Surah Ankabut aya 25 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Ankabut aya 25 in arabic text(The Spider).
  
   

﴿وَقَالَ إِنَّمَا اتَّخَذْتُم مِّن دُونِ اللَّهِ أَوْثَانًا مَّوَدَّةَ بَيْنِكُمْ فِي الْحَيَاةِ الدُّنْيَا ۖ ثُمَّ يَوْمَ الْقِيَامَةِ يَكْفُرُ بَعْضُكُم بِبَعْضٍ وَيَلْعَنُ بَعْضُكُم بَعْضًا وَمَأْوَاكُمُ النَّارُ وَمَا لَكُم مِّن نَّاصِرِينَ
[ العنكبوت: 25]

Na alisema: Hakika nyinyi mmeyashika masanamu badala ya Mwenyezi Mungu kwa mapenzi yaliyo baina yenu katika uhai wa duniani. Kisha Siku ya Kiyama mtakataana nyinyi kwa nyinyi, na mtalaaniana nyinyi kwa nyinyi. Na makaazi yenu ni Motoni. Wala hamtapata wa kukunusuruni.

Surah Al-Ankabut in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And [Abraham] said, "You have only taken, other than Allah, idols as [a bond of] affection among you in worldly life. Then on the Day of Resurrection you will deny one another and curse one another, and your refuge will be the Fire, and you will not have any helpers."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na alisema: Hakika nyinyi mmeyashika masanamu badala ya Mwenyezi Mungu kwa mapenzi yaliyo baina yenu katika uhai wa duniani. Kisha Siku ya Kiyama mtakataana nyinyi kwa nyinyi, na mtalaaniana nyinyi kwa nyinyi. Na makaazi yenu ni Motoni. Wala hamtapata wa kukunusuruni.


English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 25 from Ankabut


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na hakika Nuhu alitwita, na Sisi ni bora wa waitikiaji.
  2. Na akiwa katika watu wa upande wa kulia,
  3. Basi wakaula wote wawili, na uchi wao ukawadhihirikia na wakaanza kujibandika majani ya Bustani. Na
  4. Na tukawaambia baada yake Wana wa Israili: Kaeni katika nchi. Itapo kuja ahadi ya Akhera
  5. Ameziumba mbingu na ardhi kwa haki, na akakupeni sura, na akazifanya nzuri sura zenu. Na
  6. Na pale walipo ambiwa: Kaeni katika mji huu, na mle humo mpendapo, na semeni: Tufutie
  7. (Ibrahim) akasema: Salamun a'laika! Amani iwe juu yako! Mimi nitakuombea msamaha kwa Mola wangu Mlezi.
  8. Na wale walio tamani kuwa pahala pake jana, wakawa wanasema: Kumbe Mwenyezi Mungu humkunjulia riziki
  9. Enyi mlio amini! Kumbukeni neema za Mwenyezi Mungu zilizo juu yenu, walipo taka watu kukunyooshieni
  10. Na itapo waangukia kauli juu yao, tutawatolea mnyama katika ardhi atakaye wasemeza, ya kuwa watu

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Ankabut with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Ankabut mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ankabut Complete with high quality
Surah Ankabut Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Ankabut Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Ankabut Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Ankabut Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Ankabut Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Ankabut Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Ankabut Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Ankabut Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Ankabut Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Ankabut Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Ankabut Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Ankabut Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Ankabut Al Hosary
Al Hosary
Surah Ankabut Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Ankabut Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Wednesday, June 24, 2026

Please remember us in your sincere prayers