Surah Tur aya 35 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَمْ خُلِقُوا مِنْ غَيْرِ شَيْءٍ أَمْ هُمُ الْخَالِقُونَ﴾
[ الطور: 35]
Au wao wameumbwa pasipo kutokana na kitu chochote, au ni wao ndio waumbaji?
Surah At-Tur in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Or were they created by nothing, or were they the creators [of themselves]?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Au wao wameumbwa pasipo kutokana na kitu chochote, au ni wao ndio waumbaji?
Kwani wao wameumbwa bila ya kuweko Muumbaji, au wao wamejiumba wenyewe, basi kwa hivyo ati ndio hawamtambui Muumbaji wa kumuabudu?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Ya-Sin (Y. S.).
- Mfano wa walio mkufuru Mola wao Mlezi - vitendo vyao ni kama jivu linalo peperushwa
- Mpaka walipo fika kwenye bonde la wadudu chungu, alisema mdudu chungu mmoja: Enyi wadudu chungu!
- Basi mnakwenda wapi?
- Ewe Mola Mlezi wetu! Tujaalie tuwe ni wenye kusilimu kwako, na pia miongoni mwa vizazi
- NA JUENI ya kwamba ngawira mnayo ipata, basi khums (sehemu moja katika tano) ni kwa
- Ndio kama hivyo kauli ya Mola wako Mlezi itakavyo wathibitikia wale walio potoka, ya kwamba
- Akasema: Nayajuaje waliyo kuwa wakiyafanya?
- Hakika wachamngu watakuwa katika mahali pa amani,
- Hakika watu wema bila ya shaka watakuwa katika neema.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Tur with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Tur mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Tur Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers