Surah Tur aya 34 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَلْيَأْتُوا بِحَدِيثٍ مِّثْلِهِ إِن كَانُوا صَادِقِينَ﴾
[ الطور: 34]
Basi nawalete masimulizi kama haya ikiwa wao wanasema kweli.
Surah At-Tur in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Then let them produce a statement like it, if they should be truthful.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi nawalete masimulizi kama haya ikiwa wao wanasema kweli.
Basi nawalete masimulizi kama haya ya Qurani, ikiwa wao ni wasema kweli kuwa Muhammad kaizua.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na watasema: Tunaiamini! Lakini wataipata wapi kutoka huko mahala mbali?
- Wala haikadhibishi ila kila mwenye kuruka mipaka, mwenye dhambi.
- Walio muitikia Mola wao Mlezi watapata wema. Na wasio muitikia, hata wangeli kuwa navyo vyote
- Sikuwashuhudisha kuumbwa kwa mbingu na ardhi, wala kuumbwa kwa nafsi zao. Wala sikuwafanya wapotezao kuwa
- Na wakiazimia kuwapa talaka basi, Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia na Mjuzi.
- Ama mwenye kutubu na akaamini na akatenda mema, huyo atakuwa miongoni mwa wenye kufanikiwa.
- Wanajua hali ya dhaahiri ya maisha ya dunia, na wameghafilika na Akhera.
- Na ambao wanahifadhi tupu zao.
- Lau wangeli toka nanyi wasingeli kuzidishieni ila mchafuko, na wange tanga tanga kati yenu kukutilieni
- Na sema: Hakika mimi ni mwonyaji mwenye kubainisha.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Tur with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Tur mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Tur Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers