Surah Tur aya 11 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَوَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ﴾
[ الطور: 11]
Basi ole wao siku hiyo hao wanao kadhibisha,
Surah At-Tur in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Then woe, that Day, to the deniers,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi ole wao siku hiyo hao wanao kadhibisha,
Maangamio makubwa yatawapata siku hiyo hao wanao kadhibisha Haki.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Watu ambao biashara wala kuuza hakuwashughulishi na kumdhukuru Mwenyezi Mungu, na kushika Sala, na kutoa
- Bali hii (Qur'ani) ni Ishara zilizo wazi katika vifua vya walio pewa ilimu. Na hawazikatai
- Na waulize khabari za mji ulio kuwa kando ya bahari, wakiivunja Sabato (Jumaamosi ya mapumziko).
- Hakika wachamngu watakuwa katika Mabustani na chemchem.
- Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Yeye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
- Na kwa shahidi na kinacho shuhudiwa!
- Sisi tunakusimulia khabari zao kwa kweli. Hakika wao walikuwa ni vijana walio muamini Mola wao
- Basi Thamudi waliangamizwa kwa balaa kubwa mno.
- Je! Hawaizingatii hii Qur'ani? Au kwenye nyoyo (zao) zipo kufuli?
- Nao wakalikata jambo lao hili mapande mapande baina yao. Wote watarudi kwetu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Tur with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Tur mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Tur Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب