Surah Taghabun aya 9 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Taghabun aya 9 in arabic text(The Cheating).
  
   

﴿يَوْمَ يَجْمَعُكُمْ لِيَوْمِ الْجَمْعِ ۖ ذَٰلِكَ يَوْمُ التَّغَابُنِ ۗ وَمَن يُؤْمِن بِاللَّهِ وَيَعْمَلْ صَالِحًا يُكَفِّرْ عَنْهُ سَيِّئَاتِهِ وَيُدْخِلْهُ جَنَّاتٍ تَجْرِي مِن تَحْتِهَا الْأَنْهَارُ خَالِدِينَ فِيهَا أَبَدًا ۚ ذَٰلِكَ الْفَوْزُ الْعَظِيمُ
[ التغابن: 9]

Siku atakayo kukusanyeni kwa ajili ya Siku ya Mkusanyiko; hiyo ni siku ya kupunjana. Na anaye muamini Mwenyezi Mungu na akatenda mema, atamfutia maovu yake, na atamuingiza katika Mabustani yenye kupitiwa kati yake na mito, watadumu humo milele. Huko ndiko kufuzu kukubwa.

Surah At-Taghabun in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


The Day He will assemble you for the Day of Assembly - that is the Day of Deprivation. And whoever believes in Allah and does righteousness - He will remove from him his misdeeds and admit him to gardens beneath which rivers flow, wherein they will abide forever. That is the great attainment.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Siku atakayo kukusanyeni kwa ajili ya Siku ya Mkusanyiko; hiyo ni siku ya kupunjana. Na anaye muamini Mwenyezi Mungu na akatenda mema, atamfutia maovu yake, na atamuingiza katika Mabustani yenye kupitiwa kati yake na mito, watadumu humo milele. Huko ndiko kufuzu kukubwa.


Siku atapo kukusanyeni katika Siku ya Mkusanyo wa walio tangulia mwanzo na walio kuja mwisho, akulipeni kwa vitendo vyenu! Siku hiyo ndiyo Siku ya Taghaabun, Kupunjana, kutapo dhihiri kupunjika kwa makafiri kwa kuacha Imani, na kupunjika Waumini kwa kupuuza kuongeza utiifu. Na mwenye kumuamini Mwenyezi Mungu, na akatenda mema atamwondolea maovu yake, na atamtia katika Bustani zenye kupita kati yake mito, wakae humo milele. Malipo hayo ndio kufuzu kukubwa.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 9 from Taghabun


Ayats from Quran in Swahili

  1. Jueni kuwa hakika ni vya Mwenyezi Mungu vilivyomo mbinguni na ardhini. Hakika Yeye anajua mlio
  2. Lakini Firauni alimuasi huyo Mtume, basi tukamshika mshiko wa mateso.
  3. Enyi mlio amini! Mcheni Mwenyezi Mungu, na muaminini Mtume wake, atakupeni sehemu mbili katika rehema
  4. Na Mwenyezi Mungu aliwarudisha nyuma makafiri juu ya ghadhabu yao; hawakupata kheri yoyote. Na Mwenyezi
  5. Mkisema: Hakika sisi tumegharimika;
  6. AMETUKUKA ambaye mkononi mwake umo Ufalme wote; na Yeye ni Mwenye uweza juu ya kila
  7. Hizi ni katika khabari za ghaibu tunazo kufunulia. Hukuwa ukizijua wewe, wala watu wako, kabla
  8. Na walio kufuru walisema: Msiisikilize Qur'ani hii, na timueni zogo, huenda mkashinda.
  9. Mwenyezi Mungu ni Nuru ya Mbingu na Ardhi. Mfano wa Nuru yake ni kama shubaka
  10. Humo watakuwamo wanawake watulizao macho yao; hajawagusa mtu kabla yao wala jini.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Taghabun with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Taghabun mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Taghabun Complete with high quality
Surah Taghabun Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Taghabun Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Taghabun Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Taghabun Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Taghabun Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Taghabun Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Taghabun Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Taghabun Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Taghabun Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Taghabun Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Taghabun Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Taghabun Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Taghabun Al Hosary
Al Hosary
Surah Taghabun Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Taghabun Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, October 5, 2025

Please remember us in your sincere prayers