سورة الطور بالسواحلية

  1. استمع للسورة
  2. سور أخرى
  3. ترجمة السورة
القرآن الكريم | ترجمة معاني القرآن | اللغة السواحلية | سورة الطور | Tur - عدد آياتها 49 - رقم السورة في المصحف: 52 - معنى السورة بالإنجليزية: The Mount.

وَالطُّورِ(1)

Naapa kwa mlima wa T'ur,

وَكِتَابٍ مَّسْطُورٍ(2)

Na Kitabu kilicho andikwa

فِي رَقٍّ مَّنشُورٍ(3)

Katika ngozi iliyo kunjuliwa,

وَالْبَيْتِ الْمَعْمُورِ(4)

Na kwa Nyumba iliyo jengwa,

وَالسَّقْفِ الْمَرْفُوعِ(5)

Na kwa dari iliyo nyanyuliwa,

وَالْبَحْرِ الْمَسْجُورِ(6)

Na kwa bahari iliyo jazwa,

إِنَّ عَذَابَ رَبِّكَ لَوَاقِعٌ(7)

Hakika adhabu ya Mola wako Mlezi hapana shaka itatokea.

مَّا لَهُ مِن دَافِعٍ(8)

Hapana wa kuizuia.

يَوْمَ تَمُورُ السَّمَاءُ مَوْرًا(9)

Siku zitakapo tikisika mbingu kwa mtikiso,

وَتَسِيرُ الْجِبَالُ سَيْرًا(10)

Na milima iwe inakwenda kwa mwendo mkubwa.

فَوَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ(11)

Basi ole wao siku hiyo hao wanao kadhibisha,

الَّذِينَ هُمْ فِي خَوْضٍ يَلْعَبُونَ(12)

Ambao wanacheza katika mambo ya upuuzi.

يَوْمَ يُدَعُّونَ إِلَىٰ نَارِ جَهَنَّمَ دَعًّا(13)

Siku watapo sukumwa kwenye Moto kwa msukumo wa nguvu,

هَٰذِهِ النَّارُ الَّتِي كُنتُم بِهَا تُكَذِّبُونَ(14)

(Waambiwe): Huu ndio ule Moto mlio kuwa mkiukanusha!

أَفَسِحْرٌ هَٰذَا أَمْ أَنتُمْ لَا تُبْصِرُونَ(15)

Je! Huu ni uchawi, au hamwoni tu?

اصْلَوْهَا فَاصْبِرُوا أَوْ لَا تَصْبِرُوا سَوَاءٌ عَلَيْكُمْ ۖ إِنَّمَا تُجْزَوْنَ مَا كُنتُمْ تَعْمَلُونَ(16)

Uingieni, mkistahamili au msistahamili - ni mamoja kwenu. Hakika mnalipwa kwa mliyo kuwa mkiyatenda.

إِنَّ الْمُتَّقِينَ فِي جَنَّاتٍ وَنَعِيمٍ(17)

Hakika wachamngu watakuwa katika Mabustani na neema,

فَاكِهِينَ بِمَا آتَاهُمْ رَبُّهُمْ وَوَقَاهُمْ رَبُّهُمْ عَذَابَ الْجَحِيمِ(18)

Wakifurahi kwa yale aliyo wapa Mola wao Mlezi. Na Mola wao Mlezi atawalinda na adhabu ya Motoni.

كُلُوا وَاشْرَبُوا هَنِيئًا بِمَا كُنتُمْ تَعْمَلُونَ(19)

Kuleni na kunyweni kwa raha kabisa kwa sababu ya mliyo kuwa mkiyatenda.

مُتَّكِئِينَ عَلَىٰ سُرُرٍ مَّصْفُوفَةٍ ۖ وَزَوَّجْنَاهُم بِحُورٍ عِينٍ(20)

Watakuwa wameegemea juu ya viti vya enzi vilivyo pangwa kwa safu. Na tutawaoza mahuru-l-aini.

وَالَّذِينَ آمَنُوا وَاتَّبَعَتْهُمْ ذُرِّيَّتُهُم بِإِيمَانٍ أَلْحَقْنَا بِهِمْ ذُرِّيَّتَهُمْ وَمَا أَلَتْنَاهُم مِّنْ عَمَلِهِم مِّن شَيْءٍ ۚ كُلُّ امْرِئٍ بِمَا كَسَبَ رَهِينٌ(21)

Na walio amini na dhuriya zao wakawafuata kwa Imani tutawakutanisha nao dhuriya zao, na wala hatutawapunja hata kidogo katika vitendo vyao. Kila mtu lazima atapata alicho kichuma.

وَأَمْدَدْنَاهُم بِفَاكِهَةٍ وَلَحْمٍ مِّمَّا يَشْتَهُونَ(22)

Na tutawapa matunda, na nyama kama watavyo penda.

يَتَنَازَعُونَ فِيهَا كَأْسًا لَّا لَغْوٌ فِيهَا وَلَا تَأْثِيمٌ(23)

Watapeana humo bilauri zisio na vinywaji vya kuleta maneno ya upuuzi wala dhambi.

۞ وَيَطُوفُ عَلَيْهِمْ غِلْمَانٌ لَّهُمْ كَأَنَّهُمْ لُؤْلُؤٌ مَّكْنُونٌ(24)

Iwe wanawapitia watumishi wao kama kwamba ni lulu zilizomo katika chaza.

وَأَقْبَلَ بَعْضُهُمْ عَلَىٰ بَعْضٍ يَتَسَاءَلُونَ(25)

Wataelekeana wakiulizana.

قَالُوا إِنَّا كُنَّا قَبْلُ فِي أَهْلِنَا مُشْفِقِينَ(26)

Waseme: Tulikuwa zamani pamoja na ahali zetu tukiogopa;

فَمَنَّ اللَّهُ عَلَيْنَا وَوَقَانَا عَذَابَ السَّمُومِ(27)

Basi Mwenyezi Mungu akatufanyia hisani na akatulinda na adhabu ya upepo wa Moto.

إِنَّا كُنَّا مِن قَبْلُ نَدْعُوهُ ۖ إِنَّهُ هُوَ الْبَرُّ الرَّحِيمُ(28)

Hakika sisi zamani tulikuwa tukimwomba Yeye tu. Hakika Yeye ndiye Mwema Mwenye kurehemu.

فَذَكِّرْ فَمَا أَنتَ بِنِعْمَتِ رَبِّكَ بِكَاهِنٍ وَلَا مَجْنُونٍ(29)

Basi kumbusha! Kwani wewe, kwa neema ya Mola wako Mlezi, si kuhani wala mwendawazimu.

أَمْ يَقُولُونَ شَاعِرٌ نَّتَرَبَّصُ بِهِ رَيْبَ الْمَنُونِ(30)

Au wanasema: Huyu ni mtunga mashairi, tunamtarajia kupatilizwa na dahari.

قُلْ تَرَبَّصُوا فَإِنِّي مَعَكُم مِّنَ الْمُتَرَبِّصِينَ(31)

Sema: Tarajieni, na mimi pia ni pamoja nanyi katika kutarajia.

أَمْ تَأْمُرُهُمْ أَحْلَامُهُم بِهَٰذَا ۚ أَمْ هُمْ قَوْمٌ طَاغُونَ(32)

Au hizo akili zao ndio zinawaamrisha haya, au wao basi ni watu majeuri tu?

أَمْ يَقُولُونَ تَقَوَّلَهُ ۚ بَل لَّا يُؤْمِنُونَ(33)

Au ndio wanasema: Ameitunga hii! Bali basi tu hawaamini!

فَلْيَأْتُوا بِحَدِيثٍ مِّثْلِهِ إِن كَانُوا صَادِقِينَ(34)

Basi nawalete masimulizi kama haya ikiwa wao wanasema kweli.

أَمْ خُلِقُوا مِنْ غَيْرِ شَيْءٍ أَمْ هُمُ الْخَالِقُونَ(35)

Au wao wameumbwa pasipo kutokana na kitu chochote, au ni wao ndio waumbaji?

أَمْ خَلَقُوا السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضَ ۚ بَل لَّا يُوقِنُونَ(36)

Au wao wameziumba mbingu na ardhi? Bali hawana na yakini.

أَمْ عِندَهُمْ خَزَائِنُ رَبِّكَ أَمْ هُمُ الْمُصَيْطِرُونَ(37)

Au wanazo khazina za Mola wako Mlezi au wao ndio wenye madaraka?

أَمْ لَهُمْ سُلَّمٌ يَسْتَمِعُونَ فِيهِ ۖ فَلْيَأْتِ مُسْتَمِعُهُم بِسُلْطَانٍ مُّبِينٍ(38)

Au wanazo ngazi za kusikilizia? Basi huyo msikilizaji wao na alete hoja ilio wazi!

