complete with high quality
    Surah Baqarah Ahmed El Agamy
    Ahmed Al Ajmy
    Surah Baqarah Bandar Balila
    Bandar Balila
    Surah Baqarah Khalid Al Jalil
    Khalid Al Jalil
    Surah Baqarah Saad Al Ghamdi
    Saad Al Ghamdi
    Surah Baqarah Saud Al Shuraim
    Saud Al Shuraim
    Surah Baqarah Abdul Basit Abdul Samad
    Abdul Basit
    Surah Baqarah Ammar Al-Mulla
    Ammar Al-Mulla
    Surah Baqarah Abdullah Basfar
    Abdullah Basfar
    Surah Baqarah Abdullah Awwad Al Juhani
    Abdullah Al Juhani
    Surah Baqarah Fares Abbad
    Fares Abbad
    Surah Baqarah Maher Al Muaiqly
    Maher Al Muaiqly
    Surah Baqarah Muhammad Siddiq Al Minshawi
    Al Minshawi
    Surah Baqarah Al Hosary
    Al Hosary
    Surah Baqarah Al-afasi
    Mishari Al-afasi
    Surah Baqarah Yasser Al Dosari
    Yasser Al Dosari


    Tuesday, June 24, 2025

    Please remember us in your sincere prayers