Surah Tur aya 30 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَمْ يَقُولُونَ شَاعِرٌ نَّتَرَبَّصُ بِهِ رَيْبَ الْمَنُونِ﴾
[ الطور: 30]
Au wanasema: Huyu ni mtunga mashairi, tunamtarajia kupatilizwa na dahari.
Surah At-Tur in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Or do they say [of you], "A poet for whom we await a misfortune of time?"
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Au wanasema: Huyu ni mtunga mashairi, tunamtarajia kupatilizwa na dahari.
Bali ati wanasema huyu ni mtunga mashairi, tunaye mngojea afikiwe na mauti!
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hapana nafsi ila inayo mwangalizi.
- Na mkitaka kubadilisha mke mahali pa mke, na hali mmoja wao mmempa chungu ya mali,
- Au mimi si bora kuliko huyu aliye mnyonge, wala hawezi kusema waziwazi?
- Mara watakuwa kwenye uwanda wa mkutano!
- Na tungeli penda tungeli yafutilia mbali macho yao, wakawa wanaiwania njia. Lakini wange ionaje?
- Na kwa hakika tuliwafanyia hisani Musa na Haruni.
- Hakika katika hayo ipo Ishara. Na hawakuwa wengi wao wenye kuamini.
- Jua na mwezi huenda kwa hisabu.
- Na hakika tulikuumbeni, kisha tukakutieni sura, kisha tukawaambia Malaika: Msujudieni Adam. Basi wakasujudu isipo kuwa
- Akasema: Yale Mola wangu aliyo niwezesha ni bora zaidi. Lakini nyinyi nisaidieni kwa nguvu zenu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Tur with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Tur mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Tur Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



