Surah Tur aya 24 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿۞ وَيَطُوفُ عَلَيْهِمْ غِلْمَانٌ لَّهُمْ كَأَنَّهُمْ لُؤْلُؤٌ مَّكْنُونٌ﴾
[ الطور: 24]
Iwe wanawapitia watumishi wao kama kwamba ni lulu zilizomo katika chaza.
Surah At-Tur in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
There will circulate among them [servant] boys [especially] for them, as if they were pearls well-protected.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Iwe wanawapitia watumishi wao kama kwamba ni lulu zilizomo katika chaza.
Na watakuwa wakiwapitia vijana walio wekwa kwa kuwatumikia, kwa weupe wao na usafi wao kama lulu iliomo ndani ya chaza.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wakamkanusha. Basi tukamwokoa, pamoja na walio kuwa naye, katika jahazi. Na tukawafanya wao ndio walio
- Na hatukuziumba mbingu na ardhi na vilivyo baina yao kwa mchezo.
- Na siku tutakapo wakusanya wote, kisha tutawaambia walio shirikisha: Simameni mahali penu nyinyi na wale
- Ewe mwanaadamu! Nini kilicho kughuri ukamwacha Mola wako Mlezi Mtukufu?
- Tena, bila ya shaka, mtaiona kwa jicho la yakini.
- Au wamechukua walinzi wengine badala yake! Lakini Mwenyezi Mungu ndiye Mlinzi khasa. Na Yeye ndiye
- Hayakuwafaa waliyo kuwa wakiyachuma.
- Enyi watu! Mcheni Mola wenu Mlezi aliye kuumbeni kutokana na nafsi moja, na akamuumba mkewe
- Kisha ndio atalipwa malipo yake kwa ukamilifu.
- Wakaja kwa baba yao usiku wakilia.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Tur with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Tur mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Tur Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers