Surah Tur aya 36 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَمْ خَلَقُوا السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضَ ۚ بَل لَّا يُوقِنُونَ﴾
[ الطور: 36]
Au wao wameziumba mbingu na ardhi? Bali hawana na yakini.
Surah At-Tur in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Or did they create the heavens and the earth? Rather, they are not certain.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Au wao wameziumba mbingu na ardhi? Bali hawana na yakini.
Kwani wao ndio walio ziumba mbingu na ardhi kwa uumbaji mzuri wa pekee wa namna hii? Bali wao hawana na yakini na lolote lilio mwajibikia Muumbaji. Na kwa hivyo ndio wanamshirikisha.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi Siku hiyo hautawafaa walio dhulumu udhuru wao, wala haitotakiwa toba yao.
- Hakika Mwenyezi Mungu na Malaika wake wanamsalia Nabii. Enyi mlio amini! Msalieni na mumsalimu kwa
- Na ukiwat'ii wengi katika hawa waliomo duniani watakupoteza na Njia ya Mwenyezi Mungu. Hawa hawafuati
- Watakabiliana wao kwa wao kuulizana.
- Na ama A'di waliangamizwa kwa upepo mkali usio zuilika.
- Ambao wanafanya ufisadi katika nchi, wala hawatengenezi.
- Yeye ndiye aliye teremsha utulivu katika nyoyo za Waumini ili wazidi Imani juu ya Imani
- Sisi tulimtilia nguvu katika ardhi na tukampa njia za kila kitu.
- Na walipanga walio kuwa kabla yao, lakini Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye mipango yote. Yeye anajua
- Na juu ya hivyo ameitandaza ardhi.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Tur with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Tur mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Tur Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



