Surah Abasa aya 18 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿مِنْ أَيِّ شَيْءٍ خَلَقَهُ﴾
[ عبس: 18]
Kwa kitu gani amemuumba?
Surah Abasa in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
From what substance did He create him?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kwa kitu gani amemuumba?
Hakumbuki yeye kaumbwa kutokana na nini?
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na ngamia wenye mimba pevu watakapo achwa wasishughulikiwe,
- Atasema: Nyinyi hamkukaa huko duniani ila kidogo, laiti ingeli kuwa mnajua.
- Na alipo sema Ibrahim: Mola wangu Mlezi! Nionyeshe vipi unavyo fufua wafu. Mwenyezi Mungu akasema:
- Lakini tulimtupa ufukweni patupu, hali yu mgonjwa.
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
- Hawayaamini haya, na hali ya kuwa umekwisha wapitia mfano wa watu wa kale.
- Na hawajii Nabii yeyote ila walikuwa wakimkejeli.
- Hakika nyinyi bila ya shaka mtaionja adhabu chungu.
- Na ni nani mwenye kudhulumu zaidi kuliko yule anaye mzulia Mwenyezi Mungu uwongo, naye anaitwa
- Basi wakigeuka, wewe sema: Mwenyezi Mungu ananitosheleza. Hapana mungu isipokuwa Yeye tu. Mimi namtegemea Yeye,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Abasa with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Abasa mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Abasa Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



