Surah Tur aya 42 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَمْ يُرِيدُونَ كَيْدًا ۖ فَالَّذِينَ كَفَرُوا هُمُ الْمَكِيدُونَ﴾
[ الطور: 42]
Au wanataka kufanya vitimbi tu? Lakini hao walio kufuru ndio watakao tegeka.
Surah At-Tur in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Or do they intend a plan? But those who disbelieve - they are the object of a plan.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Au wanataka kufanya vitimbi tu? Lakini hao walio kufuru ndio watakao tegeka.
Au wanataka kukufanyia vitimbi tu na kuuharibu Ujumbe wako? Basi hao walio kufuru ndio wanao stahiki kutumbukia katika vitimbi vyao.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na wakasema: Ana nini Mtume huyu? Anakula chakula, na anatembea masokoni! Mbona hakuteremshiwa Malaika akawa
- Mbingu itapo chanika,
- Nendeni kwenye adhabu mliyo kuwa mkiikanusha!
- Je! Zimekuwasilia khabari za majeshi?
- Na watakao amini baadaye na wakahajiri, na wakapigana Jihadi pamoja nanyi, basi hao ni katika
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
- Na tukawanyeshea mvua, basi ni ovu mno mvua ya waliyo onywa.
- Na kila nafsi itakuja na pamoja nayo mchungaji na shahidi.
- Mwenyezi Mungu atawaongoaje watu walio kufuru baada ya kuamini kwao, na wakashuhudia ya kuwa Mtume
- Enyi mlio amini! Msitangulie mbele ya Mwenyezi Mungu na Mtume wake, na mcheni Mwenyezi Mungu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Tur with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Tur mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Tur Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



