Surah Hijr aya 69 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَاتَّقُوا اللَّهَ وَلَا تُخْزُونِ﴾
[ الحجر: 69]
Na mcheni Mwenyezi Mungu, wala msinihizi.
Surah Al-Hijr in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And fear Allah and do not disgrace me."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na mcheni Mwenyezi Mungu, wala msinihizi.
Na mwogopeni Mwenyezi Mungu Mtukufu! Msifanye uchafu wenu, mkanipatisha hizaya na madhila mbele yao!
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Au hizo akili zao ndio zinawaamrisha haya, au wao basi ni watu majeuri tu?
- Hao ni askari watao shindwa miongoni mwa makundi yatayo shindwa.
- Basi Musa akaingia khofu nafsi yake.
- Nawe unaukaa Mji huu.
- Na tukafanya ndani yake mabustani ya mitende na mizabibu, na tukatimbua chemchem ndani yake,
- Kisha nikawakamata walio kufuru. Basi kuchukia kwangu kulikuwaje?
- Hakika walio amini na wakatenda mema, Mola wao Mlezi atawaongoa kwa sababu ya Imani yao.
- Na alipo watengenezea tayari haja yao alisema: Nileteeni ndugu yenu kwa baba. Je! Hamwoni ya
- Wala hao mnao waomba badala yake Yeye hawana uweza wa kumwombea mtu, isipo kuwa anaye
- Akitaka, huutuliza upepo navyo hivyo vyombo husimama tutwe juu ya bahari. Hakika katika hayo zipo
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Hijr with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Hijr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hijr Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