أَمْ لَهُ الْبَنَاتُ وَلَكُمُ الْبَنُونَ(39)

Au Yeye Mwenyezi Mungu ana wasichana, na nyinyi ndio mna wavulana?

أَمْ تَسْأَلُهُمْ أَجْرًا فَهُم مِّن مَّغْرَمٍ مُّثْقَلُونَ(40)

Au wewe unawaomba ujira, na kwa hivyo ndio wanaelemewa na uzito wa gharama?

أَمْ عِندَهُمُ الْغَيْبُ فَهُمْ يَكْتُبُونَ(41)

Au wanayo ilimu ya ghaibu, nao wameandika?

أَمْ يُرِيدُونَ كَيْدًا ۖ فَالَّذِينَ كَفَرُوا هُمُ الْمَكِيدُونَ(42)

Au wanataka kufanya vitimbi tu? Lakini hao walio kufuru ndio watakao tegeka.

أَمْ لَهُمْ إِلَٰهٌ غَيْرُ اللَّهِ ۚ سُبْحَانَ اللَّهِ عَمَّا يُشْرِكُونَ(43)

Au wanae mungu asiye kuwa Mwenyezi Mungu? Subhanallah! Ametaksika Mwenyezi Mungu na hao wanao washirikisha naye.

وَإِن يَرَوْا كِسْفًا مِّنَ السَّمَاءِ سَاقِطًا يَقُولُوا سَحَابٌ مَّرْكُومٌ(44)

Na hata wange ona pande linatoka mbinguni linaanguka wange sema: Ni mawingu yaliyo bebana.

فَذَرْهُمْ حَتَّىٰ يُلَاقُوا يَوْمَهُمُ الَّذِي فِيهِ يُصْعَقُونَ(45)

Basi waache mpaka wakutane na siku yao watakapo hilikishwa.

يَوْمَ لَا يُغْنِي عَنْهُمْ كَيْدُهُمْ شَيْئًا وَلَا هُمْ يُنصَرُونَ(46)

Siku ambayo hila zao hazitawafaa hata kidogo, wala wao hawatanusuriwa.

وَإِنَّ لِلَّذِينَ ظَلَمُوا عَذَابًا دُونَ ذَٰلِكَ وَلَٰكِنَّ أَكْثَرَهُمْ لَا يَعْلَمُونَ(47)

Na hakika walio dhulumu watapata adhabu nyengine isiyo kuwa hii, lakini wengi wao hawajui.

وَاصْبِرْ لِحُكْمِ رَبِّكَ فَإِنَّكَ بِأَعْيُنِنَا ۖ وَسَبِّحْ بِحَمْدِ رَبِّكَ حِينَ تَقُومُ(48)

Na ingojee hukumu ya Mola wako Mlezi. Kwani wewe hakika uko mbele ya macho yetu, na mtakase kwa kumsifu Mola wako Mlezi unapo simama,

وَمِنَ اللَّيْلِ فَسَبِّحْهُ وَإِدْبَارَ النُّجُومِ(49)

Na usiku pia mtakase, na zinapo kuchwa nyota.


المزيد من السور باللغة السواحلية:

سورة البقرة آل عمران سورة النساء
سورة المائدة سورة يوسف سورة ابراهيم
سورة الحجر سورة الكهف سورة مريم
سورة السجدة سورة يس سورة الدخان
سورة النجم سورة الرحمن سورة الواقعة
سورة الحشر سورة الملك سورة الحاقة

تحميل سورة الطور بصوت أشهر القراء :

قم باختيار القارئ للاستماع و تحميل سورة الطور كاملة بجودة عالية
سورة الطور أحمد العجمي
أحمد العجمي
سورة الطور خالد الجليل
خالد الجليل
سورة الطور سعد الغامدي
سعد الغامدي
سورة الطور سعود الشريم
سعود الشريم
سورة الطور عبد الباسط عبد الصمد
عبد الباسط
سورة الطور عبد الله عواد الجهني
عبد الله الجهني
سورة الطور علي الحذيفي
علي الحذيفي
سورة الطور فارس عباد
فارس عباد
سورة الطور ماهر المعيقلي
ماهر المعيقلي
سورة الطور محمد جبريل
محمد جبريل
سورة الطور محمد صديق المنشاوي
المنشاوي
سورة الطور الحصري
الحصري
سورة الطور العفاسي
مشاري العفاسي
سورة الطور ناصر القطامي
ناصر القطامي
سورة الطور ياسر الدوسري
ياسر الدوسري



Saturday, September 21, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب