Surah Tur aya 30 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَمْ يَقُولُونَ شَاعِرٌ نَّتَرَبَّصُ بِهِ رَيْبَ الْمَنُونِ﴾
[ الطور: 30]
Au wanasema: Huyu ni mtunga mashairi, tunamtarajia kupatilizwa na dahari.
Surah At-Tur in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Or do they say [of you], "A poet for whom we await a misfortune of time?"
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Au wanasema: Huyu ni mtunga mashairi, tunamtarajia kupatilizwa na dahari.
Bali ati wanasema huyu ni mtunga mashairi, tunaye mngojea afikiwe na mauti!
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi tukaifungua milango ya mbingu kwa maji yanayo miminika.
- Watavaa hariri nyepesi na hariri nzito wakikabiliana,
- Mkamwacha Yeye. Basi nyote nyinyi nipangieni vitimbi, na kisha msinipe muhula!
- Lakini wakasema: Mola wetu Mlezi! Weka mwendo mrefu baina ya safari zetu. Na wakazidhulumu nafsi
- Akawafanya kama majani yaliyo liwa!
- Wala nasaha yangu haikufaini kitu nikitaka kukunasihini, ikiwa Mwenyezi Mungu anataka kukuachieni mpotee. Yeye ndiye
- Na kwa Madyana tulimtuma ndugu yao Shuaibu, naye akasema: Enyi watu wangu! Muabuduni Mwenyezi Mungu
- Na nini kitakujuvya ni nini njia ya vikwazo vya milimani?
- Huwaoni wanao fanya unaafiki wanawaambia ndugu zao walio kufuru katika Watu wa Kitabu: Mkitolewa na
- Lau kama wangeli pata pa kukimbilia au mapango au pahala pa kuingia basi wangeli fyatuka
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Tur with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Tur mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Tur Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers