Surah Ad Dukhaan aya 2 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَالْكِتَابِ الْمُبِينِ﴾
[ الدخان: 2]
Naapa kwa Kitabu kinacho bainisha,
Surah Ad-Dukhaan in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
By the clear Book,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Naapa kwa Kitabu kinacho bainisha!
Mwenyezi Mungu anaapa kwa Qurani yenye kuweka wazi Dini ya Haki, yenye kuwabainishia watu yaliyo na maslaha ya dunia yao na Akhera yao, ili kujuulisha utukufu wa cheo chake.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Anapo somewa Aya zetu, husema: Hizi ni simulizi za uwongo za watu wa zamani!
- Hakika Ibrahim alikuwa mfano mwema, mnyenyekevu kwa Mwenyezi Mungu, mwongofu, wala hakuwa miongoni mwa washirikina.
- Na konde na mitende yenye makole yaliyo wiva.
- Ambao wanafanya ufisadi katika nchi, wala hawatengenezi.
- Akasema: Nitakuja kuombeeni msamaha kwa Mola wangu Mlezi. Hakika Yeye ndiye Mwenye maghfira na Mwenye
- Na alipo pigiwa mfano Mwana wa Mariamu, watu wako waliupiga ukelele.
- Sio wema kuwa mnaelekeza nyuso zenu upande wa mashariki na magharibi. Bali wema ni wa
- Hatukukuteremshia Qur'ani ili upate mashaka.
- Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, ambaye ni vyake vyote viliomo mbnguni na katika
- Basi mbona hakuvikwa vikuku vya dhahabu, au hawakuja Malaika pamoja naye wakamwandama?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Ad Dukhaan with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Ad Dukhaan mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ad Dukhaan Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers