Surah Anam aya 81 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Anam aya 81 in arabic text(The Cattle).
  
   

﴿وَكَيْفَ أَخَافُ مَا أَشْرَكْتُمْ وَلَا تَخَافُونَ أَنَّكُمْ أَشْرَكْتُم بِاللَّهِ مَا لَمْ يُنَزِّلْ بِهِ عَلَيْكُمْ سُلْطَانًا ۚ فَأَيُّ الْفَرِيقَيْنِ أَحَقُّ بِالْأَمْنِ ۖ إِن كُنتُمْ تَعْلَمُونَ
[ الأنعام: 81]

Na vipi nivikhofu hivyo mnavyo vishirikisha, hali nyinyi hamkhofu kuwa nyinyi mmemshirikisha Mwenyezi Mungu na kitu ambacho hakukiteremshia uthibitisho. Basi kundi gani katika mawili haya lina haki zaidi kupata amani, kama nyinyi mnajua?

Surah Al-Anam in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And how should I fear what you associate while you do not fear that you have associated with Allah that for which He has not sent down to you any authority? So which of the two parties has more right to security, if you should know?


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na vipi nivikhofu hivyo mnavyo vishirikisha, hali nyinyi hamkhofu kuwa nyinyi mmemshirikisha Mwenyezi Mungu na kitu ambacho hakukiteremshia uthibitisho. Basi kundi gani katika mawili haya lina haki zaidi kupata amani, kama nyinyi mnajua?


Na katika ajabu ni kuwa mimi niiogope hiyo miungu yenu ya uwongo, na nyinyi hamna khofu kuwa pamoja na Mwenyezi Mungu iliyo simama ushahidi wa Umoja wake, nyinyi mna shiriki kuabudu vitu ambavyo havina ushahidi kuwa vinastahiki kuabudiwa. Basi katika hali hii kikundi gani baina ya sisi chenye haki ya utulivu na amani, ikiwa kweli nyinyi mnaijua Haki na mnaitambua?

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 81 from Anam


Ayats from Quran in Swahili


    Quran Surah in Swahili :

    Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
    Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
    Al-Hijr Al-Kahf Maryam
    Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
    As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
    Al-Fath Al-Hujurat Qaf
    An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
    Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
    Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

    Download Surah Anam with the voice of the most famous Quran reciters :

    Surah Anam mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Anam Complete with high quality
    Surah Anam Ahmed El Agamy
    Ahmed Al Ajmy
    Surah Anam Bandar Balila
    Bandar Balila
    Surah Anam Khalid Al Jalil
    Khalid Al Jalil
    Surah Anam Saad Al Ghamdi
    Saad Al Ghamdi
    Surah Anam Saud Al Shuraim
    Saud Al Shuraim
    Surah Anam Abdul Basit Abdul Samad
    Abdul Basit
    Surah Anam Ammar Al-Mulla
    Ammar Al-Mulla
    Surah Anam Abdullah Basfar
    Abdullah Basfar
    Surah Anam Abdullah Awwad Al Juhani
    Abdullah Al Juhani
    Surah Anam Fares Abbad
    Fares Abbad
    Surah Anam Maher Al Muaiqly
    Maher Al Muaiqly
    Surah Anam Muhammad Siddiq Al Minshawi
    Al Minshawi
    Surah Anam Al Hosary
    Al Hosary
    Surah Anam Al-afasi
    Mishari Al-afasi
    Surah Anam Yasser Al Dosari
    Yasser Al Dosari


    Tuesday, June 24, 2025

    Please remember us in your sincere prayers