Surah Hajj aya 43 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَقَوْمُ إِبْرَاهِيمَ وَقَوْمُ لُوطٍ﴾
[ الحج: 43]
Na watu wa Ibrahim na watu wa Lut'i
Surah Al-Hajj in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And the people of Abraham and the people of Lot
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na watu wa Ibrahim na watu wa Luti
Na kaumu ya Ibrahim walimkanusha Mtume wao Ibrahim, na kaumu Luti walimfanyia hayo hayo Mtume wao Luti.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hao wapo juu ya uwongofu utokao kwa Mola wao Mlezi, na hao ndio walio fanikiwa.
- Na walio shirikisha watakapo waona hao walio washirikisha na Mwenyezi Mungu, watasema: Mola wetu Mlezi!
- Naapa kwa jua na mwangaza wake!
- Na vyote viliomo katika mbingu na katika ardhi, tangu wanyama mpaka Malaika, vinamsujuidia Mwenyezi Mungu,
- Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa wanaadamu,
- Kwa hakika wakosefu watakaa katika adhabu ya Jahannamu.
- Msije mkasema: Hakika mataifa mawili kabla yetu yameteremshiwa Kitabu; na sisi tulikuwa hatuna khabari ya
- Na Pepo itasogezwa kwa wachamngu.
- Mwenyezi Mungu aliye kufanyieni usiku ili mpate kutulia humo, na mchana wa kuonea. Hakika Mwenyezi
- Wanamshukia kila mzushi mkubwa mwingi wa dhambi.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Hajj with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Hajj mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hajj Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



