Surah Hajj aya 48 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Hajj aya 48 in arabic text(The Pilgrimage).
  
   

﴿وَكَأَيِّن مِّن قَرْيَةٍ أَمْلَيْتُ لَهَا وَهِيَ ظَالِمَةٌ ثُمَّ أَخَذْتُهَا وَإِلَيَّ الْمَصِيرُ﴾
[ الحج: 48]

Na miji mingapi niliipa muda na hali ilikuwa imedhulumu, na kisha nikaitia mkononi? Na kwangu Mimi ndio marudio yote.

Surah Al-Hajj in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And for how many a city did I prolong enjoyment while it was committing wrong. Then I seized it, and to Me is the [final] destination.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na miji mingapi niliipa muda na hali ilikuwa imedhulumu, na kisha nikaitia mkononi? Na kwangu Mimi ndio marudio yote.


Na wengi katika watu wa mijini walikuwa madhaalimu kama wao. Nami nikawapa muhula wala sikuwafanyia haraka kuwaadhibu. Na kisha nikawateremshia hiyo adhabu. Na ni kwangu Mimi tu ndio marejeo ya wote Siku ya Kiyama; na hapo nitawalipa kwa wanayo stahiki. Basi enyi makafiri! Msighurike kwa kuchelewa adhabu kukufikieni.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 48 from Hajj


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na anaye omba au kuuliza usimkaripie!
  2. Na hatukukutuma ila kwa watu wote, uwe mbashiri, na mwonyaji. Lakini watu wengi hawajui.
  3. Akasema Isa bin Maryamu: Ewe Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wetu! Tuteremshia chakula kutoka mbinguni ili
  4. Na watakapo tupwa humo mahali dhiki, hali wamefungwa, wataomba wafe.
  5. Hata alipo fika matokeo ya jua aliliona linawachomozea watu tusio wawekea pazia la kuwakinga nalo.
  6. (Baba) akasema: Unaichukia miungu yangu, ewe Ibrahim? Kama huachi, basi lazima nitakupiga mawe. Na niondokelee
  7. Kitabu kilicho teremshwa kwako - basi isiwe dhiki kifuani kwako kwa ajili yake, upate kuonya
  8. Na pale tulipo kuokoeni kwa watu wa Firauni walio kupeni adhabu za mwisho wa uovu.
  9. Na milima iwe inakwenda kwa mwendo mkubwa.
  10. Nanyi mtakuja jua ni nani itakaye mfikia adhabu ya kumhizi, na itakaye mteremkia adhabu ya

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Hajj with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Hajj mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hajj Complete with high quality
Surah Hajj Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Hajj Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Hajj Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Hajj Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Hajj Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Hajj Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Hajj Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Hajj Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Hajj Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Hajj Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Hajj Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Hajj Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Hajj Al Hosary
Al Hosary
Surah Hajj Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Hajj Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, September 14, 2025

Please remember us in your sincere prayers