Surah Tur aya 34 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَلْيَأْتُوا بِحَدِيثٍ مِّثْلِهِ إِن كَانُوا صَادِقِينَ﴾
[ الطور: 34]
Basi nawalete masimulizi kama haya ikiwa wao wanasema kweli.
Surah At-Tur in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Then let them produce a statement like it, if they should be truthful.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi nawalete masimulizi kama haya ikiwa wao wanasema kweli.
Basi nawalete masimulizi kama haya ya Qurani, ikiwa wao ni wasema kweli kuwa Muhammad kaizua.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Sema: Kwa hakika mimi Mola wangu Mlezi ameniongoa kwenye Njia Iliyo Nyooka, Dini iliyo sawa
- Shuaibu alipo waambia: Je! Hamfanyi mkamchamngu?
- Enyi watu wangu! Huyu ngamia wa Mwenyezi Mungu ni Ishara kwenu. Basi mwacheni ale katika
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
- Ili kuwabainishia yale waliyo khitalifiana, na ili wajue walio kufuru kwamba wao walikuwa ni waongo.
- Na watasema: Tunaiamini! Lakini wataipata wapi kutoka huko mahala mbali?
- Na ama walio kufuru na wakazikanusha Ishara zetu na mkutano wa Akhera, hao basi watahudhurishwa
- Hakika wasio ziamini Ishara za Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu hawaongoi, nao watapata adhabu chungu.
- Wakasema: Tumeudhiwa kabla hujatufikia, na baada ya wewe kutujia! Musa akasema: Huenda Mola wenu Mlezi
- Basi, je! Wanangojea jingine ila kama yaliyo tokea siku za watu walio pita kabla yao?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Tur with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Tur mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Tur Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers