Surah Tur aya 46 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿يَوْمَ لَا يُغْنِي عَنْهُمْ كَيْدُهُمْ شَيْئًا وَلَا هُمْ يُنصَرُونَ﴾
[ الطور: 46]
Siku ambayo hila zao hazitawafaa hata kidogo, wala wao hawatanusuriwa.
Surah At-Tur in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
The Day their plan will not avail them at all, nor will they be helped.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Siku ambayo hila zao hazitawafaa hata kidogo, wala wao hawatanusuriwa.
Siku ambayo hila zao hazitawakinga hata na chembe ya adhabu, wala hawatapata wa kuwanusuru.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na kwa wengine ambao bado hawajaungana nao. Na Yeye ndiye Mwenye nguvu, Mwenye hikima.
- Basi wakipuuza wewe sema: Nakuhadharisheni adhabu mfano wa adhabu ya A'di na Thamudi,
- Enyi mlio amini! Mcheni Mwenyezi Mungu, na muaminini Mtume wake, atakupeni sehemu mbili katika rehema
- Hasha! Kwani hakika yeye alikuwa akizifanyia inadi Aya zetu!
- Walio kufuru watakuwa na adhabu kali; na walio amini na wakatenda mema watapata msamaha na
- Akasema: Enyi watu wangu! Hebu fikirini! Ikiwa mimi ninayo hoja wazi iliyo toka kwa Mola
- Ila wale walio subiri wakatenda mema. Hao watapata msamaha na ujira mkubwa.
- Je! Anaye isimamia kila nafsi kwa yale iliyo yachuma...? Na wamemfanyia Mwenyezi Mungu kuwa na
- Enyi mlio amini! Mt'iini Mwenyezi Mungu, na mt'iini Mtume na wenye madaraka katika nyinyi. Na
- Na wapo baadhi yao wanao pindua ndimi zao katika kusoma Kitabu ili mdhanie kuwa hayo
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Tur with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Tur mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Tur Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers