Surah Naml aya 76 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Naml aya 76 in arabic text(The Ants).
  
   

﴿إِنَّ هَٰذَا الْقُرْآنَ يَقُصُّ عَلَىٰ بَنِي إِسْرَائِيلَ أَكْثَرَ الَّذِي هُمْ فِيهِ يَخْتَلِفُونَ﴾
[ النمل: 76]

Hakika Qur'ani hii inawasimulia Wana wa Israili mengi wanayo khitalifiana nayo.

Surah An-Naml in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Indeed, this Qur'an relates to the Children of Israel most of that over which they disagree.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Hakika Qurani hii inawasimulia Wana wa Israili mengi wanayo khitalifiana nayo.


Hakika Kitabu hiki alicho teremshiwa Muhammad kinawawekea wazi Wana wa Israili ukweli wa yaliyo kuja katika Taurati, katika mambo ya itikadi na hukumu na hadithi. Na kinawarudisha kwenye kweli katika mambo waliyo khitalifiana kwayo.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 76 from Naml


Ayats from Quran in Swahili

  1. Kisha Mwenyezi Mungu akateremsha utulivu wake juu ya Mtume wake na juu ya Waumini. Na
  2. Na katika kaumu ya Musa lipo kundi linao waongoa watu kwa haki na kwa haki
  3. Enyi Wana wa Israili! Kumbukeni zile neema zangu nilizo kuneemesheni, na nikakuteuweni kuliko wote wengineo.
  4. Na (mtu kama huyo) anapo somewa Aya zetu huzipa mgongo kwa kujivuna, kama kwamba hakuzisikia,
  5. Na hakika Mola wako Mlezi anayajua yanayo ficha vifua vyao na wanayo yatangaza.
  6. Hakika Moto huo unatoa macheche kama majumba!
  7. Kila nafsi itaonja mauti. Kisha mtarudishwa kwetu.
  8. Na bila ya shaka tuliwatuma Mitume kabla yako. Wengine katika hao tumekusimulia khabari zao, na
  9. Na alipo wajia Mtume kutoka kwa Mwenyezi Mungu, mwenye kuthibitisha yale waliyo nayo, kundi moja
  10. Sema (Ewe Mtume): Sikuombeni ujira juu ya haya, wala mimi si katika wadanganyifu.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Naml with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Naml mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Naml Complete with high quality
Surah Naml Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Naml Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Naml Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Naml Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Naml Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Naml Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Naml Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Naml Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Naml Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Naml Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Naml Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Naml Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Naml Al Hosary
Al Hosary
Surah Naml Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Naml Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, November 11, 2025

Please remember us in your sincere prayers