Surah Tur aya 24 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿۞ وَيَطُوفُ عَلَيْهِمْ غِلْمَانٌ لَّهُمْ كَأَنَّهُمْ لُؤْلُؤٌ مَّكْنُونٌ﴾
[ الطور: 24]
Iwe wanawapitia watumishi wao kama kwamba ni lulu zilizomo katika chaza.
Surah At-Tur in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
There will circulate among them [servant] boys [especially] for them, as if they were pearls well-protected.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Iwe wanawapitia watumishi wao kama kwamba ni lulu zilizomo katika chaza.
Na watakuwa wakiwapitia vijana walio wekwa kwa kuwatumikia, kwa weupe wao na usafi wao kama lulu iliomo ndani ya chaza.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Unaweza kuakhirisha zamu kwa umtakaye katika wao, na umsogeze umtakaye. Na kama ukimtaka yule uliye
- Na ambao wanafanya uchafu miongoni mwa wanawake wenu, washuhudizieni watu wane katika nyinyi. Watakapo shuhudia,
- Na wale watakao kanusha Ishara zetu na wakazifanyia kiburi, hao ni watu wa Motoni; humo
- Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!
- Na wako miongoni mwao wasio jua kusoma; hawakijui Kitabu isipo kuwa uwongo wanao utamani, nao
- Amemuumba mtu kwa tone la manii. Naye mara amekuwa mshindani dhaahiri.
- Na vumilia hayo wayasemayo, na jitenge nao kwa vizuri.
- Wala si kauli ya kuhani. Ni machache mnayo yakumbuka.
- Na aliye kuwa hapa kipofu, basi atakuwa kipofu Akhera, na atakuwa aliye ipotea zaidi Njia.
- Hakika watu wa Peponi leo wamo shughulini, wamefurahi.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Tur with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Tur mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Tur Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



