Surah Shuara aya 221 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿هَلْ أُنَبِّئُكُمْ عَلَىٰ مَن تَنَزَّلُ الشَّيَاطِينُ﴾
[ الشعراء: 221]
Je! Nikwambieni nani wanawashukia Mashet'ani?
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Shall I inform you upon whom the devils descend?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Je! Nikwambieni nani wanawashukia Mashetani?
Washirikina walisema: Mashetani ndio wanamsomea Qurani Muhammad. Qurani ikawajibu: Nikupeni khabari watu gani Mashetani ndio wanawateremkia, na wakawashawishi?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Siku hiyo Mwenyezi Mungu atawapa sawa sawa malipo yao ya haki, na watajua kwamba hakika
- Na Mitume tulio kwisha kukuhadithia kabla yake, na Mitume wengine hatukukuhadithia. Na Mwenyezi Mungu alinena
- Lakini alipo wajia na Ishara zetu wakaingia kuzicheka.
- Basi litakase jina la Mola wako Mlezi aliye Mkuu.
- Basi akaitupa fimbo yake, mara ikawa nyoka wa kuonekana dhaahiri.
- Kwa hakika Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa siri za mbinguni na ardhi. Hakika Yeye ni
- Na ilipo wafikia Haki wakasema: Huu ni uchawi, na sisi hakika tunaukataa.
- Watanong'onezana wao kwa wao: Hamkukaa ila siku kumi tu.
- Walipo tukasirisha tuliwapatiliza tukawazamisha wote!
- Hii basi ndiyo Jahannamu mliyo kuwa mkiahidiwa.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers